- 163
- 360 512
Endson Mabamba
Tanzania
Приєднався 22 гру 2013
Hello Dear
I am Endson Mabamba, a Pastor and Psychology Counselor, aimed to encourage and strengthen you on your path to personal growth with God.
My goal is to help you to become all God has intended for you to be, while also having and enjoying life in all its fullness as you’re waiting for Jesus’ second return.
Welcome to My Channel and Be blessed!!!
I am Endson Mabamba, a Pastor and Psychology Counselor, aimed to encourage and strengthen you on your path to personal growth with God.
My goal is to help you to become all God has intended for you to be, while also having and enjoying life in all its fullness as you’re waiting for Jesus’ second return.
Welcome to My Channel and Be blessed!!!
Відео
NAMNA YA KUKABILI CHANGAMOTO ZA KULEA PEKE YAKO
Переглядів 227Місяць тому
NAMNA YA KUKABILI CHANGAMOTO ZA KULEA PEKE YAKO
JINSI YA KUANZA UPYA KATIKA MAISHA | KISA CHA NUHU 21
Переглядів 420Місяць тому
Je wajua SAFINA ilikuwa ni njema sana kwa NUHU ila sio kwa muda wote? Sasa kuna mahali au hali BWANA alikuweka ni kwa muda mfupi tu ila mpaka sasa anakushangaa bado upo hapo wakati muda wako wa kutoka na kuanza maisha mengine umefika! Hujachelewa kuanza upya. Kila siku ni fursa mpya ya kujenga maisha bora na kufanikisha malengo ya Mungu kwako. Wakati ni sasa wa kufanya mabadiliko, kuweka maleng...
USHINDI KUPITIA UZOEFU MGUMU WA MAISHA
Переглядів 265Місяць тому
Kutafuta msaada ni hatua ya kwanza katika kupokea neema ya ushindi kutoka kwa Mungu katika uzoefu mgumu wa maisha. Hebu tujifunze pampoja kisa cha Yairo na Mwanamke Mmoja (Marko 5:21-43). Naamini kwa uwezo wa Roho Mtakatifu kuna mambo mbalimbali utainuliwa kwayo kupitia ufafanuzi huu. Hivyo, Mwenyezi Mungu akuwezeshe kuyaishi vyema katika vitendo na utufuku wa Mungu uwe nawe siku zote. Unaweza ...
VUMILIA HADI WAKATI WA MUNGU | KISA CHA NUHU 20
Переглядів 317Місяць тому
VUMILIA HADI WAKATI WA MUNGU | KISA CHA NUHU 20
TABIA 5 SUMU UNAZOHITAJI KUACHA
Переглядів 5292 місяці тому
Katika mnnendo wako wa kila siku kuna baadhi ya Tabia 5 sumu unazohitaji kuacha kabisaa ili ukuwe vyema: 1. MAZUNGUMZO HASI MOYONI: Kujiweka chini kila wakati na kuwa na kujistahi kwa chini. Jinsi ya kurekebisha: • Akili Chanya = Matokeo Chanya • Daima uwe na mtazamo mzuri “Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na ...
TABIA AMBAZO HUSABISHA UMASIKINI
Переглядів 2882 місяці тому
Ustawi. Mafanikio. Wingi. Kufurika. Haya yote ni ufafanuzi wa maisha mazuri-ya mafanikio. Na licha ya mapokeo ya kidini kudai kwamba si ya kimungu au ya ubinafsi, usitawi ni mapenzi ya Mungu kwako. Je! umewahi kuona kwamba Maandiko hayasemi Mungu atakupa vya kutosha ili upate kuishi? Badala yake, Biblia inatumia maneno kama kufurika, tele na utele. Mungu anataka kufanya mambo ya ajabu mno, zaid...
MAKOSA AMBAYO WATU WENGI HUFANYA KATIKA MAISHA YAO
Переглядів 5322 місяці тому
Katika Maisha tunayoishi kila siku kuna makosa fulani fulani ambayo tunayachukulia poa lakini yaweza kutugaharimu kwa muda mfupi ama kutuharibia maisha yetu kabisa. Jifunze pamoja nami mambo mbalimbali katika kitabu cha Matendo 3:1-10 BHN “Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wakienda hekaluni, wakati wa sala. Wakati huo watu walikuwa wanambeba mtu mmoja kiwete tangu ...
