Idris Sultan afunguka alivyopoteza TZS Bil 1.5 mwaka 2020, 2022 kuwa staa anayeingiza mkwanja mrefu
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti
Proud 👏 movie nzuri Sana. Idris is very street smart nimejifunza sana kwenye hii interview
Huyu jamaa Yuko na vibe nzuri balaa Kwa interview which is incredibly awesome asee 🤜🤛
Movie poa sana tumpe Idris support ya kutosha
Idriss he’s such a Genius 🔥
Ila Idris 😅😅😅🙌🙌🙌 nampenda kiukwel Allah amuweke 😍🤲
Amazing Tanzanian interview 2023 I just love it.
Where's part2 cz niko sure bado unaendelea
super star idriss sultanga mbote mbote my handsome brother
SKY anajua ku_interview sana
Idriss Sultan Big Brain japo anafosi sana kuchekesha
Nampenda sana idris. He is so handsome mashaallah
What a genius 👏
Nimetazama movie na mwanangu. Ni nzuri sana sema imeishia pale ambapo utamu unaanza kunoga. Yani zile scenes ambazo ameziweka mwisho wa movie tukatamani angeziingiza. Au labda anampango wa kuleta part 2. But in general it's good. Well done.
Inaitwaj .
Mi nimeitafuta.. sijaipata
@@KirangaHouston inaitwa Married to work
Big up indrisa
You guy I really love cause your are the man of vibe all the time 😊😊😊😊
Great interview bro.
I just downloaded the movie from Netflix. I can’t wait to watch it over the weekend. I’ll be blogging about it in work next week x
Nimeiangalia jana hio filamu kwa kweli niliifungua kwa sababu ya idriss tu.hongera film nzuri.
Ni nzuri?
Nimependa sana yaani hongera sana ni me enjoy sana appreciate ❤🤗
Napenda sana ntavu ya idrisa😊❤
Nawapenda sana ndugu zangu❤🎉
Idris ni moja ya watu ninawaangalia sana #RoleModel✊🏽
4:00 huyu Ni Mimi kabisa 😂😂😂
Iyo kusov problem kabla ya kutokea nimeipenda sana bonge la ideal nmeichukua iyo
Hongera sana 😍😍💪
Huyu jamaa huwa nacomment kabla sijamsikiliza akili mingi sana 💪
From mozambique
Proud sana Idris ❤❤
Idris! Idris! Idris! Nimekuita mala 3 unakitu utafika mbali
Nimefurahi sana
Watu wangu wote niwapendao
Idlis unafeli wapi wateja wakiwa wengi ndio fursa iyo chansi angepata mchaga ndio ungejua unafunga eti wateja wengi
Hapa kwenye hii point katudanganya, kwa nini asirekebishe time ya kuanza kusaply chakula eti unafunga business sababu wateja wamekuwa wengi big NO
Mogul📌
Nimepata kitu leo
Idrissa ⚒️♨️
Genius
Hi mr
Hi mr
Kwa ulichoongea kuhusu biashara Idris haupo sahihi , inabidi ujifunze zaidi kuhusu biashara, unge manage kwenye quality na si quantity. Kina kanye west wakilaunch viatu wanauza vyote kwa sekunde kwasababu ya idadi ya watu. Hawakufunga biashara
Kweli kabisa. hapa katudanganya Sana tu
Ila mwisho kaweka wazi kuwa shida ni anashindwa kumanage, maana yake ni POOR MANAGEMENT.. Na unapokuwa na wateja wengi halafu huna perfect management lazima utafelisha tu
Kwelii demand SKU zote lazima iendane na supply kama unawateja wengi lazma uongeze human resource iwe kubwa kulingana na capacity ya wateja wako na ndio maana ya kwenda shule unaweza ukapanga kila 1 delivery person akawa na customers wake 20 kwa SKU wa kudeliver
@@allymoshi2053 jamaa unaakili big up
He had good problem ya kuwa na customers wengi…. Ila naongea kitu that doesn’t make sense… he is proud of anticipating problem kabla hazijatokea, yet business failed sababu ya extreamly good problem ya more customers… both sentence can’t be true. He is smart guy overall and humble guy. Business failures are great tools to learn
Another one 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧💙💙💙👌👌👌
Huyu jamaa noma sana,pia siyo mtu wa kukata tamaa
Wacha niingie Netflix Germany 🇩🇪 kama nitaipata nami niione
Chupa kali hapo Aly Sayda Hotel namuona Morien akiwa Reception Dah kitambo sana
Idres kind anaongea kama Adam Mchomvu au Mchomvu anaongea kama yeye.
Cyo Mzee kikwete
Kiswahili cha watu wa Arusha hiko
No noo unatudanganya in case ya wateja kukuzidia hadi kufunga biashara also idadi inakua sabb ya kukufelisha
Akili kubwaa
Huyu mwamba amesha toboa
Akili n kubwa sana kwenye utani wake😂✌️
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases
Safi mwandishi
🙌🙌🙌🙌
Jamaa idris ni ana akili sana wengi hatuja fika level yake ya ku jielewa
Wewe ndo hujafika🤣
Kweli
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Sema mtoto iddi anasound kama jakaya kikwete hivi
👊
Mmhh cdhan
Hata mm nimehisii hvyo
I loved this 13:12 🔥🔥🔥
Kweri ni kusengeza
🎉
Iike my comment I'm coming
wakinga tuna nini😂😂
Huyu jamaa ni Mimi mtupu Ila nimemzidi ukimya
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases 😂😂😊
Uyu nae muongo tu
We ni rasta au mfuga nywele?
Syuuuu kalale
@@shahamtindo 🤣🤣🤣🤣🤣
🤍🤍🤍💙💙💙
+974
Mpya mjini ua-cam.com/video/M9BEcC2OB2E/v-deo.html
Nakubali sana ua-cam.com/video/sS5fEPWanlk/v-deo.html
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases