- 477
- 76 783
Maisha ya Yesu Onlinetv
Приєднався 15 лип 2021
''KAMA HUNA IMANI AMINIKUPITIA MTUMISHI WA MUNGU''
TANGAZO TANGAZO
TAREHE 11 /10 /2024. KUTAKUA NA MKESHA WANGUVU SIKU YA IJUMAA. USIKOSEE ...................................
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO
KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL
-SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana
-SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni
-SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni
HIVYO USIKOSE ! ASANTEH
WATU WA DINI ZOTE MNAKARIBISHWA
TAREHE 11 /10 /2024. KUTAKUA NA MKESHA WANGUVU SIKU YA IJUMAA. USIKOSEE ...................................
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO
KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL
-SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana
-SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni
-SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni
HIVYO USIKOSE ! ASANTEH
WATU WA DINI ZOTE MNAKARIBISHWA
Переглядів: 63
Відео
UTAFTENI KWANZA UFALME WA MUNGU.
Переглядів 8514 годин тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
MAOMBI JUU YA "KUWA NA IMANI, KUBALI MAKOSA YAKO, NA ACHA KULAUMU"
Переглядів 104День тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
KUWA NA IMANI,KUBALI MAKOSA YAKO ,ACHA KULAUMU.
Переглядів 7714 днів тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
TAMBUA KARAMA ILIYO WEKWA NAMUNGU NDANI YAKO
Переглядів 10821 день тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
KUWA NA MSIMAMO ACHA LAWAMA.
Переглядів 12028 днів тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
SHUHUDA ZANGUVU . KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU. (Watu wanafunguliwa,wanafanikiwa,nk.)
Переглядів 76Місяць тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
KUA MTI UNAOZAA NA SIO MKAVU. ( Maombi juu ya sadaka )
Переглядів 122Місяць тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
JENGA KESHO YAKO KUPITIA SADAKA.(Toa sadaka kwa imani,kwamaana sadaka inabadilisha maamuzi ya MUNGU)
Переглядів 109Місяць тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
KUFUFUA VILIVYO KUFA KUPITIA MSUMALI
Переглядів 60Місяць тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
MADHABAHU SIO MAHALI PAMZAA NI MAHALI PA MACHOZI .. (SOMO ; Mambo ya walawi . 19 : 28 -29 )
Переглядів 95Місяць тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
SIO KILA UFANYALO LITAWAPENDEZA WATU, HATA NDUGU ZAKO.
Переглядів 52Місяць тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
USIOGOPE KUTANGULIWA MIUJIZA ( Mungu amekuwekea miujiza mikubwa mbeleni kwa wakati sahihi )
Переглядів 106Місяць тому
RATIBA ZA IBADA KATIKA KANISA LA MAISHA YA YESU KRISTO KISONGO ARUSHA KWA CHANNEL -SIKU YA JUMAPILI -Hii ni ibada kubwa ya kinabii ,maombi,mafundisho na uponyaji saa 3hasubuhi - saa 8 mchana -SIKU YA JUMA NNE Maombi ya mtu mmoja mmoja (Kuonana na mtume ana kwa ana) saa 8 mchana -saa 11 jioni -SIKU YA ALHAMISI Ibada kubwa ya uponyaji mafundisho na maombi. saa 8 mchana-saa12 jioni HIVYO USIKOSE !...
MAHUBIRI NA MAOMBEZI YA PASTOR CHANNEL
Переглядів 289Місяць тому
MAHUBIRI NA MAOMBEZI YA PASTOR CHANNEL
PASTOR CHANNEL WAKANISA LA MAISHA YA YESU AMEKUANDALIA MKESHA MKUBWA WENYE NGUVU ZA MUNGU
Переглядів 892 місяці тому
PASTOR CHANNEL WAKANISA LA MAISHA YA YESU AMEKUANDALIA MKESHA MKUBWA WENYE NGUVU ZA MUNGU
JE! UMEFANIKIWA KUACHA DHAMBI HATA MOJA TOKA UMEOKOKA?
Переглядів 1372 місяці тому
JE! UMEFANIKIWA KUACHA DHAMBI HATA MOJA TOKA UMEOKOKA?
