I real lyk this song, big up sana Q Chief kwa, the song sounds so beautiful na una ujumbe mzuri sana. Nitampata wapi kama yule? Very hard to get her coz the old z gold, so fantastic song
Keep up the good flavors Tanzanians! I just love your music, wish you would come make some performance here in Finland some day. Helsinki has many Swahili speaking people from Africa.
I'm rather disappointed that the song of this quality hasn't been viewed by at least 5 million people. East Africans here we go. Always a big fan Q keep it up bro!
Ilov this song so much ,really this is a lovly song,bro keep it up this song hav gud msg for mi too am lukng for who luv as the song says well done bro
ambao tupo 2021 tunasikiliza like hapa tujuane
Hadi 2019 bado yavutia tu Rihamma namuona hehe
Rozina Hamisi atamm nimeikubali
Naisikilza mara nyingi lakini leo ndo nimejua kama video queen wa hii nyimbo alkiuwa Riyama😂...who else?
Hahaha 😂 😂🤣🤣😂 kweli
Kam mimi
Wewe km mm
😅😅
🙀🙀🤣🤣🤣🤣🤣
Nani yupo hapa 2021, one of my fav love songs 💗💯✌
From diamond IG
2019 kuelekea 2020 mpo
Riyama alikuwa video vixen wa q chiller wow
Who is listening to his new song in 2020❤❤❤welcome back
😆😆😄😄😁😁😅
Hap vp wadau Kama upo namimi mwaka huu gonga like yako hapa
Bila shaka hapo mwisho wa wimbo amemtakia kila la heri Papii Kocha safi sana Aboubakar Katwila....Kunta...Kinte.
Wakati bado kuna mziki mzuri dah 😘😘😘😘😘
Bado sijashiba kusikiliza huyu wimbo kbsaaa,,kama is the same na wew gonga like
Good music not just music here is where good music lives💪✊🙏
Inasikirizwa kutoka oman now 2021 🔥🔥❤❤❤ old is gold
wallah song zazamani zilikuwa nzuri sana na enjoy ila sasa ni fujo tu
Zenab Sadik 😂😂😂😂😂
Zenab Sadik siku hizi ubisho
Zenab Sadik kwel
Langu jicho tuu mana imenishika nakumbuka kuleeeeeeee.
Kumbe uyu msee alikuw na maringooooo...2020 from Kenya
Q-Chilla bonge la mtu bwana...😍 Utabaki kua juu, Utabaki kua kileleni big boss. The true meaning of Old is Gold. 💯🔥
Qchifu alikuwa anaumwa!! Ninamkubaliii chakwanza sauti !!ngomakli
2020 bado tuna sikiliza. Ina nikumbusha mbali sana daaaah. Kama ina kukumbusha sehemu tujuana
2019 anipende kama mimi
Awe simple kama mimi 💃🏿💃🏿❤️❤️❤️
Dah haya maisha bana ivi hawa washikaj walipeleka hela wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥💪💪 dah q chilla ulitupa mziki mzuri aseee duh
This is the true flavor of Tanzanian Music, not what we are hearing nowadays.
Old is gold 2019 gonga like kwa wingi
This is the best track EVER out of Tanzania! Love this song!!!!
Very true💪🙏🙏
Kazi safi bro daily itasikika
Miss these days nikiwa mtoro wa madrassa kwenda kuwoch nyimbo za q chief banda la video dah.. Watching it now 2021 🇶🇦
Nakutambua kinoma mtu wangu old is gold
Bado naipenda 11/4/2020
So much to say..! And yes, I'm here in September 2019!❤
30_6_2020 naangalia nyimbo kipindi inatoka hta nguo za kuvaa zilikua napata kwa shida lakini leo naishi kwenye ndoto zangu
2020 quarantine mpo gonga like
nakumbuka mbali sana jamani huuuuuundio mziki jamani daaaaah tampata wapi aaaaaaah
ataliiiiiisanaaaaa nyimbo bado kaliiiiiii adi sasa dah q sanaaaa likezako basiii kamabado unaikubali ngomaaaaa i
Old is gold lovely songs
Jefason Kingy Mrs uku pia unafika😂😂😂
Very true 2020 bado naitazama
Salute na kukubali sana I love All your songs From America
Q -chifu soma hiyo..nampenda Mwenye Afya namwogopa wa Marathi .....hapo me nitatulia 2019 like jmn
Nipo hhhh
Hii Song ilpotoka nlikua Mdogo sana..Nadhani nilikua kama class 1or 2 hivi..And for Now Nashkuru Mwenyezi Mungu Niko University
Naipenda sana watching 08/2019
Enzi za ujana wetu hakuna mambo yasingeli wal mapiano mziki ulikuwa mtamu sana 2004
Nakumbuka enzi za shule ya msingi. Najisikia machozi yananilenga machoni kila ninapousikia huu wimbo
still a hit love me some old songs
Gusa unase
2020 am still listening bado yavuma ....nice voice mipangilio bahali yake
Am back sayi from ug
Wow😍😍😍Superb😍😍😍Fantastic 😍😍😍
My favourite musician 👌
Hautampata kama yule...waliisha😂😂😂😂😂😂
Najisikia raha kwa nyimbo za zamani
use to love this song so much still love it til now one of all time favourite song
Nakumbuka mbali sanaa hii nyimbo kipindi hicho tunakumbatiwa vichochoroni daaah song za zamani nzuri sanaa zina hisia sanaa
Oohh! Love this song like ....
