TOBAAAH!! ETI KAYOKO KUFUNGIWA TENA? CRESCENTIUS MAGORI AWEKWA KITIMOTO MSIMBAZI!! SA ITAKUAJE....?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 8

  • @avii9971
    @avii9971 7 годин тому

    Mashabiki wa Simba hatulaumu wachezaji wetu. Sio kwa simba hii

  • @godfreyselomba9378
    @godfreyselomba9378 15 годин тому

    Kiukweli Mimi nasema Yote yanayosemwa ni sahihi wanaosema refa kakosea ni sawa na wanao sema hajakosea pia ni sawa. Mi cha kuchangia naomba asifungiwe tuombe mungu miaka iende aendelee kuchezesha na ipo siku dhambi anayo ifanya atakuja kukutana na kitu ambacho atajuta yeye familia yake na walio mtuma kuna watu wanakufa kwa maamuzi ya kipumbavu. Ila naamini atajirekebisha kwa vile Bingwa keshapatikana wakimpa mechi atachezesha vizuri.

  • @janethcharles1146
    @janethcharles1146 7 годин тому

    Usiseme timu haijafunga au haijatengeneza nafasi unataka unataka itengeneze nafasi zipi zaidi ya penalties?

  • @MasterNicodemus-yw8tq
    @MasterNicodemus-yw8tq 6 годин тому

    Huyu refa anatumwa kufanya ujinga anaoufanya .huyu anamaelekezo

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 16 годин тому

    Yani kila mtu mchambuzi😅😅😅😅

  • @rashidally863
    @rashidally863 13 годин тому

    Nawewe unakili kama ya kayoko watu wamekufa wewe unamtetea timu imekosa ushindi kafaidika mwingine

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 16 годин тому

    Nakubliana naye,tumsamehe refa ni bnadamu lakini jirekebishe

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 14 годин тому

      Anasamehewaje wakati hajaomba msamaha yaaani afungiwe tu ili iwe fundisho Kwa wengine