UKIOKOTA "EMAIL" UTAIPELEKA WAPI?😃😃😃| Penyenye Za Kitaa
Вставка
- Опубліковано 15 бер 2019
- #Penyenye Za Kitaa
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Da mbavu zangu gonga like kama tupo pamoja
GAYO MASTER tupo pamokooooo master gonga lake na kwangu basi🤪
GAYO MASTER 😂😂😂😂😂😂
Gonga like hapa tumpongeze jamaa aliye vaa ticheti nyekundu,imeli haiokotwi
Makini brother
BY King Ally from mahembe kigoma.
mi nikiiokota2 naelekea mgahawani nanywea supu, ujinga sipogo nao.
pizo the1 Hahahah
Hatar sanaaaa!
Kuokota email dar ! Hatari ssna
Kama umeona wanawaiga bamba live weka like tujuane wafatiliaj wa bamba live🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Acha mambo ya ajabu huijui hii ni ya kitambo pumbavu ww
Calvin Derick brooh hii ya nwanzo kuliko bamba live
Umechelewa kutumia UA-cam nduguyangu....Kati ya PENYEYE KITAA na BAMBA LIVE .....PENYEYE ndio ilianza kitambo nduguyangu.
Yaan ww
Hii ya kitambo sana mzee kuliko bamba live
Nimecheka sana, kumbe watz bado sana
Nilichogundua Tanzania ni nchi nzuri kuishi....
Ukiweza kuokota email bas subiria kuokota nyumba maan utakuw ni mtu wa bahat san😅😂
Wizara ya elimu mnajifunza kitu hapo?
Nimecheka nikataka nife
nebarth moses Hahahaha nomaaa
duh ase kumbe watu Ujanja bureee asee
Apo kwenye kiti ondoka maana naona utabeba kunguni hahahaa
😁😁😁😁😁😁😁
Eti naipeleka ndani
Frank Ishanshu 😂😂😂
Mi naomba mwende na arusha jamani 😂🤣 kule kuna pasua vichwa wa kutosha
😂😂😂😂 nimefuma dj hatib
Maelezo 200 ametisha kwa uongo
Juhudi Gambi Haji manara kabla ya mechi🤣🤣
Watu wawe makini na udondoshaji wa vitu vya hatar kam hivyo duuuuh
Ccm wanapenda sana kuona majibu kama haya kwa Tanzania
Unajikaza 🤙🏾🤙🏾
Mmmmmmm peoplesssss zinafulaishaaaaa aiseee!!! 😂😂😂
Hili suali halijakamilika vzr maana mtu anaweza akaandika e-mail kwenye karatasi bahati mbaya akadondosha ila huyo aliyesema vitu adimu ameniua sana
Nakubl mwana tisha sana
Penyenye hufai...
WILBARD DAMAS hahaha Acha tu kaka 😂
Dhuuu!!!!"wengi mbumbumbu kumbe😂😂😂😂😂
Swali halijakamilika hilo mzee baba umefel
Unaweza ndio kuokota ikawa imeandikwa kwenye karatasi
Sio email ni email account sikiliza fresh
olvar mark E-mail uwezi andika kwanjia ya Karatasi
Hapo atakuwa ameokota karatasi sio email
Huyo nae maelezo mengi kumbe dooooooro
@@profile4272 😁😁😁😁😁Noma sana
Hahaha kukaa na vitu vya hatari ndani n0ma
Sometimes ukiulizaga hayo maswali yako mwisho uwe unatoa majibu maana ndani ya burudani kunatakiwa kuwe na mafundisho pia mfano kama hapo ungewaelekeza Nini maana ya email na kuna siku ikiuliza kuhusu missed call tulitarajia tupate majibu baadae lakini hata mwenyewe haujajibu nikajiuliza huyu mtu anauliza asicho kijua au vp kumbe ni style yako so vyema kama ukiwa unatoa jawabu mwenyewe maana pengine hata ss tunao fatilia mengine huwa hatuyajui kwaio ukiwafundisha itakua umetufundisha na ss pia
Ila huyu kaka anaendaga uswahilini Angekuja huku kwetu mbona ingekua issue 😂😂
Hha mzinguaji ww kwan we ushawah kuiokota
we msenge😂😂😂😂😂😂😂 unafuraisha sna
Yaani email utaokotaje? Jamani
Rehema Ahamadi Ahmadi hahaha ndoivo mwaya onandugu zetu walioenda hadi sekondar hahah
Duuh! kuokota email
Dtto Zacharia umewahi nini 😂
Email huwezi okotaa
🤣🤣🤣yaan mtaniua kwakweli
Najma 3 😂😂
Duuuh namb zinaokotwa
😂😂😂mbavu zangu!
Oh my god that’s so funny
oyaaa Kaka naomba nambaaaaa
himeli unaokotaje jamani eeee
mwanangu kwa namna flani Kama umefanana na Pogba flaní hvi
Dah email kwel hhhhhh
Cholo Wao hhahaha nomaaa
Nmecheka mpk bus 😲😲😲
Mtaacha kutawaliwa😂?
😂😂😂
Napita tuu utaokota email utaokotaje
dar24@gmail.com , sio poa kabisa 😁😁😁😁
Dah mwanangu kwamatokea hayo kiboko
Hawa wapo nchi ganiiiiiiiiiiiiiiii
Yani ww unaniuwa Mbavu zangu
@@ashakambi3631 Etiii enheee
Buguruni hiyoooooooooooo
Rashidi Salum Tanzania baby
@@rashidisalum1161 watanzania,bado maboya sana
Tatizo sio wanaojibu swali lako kuuliza swali watu wasio jua unachokiuliza tena kwa lugha wasioijua wewe ndo tatizo ulizeni maswali kwa lugha yao.
Mm nikiokota email nitahila bila huruma
😂😂😂😂😂
Uwiiiiii🤣🤣🤣🤣
Penyenye ndio nini? Maana yake nini?
TZ maelezo ndo zetu hata bungeni ndo ivo ivo
Haaaah...
Ndio tatizo lakutumiya c m zamulika mwizi mana hata
Hatar san hii
Bamba live hii hapa
Maelezo mengi kumbe Kama boya wa sambona
😂😂😂😂😂
Amakeli wabongo vichwa vibovu
Unazingua ww kuma