Kiukweli Mimi nasema Yote yanayosemwa ni sahihi wanaosema refa kakosea ni sawa na wanao sema hajakosea pia ni sawa. Mi cha kuchangia naomba asifungiwe tuombe mungu miaka iende aendelee kuchezesha na ipo siku dhambi anayo ifanya atakuja kukutana na kitu ambacho atajuta yeye familia yake na walio mtuma kuna watu wanakufa kwa maamuzi ya kipumbavu. Ila naamini atajirekebisha kwa vile Bingwa keshapatikana wakimpa mechi atachezesha vizuri.
Mashabiki wa Simba hatulaumu wachezaji wetu. Sio kwa simba hii
Kiukweli Mimi nasema Yote yanayosemwa ni sahihi wanaosema refa kakosea ni sawa na wanao sema hajakosea pia ni sawa. Mi cha kuchangia naomba asifungiwe tuombe mungu miaka iende aendelee kuchezesha na ipo siku dhambi anayo ifanya atakuja kukutana na kitu ambacho atajuta yeye familia yake na walio mtuma kuna watu wanakufa kwa maamuzi ya kipumbavu. Ila naamini atajirekebisha kwa vile Bingwa keshapatikana wakimpa mechi atachezesha vizuri.
Usiseme timu haijafunga au haijatengeneza nafasi unataka unataka itengeneze nafasi zipi zaidi ya penalties?
Huyu refa anatumwa kufanya ujinga anaoufanya .huyu anamaelekezo
Yani kila mtu mchambuzi😅😅😅😅
Nawewe unakili kama ya kayoko watu wamekufa wewe unamtetea timu imekosa ushindi kafaidika mwingine
Nakubliana naye,tumsamehe refa ni bnadamu lakini jirekebishe
Anasamehewaje wakati hajaomba msamaha yaaani afungiwe tu ili iwe fundisho Kwa wengine