Hi ngoma nimeitafuta zaidi ya mwaka hii chorus yake ilikua kichwani kwangu ila sikujua wameimba kina Nan finally nmeupata my best chorus melody ever 🎉🎉🎉
Exactly. The melody, the sweet beautiful voices, especially the guys who starts the singing, is a master piece from Tanzania. Oyo eza Muzik Rhumba ya solo tro, ya sika, kitoko lokola sukali. Elengi
2024 na bado haijatoka nyimbo bora zaidi ya dansi ya kuipita hii…
Nimeutafuta sana huu wimbo asante shazam
Nami ni miongoni mwa watu waliousaka huu wimbo kwa muda mrefu,utunzi na sauti vilipangiliwa kwa ustadi mno....Kunta...Kinte.
Hi ngoma nimeitafuta zaidi ya mwaka hii chorus yake ilikua kichwani kwangu ila sikujua wameimba kina Nan finally nmeupata my best chorus melody ever 🎉🎉🎉
2021 ngoma haijapoteza ladha
Katika mziki wa rumba naishi nao mpaka leo ni huu wimbo the big songs
2022 bado hii nyimbo ni kali like zenu kama tuko pamoja...
Miongoni mwa vitu vya nguvu vya miaka ile ya 2009 na 2010.
huu wimbo niliutafuta sana duu mkono shavuni
Sure
Hunizid mimi😂
Atari sana hii ngoma
Ni hatari! Ogopa hii ni ngoma kali
Yani hizi wengine tulikuaga wadogo basi kuzitafuta Mpaka uandike mstar unaoukumbuka by the way nimefurahi sana kuupata😍🥰
Ngoma kali sana...kila kitu sawa ila hapo kwa mixing and mastering the studio failed.....but kali sana
I wish wanaeza irudia
Daaaah sijawah kujuta kupenda muziki wa dansi,mko wap vibration sound ...???
Mashairi saaaafi. Hizi ngoma adimu zitarudi kweli jaman
Ahsant shazam
Huu wmbo nlikuwa nautafta alaf jna ckuw naljua
Hatimaye nimeupata , a very nice song , kamwe sauti hizi haziwez sahaurika Kwa muziki wa dance
Very nice
huu ni wimbo ambao hautakuja kuchuja hata siku moja mkali sijapata kuona
Best Rhumba ever! Excellent vocals.. Daah Hawa jamaa sijui waliishia wapi! Nimeutafuta Sana huu wimbo asee thanks for uploading!!
Sure
2019 bado nausikiliza... Best rhumba forever
Hii rhumba ya moto sana
usirukeruke kama mwewe
huu wimbo nihatari sana
Hii ngoma wakubwa tu ndo wanaelewaa😅 balaaa
Bado na einjoy
🔥🔥🔥
Exactly. The melody, the sweet beautiful voices, especially the guys who starts the singing, is a master piece from Tanzania. Oyo eza Muzik Rhumba ya solo tro, ya sika, kitoko lokola sukali. Elengi
Mobali kitokoo I like 👍
Umetulia sana.
Wow. Sometimes I normally wonder why I was not Born in tz. Tz imebarikiwa.🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana
niliutafuta sana huu wimbo tena Kwa muda mrefu, Thnx sana Miranda nyeusi
Nmeitafuta sana hii nyimbo aise
hardly looking for this..... BEST SONG EVER
My all- time favourite rhumba🙏😍😍
a best rhumba everseen in this century!!and till i wonder why did u splitted away??n' where u been now days???rill we missed your show!!
Vibration Sound.. Jamani kama nawaona
awa ndo waliimba nery
Jambo lee
Mh atalisana uyujamaa anaye malizia apo atlia
Finally aisee
I do love this song.......
Hatari sana starring
Jamain naomba wimbo wa Nelly
Hii raha imepotea wp aise, hizi bendi zingekuwa zidumu tungekuwa mbali sana katika mziki wa dance.
Hii ndiyo dansi orijino .heshima kubwa kwa mtunzi Elisto Nangay .kwa kweli solo imekita mahali pake
Dah c mchezo binge ya limbs awapo Ila utamu upo
Jamen nmetafuta huu wimbo dah asante
Jaman ata mimi niliutafutaa sana thankx dj Makay earadio
vibration sound mkono shavuni
Nishida siyo kwa sebene hilo
Hahahahaa!Raha sana...
Ok nmeupata
Vibration sound mko wapi huu ulikuwa wimbo,imeisha hiyo.
Dah nimeanza nayo 2020
Kazi nzuri
Jamani huu wimbo hua nikiusikia mpk chozi linanitoka dah hakika naupenda xn jamani ila sijui wameishiliaga wapi hawa watu,
Walitoa album inaitwa Homework baadae sijawasikia tena
Hernandez Jeffrey Harris Sarah Jackson William
Soo lovely
Kuna jamaa wanaitwa mashujaa wana nyimbo yao inaitwa nery naitafuta sana anaeijua whatapp no yng 0621458733
Bonge la wimbo naukubali sana mkono shavuni vibration sounds
Wimbo bola
Hii kabla ya Christian bella😹
hakunaga kama hii tena ,
Hatari hii kitu
🔥🔥🔥
Nishida siyo kwa sebene hilo
Hahahaaa!Balaa
Yn lzma utingixhe kichwa
Siyo sebene ni rhumba