- 88
- 2 361 452
NUREYN ONLINE TV
Tanzania
Приєднався 8 тра 2013
Hii ni channel ya Bin Ameir ambayo itatoa mafunzo ya tiba na namna ya kujitibu kupitia Qur an na Sunna .Tafadhali usiache ku Subscribe Like na Kutoa Maoni katika sehemu ya comment .
Hii ndio UA-cam rasmi ya Bin Ameir
Tafadhali Share na Wengine.
Hii ndio UA-cam rasmi ya Bin Ameir
Tafadhali Share na Wengine.
UBAKAJI ZANZIBAR :MAGHRIB B YAONGOZA KWA MATUKIO YA UBAKAJI
JUMLA YA MATUKIO 125 YA UKATILI NA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA YAMERIPOTIWA MWEZI WA MACHI 2024 NA WAATHIRIKA WALIKUWA 125 AMBAO WENGI WAO WALIKUWA WATOTO SAWA NA ASILIMIA 81 NUKTA 6, WANAWAKE ASILIMIA 13 NUKTA 6 NA WANAUME ASILIMIA 4 NUKTA 8.
Usisahau kusubscribe , like na comment chini ya video hii.
Usisahau kusubscribe , like na comment chini ya video hii.
Переглядів: 122
Відео
#SHAIRI........ UKISEMA NI WA NINI MTUNZI MAMA UMEIR.... ASSALAM FM
Переглядів 883 місяці тому
Ni shairi ambalo liliwahi kusomwa katika kipindi cha Busati la ushairi kupitia Asalam fm .... MTUNZI: MAMA UMEIR MGHANI : SHEKH OMAR usisahau kusubscribe, like na comment
DR.MWINYI...... "TANZANIA NI MFANO BORA DUNIANI WA KUDUMISHA MUUNGANO"
Переглядів 674 місяці тому
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa yaliyofikiwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye nyanja zote za maendeleo, kisiasa, Uchumi, utamaduni na huduma za jamii yameipatia nchi heshima kubwa kwenye Jumuiya ya Kimataifa. Usisahau kusubscribe, like na comment chini ya video hii.
ANGALIA AJALI MBAYA ILIOTOKEA MASINGI ZANZIBAR.......14-04-2024
Переглядів 2 тис.4 місяці тому
Usisahau kusubscribe, like na comment ili kupata video mpya ambazo tutazipost...
MV MAPINDUZI 2 KUANZA KUSAFIRISHA ABIRIA TENA....
Переглядів 5535 місяців тому
MV MAPINDUZI 2 INATARAJIWA KUREJESHA SAFARI ZA KUCHUKUA ABIRIA IFIKAPO MWEZI WA APRIL..... Usisahau kusubscribe, like na comment..
ZECO YALALAMIKIWA KUKATIKA KATIKA KWA UMEME.....ZECO WATOA UFAFANUZI..
Переглядів 815 місяців тому
Wananchi wa shehia ya Michungwani walia na umeme wa ZECO, kukatika katika waharibu majokofu na luninga. Usisahau kusubscribe , like na comment chini ya video hii...
UWEKEZAJI BADO NI DONDA KWA WAZAWA ....... WAZIRI SOROGA AZUNGUMZA KATIKA MKUTANO WA ZATO
Переглядів 305 місяців тому
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mudrik Ramadhani Soraga amesema Jumuiya ya Makampuni yanayoratibu na kusimamia misafara ya Watalii Zanzibar ZATO, ina wajibu mkubwa wa kuhakikisha sekta ya utalii inamuinua mzanzibari. Akifungua mkutano mkuu wa mwaka ZATO, katika hoteli ya Golden Tulip kiembe samaki Soraga amesema hivi sasa sekta hiyo kwa kiasi kikubwa bado haijamuinua Mzanzibari,
HII NI DAWA YA MENO......... BIN AMEIR
Переглядів 645 місяців тому
Ili kufaidika na Tiba pamoja na visomo basi fuatilia channel hii.... usisahau kusubscribe, like na comment chini ya video hii.
MBOWE BILA WOGA AMSHANGAZA SAMIA "UNAWEZAJE KUTOA HISTORIA YA LOWASSA BILA YAKUTAJA CHADEMA"....
Переглядів 1616 місяців тому
Usisahau kusubscribe, like na comment chini ya video hii....
WEWE UNAEUMWA NA KICHWA MARA KWA MARA FANYA MAMBO HAYA
Переглядів 516 місяців тому
USISAHAU KUSUBSCRIBE,LIKE NA COMMENT....
