kama yule

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2008
  • swahili songs

КОМЕНТАРІ • 292

  • @toshamilinga1359
    @toshamilinga1359 3 роки тому +4

    ambao tupo 2021 tunasikiliza like hapa tujuane

  • @rozinahamisi84
    @rozinahamisi84 5 років тому +120

    Hadi 2019 bado yavutia tu Rihamma namuona hehe

  • @touchingbillionhearts761
    @touchingbillionhearts761 5 років тому +68

    Naisikilza mara nyingi lakini leo ndo nimejua kama video queen wa hii nyimbo alkiuwa Riyama😂...who else?

  • @malkiafuraha9694
    @malkiafuraha9694 3 роки тому +2

    Nani yupo hapa 2021, one of my fav love songs 💗💯✌

  • @ugandakampalatv1497
    @ugandakampalatv1497 3 роки тому +3

    From diamond IG

  • @markrichard2805
    @markrichard2805 5 років тому +25

    2019 kuelekea 2020 mpo

  • @nancypretty7576
    @nancypretty7576 6 років тому +26

    Riyama alikuwa video vixen wa q chiller wow

  • @shakirasuleiman3065
    @shakirasuleiman3065 5 років тому +31

    Who is listening to his new song in 2020❤❤❤welcome back

    • @jA-ox7vz
      @jA-ox7vz 5 років тому

      😆😆😄😄😁😁😅

    • @neymankwera2401
      @neymankwera2401 4 роки тому +1

      Hap vp wadau Kama upo namimi mwaka huu gonga like yako hapa

  • @websterkinte8270
    @websterkinte8270 9 років тому +12

    Bila shaka hapo mwisho wa wimbo amemtakia kila la heri Papii Kocha safi sana Aboubakar Katwila....Kunta...Kinte.

  • @grace1992ify
    @grace1992ify 3 роки тому

    Wakati bado kuna mziki mzuri dah 😘😘😘😘😘

  • @hervekevinmazameza7876
    @hervekevinmazameza7876 4 роки тому +1

    Bado sijashiba kusikiliza huyu wimbo kbsaaa,,kama is the same na wew gonga like

  • @user-jv8kn5yc4f
    @user-jv8kn5yc4f 11 місяців тому +1

    Good music not just music here is where good music lives💪✊🙏

  • @mohamedjimia3535
    @mohamedjimia3535 3 роки тому +4

    Inasikirizwa kutoka oman now 2021 🔥🔥❤❤❤ old is gold

  • @zenabsadik9691
    @zenabsadik9691 7 років тому +32

    wallah song zazamani zilikuwa nzuri sana na enjoy ila sasa ni fujo tu

  • @bintialimwahezi5123
    @bintialimwahezi5123 6 років тому +6

    Langu jicho tuu mana imenishika nakumbuka kuleeeeeeee.

  • @sadiqmwero2754
    @sadiqmwero2754 4 роки тому

    Kumbe uyu msee alikuw na maringooooo...2020 from Kenya

  • @___raahma___
    @___raahma___ 4 роки тому +1

    Q-Chilla bonge la mtu bwana...😍 Utabaki kua juu, Utabaki kua kileleni big boss. The true meaning of Old is Gold. 💯🔥

  • @kemydirasjoseph1135
    @kemydirasjoseph1135 2 роки тому

    Qchifu alikuwa anaumwa!! Ninamkubaliii chakwanza sauti !!ngomakli

  • @vasmotz
    @vasmotz 3 роки тому

    2020 bado tuna sikiliza. Ina nikumbusha mbali sana daaaah. Kama ina kukumbusha sehemu tujuana

  • @stellabrunner1582
    @stellabrunner1582 5 років тому +9

    2019 anipende kama mimi
    Awe simple kama mimi 💃🏿💃🏿❤️❤️❤️

  • @hamiskengwa5869
    @hamiskengwa5869 4 роки тому

    Dah haya maisha bana ivi hawa washikaj walipeleka hela wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥💪💪 dah q chilla ulitupa mziki mzuri aseee duh

  • @frankmemmanuel4150
    @frankmemmanuel4150 Рік тому

    This is the true flavor of Tanzanian Music, not what we are hearing nowadays.