ONA JINSI MTUMISHI WA MUNGU PASTOR. CHANNEL, AKIFUNGUA NAKUPONYA WATU
Переглядів 1562 місяці тому
ONA JINSI MTUMISHI WA MUNGU PASTOR. CHANNEL, AKIFUNGUA NAKUPONYA WATU
SALA TOSHELEVU YA *BABA YETU* katika MAAGANO KUVUNJWA, KUFUFUA IMANI, KUTIWA NGUVU MAISHANI MWAKO
Переглядів 922 місяці тому
SALA TOSHELEVU YA *BABA YETU* katika MAAGANO KUVUNJWA, KUFUFUA IMANI, KUTIWA NGUVU MAISHANI MWAKO
USIWE FUMBO BALI USHUHUDA *(sala ilo jitosheleza kimaana MATHAYO 6 : 9)*
Переглядів 1132 місяці тому
USIWE FUMBO BALI USHUHUDA *(sala ilo jitosheleza kimaana MATHAYO 6 : 9)*
"NENO : USIWE FUMBO BALI UWE USHUHUDA.." " ( dhambii ndio chanzno cha fumbo )"
Переглядів 1012 місяці тому
"NENO : USIWE FUMBO BALI UWE USHUHUDA.." " ( dhambii ndio chanzno cha fumbo )"
UREJESHO WA UWEZO , HAKI ,FEDHA , KITICHAKO { MAISHA YAKO MUNGU ALIOKUWEKEA }
Переглядів 1332 місяці тому
UREJESHO WA UWEZO , HAKI ,FEDHA , KITICHAKO { MAISHA YAKO MUNGU ALIOKUWEKEA }
POKEA KILE SHETANI ALINYANGANYA KWENYE MIKONO YAKO
Переглядів 2193 місяці тому
POKEA KILE SHETANI ALINYANGANYA KWENYE MIKONO YAKO
MAJINA & NYOTA YARUDISHWA KATIKA MKESHA WA NGUVUU
Переглядів 1103 місяці тому
MAJINA & NYOTA YARUDISHWA KATIKA MKESHA WA NGUVUU
ROHO WA MUNGU AKITENDA NAKUOKOA MAISHA YA WATU KWA HARAKA
Переглядів 2523 місяці тому
ROHO WA MUNGU AKITENDA NAKUOKOA MAISHA YA WATU KWA HARAKA
Amen,kumwwaka🔥🔥🔥 Asante yesu kwa kutupa Mtumishi chanel,mbariki yeye na familia yake yote
Ilikuwa kweli jumapili ya🎉 moto.wengi wamefunguliwa.napia tuliweza kumshukuru mungu kwa shughuli iliokuwa mbele yetu.na yote tuliyo fanikiwa
Mungu akuinue sana
Napokea nguvu ya kushangazaa
Hakika nimemuona Mungu akitenda ndani ya maisha yangu
Amen Mtumishi wa Mungu
Amen baba nikiskia neno lako nafanikiwaga sana mtumish
Amina mtumishi.Mungu anatufanyia vingi inapasa tumshukuru.sisi tunamkosea sanaa.ila yeye anatuhurumia.yatupasa tujue,na kumtafuta kila wakati.Amen.
Mungu akupe maisha marefu mnoona azidi kukubariki na kukupa macho ya kiroho zaid na zaid,kwani nimemuona mko no wa mungu ndani Yako my prophet
Maisha ya yesu Mtumishi,hakika nimemuona Mungu kwel kweli,kwani hiv nilivyo ni kwa uponyaji wa hii madhabahu,amen.
Asante mtumishi wangu wangu kwa mahubir Hy yaliyojaa uponyaji ndani ya maisha yang na familia yng
Napokea tena Leo tar 22/8/24 Kuna vitu vikubwa na vizur vinaenda kutokea vilivyozuiliwa miaka na miaka
Amen mtumish nakupenda sana umenitoa mbali baba
Amina
Amen,hakuna mganga ambaye atayenisimamie mahali popte katika jina la yesu,kwani nimeona nguvu za mungu zikifanya kazi mahali hapa
Amen amen, Asante yesu
My prophet doctor chanel,sijawahi kujuta kuabudu mahali hapa, Asante yesu kwa ajili ya kutupa mpakaa mafuta aliyeitwa kweli kweli, Mungu akutumze wewe na familia Yako mtumishi
Mungu akutie nguvu tuko pamoja ingawa saiv niko mbali
Kwenye kuvumilia na kutulia hata kama ni magumu umenivusha mengi ,mungu akulinde sana maana ni wengi utawavusha !!!
Mtumishi naomba kupitia Ibada hii kila nguvu inayonizuia ikatoweke katika jina la yesu kila secta inayonihusu na inayohitaji maongezeko ikakuwe , mtumishi naomba maisha yngu yabadilike kupitia mahubiri haya we SI mtu wa kawaida,wewe ni nabii wa kweli katika maisha yangu umenifundisha kuamini na kuwa na ujasir hata sasa nimefaulu mengi kupitia ww,amen
Amina,Kuna wakati walitaka kiniua kabisa lakini umenisamehe nimetoka salama,baba naomba unisamehe, mtumishi wangu barikiwa sana kwa mafundisho unayotulisha yaliyojaa uponyaji,neema,heshima,masamaha na ving ving, mungu wa mbinguni azidi kukutumia
Napokea nguvu ,kibali,maisha mapya,uchumi,mamlaka kupitia mkesha huu kwa kupitia mamlaka ya madhabahu hii, mungu ngu mbariki mtumishi wng na familia yake wazid kustawi kila wakt
Amen,napokea nguvu yakuwahubiria mataifa kwa jina la yesu
Amina nami namkabidhi yesu mzigo nilonao umenichosha sana
Amina mtumishi.ibada imenibariki sana🙏
Amina Mtumishi wa Mungu,ni kwel Mungu anibebe yeye, wanadamu wakitubeba wanajisifu, Yesu tubebe wewe, Yesu nisamehe Mimi unibebe wewe.