KANUNI 5 ZA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA YAKO
Переглядів 3612 місяці тому
KANUNI 5 ZA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA YAKO
USIMKARIRI MUNGU MAANA HAZOELEKI KAMWE
Переглядів 2282 місяці тому
USIMKARIRI MUNGU MAANA HAZOELEKI KAMWE
JINSI YA KUMWAMINI MUNGU HATA KWENYE NYAKATI NGUMU
Переглядів 3133 місяці тому
JINSI YA KUMWAMINI MUNGU HATA KWENYE NYAKATI NGUMU
NAMNA BORA YA KUWAOMBEA WATOTO NA UZAO WAKO
Переглядів 3393 місяці тому
NAMNA BORA YA KUWAOMBEA WATOTO NA UZAO WAKO
LUGHA 5 ZINAZODUMISHA MAPENZI (Five Love Languages)
Переглядів 3614 місяці тому
LUGHA 5 ZINAZODUMISHA MAPENZI (Five Love Languages)
UKWELI KUHUSU MAPEPO/MAJINI NA NAMNA YA KUYASHINDA
Переглядів 3844 місяці тому
UKWELI KUHUSU MAPEPO/MAJINI NA NAMNA YA KUYASHINDA
ANGAZA SDA CHOIR MANZESE - NIMESIKILIZA HABARI NJEMA LIVE
Переглядів 5014 місяці тому
ANGAZA SDA CHOIR MANZESE - NIMESIKILIZA HABARI NJEMA LIVE
ISHARA 6 KWAMBA HUENDA HAUISHI KATIKA KUSUDI LA MUNGU
Переглядів 3124 місяці тому
ISHARA 6 KWAMBA HUENDA HAUISHI KATIKA KUSUDI LA MUNGU
MAMBO 12 YANAYOKUPATIA FURAHA YA KWELI
Переглядів 2925 місяців тому
MAMBO 12 YANAYOKUPATIA FURAHA YA KWELI
MITAZAMO 6 YA YESU KATIKA UCHUMI WAKO
Переглядів 4175 місяців тому
MITAZAMO 6 YA YESU KATIKA UCHUMI WAKO
KATIKA KRISTO NATUNDIKA TUMAINI LANGU
Переглядів 1495 місяців тому
KATIKA KRISTO NATUNDIKA TUMAINI LANGU
Pasta Asante Kwa neno . Barikiwa
Asante Sana Dickson, Mungu aendelee kukutunza.
Asante mno kwa Somo zuri Pastor! Barikiwa.
@@rosentahondi5454 Ninaendelea kukuombea. Mungu abarikiwe pia.🙏🏽
amina umenielimisha sana
Mungu akubariki sana.
Amina barikiwa pastor Asante kwa neno la uzima
Bwana akujaze baraka zake.
Halleluyah🙏🏼Amina
Bwana akupe baraka tele.
Amen!
Ubarikiwe sana.
❤amen amen
@@Manumbu stay blessed 😍
Amen
Ubarikiwe sana
Asante Mungu kwa akili njema
Hallelujah! 🙏🏽
Amen SoMo zuri sana
Ahsante sana! Ni furaha yangu kusikia kuwa umelifurahia somo. Kama unahitaji msaada au unayo maswali zaidi, usisite kuuliza. Ubarikiwe!
Pr me nashindwa kusahau yaliyotokea nyuma na kujihisi mwenye hatia
Pole sana kwa hali hii unaipata katika kuachilia hisia hizo, usisite kunitafuta WhatsApp +255763221424 kwa msaada zaidi. Naamini pamoja tutashinda.
Barikiw sana mchungaji
Asante sana mpendwa, na wewe ubarikiwe sana.
barikiwa pr
Amen... Ubarikiwe pia.
Asante kaka, kuna jambo nimejifunza hapa, Mungu ni mwema!
Asante sana kwa maoni yako yenye baraka! Nimefurahi sana kuona jinsi Mungu anavyofanya kazi kupitia video hii. Ni kweli, Mungu ni mwema, na tunamshukuru kwa uaminifu na upendo wake usio na mipaka. Barikiwa sana Kaka!
Tumia hii link kukaribia katika Maombi kila siku ya Jumapili saa 11-12 Alfajiri, na Jumatatu-ljumaa saa saba na nusu hadi saa saba na dakika arobaini na tano Mchana. us06web.zoom.us/j/7912639040?pwd=NaZLD9hhZuzqN4KmALpHdnk6eBO4kr.1
Mungu azidi kukubariki.mafundisho mazuri
Asante sana. Na wewe pia ubarikiwe sana.
