- 30
- 106 590
Kilimo Biashara
Приєднався 20 лют 2017
Karibu kwenye Channel yetu Ujifunze Kilimo na Fursa mbalimbali zinazohusu Kilimo.
Drip irrigation kwenye Papai - Zinga Bagamoyo
Project ya Papai
Karibu ujipatie miche mizuri ya Papai zile za muda mfupi. Aina ya Papai ni Malkia F1 ambayo ni nyekundu ndani na ni tamu sana.
Miezi 6 hadi 7 unaanza kuvuna.
Pamoja na Miche utapatiwa ushauri wa kitaalamu kuanzia Upandaji, utunzaji hadi Mavuno. .
Kitalu chetu cha miche ya Papai kipo Kimara Kona, Dar
Tunafanya delivery, kwa wakazi wa Dar, (kuanzia miche 50 tunakuletea kwa gharama nafuu kabisa). Kwa wateja wa mikoani tunatuma, na miche inafika salama kabisa. .
Pia karibu sana Upate Huduma ya kufungiwa Drip Irrigation kwenye shamba lako kwa bei nafuu kabisa.
Tunazo Drip maalamu kwa ajili ya mbogamboga kama Nyanya, Hoho, Vitunguu, nk.
Vilevile tunazo Drip maalum kwa ajili ya matunda kama papai, pesheni, migomba nk
Wasiliana nasi kwa huduma bora na nafuu za kilimo.
Simu: 0763071007
Email: ushauri@kilimo.net
Website: www.kilimo.net 071007
Email: ushauri@kilimo.net
Karibu ujipatie miche mizuri ya Papai zile za muda mfupi. Aina ya Papai ni Malkia F1 ambayo ni nyekundu ndani na ni tamu sana.
Miezi 6 hadi 7 unaanza kuvuna.
Pamoja na Miche utapatiwa ushauri wa kitaalamu kuanzia Upandaji, utunzaji hadi Mavuno. .
Kitalu chetu cha miche ya Papai kipo Kimara Kona, Dar
Tunafanya delivery, kwa wakazi wa Dar, (kuanzia miche 50 tunakuletea kwa gharama nafuu kabisa). Kwa wateja wa mikoani tunatuma, na miche inafika salama kabisa. .
Pia karibu sana Upate Huduma ya kufungiwa Drip Irrigation kwenye shamba lako kwa bei nafuu kabisa.
Tunazo Drip maalamu kwa ajili ya mbogamboga kama Nyanya, Hoho, Vitunguu, nk.
Vilevile tunazo Drip maalum kwa ajili ya matunda kama papai, pesheni, migomba nk
Wasiliana nasi kwa huduma bora na nafuu za kilimo.
Simu: 0763071007
Email: ushauri@kilimo.net
Website: www.kilimo.net 071007
Email: ushauri@kilimo.net
Переглядів: 1 058
Відео
Faida za Drip Irrigation
Переглядів 5173 роки тому
Nimekuletea somo zuri la Drip Irrigation, naamini ukifuatilia somo hili hadi mwisho utajifunza sana. Usiache kuweka comment yako hapo chini. Pia karibu sana Upate Huduma ya kufungiwa Drip Irrigation kwenye shamba lako kwa bei nafuu kabisa. Tunazo Drip maalamu kwa ajili ya mbogamboga kama Nyanya, Hoho, Vitunguu, nk. Vilevile tunazo Drip maalum kwa ajili ya matunda kama papai, pesheni, migomba nk...
Kilimo bora cha Vitunguu maji - Part 2
Переглядів 16 тис.4 роки тому
Kilimo bora cha Vitunguu maji - Part 2
Kilimo Cha Pilipili Hoho za rangi kwenye Greenhouse
Переглядів 4404 роки тому
Kilimo Cha Pilipili Hoho za rangi kwenye Greenhouse
Kilimo cha Papai. Jinsi ya kuweka Mbolea ya Kukuzia.
Переглядів 2,8 тис.4 роки тому
OFA OFA OFa Karibu ujipatie miche mizuri ya Papai zile za muda mfupi kwa bei ya Ofa . Tareh 1 had 15 July 2020 Miche inapatikana kwa OFa ya punguzo la bei 2,500 tu kwa mche badala ya 3,000. Aina ya Papai ni Malkia F1 ambayo ni nyekundu ndani na ni tamu sana. Miezi 6 hadi 7 unaanza kuvuna. Pamoja na Miche utapatiwa ushauri wa kitaalamu kuanzia Upandaji, utunzaji hadi Mavuno. . Kitalu chetu cha m...