MAFUTA TIBA YA MAJINI/SIHRI/ NAMNA SAHIHI YA KUCHANGANYA DAWA HII
Переглядів 298Рік тому
Ususahau kusubscribe, like na comment
ZAGOTITI/WEWE ULIEATHIRIKA NA PUNYETO FANYA HIVI/
Переглядів 168Рік тому
Usisahau kusubscribe, like na comment
NI MTU GANI AMBAE ANAWAJIBIKA KUTOA ZAKATUL FITRI PART 3
Переглядів 83Рік тому
Usisahahu kusubscribe,like na comment
BIN AMEIR......KIWANGO CHA ZAKATUL FITR PART 2
Переглядів 71Рік тому
Usisahau kusubscribe, like na comment
BIN AMEIR......... FAHAMU KUHUSU ZAKATUL FITR PART 1
Переглядів 82Рік тому
BIN AMEIR......... FAHAMU KUHUSU ZAKATUL FITR PART 1
BIN AMEIR......ITIQAF/VIGAWANYO VYA ITIQAFU PART 3
Переглядів 52Рік тому
BIN AMEIR......ITIQAF/VIGAWANYO VYA ITIQAFU PART 3
BIN AMEIR............. ITIQAF/SHERIA ZA ITIQAF PART 2
Переглядів 63Рік тому
BIN AMEIR............. ITIQAF/SHERIA ZA ITIQAF PART 2
BIN AMEIR...... ITIQAF/ HII NI MAANA HALISI YA ITIQAF
Переглядів 52Рік тому
BIN AMEIR...... ITIQAF/ HII NI MAANA HALISI YA ITIQAF
MJUKUU WA SHEKH ABDUL-BAST AKISOMA QUR AN ZANZIBAR
Переглядів 273Рік тому
MJUKUU WA SHEKH ABDUL-BAST AKISOMA QUR AN ZANZIBAR
BIN AMEIR ............... KAMA UNA MATATIZO FANYA MAMBO HAYA
Переглядів 130Рік тому
BIN AMEIR ............... KAMA UNA MATATIZO FANYA MAMBO HAYA
BIN AMEIR ......... DALILI ZA KUJIBIWA KWA DUA
Переглядів 717Рік тому
BIN AMEIR ......... DALILI ZA KUJIBIWA KWA DUA
BIN AMEIR......WEWE MWENYE MATATIZO FANYA HAYA...
Переглядів 151Рік тому
BIN AMEIR......WEWE MWENYE MATATIZO FANYA HAYA...
BIN AMEIR........ WAKUOMBWA NI ALLAH PEKEE
Переглядів 85Рік тому
BIN AMEIR........ WAKUOMBWA NI ALLAH PEKEE
BIN AMER .....ALIYA DINI KUGEUZWA KIBANDA CHA CHIPS
Переглядів 69Рік тому
BIN AMER .....ALIYA DINI KUGEUZWA KIBANDA CHA CHIPS
BIN AMER.. UTUKUFU NAFADHILA ZA MWEZI WARAJAB.
Переглядів 87Рік тому
BIN AMER.. UTUKUFU NAFADHILA ZA MWEZI WARAJAB.
BIN AMER...AWARAD WANAO INGIA MAJUMBAN BILA HODI
Переглядів 75Рік тому
BIN AMER...AWARAD WANAO INGIA MAJUMBAN BILA HODI
Motoooooo namkubal Sana shkh hafidh
Mashallah talib kiko tumsupport kwa wengi anakitu kikubwa sana
Qaswida mzuri sana hii mungu awabariki sana AHLUL MADINA 🙏🙏🙏
MASHAALLAH
MASHAALLAH
MASHAALLAH
Mashaalaah
Mashalla mwenye zimungu awatangulie San
أطال الله في عمرك يا شيخ حفيظ
Mashaallah
❤❤❤❤❤
Saf
Mashallah bro qaswida tamu sana walahii
🎉❤😮
Maashallh kipaji kutoka kwa Allah
Masha, Allah
Mashaallah
Mashaallah Mashaallah 🎉🎉🎉🎉
Je Kuna jini Anaitwa Tarajun. Au Jube?? Nirejee maalim
Mashaallah Allah azidi kutundolea maradhi ayo amn
Dah sheh wallah nimefurahi kusikia huu ujumbe jmn nakusikiliz san kasida zako.Sheh allah akuongoze❤
Mashallah ❤
Nzuri Sana yani sanaaaa❤
inapendeza sana kipaji mnacho jmn Mashallah nyote Ahlulimadina❤❤❤
She hafidhi hna mbaya
Mashallah❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mashallah🤝🤝🤲🤲👍👍🙏🙏
Mashallah
Mashaallah ❤❤❤ kaswida ninzur
Safi
Mashaalla Zanzibar ringen
Foolish ww mchangiaj WA mwisho mtoto Gan awe Na kivazi cha kukushawishi midada poa ya kibongo saiv znz inajianika kama kuku uchi. Ukawe Na ham Na mtoto kweli. Km si laana tuu
MSIPO CHUKUA TAHADHAR ZA UJASIRI TUTAENDELEA IVOIVO KUISABU MATUKIO. MTU KABAKA USHAHIDI UPO KM NI MTU MZIMA NA KASHAOA MNAKUTANA MAISARA UWANJAN ANANJONGWA MAPEMAAAA. KM HAJAOA ANAFUNGWA MIAKA 30. WALLAH MATUKIO YANGEPUNGUA. IVI MTT KUBAKWA JMN MNAJUA KWELI UCHUNGU MZEE ANAVOJISKIA. AIBU KWELI SEREKALI YA KIISLAM KUA NA KESI NYINGI KUAS IKO
Maashallaah Barakallahu fiyk
Afwan , karibu tena
Wanaum nawapend wanavoimb inaelewek wanawak sas kupashan tu
😊mashllah
shurkan
Mashallah mashallah mashallah❤❤❤
Shehe hadidh 100
Hiii kasda nitaisikiliza kama national anthem maana ni nzuri
❤
(1), ALLAH,🙏🙏🙏
Wazanzibar hatutakii muungano hamuna moja munalo tufanyia zanzibr ni ndogo lkn mbovu kupindukia 😢😢
Aisee sheikh Hafidh hongera sana nimeipenda
Nawapenda sana ❤❤
safi
Mashaallah
New fukhaa aid
Ligend❤❤2024
Ivi kwel.sheik hafidhi Bado hajazeeka tu❤❤❤❤❤❤❤qaswida zake nazipenda kikwel inshallah mola hakupe umri mrefu
Nampenda sana uy kaka
San mola akulipe shekhe Hafidhi
❤❤❤ yupo vizur sana mashaa llah