Huu ugomvi ameumaliza dada Adela. Mwanamke ndio anayeamua kuzaa sio mwanaume. Kama hataki hakuna mimba kama anataka Huna ujanja na mwanamke ambaye hataki mimba mimba haikui kuwa mtoto
Mwanyezi mungu ndio maana katutaka sisi waisilamu tuzikwe kwajina la mama maana mandio anaemjua baba wamtoto siwote tunaowata babazetu haruna uhakika hatakama tume zaliwa kwenyendoa kwadunia tunayoihi Mimi nashaulitu hatakama unamuamini mkeo kama unauwezo nivizuri kufanya DNA
Hapa ndipo nimeamini kauli yangu kuwa "NDOA" sio kitu cha thamani tena, suala la kupata mtoto linajadiliwa nje ya kuwa kwenye NDOA. Tunapoelekea NDOA haitakuwa kitu tena, ukitaka kuamini angalia single mothers mtaani.
Huyo Oscar anaongea kiredio, baba Levo yuko sahihi tuache kudanganyana. Asilimia kubwa ya wanaume hauwezi kutembea na mwanamke mmoja zaidi ya mara kumi kwa condom.
Huyu baba levo mi muongo sana.. yaani eti alikumbuka kumpima demu kama ana ujauzito au hana ili tu afanye bila silaha.. lakini mbona hukumpima afya yake kama kaathirika au hajaathirika? Hili jamaa huwa lina fix sana.. 😂😂😂😂
Siku zote Uwa Baba love anaongea ukwli😂😂😂
😂😂baba levo nakukubali sana Mzee baba.
Mzagamuo ukaendelea khaa🤣🤣🤣🤣 baba levo umeshindikana walaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤
Huu ugomvi ameumaliza dada Adela. Mwanamke ndio anayeamua kuzaa sio mwanaume. Kama hataki hakuna mimba kama anataka Huna ujanja na mwanamke ambaye hataki mimba mimba haikui kuwa mtoto
Nasimama na Baba Levo ktk hili
Mwanaume wa kutembea na Mwanamke kwa kinga ndani ya game 5 hajazaliwa
Mwanyezi mungu ndio maana katutaka sisi waisilamu tuzikwe kwajina la mama maana mandio anaemjua baba wamtoto siwote tunaowata babazetu haruna uhakika hatakama tume zaliwa kwenyendoa kwadunia tunayoihi Mimi nashaulitu hatakama unamuamini mkeo kama unauwezo nivizuri kufanya DNA
ATI mzagamuo ukaendelea 🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo apo kweny kahaba umetisha gud mfano
Hapa ndipo nimeamini kauli yangu kuwa "NDOA" sio kitu cha thamani tena, suala la kupata mtoto linajadiliwa nje ya kuwa kwenye NDOA. Tunapoelekea NDOA haitakuwa kitu tena, ukitaka kuamini angalia single mothers mtaani.
Baba levo kaongea kweli
ukweli ukitembea na mwanamke na kondom mara tatu tu unavua mwenyewe kondom unazagamua live 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba levo mzuefu SN wa kuchukua makahaba na KUKATAA kondomu mbona kipengere hicho umekielezea vizuri sn
Baba levo yuko sahihi sana
Kitabu cha baba levo kuuza ni ngumu maana soko la sasa watu hawanunui historia za watu
😂😂😂😂😂😂😂
🤦♂️ Unamaanisha nni mkuu
@@uwimana6533 😄🤣
@@alliymohamedalliy6524 jamaa wakimjaza nae akakimbilia kutoa kitabu atakisoma yeye na mke wake au we utanunua?
yn Osca anajifanya km ayupo na wenzake kbs wkt ata yy mzee wa kujiachia kwny minazi mwanzo mwisho atar sn
kwel bhanaaa Baba levo kaptia mengiii bhanaaa
Nakubari sana baba revo
Njia iliyo salama ..ni kujifunza kukojoa nje...
