Huba imeonesha baada ya miez 3 baadae mizimu ishampokonya jb mali,alaf chidy alifungwa naon siku ya mazishi alimpiga sijui paji la kibibi na akili zake kufyatuka,happy tena kufilisika mume na yy karud uswaz ndo kumsaidia mume ex chidy mambo ya zaman na abby penzi lake na nelly litakufa tuu maan mchongo wake kwa mkwee ushafel maan pesa za mizimu,uku penzi la tima na devi liko sawa na tesa nae yupo uswazi kupamban mwnyew na zile pesa zake alizokuw anaiba club
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤my Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mungu akulinde ww mtanzania mwenzangu.
Wengine tuko wageni wanani mbona haujatuombea?umetubagua sindio?
Ume tupagawa tena kwa nini
@@lovegirls3713hapana sorry kwa hilo.
Chidi jmn jera imemchanganya hajitambui mwenzenu😀😀
Mimi live band tu ndio inanimaliza
Huyuu beshte yakee Abby aky anakaa Hamdala kiunoo😂😂😂
Imekuaje tena hubba
Sidi bhna rahaa na pia mama mwnyewe wakipare n fulu mkoba yaani daa
Hahahahahhaah Nicole etiiii. Aaah jmn anatak kuniaribiaa uyu
nipen like zangu 🎉🎉nimekuw wakwaza wey awako tayari kuona huba tena gonga liki apa
Jb ata akiwa maskini ana fura hajal chochoye😂😂😂sasa cid kimekurambaa
Kwa kweli
Sidi kiboko kwenye hii huba ameishi na wanaume watatu mzee kashaulo mzee mwinyi na JB bonge la bwana
Mungu anisamehe nliposema Huba ni Bora kuliko juakali
pati ya jb yafundisha sana wasikiwa awa jamaa awashukuru nn ao utajaza ww mtazamani😢😢 vijana nendeni mwendo wa polepole maisha tutaishi na kuyacha
Huyu chidi nae😂😂😂
Wengine hatuna bahati hata tukiomba like hata moja tu hatupewi jaman..khaaa😥
Waigize wale wanaoombea dua watu ndio utapata like kibao 😂😂😂
Huba mumechanganya mambo🎉🎉🎉
Mbona mwatufanyia hvi hatuelewi jamani kulikoni chidi alifanyaje mpka kawa hivi😢n kina bless wako wapi 😢
Imekuaje nicol akawa ndo boss wa clab mh huu mchezo unatuvurugaa😮
Huba iko msimu mwengine
😂😂😂😂😂😂nikocle uyu
Kuna watu uwaga mnanishangaza oooh Huba saiv mby bora kuisha kwahy ukikoment muhusika uwaga anaziona wabongo kazi tunayo 😃😃😃😃
😅😅😅😅😅😅
😅😅😅😅😅😅
Ndio wahusika hua wanaona maoni ya followers wao na kuyafanyia Kazi ingawa sio yote Bali Yale yanayofaa tu.
@@josephatbonifaceclemence1154so Hz atamsikia cz Hz so za yotube Hz za kwenye dstv kwahyo you sizani km wanafuatalia cz so chanel zao
Ata awaon cz Hz ni za dstv na so UA-cam so awazifuati wala weapon cz ata chanel so zao
Huba imekuaje
Hivi mnaielewa hii huba ya sasa nyiyni😢 aaah nachoka kwakweli
Mimi sielew ila y bid tu uangalie
Monica bless wakowap
Hii Huba Usenge Mtupuu ishakuwa
❤
Huba ya moto ❤
❤❤❤
Mm saut ya mbugila inanichekeshaa 😅😅😅😅 kwenye kuimba
Pagari 😂😂😂
😅😅😅
Umempa na jina lake😂😂
@@jullostephen9090pagalii😂😂
Haha Sidi sauti alegezi tena na kurembua macho 😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂 anaipatia wapi hiyo jeuri 😂😂😂😂😂@@AminaHassaniChoka
😅😅😅acha nicheke Kama mazuri vile
@@AliceMwacharo 😆😆😆 ingekua yaezekana kurecord,ningeigiza alivyokua akideka kwa JB kumbe hela zilimtoa macho akajipeana🤣🤣
Kwani happy chidi ni mpenzi wako tena
❤❤❤❤❤
Jamani mbona haielewek
Nice
Sidi mahaba yote yameisha kwa jb ilikua pesa tu 😄 🤣 😂
Ndiyo ashike adabu ya kumwingilia mtt kisa hajamzqa
Sidi sidi😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂
Kwan Chidi anafichwa nini? Mbn sielewi na hyu chidy mbn nikama wanamzubguka!! Kama na ww unaona hivyo tujuane🙋♂️.