Amina mtumishi ni kweli ni bora kumkabidhi Mungu anayeweza kusamehe na kubeba mizigo mizito,ili tupone.
Amen baba yangu wa kiroho docta chanel,mungu wa mbinguni azidi kukutumia na kukuongoza zaid na zaid,najivunia kuwa zao la maisha ya yesu,madhabahi hii inalipa sana sana,hakikisha unampokea kristo kwel kwel
Amen mtumishi wa mungu
Karibuni sana Mungu anamtumi Mtumishi wake chanel,Kwa namna ya tofauti,
Amina barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Ameen barikiwa sana mtumishi Mkesha wa Ajabu
AMEN🙏
Amina
Safi mtumishi unamchakaza shetani sawasawa mungu akuinue zaidiiiiii
Amen 🙏. Umeongea ukweli mtumishi
Amen
Napokea kwa jina la yesu
Naenda kupokea uponyaji wa moja kwa moja ktk maisha yangu kupitia madhababu hii,kwani majibu yangu yko hp kwa mtumishi wangu Chanel,naamini kupokea na kupona ktk jina la yesu
Nguvu kubwa ya mungu ilishuka,roho mtakatifu alinibadilisha na kwenda kiwango kingine.Amina
Kwa kweli Roho wa mungu alishuka na malaika wake kuhudumia kanisa,ainuliwe mungu juu sanaaa.Amen
Asante mtumishi kwa mafundisho hayo,ninaendelea kuelewa kuwa ukiwa na kitu hata mkononi ni shida.lazima upate usumbufu kwa waliokuzunguka kwani wao hawana au wangependa usiwe nacho. Mungu akuzidishie mafunuo,tuendelee kupona na kuponya wengine.Amen
Amen
Mkesha wa kuheshimishwa,na pia mtumishi alikuwa na nguvu na maono .jamani kuokoka siyo kuwa na roho ngumu hivyo.kwa makosa kwenye madhabahu yatubidi kumsihi roho mtakatifu atuhurumie .kila mara tuna kumbushwa sala ya toba jamani !!!!.Amina
Kila agano lilifanyika kwenye familia yetu iwe ni kabla ya kuzalw iwe ni baada ya kuzaliwa,neno lako linasema ww ni Mungu uliyekuwepo toka hapo mwanza had ss hiv,Mimi ninachojua ni ukombozo,na uponyaji,kwenye ukoo,familia Hadi kazini,na ktk eneo llt ninalohitajika kwenye hakuna agano litakalonifata Tena kwasabbu nguvu ya madhababu hii si ya mashaka kwasabbu Mtumishi wangu chanel amehakikisha,naenda kuwa nyotaaa Kila eneo,mungu naomba unipe kumiliki kumpitia ibada hii
Asante yesu kwa kutupa Mtumishi wako,sifa na shukrani nakurudishia ww, zid kumuinua Kila wakat yy na familia yake.
Maisha ya yesu Mtumishi wngu chaneli, hakika Mungu amekuita kwani Kila nikikusikiliza napona nazidi kuondoka kwenye Giza na kusogea nuruni hata Sasa nimekuwa nyotaa kupitia madhababu hii,barikiwa sana ww na familia yk
Hakika Mungu anaishi ndani yako, Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu
Asante yesu kwa kunirudishia heshima yng
Mtumishi wa Mungu Dr Chanel naomba naomba kupitia ibada hii ndani ya online tv naomba Mungu akaseme na ww kupitia Mimi na familia yetu yote nahitaji kuhama kikazi, kifikira,kifamilia tuelekee viwango vingine zaidi,tumechoka kuwa wakiwa wa Kila mwaka,Nyota zetu zikarudi speeed
Naamini Mungu mkuu wa madhababu hii ya iliyohai mbinguni na duniani inaenda kututoa sehemu vivuli vyeti vinavyotumika,majina yanaenda kutoka kwa jina la yesu
MAISHA YA YESU MTUMISHI,MAISHA YA YESU KANISA NAENDA KUTAKA MAJINA YANGU NA YA FAMILIA KWENDA KUPOKEA NYOTA MPYA,GRACE, FYOSE,HAPPY AGNES,KANALI,RISHANDUMI,NDEASHIKUNDE,