Barikiwa sana mutumishi wa Bwana
Asante, Ubarikiwe pia.
Nimeelewa sawa pr
Asante kwa kuwa umeelewa ujumbe huu. Ubarikiwe sana.
Amen Hallelujah Jehovah… Ready for the new Journey. Asante Yesu
Thank you for your heartfelt comment! We praise the Lord for this new journey and for His continual guidance. May Jesus bless you abundantly. Amen!
Barikiwe sana
Asante, Ubarikiwe pia Kaka.
Ubarikiwe pr
Asante Daktari, Ubarikiwe pia.
Pr Naomba namba yako
Tafadhali tuwasiliane WhatsApp; +255763221424
Barikiwa
Ooo barikiwa sana pastor nabarikiwa sana na umenifumbua akili sana
Shalom! Asante sana kwa kutupa maoni yako ya kupendeza. Nimefurahi kwamba video yangu imekuwa na msaada kwako na kufungua akili yako. Endelea kufuatilia na usisite kuwasiliana ikiwa una maswali au maoni zaidi. Mungu akubariki!
Asate Sana kwa mafunisho Mazurie unao tutoleya Siku kwa Siku nilipenda mafasirio kuusu ma chiffres Sawa vile bamba 8 Niki anza mapia na Mungu , 7 ni kukamilisha sasa zingine namba zona sema nini ? Ubarikiwe Sana Mushungaji .
@@willymideso7938 Nashukuru sana kwa maoni yako mazuri! Namba 7 inasimamia ukamilifu, kama ulivyoeleza, na namba zingine pia zina maana maalum katika Biblia. Kwa mfano: • Namba 1 inasimamia umoja na kuanzia. • Namba 3 inasimamia utakatifu na uhusiano wa kiroho. • Namba 12 inasimamia ukamilifu wa utawala na baraka. • Namba 40 inasimamia kipindi cha majaribu na maandalizi. Kwa maelezo zaidi, naomba uangalie maubiri yangu kwenye UA-cam na fuatilia ibada za mtandaoni zinazofanyika kila siku kwa ajili ya kujifunza kwa kina. Mungu akubariki sana!
Ameeeeeen
Ni kweli kabisa
Mungu akuapatie nguvu ya kuanza upya.🙏🏽
Powerful
May God give you strength in your new beginning!
Presentation nzuri sana
Ameeeeeen ❤❤❤❤
Ujumbe unaendana sana na sehemu nilipo katika maisha yangu sasa hivi. Nimejifunza kitu muhimu sana, nisilalamike wakati napitia hizi changamoto kwasababu ni kitu kizuri kwa imani yangu. Ubarikiwe sana Mtumishi!
@@Jamani255 Ninafurahia sana kusikia kwamba ujumbe umekusaidia katika kipindi hiki. Nia yako ya kujifunza na kutokata tamaa inatia moyo. Asante kwa kushare na mimi, na nakuombea baraka na nguvu zaidi kadri unavyoendelea mbele. Ubarikiwe pia!
Mungu azidi kukutumia Pr. Kwakweli Yesu ni kimbilio kwa wote. Tunakuombea
Asante sana kwa maombi yako, napokea baraka za Mungu. Na wewe uzidi kuinuliwa na Bwana hata milele.
Amina
Yes! Mungu atusaidie kuelewa hili. It’s hard😢. Barikiwa Pr
Amen 🙏🏽
Barikiwa mchungaji tunaendelea kubarikiwa
Amen🙏🏽Asante Sana.
Amen
Very true
Stay Blessed.
Ubarikiwe sana Pastor Hili somo limenibariki sana❤
Asante 🙏🏽
Amen 🙏 😊
This is deep😮
Hallelujah ✌🏼
Amen 🙏
Profound indeed
Namshukru Mungu kwa haya Mambo; 1. Uhai 2. Ulinzi 3. Familia 4. Watoto 5. Biashara. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.👊🏽
Mungu aendelee kukupa neema ya kusubiri na mengine kutoka kwake. 🙏🏽
Amen
Yesu ni Mshindi ,Atushindia Pia ,Amina
Na iwe hivyo 🙏🏽
Amen
Amen Pr ❤
AMEN