Bro kazi yako naikubali sana Mungu aibariki sauti yako
Aminia
2021
Fundii...Chiller katika ubora wake...!
2019 niko hapa kabisa from Burundi (Bujumbura)
Naipenda sana 2018
Revisito as musicas do meu tempo e encontro um teor tao profundo do qual nem posso esgotar o seu sentido na minha vida. Amo o passado. uma nastalgia
Wenye sauti zao, c mchezoooo, bado mupyaaaa hakuna kuchuja
ujumbe mzito. itaweza kuskizwa na kizazi kipya na vizazi hata vizazi.
Patricia Odila yes throw back
I real lyk this song, big up sana Q Chief kwa, the song sounds so beautiful na una ujumbe mzuri sana. Nitampata wapi kama yule? Very hard to get her coz the old z gold, so fantastic song
Nimpende anipende awe wangu maishani wa 2019 like plz
Such a great song. He really looks like he means what he's saying. Love it;)
Naipenda san
ni noma sana enzi hizo
kweli hizi nyimbo zakutoka zanzibar zinafuraisha
Eyssh! Who's here in 2022🔥
I love da song...in 2019 na bado
Q chilla kitambo sanaa
2019 kaka rudisha majeshi
Old id Gold, tam haiishi hamu
hizi ndo ngoma jamaa si kucheza nyegez
2022🔥 who’s is here…?
3/8/2019 bado nasikilza ngoma kalii za longtime
Rashid Hassan Kadege like for u are you her like me
Kadenge mimi pia naskiza na wewe safi
Keep up the good flavors Tanzanians! I just love your music, wish you would come make some performance here in Finland some day. Helsinki has many Swahili speaking people from Africa.
Ikopoa. Sanaaa
⁰⁰00000⁰000
old is gold
Who is here in 2019?hivi kweli namimi nitampata kama yule
Kama yule' ni ngumu kumpata, ujumbe mzito sana, i solute you brother ,unakipaji, Big up and keep it up.
daaaaaa😍😍😍😍😍 Qiuchila 👌👌👌
moyini nitampokea nayeye anipoke basi kwa hali yeyote this a song takes me far damn those days I use to sing while going home from school
congo
2021 Kama bado unaichecki Kama mimi like hapa tujuane
Qchilla ni handsome sana...😗😗
Kweli Chilla
huyu ndo q chillah
pamoja q,nice song.
I really miss u my H
duh Riyama nimemuonaa
Zilizopendwa oyeeeeeeeeeeee
nice en a hit from bongo we love bongo en the truck still a hit here back at kenya tucheze cheze kitandani ishara ya mapenzi
GOOD MUSIC FROM TANZANIA
Mashallah ume jua kuimba
I'm rather disappointed that the song of this quality hasn't been viewed by at least 5 million people. East Africans here we go. Always a big fan Q keep it up bro!
Old is Gold
Kumbe video queen alikuwa ni liyama ally wa bongo movie
Tamu sana
best of q chief,wimbo na nusu
Ilov this song so much ,really this is a lovly song,bro keep it up this song hav gud msg for mi too am lukng for who luv as the song says well done bro
Nakumbuka enzi hzo kila kijana alikua anamuiga q chilla wanafuga Rasta mbaya kitaani kwetu ili waendane namwamba
Riyama alikua bikra😄😄
Weeeeeee rihamaa na huku ulipita my duuuh
2019 tupo pamoja tujuane
still watching in July 2019