  • @ronaldomwampamba9577
    @ronaldomwampamba9577 5 років тому +8

    Old is gold 2019 gonga like kwa wingi

  • @AkinyiAdongo
    @AkinyiAdongo 13 років тому +7

    This is the best track EVER out of Tanzania! Love this song!!!!

  • @quazarmusic8248
    @quazarmusic8248 4 роки тому

    Kazi safi bro daily itasikika

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 3 роки тому

    Miss these days nikiwa mtoro wa madrassa kwenda kuwoch nyimbo za q chief banda la video dah.. Watching it now 2021 🇶🇦

  • @bintimohammedrashidrashid5027
    @bintimohammedrashidrashid5027 6 років тому +5

    Nakutambua kinoma mtu wangu old is gold

  • @ramadhanomary1333
    @ramadhanomary1333 4 роки тому +1

    Bado naipenda 11/4/2020

  • @sandrinekidasharira9713
    @sandrinekidasharira9713 4 роки тому +6

    So much to say..! And yes, I'm here in September 2019!❤

  • @shabanipili4919
    @shabanipili4919 4 роки тому +1

    30_6_2020 naangalia nyimbo kipindi inatoka hta nguo za kuvaa zilikua napata kwa shida lakini leo naishi kwenye ndoto zangu

  • @georgebruno916
    @georgebruno916 4 роки тому +2

    2020 quarantine mpo gonga like

  • @hussenally4497
    @hussenally4497 4 роки тому

    nakumbuka mbali sana jamani huuuuuundio mziki jamani daaaaah tampata wapi aaaaaaah

  • @batalemustachi6717
    @batalemustachi6717 4 роки тому +2

    ataliiiiiisanaaaaa nyimbo bado kaliiiiiii adi sasa dah q sanaaaa likezako basiii kamabado unaikubali ngomaaaaa i

  • @sallykanze
    @sallykanze 9 років тому +42

    Old is gold lovely songs

  • @neemasabuni5398
    @neemasabuni5398 5 років тому +1

    Salute na kukubali sana I love All your songs From America

  • @barakachami8218
    @barakachami8218 5 років тому +3

    Q -chifu soma hiyo..nampenda Mwenye Afya namwogopa wa Marathi .....hapo me nitatulia 2019 like jmn

  • @bekkamontana5448
    @bekkamontana5448 5 років тому +2

    Hii Song ilpotoka nlikua Mdogo sana..Nadhani nilikua kama class 1or 2 hivi..And for Now Nashkuru Mwenyezi Mungu Niko University

  • @mebasheembeto4259
    @mebasheembeto4259 5 років тому +3

    Naipenda sana watching 08/2019

  • @jamalisebarua9594
    @jamalisebarua9594 9 місяців тому

    Enzi za ujana wetu hakuna mambo yasingeli wal mapiano mziki ulikuwa mtamu sana 2004

  • @elibarikimaganga9571
    @elibarikimaganga9571 5 років тому +1

    Nakumbuka enzi za shule ya msingi. Najisikia machozi yananilenga machoni kila ninapousikia huu wimbo

  • @nimoibrahim4235
    @nimoibrahim4235 6 років тому +5

    still a hit love me some old songs

  • @serahkarisa3438
    @serahkarisa3438 4 роки тому +1

    2020 am still listening bado yavuma ....nice voice mipangilio bahali yake

  • @alinaimmaculate6347
    @alinaimmaculate6347 3 роки тому +1

    Am back sayi from ug

  • @ENTERTAININGGAMECHANNEL
    @ENTERTAININGGAMECHANNEL 4 роки тому +2

    Wow😍😍😍Superb😍😍😍Fantastic 😍😍😍

  • @maurinekemunto1642
    @maurinekemunto1642 6 років тому +3

    My favourite musician 👌

  • @billalphilip5776
    @billalphilip5776 4 роки тому

    Hautampata kama yule...waliisha😂😂😂😂😂😂

  • @nananana4885
    @nananana4885 4 роки тому

    Najisikia raha kwa nyimbo za zamani

  • @peterconnor470
    @peterconnor470 7 років тому +5

    use to love this song so much still love it til now one of all time favourite song

