Daah... Hii kwaya inanikumbusha marehemu Babu mzaa Mama alikuwa akiitwa Mzee John Isaka Mlaule alikuwa mpenzi sana wa hii kwaya, hasa wimbo wao wa " nimemuona shetani anateremka sura yake kama umeme huyo amekasirika"
Mungu awabaliki saba nafulahishwa sana na nyimbo zenu huwaga natamani nami siku nikiwa Tz niwe mmoja wenu Kwasasa nawafatilia nikiwa Oman 🇴🇲 nawapenda sana.
Mwenyezi MUNGU awabariki Kwa hatua ya kuwa na you tube chanel,
Wakongwe tuwekeeni za zamani, kama watoto sokoni,
Ni huruma za bwana nk
chama langu pendwa, MUNGU awainue kuzidi
Amen
Mnaimba.vizuri lakini weke zenu wange jifunika vichwani
Sindio neno la.Mungu linasema❤❤
Uimbaji wa kiutu uzima sana huu,umetulia,vyombo vimepigwa kwa stadium mkubwa sana,ujumbe umejitosheleza.kwaya Bora kabisa Mungu awabariki sana.
Uyu mpiga solo kipofu ila show yake ni moto ❤️
Wimbo mzuri hakika! Waimbaji mmeimba! SOLOIST WA KWENYE KINANDA UNAJUA KAZI IKUPASAYO❤
Uvuke itabaki kuwa uvuke Mungu awabariki sana
Hongeren Kwa huduma nzr ya kiroho
Nawapenda sana nabarikiwa sana nanyimbo zenu
Congratulations what a beautiful song. Be blessed by our God.❤❤❤
Mko vizuri Sana jaman
Ngoma Kali sana
Kwanza mmependeza sana
Mulungu yamdimenyi wose 😍
Ahsante Mtumishi
Mungu awabariki na azidi kuwainua
Sifa na utukufu ni kwa MUNGU hongereni sana watumishi
Mungu awabarik sana
Niliaminishwa hawa ma faza hawajui kuimba😢😢 nisameheni aiseee
Daah... Hii kwaya inanikumbusha marehemu Babu mzaa Mama alikuwa akiitwa Mzee John Isaka Mlaule alikuwa mpenzi sana wa hii kwaya, hasa wimbo wao wa " nimemuona shetani anateremka sura yake kama umeme huyo amekasirika"
Safi Sana watumish mbarikiwe sana
Muhubili mke akisoma.neno au akihubili ajifunike kitamba kichwani
mbarikiwe
Nabarikiwa sana na uimbaji wenu Mungu awabarikini
Endeleeen kubalikiwa🙏🙏
Rumbaaa la yesuuu hamjawahiii kukosea tunawaombea sanaaa
Kazi nzuri mbarikiwe
Barikiwa pia mtumishi
mbarikuwe nabwana
AS USUAL.CONGRANT.
Safi sana.....
Wimbo umenibariki sana! Mbarikiwe.....!
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wimbo unanibariki sana huu,,Mbarikiwe uvuke!
Wimbo bora wa kufungia mwaka na album ambayo itailendelea kuishi maishani kwetu uvuke hawajawahi kuniangusha
Mungu azidi kuwainua kwenye viwango vya juu zaidi. Wimbo unaniliza Sana huu😭😭😭
Safi sana Mungu akae nanyi
Mbarikiwe sana
Nice song be blessed
Adam Francis chambo
Shikamooni Uvuke ! 😀😀😀 huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu Mungu akazidi kuwabariki muifanye kazi yake hiyo, amina. 🙏🙏
Amina Asante sana tunawapenda mno marafiki, wadau na wapenzi wa UVUKE
👏👏👏👏
Mungu awabaliki saba nafulahishwa sana na nyimbo zenu huwaga natamani nami siku nikiwa Tz niwe mmoja wenu
Kwasasa nawafatilia nikiwa Oman 🇴🇲 nawapenda sana.
Mungu akubariki Rafiki yetu karibu sana Uvuke.
Amen Mungu akubariki sana
Amen Asante sana nimebalikiwa tuko pamoja
Wimbo unanibariki sana huu,,Mbarikiwe uvuke!