UVUKE KWAYA KANISA KUU DODOMA -MACHOZI

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 49

  • @zakayomlenduka5031
    @zakayomlenduka5031 Рік тому +1

    Mwenyezi MUNGU awabariki Kwa hatua ya kuwa na you tube chanel,
    Wakongwe tuwekeeni za zamani, kama watoto sokoni,
    Ni huruma za bwana nk

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 2 роки тому +3

    chama langu pendwa, MUNGU awainue kuzidi

  • @AdamChambo-mf4ek
    @AdamChambo-mf4ek Місяць тому

    Uimbaji wa kiutu uzima sana huu,umetulia,vyombo vimepigwa kwa stadium mkubwa sana,ujumbe umejitosheleza.kwaya Bora kabisa Mungu awabariki sana.

  • @kenethpeter3453
    @kenethpeter3453 Рік тому +1

    Uyu mpiga solo kipofu ila show yake ni moto ❤️

  • @Regnard999
    @Regnard999 10 місяців тому

    Wimbo mzuri hakika! Waimbaji mmeimba! SOLOIST WA KWENYE KINANDA UNAJUA KAZI IKUPASAYO❤

  • @rehemakomba6376
    @rehemakomba6376 2 роки тому +2

    Uvuke itabaki kuwa uvuke Mungu awabariki sana

  • @jayungalupondeja5002
    @jayungalupondeja5002 Рік тому

    Hongeren Kwa huduma nzr ya kiroho

  • @getrudaanna6649
    @getrudaanna6649 Рік тому

    Nawapenda sana nabarikiwa sana nanyimbo zenu

  • @MartinDismas-ou5oy
    @MartinDismas-ou5oy 9 місяців тому

    Congratulations what a beautiful song. Be blessed by our God.❤❤❤

  • @zonobiamaloda8773
    @zonobiamaloda8773 2 роки тому

    Mko vizuri Sana jaman

  • @williammeshack2314
    @williammeshack2314 2 роки тому

    Ngoma Kali sana

  • @kedmondjuma9947
    @kedmondjuma9947 2 роки тому +2

    Kwanza mmependeza sana
    Mulungu yamdimenyi wose 😍

  • @benjaminimtafya8707
    @benjaminimtafya8707 Рік тому

    Mungu awabariki na azidi kuwainua

  • @hellenrogers5222
    @hellenrogers5222 Рік тому

    Sifa na utukufu ni kwa MUNGU hongereni sana watumishi

  • @grolyyusto2871
    @grolyyusto2871 Рік тому

    Mungu awabarik sana

  • @israelkusalula5831
    @israelkusalula5831 11 місяців тому

    Niliaminishwa hawa ma faza hawajui kuimba😢😢 nisameheni aiseee

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 2 роки тому +1

    Daah... Hii kwaya inanikumbusha marehemu Babu mzaa Mama alikuwa akiitwa Mzee John Isaka Mlaule alikuwa mpenzi sana wa hii kwaya, hasa wimbo wao wa " nimemuona shetani anateremka sura yake kama umeme huyo amekasirika"

  • @simbavioo8929
    @simbavioo8929 2 роки тому +1

    Safi Sana watumish mbarikiwe sana

  • @user-zn5vu5rx5d
    @user-zn5vu5rx5d 5 місяців тому

    Muhubili mke akisoma.neno au akihubili ajifunike kitamba kichwani

  • @goodmaleko9133
    @goodmaleko9133 Рік тому

    mbarikiwe

  • @franklubeleje2829
    @franklubeleje2829 2 роки тому +1

    Nabarikiwa sana na uimbaji wenu Mungu awabarikini

  • @ebenezagraham767
    @ebenezagraham767 2 роки тому +1

    Endeleeen kubalikiwa🙏🙏

  • @emanuelayub7993
    @emanuelayub7993 2 роки тому +1

    Rumbaaa la yesuuu hamjawahiii kukosea tunawaombea sanaaa

  • @vicentmgomba7529
    @vicentmgomba7529 2 роки тому

    Kazi nzuri mbarikiwe

  • @user-vv6cc7tw5b
    @user-vv6cc7tw5b Рік тому

    mbarikuwe nabwana

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 2 роки тому

    AS USUAL.CONGRANT.

  • @yohanamohammed6111
    @yohanamohammed6111 2 роки тому +1

    Safi sana.....

  • @barnabasgoda4067
    @barnabasgoda4067 2 роки тому +2

    Wimbo umenibariki sana! Mbarikiwe.....!

  • @YohanaMbano
    @YohanaMbano 23 дні тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @giftchihamba4627
    @giftchihamba4627 2 роки тому

    Wimbo unanibariki sana huu,,Mbarikiwe uvuke!

  • @georgemzuli3422
    @georgemzuli3422 2 роки тому

    Wimbo bora wa kufungia mwaka na album ambayo itailendelea kuishi maishani kwetu uvuke hawajawahi kuniangusha

  • @helennyagimba9555
    @helennyagimba9555 2 роки тому +1

    Mungu azidi kuwainua kwenye viwango vya juu zaidi. Wimbo unaniliza Sana huu😭😭😭

  • @mokiwaunderson7052
    @mokiwaunderson7052 2 роки тому

    Safi sana Mungu akae nanyi

  • @ayubumadinda4405
    @ayubumadinda4405 2 роки тому

    Mbarikiwe sana

  • @gilbertzacharia1727
    @gilbertzacharia1727 2 роки тому

    Nice song be blessed

  • @AdamChambo-mf4ek
    @AdamChambo-mf4ek Місяць тому

    Adam Francis chambo

  • @giriadbirusha7006
    @giriadbirusha7006 2 роки тому

    Shikamooni Uvuke ! 😀😀😀 huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu Mungu akazidi kuwabariki muifanye kazi yake hiyo, amina. 🙏🙏

    • @listergospelsongs3974
      @listergospelsongs3974 2 роки тому

      Amina Asante sana tunawapenda mno marafiki, wadau na wapenzi wa UVUKE

  • @ntukanomtingele5301
    @ntukanomtingele5301 2 роки тому

    👏👏👏👏

  • @lailajeremia1259
    @lailajeremia1259 2 роки тому +1

    Mungu awabaliki saba nafulahishwa sana na nyimbo zenu huwaga natamani nami siku nikiwa Tz niwe mmoja wenu
    Kwasasa nawafatilia nikiwa Oman 🇴🇲 nawapenda sana.

  • @giftchihamba4627
    @giftchihamba4627 2 роки тому

    Wimbo unanibariki sana huu,,Mbarikiwe uvuke!