Drip Irrigation maalumu kwa ajili ya Matunda - (simu 0763071007)
Переглядів 2334 роки тому
Drip Irrigation maalumu kwa ajili ya Matunda - (simu 0763071007)
Greenhouse mpya - @Majengo Moshi
Переглядів 654 роки тому
Mrejesho kutoka kwa Wateja wetu tuliowajengea Greenhouse pale Majengo Moshi. karibu ujipatie Greenhouse nzuri sana kwa gharama nafuu. tucheki kupitia 0763071007
Kilimo cha Papai - Mlandizi (Simu: 0763071087)
Переглядів 2994 роки тому
Hapa ni shambani kwa mteja wetu wa Mlandizi. Papai zake zimekaribia kabisa kuvuna Karibu ujipatie Miche bora ya Papai pamoja na ushauri wa kitaalamu. Unapopata Miche kutoka kwetu tunakupa ushauri wa kitaalamu kuanzia Upandaji hadi kuvuna. tunatemblea shamba mara kwa mara na kukupa ushauri tucheki kupitia 0763071007
Aina 4 za Embe ambazo ni nzuri zaidi kwa kulima kibiashara
Переглядів 12 тис.4 роки тому
Aina 4 za Embe ambazo ni nzuri zaidi kwa kulima kibiashara
Masoko Mazuri yenye Faida kubwa zaidi
Переглядів 1,6 тис.5 років тому
Masoko Mazuri yenye Faida kubwa zaidi
Kilimo cha Papai- Papai zimekubali haswaa - 0763071007
Переглядів 5905 років тому
Kilimo cha Papai- Papai zimekubali haswaa - 0763071007
Niombe mawasiliano yenu mie nipo NJOMBE
Kwa mfano Kanda ya kati itamea kweli na kuzaa matunda?
Mnapatikana wapi
Tommy atkins hiyo usidanganye
Vitabu vinapatikanaje au vitamfikiaje mkulima akihitaji?
Asante mwezeshaji Kwenye uwekaji WA mbolea umekwenda haraka Sana eneo hili ni muhimu jaribu kwenda taratibu.ktk ufundishaji
Napendakujifunza KILIMO Cha embe fupi za kisasa
Niaina ngapi za mbalea za kupandia
Mimi nauliza trey ya kuoteshea mbegu zinapatikanaje asante
Elimu nzur sana
Mm nahitaji kwa ajili ya kula tu
Hakika mambo mazri tunajifunza toka Kwa watu ahxante xana
Kitabu ni shilingi ngapi?
Ntayajuaje maua ya kike?
Naitaji kitabu Cha kilimo Cha tikiti
Mpo wapi
Napataje mbegu za embe za apple
Asante kwa mafunzo mazuri,Je ni kipindi gani kinafaa kulima tikiti maji?
Unapatikana wapi?
Miche tommy na keitt unauzaje mi nipo Tabora
Asante
Mnashindwa kuitaja hiyo mbolea naona km hamhitaji kutuelimisha
Nakipataje kitabu niko nzega
Part 1 IPO?
Mche mmoja ni bei gani
Wachana na mambo ya bei sungumsia maswala ya madawa na magonjwa
Wachana na mambo ya bei sungumsia maswala ya madawa na magonjwa
Mm naitaji kujua kwamba nidawagani inayowafukusa dondoo kwenye shamba la tikiti
Mm naitaji kujua kwamba nidawagani inayowafukusa dondoo kwenye shamba la tikiti
Mahitaji vitabu hivyo vitatu. Nipo Dar
Hiyo ni tommy mjomba
Je mbegu za KITO F1 Zina mavuno mengi?na soko lake likoje?
Kwa kweli uko vizuri. Asante sana.
Wengine wanasema mbolea ya kupandia unaitanguliza siku 2 au 3 kabla ya kupanda.
very important farming land
Hamna haja ya matuta.?Asante sana.nakufuata kutoka DRC Kisangani.
Matuta yann hayo sio mahnd
Mche MMoja shiringi ngapi.
Bei shiringi ngapi.
Email Moja
Niko singida nitakipateje
Nahitaji hicho kitabu
Je? Hyo ni kwa kila mwaka ama ni kwa huu mwaka pekee wa 2016
Ninaitaji mbeguuuuuu
Kitabu wapi kinapatikana
Naulizia soko la jumla (kama kuna kampuni au organization) la embe mkoa wa pwani
Mafunzo mazuri sana.
paty 3 hatuioni
shukran sna
Mambo poa
Je mitambo ya kuchimba vidima nayenyewe mnayo?Make Mimi Nina shamba na pesa lakini kusoma Sina ,uwezekano wa maji chino ya ardhi upo kisima korefu mtanicjimbia nose na kiasi gani Cha pesa garama zote kunifungia huo mifumo?