Ukumbuke kwamba mtoto ni mpaka mwanamke atake kama hataki hutapata kamwe
kweli kabisa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
💯 %true hii inatufundisha wanawake tujitambue
Wewe bado wanawake wakupata kwa bahati mbaya wapo tena wengi
Kwelii sku ya kwanza. Na yapili Kinga lkn sku zinazoendelea ni kavu kavuu
Baba levo ni mkweli
Baba levo Leo nakuelewa sana Osca Osca ni mshamba tu kwa hili
Kwa hapa baba levo ako sahihi isipokua wanawake wanapanga uzazi
Kila mwanaume amefanya mazur na mabaya shida wakina Edo wanajifanya hawajapitia machaf baba levo uko pw
😂😂😂😂baba levo bhana
Apo sio ote wanaume bwana baba levo uyo Adela SI mwanamke
O na oscar wako vizuri
Et tukapiga mzagamuo duuuuu!!!😂😂😂
Mshaurini na mama Dangote wakapime DNA ya Diamond na mzee Abdul
Huyo baba Levo ni mzinzi anaokotaokota wanawake c aoe
Baba levo uko sawa
Kwanza siku ya kwanza iyoiyo unaomba mungu unachapa dry mpira wa nn??
Mwanaume aache nyama..subutu. zagamuo..
Baba Levo hajawahi kosea katika hili
Anaewafanya wasiwe waaminifu ni ninyi wanaume mnatabia mbaya ni wazinzi sn hamheshimu ndoa zenu mnawachosha sn wanawake
Uongo ni kwako MZEEE
Ha ha ha Bab levo
Baba levo kwny kalenda umedanganya
Ivi uyo Dem ameolewa?
Dada kasema ukweli, mwanaume anawezajidai yupo makini lkn mwanamke akamtegeshea. Speaking from first hand experience
Aaaaaah wajemeni 40 bado baba levo ungesema hata 50 bado
Uongo uongoo uongoooo😂😂bblv
SICHOKI KUWASIKILIZA WAPUMBAVU NYIE 😂
M kondom na vaaga kwenye kidole kikubwa
Kweli anachoongea baba levo Kwanza mara ya Kwanza ata ukimwambia mwaga nje anamwaka lakin kadiri siku zinavyogyokwenda anakwambia nimenogewa
Baba levo kuywa soda kwa magi naja kulipa
Oska ukijui kichwa cha mboo Kiki simama lazima kifos kingi
Kama MTU humpendi achana nae nenda kwa unaemkbari,kwann umpe mtoto wa mwanamke mwenzio MZIGO wa kumzalia Taifa lisilo lake
Yaani ... mtu anasifia zinaa KWENYE MIKE YA CHOMBO CHA HABARI .... YAANI HII NCHI ITAFIKA LAKINI TUTACHELEWA
Utachoka wewe
Hapan wanawake Wengi wanaotumia majira hawana karenda nzuli ya mwezi wao
Mwanamke awezi cheat mume anaejua KUTOMBA VIZURI
Eeweeeeeh_🤔 😮
Mm ni mwanaume kamili lakini huwezi kutembea na mwanamke kwa kondomu mala 20
Wanaa dada. Wawe makn. Tusje. Tukalaumiana
Baba levo hapo kwa condom point ☝️
Eddo ni kichwa sna kwenye hiyo mada
😅
baba levo mkweli mkwel
Yote hayo ni kwa sababu ya zinaa watoto wa nje ya ndoa kama ndoa ya halali hakuna hayo tuache zinaa
Oscaroscar👊
Huyo Oscar anaongea kiredio, baba Levo yuko sahihi tuache kudanganyana.
Asilimia kubwa ya wanaume hauwezi kutembea na mwanamke mmoja zaidi ya mara kumi kwa condom.
Kipimo cha DNA huwa ni bei ganii
ni uongo kabisaa😂😂😂
Mimba umempima vvu je
uuuuu
Acha uwongo
Huyu baba levo mi muongo sana.. yaani eti alikumbuka kumpima demu kama ana ujauzito au hana ili tu afanye bila silaha.. lakini mbona hukumpima afya yake kama kaathirika au hajaathirika? Hili jamaa huwa lina fix sana.. 😂😂😂😂
Jaman mhhh
❤
😂😂😂😂