Hii Ndio Hoja Kuu ya Ibnu Taymia na Mawahabi Kupinga Tawasul | Sheikh Mbarak Awes

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 7

  • @mahershadhil2493
    @mahershadhil2493 2 місяці тому

    Allah akulipe kheir maalim kwa kutupa mambo ya kheir namn hii

  • @salimofficial1263
    @salimofficial1263 2 місяці тому

    Tunaomba full video

  • @anyimikemwakyanjala7158
    @anyimikemwakyanjala7158 2 місяці тому

    Akili za viongozi wetu zimejaa misuguano..maendeleo zero...walimu wa madrasa wanalipwa kiduchu wao bize kugombana

  • @MusaSuleimanNassorAl-Amry
    @MusaSuleimanNassorAl-Amry 2 місяці тому

    Kama wajuwa wewe ni JIWAHABI pure wawashwa na nini ?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 2 місяці тому

    Kijana mzuri unalingania bidah Allah akuongoze bidah kitu kibaya Sana we endelea kutawasali na mait IPO siku utakuja kujuwa kuwa inafaa auhaifai adhabu za Allah akuna awezae kuzimilik Allah katuma mitume kukataza watu shirki we walingania shirki Allah Hatokuwa na msamaha kwa washirikina siku ya kiama we Minya Minya hakki utakuja kujuta ndugu

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      Jibu kwa hoja aloyasema na kataja na vitabu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 місяці тому

      @@IbraFareed kwani kila kinachotajwa kwenye kitabu ni sahihi mwengine anatafsili adithi dhaifu au aya akazitafsili kwa uwelewa wake so wana wazuoni mrudi katika sunnah muache bidaa mtasalimika tawasuli makaburini kwa wafu ni shirki na walikuwa wakiwaomba mayti walokufa maqureish walipoambiwa mnawaabudu Hawa wakisema hatuwaavudu tunajikaribisha kwa mungu kupitia wao maneno haya yanasemwa hadi leo na badhi ya mashekhe wenye tabia hizi ummah umerudi katika shirki tena Allah aninusuru na atuweke mbali na shirki