"NILIMUONYA" - MAMA ZUCHU (KHADIJA KOPA) Afunguka Baada ya MWANAE KUFUNGIWA ZANZIBAR
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- "NILIMUONYA" - MAMA ZUCHU (KHADIJA KOPA) Afunguka Baada ya MWANAE KUFUNGIWA ZANZIBAR
Mama Mzazi wa Msanii Zuchu, Khadija Kopa, Kupitia Mashamsham ya Wasafi Fm amekiri kuwa alimuonya Zuchu kuhusu tukio alilolifanya visiwani Zanzibar lililopelekea Baraza la Sanaa Visiwani humo kumfungia Zuchu Kwa Miezi 6
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nampenda sana Bi Kopa, mimi Kama mkenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nampenda huyu mama 😂😂😂❤❤❤❤❤
Weweeeee tujuane ambao hatuna tress ya wanaume 🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Tushasahau mapenzi kitambo🤣🤣🤣🤣
Aamiin mama Alhamdulillah Alhamdulillah
❤❤❤❤❤❤leo umengea vizuri mama👏
Nikweli yataisha ajali kazini mungu atamsaidia ❤
Mama wetu huyo❤❤❤
Jamani semeni Mashaallah
Nampenda sana huyu mama
Wanakudanganya hao mama, kiukweli umezeeeka!!!
Sema kweli bahati mbaya na kutangaza Umalaya na uxinifu. Muogopeni mungu dunia mapito
Kazeeka bhana msimfariji mwenzenu
Kabisa!!
Mimi nampenda khadija kopa hajikorogi .
Amin
Huyu mama was ajabu sana mwanao alipokuwa kwenye uesharati live bila chenga ukasema we hujui Sasa ooh nilimuonya hakusikia .Kama unabusara hupaswi kukasirika bali ufurahie mahusiano ya kiuesharat yamekwisha
Safi sana mama
Uko vizur mama
Upo sawa mama anajishusha sana kisa mapenzi alikuwa anaenda vizuri ile hii amezalilika kila mtu kamwona chooo laaah jamani TUSI KAMA HILO JAMANI AIBU KWA JAMII
maa
Amen 🙏
Kopa huyo ❤❤❤
Muongo Fisadi Mtu Mzima ovyo kushazeeka si mdogo kujiheshimu ni jambo zuri huna stara nywele nje ati ni Muislam ogopa Allah ati aomba M.Mungu ampe mwisho mwema mpaka leo hujatubia miaka sitini na Moja tubia
We une ongea hivo unatubia kwa Allah 🙏🙏 au unaongea to
Nicheki inbox❤❤
maa zuuh
Mamatlepa en want hierdie 💥💙💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂
Yataisha hajaua 😢kila mtu ana mapungufu yke
Darasa ndo bora
Kabisa
Mejifunza jambo hapa
Hapo anasemwa mondi, ila waliosoma cuba tu ndo wataelewa
😂😂😂😂😂 uyu Mama Nima sana❤
😂😂😂😂😂😂haloooo stresss za wanaume tunatupa kule mama umenisemea hasa😂😂😂😂❤❤❤
Mama anachangia kumuharibu mtoto wake kwa sababu mara kadhaa amekuwa akimtetea mtoto wake kuwa anachofanya ni sanaa,mpaka inasababisha zuchu anafanya sanaa ya kujidharirisha.Mtoto siku zote hakui kwa mzazi hata ukiolewa mzazi ananafasi kubwa ya kumueleza mtoto pale anapokosea.kuna usemi unasema asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Dida mipombe😁😁😁😁
Heeee waniniiii wa kazi ganiiii duuuuuu jamani Bi Hadija anastahili kupewa kipindi japo cha dakika kumi na tano tu atoe darasa
B.k.H anajibu vyema
Napita sina mudi leo🏃🏃🏃🏃
Dida anapenda umbey😅😅😅
Mimi nilijua mwanamke wa kiisilamu anafunika kichwa
Matako yako
Mnamdanganya hazeeki nini ushazeeka mama wanakusanif tuu rudi kwa mola wako sasa tafuta msada uende ukahiji mama umei ushaenda
😂😂😂😂😂wambie. Malikia. Kopan khadja. Kiboko yao. Hamna. Kama. Wewe. Malikia😂❤
Sasa na mwanao Zuchu anayajuwa hayo?
Anayajuwa vizuri…Zuchu halewi wala havuti sigara. Lakini watoto wote siku hizi hawasikii. Tuombe stara kwa watoto wote.
Hapo wote tuko darasani siyo kwamba anamwambia zuchu
Mambo ya kawaida kutukana matusi ya nguoni hadharani?
Didactic unasikia?
kubwa anapata maokoto kwa mwanae kwahio lazima amtetee tu .mwisho mwema mtto wko utajibu nni kw mungu wko .Kila ukikaa unaswali huku mtto wko ypo show
Wwe mma kiukwli unamtetea mwanao snaa tuongee ukweli we SEMA kateleza
Why you not telling your daughter
Waache kumuathiri Zuchu kisaikologia tafadhali.
Huku kopesha umechana makavu
Zuchu amefanyanini jm
Kwakweli hazeeki.
Msimpe moyo mwenzenu, kiukweli amezeeka!!
@@jumakapilima7295 hujaelewa.ndio amezeeka .sasa ndo analingana watu wa lika lake kwa muonekano na nguvu?.kila mtu na neema yake
HADIJA KOPA HAKUNA MUME ATAKAE KUOWA WW HUNA ADABU WW
Dongo la zuchu iro😂😂😂😂😂 mama kampa dongo mwanae naona kamwambia ndania ajasikia kaja kumpa mafumbo sasa mimi mwelevu nimeelewa kamwambia zuchu sababu king'ang'a nizi kwa mondi kula chuma icho zuhu😂😂😂😂
Kwani zuchu muslim muislam anafanya vile mavazi uchi kuzini vpi utaishi na mwanamme bila kuolewa huo siyo uislam acheza na dini wako waislam wana imba na wana jihishim waimbaji wakubwa wameslim na vichwa ssa wanafunika ssa ivi Ramadhan zuchu atafunga hijabu wapi sali kabla hujasaliwa
Mbona ma jack nini,mama Zuu bhana😂😂😂😂
Huyu mamamwenye akili imepinda akili 😂😂😂 na mawigi yautuzima
Yani wewe mwehu kweli kwani mawigi Yana umri tafuta pesa acha makasiliko
Heshim mama wawenziyo na mama yako aheshimiwe,...
@@elizabethchabluma-zw5qz Sio mila ya Kiislam, izo ni mila za watu wengine wasiorizika walivyoumbwa na MwenyeziMungu.
Umenena My mom Khadija kopa❤Haina haja ya kujipa stress kisa eti mwanaume,,Apite hivi👉👉👉👉👉
Umenena My mom Khadija kopa❤Haina haja ya kujipa stress kisa eti mwanaume,,Apite hivi👉👉👉👉👉
Kwani mama kopa wewe ulishatafuna dungudungu ngapi?
Huyu nilimchukia kua sku ulisema ati yy ndo ameza wengi wamekunya 😢mjinga sana