  • @salmalopesalmalopez6199
    @salmalopesalmalopez6199 5 років тому

    Nakumbuka mbali sanaa hii nyimbo kipindi hicho tunakumbatiwa vichochoroni daaah song za zamani nzuri sanaa zina hisia sanaa

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 5 років тому +3

    Oohh! Love this song like ....

  • @honorekiza8762
    @honorekiza8762 6 років тому +9

    Bro kazi yako naikubali sana Mungu aibariki sauti yako

  • @gregorymatina3598
    @gregorymatina3598 3 роки тому +3

    2021

  • @ismailkatala4792
    @ismailkatala4792 5 років тому +3

    Fundii...Chiller katika ubora wake...!

  • @faa2023-ngaragu
    @faa2023-ngaragu 5 років тому +1

    2019 niko hapa kabisa from Burundi (Bujumbura)

  • @Mamsocom
    @Mamsocom 6 років тому +25

    Naipenda sana 2018

  • @manuelafonso9051
    @manuelafonso9051 7 років тому

    Revisito as musicas do meu tempo e encontro um teor tao profundo do qual nem posso esgotar o seu sentido na minha vida. Amo o passado. uma nastalgia

  • @fatmamussa6478
    @fatmamussa6478 5 років тому

    Wenye sauti zao, c mchezoooo, bado mupyaaaa hakuna kuchuja

  • @Patricia_Odila
    @Patricia_Odila 7 років тому +7

    ujumbe mzito. itaweza kuskizwa na kizazi kipya na vizazi hata vizazi.

    • @bizzo6833
      @bizzo6833 6 років тому

      Patricia Odila yes throw back

  • @saimonsimion7280
    @saimonsimion7280 9 років тому +9

    I real lyk this song, big up sana Q Chief kwa, the song sounds so beautiful na una ujumbe mzuri sana. Nitampata wapi kama yule? Very hard to get her coz the old z gold, so fantastic song

  • @chelseadiva1072
    @chelseadiva1072 5 років тому +2

    Nimpende anipende awe wangu maishani wa 2019 like plz

  • @MimiNimimi2
    @MimiNimimi2 12 років тому +1

    Such a great song. He really looks like he means what he's saying. Love it;)

  • @sashaalimwakudza4217
    @sashaalimwakudza4217 5 років тому

    Naipenda san

  • @amanimahubane409
    @amanimahubane409 6 років тому +5

    ni noma sana enzi hizo

  • @rutafrank5476
    @rutafrank5476 7 років тому +2

    kweli hizi nyimbo zakutoka zanzibar zinafuraisha

  • @nzamwitanancy6832
    @nzamwitanancy6832 2 роки тому

    Eyssh! Who's here in 2022🔥

  • @joanmutheu188
    @joanmutheu188 5 років тому +1

    I love da song...in 2019 na bado

  • @abuukissoabuuchannel3908
    @abuukissoabuuchannel3908 5 років тому

    Q chilla kitambo sanaa

  • @samirantisi8535
    @samirantisi8535 4 роки тому +4

    2019 kaka rudisha majeshi

  • @W.i.s.d.o
    @W.i.s.d.o 6 років тому +1

    Old id Gold, tam haiishi hamu

  • @joelchogo5075
    @joelchogo5075 5 років тому +1

    hizi ndo ngoma jamaa si kucheza nyegez

  • @glorymashurano7500
    @glorymashurano7500 2 роки тому

    2022🔥 who’s is here…?