😅😅😅😅tuangalie tu my wngu...ata sielewi umasikini wa ghafla
Nicole ndo hajapata anguko😂😂😂na judi
devis n'a tima pia
Wa6 Leo jamn nataman kuonja izo like Leo nijue ladha yake😅
Nicole tuliza hilo komwe kila mtu atachanganikiwa kwa wakati wake huu wa kibibi
Mm nimecungulia sana Saii nimeyiangukia😂😂😂
Sa jb na sid vipi mbona maskini tena
Kwani like zinalipa😅😅😅 mbona watu huomba tuambiane basi😅😅
Uyu Abby kanenepa mashavu
😂😂😂
Hii series mbn haieleweki duuuh yaan huelewi ina anza mpya au inaisha
Naangalia tu kupoteza muda 😢
Msimulizi wa huba na director wake wakamatwe wanyongwe hadi kufa 🥹
😂😂😂😂😂😂😂kwa kos gan
😂😂😂
😂😂😂na akizikwa asioze wanaboaa aiih
Mi mwenyew siekewi kinaco endeleya hapa
Mungu anakuona😅😅😅😅
Kwn huba tunaenda wapi mbele au tunarud nyuma au tunaotaaa ????haki sielewii nijitahidi mnoo nielewe lkn wapiiii 😂😂😂
Kwan hii huba ikoje mbon sielewi au Kuna mtu atanifahamisha jaman
Huba imeonesha baada ya miez 3 baadae mizimu ishampokonya jb mali,alaf chidy alifungwa naon siku ya mazishi alimpiga sijui paji la kibibi na akili zake kufyatuka,happy tena kufilisika mume na yy karud uswaz ndo kumsaidia mume ex chidy mambo ya zaman na abby penzi lake na nelly litakufa tuu maan mchongo wake kwa mkwee ushafel maan pesa za mizimu,uku penzi la tima na devi liko sawa na tesa nae yupo uswazi kupamban mwnyew na zile pesa zake alizokuw anaiba club
Mbn gafla imebadilikaaa
Tuloapa juzi hatuangalii huna tena halafu tunaisubirinkwa ham tujuane 😂😂😂😂
Umenichekesha sana namimi niriapa rakini nimejikuta naiangaria😅
😂😂😂
@@NiyelaBolo 😂😂😂 yaani mpka tuijue iyo ndoto anaota nani 😂😂
@@MwajumShaban 😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉😊
Ila nikole jamn😂😂😂
Amina😂😂😂
😂😂😂😂niko na mashabiki wa huba sambamba ya bado hamjasema yan mpaka mseme na mtasema.. . 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂sidi jicho kijiji kimempend
I don't understand huba now,,,who is the boss of the kibibi's clab
Kwan hawa watu wanaota au mimi ndio nipo kwenye ndoto mbona sielewi 🙄🙄🙄🙄
Kwan kulitokeag nn
Jaman Kwan tima nadevi walitoka kwenye huba manq sielww❤❤🇰🇪
Hi guys nimekuwa wa kwanza like jaman😂😂😂
Cdiii 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jb😂😂😂😂😂
Mume muona papaa ama nimimi tu😂😂😂😂❤❤
Nimemuona tangu jana kwenye ijayo 😂😂😂
sasa huba tunaangalia nn
Au JB ametaka kumpima tesa kama alikua anampenda kweli na sio hela zake😂😂
Tesa?
Wanatuchosha tuu
Jaman Mimi mbona sielew imekuwaje Jb maisha yamebadilika gafla Mara happy karud kwa chidy
Baada ya miezi mitatu Jb mizimu imechukua Mali zake zotee
Wow karibu papaa 😂❤
Papaa huyooo❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤😂😢
Yani huba mpk msem lakin mim nishaelewa mchez mzim tena ndo imekuwa tamu ambay ajaelewa anione
Nko hapa sijaelwa kbs 😅😅
Nipo apa
@@AdveraElias na umekuja kwel 😂😂
@@NeemaGeorge-t1u 😂😂😂ay bhana
Sidi nyota yake ya kijijin
Anataman kulia apo 🤣🤣
Hadi papa yupo kwenye huba😅😅😊😊
Sidi😂😂😂
Xx ino baa niyani ama niya tesa
😂😂😂
Toka juma tatu sijaangalia huba mbona haielewek imekuaj tena huku jaman😢😢😢
Mbugila na sauti yake afu mkaliii😂😂😂😂
Hivi Hii Huba ni ya Kazi Ganii aiseeeh!?! Huba Ganii Hii Mbona haina Ladha Tenaa!?!
Huba nyinyi malizenu tu muandae tamthilia mpya ila mambo yamewashinda
Chidi kujimilikisha kutoka na kutoka jelaaa apo pashakua kwakwe nyoooooo😅😅😅😅
😂😂😂😂😂mbona nyoooo
@@sharifamahamudu182 huko kujiachie kweny nyumba za wanawake ndo humponza😅😅😅😅
Yaaniii Director wa Huba Kaishiwa Kabisaa Sielewi hata ni Ujinga Gani huu unaotuonesha, ameshindwa kumaliza huu Upuuzi!?!
Kwanini tusiweki mgomo jamani hakuna kutuzama huba mpaka waache kutuchanganya😁😁
Kwani Huba imekuaje Mimi sielewi niliacha kibibi akitaka kushoot chidi kwa burial ya angel naona tayari wengine kijijini jb
alpha na blezi wako wapi jamani ?
Side kapatikana leo😅😅😅
Uyo mbaba aloongea na tesa wangap wamemuona kwe house girl
Happy alienda kwenye kaburi la nani?
Sidi mbona ulelembue macho kama ulivyo mujini😅😅😅
MACHO yangu mabovu nimemuona Eva hapo kwa bendi au kapata ruhusa kwa madam
Sidi anasikia kumuzaba kibao jb😂😂😂
Alafu ukute hii huba wanaota alafu wataamka mbeleni😅😅
😅😅😅😅😅Jb mnafki eti wacha weee
Sidi kujiziba data ww km ulizaliwa utajirin vilee pamban na jb wako ss ulikuw unajirembulishag kwny misosej sio😂😂
Sidi na JB😂😂😂😂😂
𝚖𝚖 𝚠𝚊 21 𝚕𝚎𝚘 😢🎉𝚕𝚒𝚔𝚎 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚐𝚞
❤❤❤❤
❤
Nicole kawa wamoto sasa
Xx ino baa niyani ama niya tesa