  • @rashidhassankadege1455
    @rashidhassankadege1455 5 років тому +4

    3/8/2019 bado nasikilza ngoma kalii za longtime

    • @rahmaalkalbani2922
      @rahmaalkalbani2922 5 років тому +1

      Rashid Hassan Kadege like for u are you her like me

    • @atashaisha8706
      @atashaisha8706 4 роки тому

      Kadenge mimi pia naskiza na wewe safi

  • @joekaiga
    @joekaiga 14 років тому +12

    Keep up the good flavors Tanzanians! I just love your music, wish you would come make some performance here in Finland some day. Helsinki has many Swahili speaking people from Africa.

  • @hamidbajey3263
    @hamidbajey3263 7 років тому +6

    old is gold

  • @Dinosucre10
    @Dinosucre10 5 років тому +1

    Who is here in 2019?hivi kweli namimi nitampata kama yule

  • @noelaswaytitus4975
    @noelaswaytitus4975 10 років тому

    Kama yule' ni ngumu kumpata, ujumbe mzito sana, i solute you brother ,unakipaji, Big up and keep it up.

  • @rahelmilami1271
    @rahelmilami1271 5 років тому

    daaaaaa😍😍😍😍😍 Qiuchila 👌👌👌

  • @munirasulub2057
    @munirasulub2057 8 років тому

    moyini nitampokea nayeye anipoke basi kwa hali yeyote this a song takes me far damn those days I use to sing while going home from school

  • @lwessopacifical9580
    @lwessopacifical9580 4 роки тому +1

    congo

  • @barakashizya1549
    @barakashizya1549 2 роки тому

    2021 Kama bado unaichecki Kama mimi like hapa tujuane

  • @mishibaron5021
    @mishibaron5021 4 роки тому

    Qchilla ni handsome sana...😗😗

  • @eleazerenana7864
    @eleazerenana7864 5 років тому +1

    Kweli Chilla

  • @AshrafAshraf-dm4xe
    @AshrafAshraf-dm4xe 6 років тому +4

    huyu ndo q chillah

  • @nurloy510
    @nurloy510 7 років тому +2

    pamoja q,nice song.

  • @hemedijuma8268
    @hemedijuma8268 5 років тому +5

    I really miss u my H

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame5304 4 роки тому

    duh Riyama nimemuonaa

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому

    Zilizopendwa oyeeeeeeeeeeee

  • @georgekirimi6288
    @georgekirimi6288 12 років тому

    nice en a hit from bongo we love bongo en the truck still a hit here back at kenya tucheze cheze kitandani ishara ya mapenzi

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 7 років тому +4

    GOOD MUSIC FROM TANZANIA

  • @josephnyaga2916
    @josephnyaga2916 11 років тому +1

    I'm rather disappointed that the song of this quality hasn't been viewed by at least 5 million people. East Africans here we go. Always a big fan Q keep it up bro!

  • @kenyanbae9971
    @kenyanbae9971 5 років тому

    Old is Gold

  • @hamzaobadia590
    @hamzaobadia590 2 роки тому

    Kumbe video queen alikuwa ni liyama ally wa bongo movie

  • @hawakim9940
    @hawakim9940 4 роки тому

    Tamu sana

  • @dume4158
    @dume4158 8 років тому

    best of q chief,wimbo na nusu

  • @maniernicodemus110
    @maniernicodemus110 9 років тому

    Ilov this song so much ,really this is a lovly song,bro keep it up this song hav gud msg for mi too am lukng for who luv as the song says well done bro

  • @hamiskengwa5869
    @hamiskengwa5869 4 роки тому

    Nakumbuka enzi hzo kila kijana alikua anamuiga q chilla wanafuga Rasta mbaya kitaani kwetu ili waendane namwamba

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 4 роки тому

    Riyama alikua bikra😄😄

  • @estercharles7597
    @estercharles7597 4 роки тому

    Weeeeeee rihamaa na huku ulipita my duuuh

  • @slattgang5790
    @slattgang5790 5 років тому +4

    2019 tupo pamoja tujuane

  • @sulezanzibar7505
    @sulezanzibar7505 5 років тому +1

    still watching in July 2019