A alaykum warahmatullah...... MASHALLAH Mashekh zangu ALLAH awabarik sana alakulli hali, muendelee kuifanya hi kazi kuwalingania watu na ALLAH awape tawfiq nyinyi na wale wanao wasikiliza INSHAALLAH
They will be asked, Qur'an Al Mulk 67:8 "did the warner not come to you?" Ustadh salim, kariuki and all the daawah Warner's, Good job u doing delivering the true message of Islam. May Allah Guide and protect you all, Ameen
Mashaalah mungu awazidishiye kheri, wacha ni warekebishe Antioch aw antokia sio syria ni Turkey , hiyo ni mji wa kihistoriya ya warumi walionzisha kanisa wakati turkey ilipatwa na mtetemeko wa ardhi hiyo mji iliteketezwa pia na allah na makanisa za qarni zilibomoka sana.hii ndiyo maelezo zaidi(In the early hours of Monday morning, February 6, a devastating earthquake struck southern Turkey and Syria, leveling buildings and killing thousands. Among the cities most affected was Antakya, Turkey - that is, Antioch. At the time Antioch was one of the three great cities in the Roman Empire, along with Alexandria and Rome itself. It was an early headquarters for the Apostles, and it was, famously, the place where the followers of Christ were first called “Christians.
And this Gospel of the kingdom shall be preached to the World as a witness to all Nations and then the End will come.Matthew 24:14 Qur'an came to oppose the Gospel but it's unstoppable
@@salimdaawah123 KUMBE JIBU UNALO KILA MTU ANAIMANI YAKE PIA NAWE UNAYAKO HIVYO ZIDISHENI KUMUOMBA MUNGU WENU PAMOJA NA KUTENDA YANAYOMPENDEZA MUNGU KULIKO KULETA HOJA ZISIZO NA MSINGI IKIWA UMEJUWA KILA MTU ANAAMINI ANACHOKIABUDU
ALL revelations of ALLAHswt, mentioned by their Names in the QURAN, are SINGLE BOOKS, written from right to left, like ARABIC, and therefore, in the language, of the PEOPLE for whom the BOOK is meant for! For example , The first TORAT was GIVEN to MUSA, in IBRANI (Not Hebrew), and the TORAT'S teachings were MEANT ONLY for the YAHUDIS. For you example, the TEACHING of REMEMBERING the DAY of SABBATH , was ONLY for MUSA'S time period( 3500 to 3400 years ago), and ONLY for the rescued 12 TRIBES of YAKUB! Therefore, This teaching was ONLY VALID 3400 years ago! The SABBATH is NOT valid today! Especially NOT for the MuAfrika!
Kweli Kabisa. Musa naTorat na teachings zake were for for HIS people ONLY, 3200 years ago! Sasa, wakati NABI MPYA akija, huyu NABI MPYA na KITABU chake, ina SUPERSEED the PREVIOUS KITABU. Kwa hivyo, alipo KUJA DAUDI, na KITABU chake cha ZABUR, hicho Zabur ita SUPERSEED kitabu cha TORAT, with the LATEST teaching! Therefore, for example, siku ya SABBATH ya MUSA,, HAINA maana TENA wakati wa DAUDI, 350 Years LATER.! HALAFU, baadaye, 2000 years ago, Nabi ESA, aka tumwa kwa Kabila ya WaYAHUDI walio bakia, PEKEE YAO! NA...wakati alipo kuja NABI ESA, na kitabu chake cha ARAMAIC, cha INJEEL, ili SUPERSEED kitabu cha ZABUR, na teachings za DAUDI. This means VIMBO, was ONLY VALID for DAUDI. In NABI ESA time, VIMBO ili kuwa Superseded ,and NOT VALID anymore! YAANI, each time a NEW REVEALATION comes, THAT revealation SUPER SEEDS the previous BOOK, with ALL the relevant teachings required, contained in the REPLACEMENT BOOK! FINALLY, .. the FINAL Prophet of A Muham'ed, sent NOT to his people ONLY, but to whole MANKIND, came with QURAN which SUPERSEEDED all the PREVIOUS books of TORAT, ZABUR na INJEEL! The QURAN, is the FINAL TESTAMENT, that contains ALL the Teachings required for MANKIND of TODAY!
Asilimia kubwa ya Mambo mengi yaliomo kwnye Biblia yanaendan na Uislamu ispokuw baadhi tu na haya ni yale ambayo yameongezw na binaadam na yanazid kuongezw kila kukicha.
"Leta evidence yaani support your claim! 😅😅 MashaAllah! Mwenyezi mungu awape umri ili muendelee kuupigania dini ya Allah!
A alaykum warahmatullah......
MASHALLAH Mashekh zangu ALLAH awabarik sana alakulli hali, muendelee kuifanya hi kazi kuwalingania watu na ALLAH awape tawfiq nyinyi na wale wanao wasikiliza INSHAALLAH
They will be asked, Qur'an Al Mulk 67:8 "did the warner not come to you?" Ustadh salim, kariuki and all the daawah Warner's, Good job u doing delivering the true message of Islam. May Allah Guide and protect you all,
Ameen
Did you hear the Gospel? That's how people get saved.
Assallam aleikum mashekhe wetu nimefurahi sana kuwaona tena msikose inshallah nawaombea sana ndungu zangu tukoo pamoja
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
Masha Allah tunawafuatilia mafundisho hadi raha
Shukran masheikh wetu kwa kazi mzuri ya dawaah mafunzo mazuri yameleweka kabisa
Kazi nzuri sana Allah awazidishie nguvu zakuwaelimisha wasiojua haki
Masha allah mungu awape umri zaidi muendelee kuitangaza dini ya hakhi
mashaAllah mungu awaongeze elimu maalim
1:28:05 kizungu imekuwa ngumu 😂🤣. Anyway, masha Allah mungu awape thawabu kwa kupeleka daawa.
MashaAllah. TabarakaAllah.
Mashalla Allah ❤❤❤
Asalamu alakum mashala mungu awalidikwaki lakabo
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah atulinde sote
It’s very sad. Lack of education honestly. Confusion continues everywhere. Ati Musa alikuwa Mkristo wakati hajakutana na Yesu.
Safi!
Masha Allah 🥰
The truth hurts
😊😊😊❤❤❤
Mashaalah mungu awazidishiye kheri, wacha ni warekebishe Antioch aw antokia sio syria ni Turkey , hiyo ni mji wa kihistoriya ya warumi walionzisha kanisa wakati turkey ilipatwa na mtetemeko wa ardhi hiyo mji iliteketezwa pia na allah na makanisa za qarni zilibomoka sana.hii ndiyo maelezo zaidi(In the early hours of Monday morning, February 6, a devastating earthquake struck southern Turkey and Syria, leveling buildings and killing thousands. Among the cities most affected was Antakya, Turkey - that is, Antioch. At the time Antioch was one of the three great cities in the Roman Empire, along with Alexandria and Rome itself. It was an early headquarters for the Apostles, and it was, famously, the place where the followers of Christ were first called “Christians.
Masha Allah tumekupata vinzuri shukuran sana
Allah Barik
Salim, mtume ﷺ na yesu wanahusiana kutoka kwa nabi Ibrahim. Ni vizuri waeleweke pia.
Muarabu na Muyahudi wapi na wapi?
@@NathanielNathan-m4okapate mafunzo wajukuu wa issac na ismail wapi na wapi
@@yabdul1782Lete andiko mjukuu wa Ishmael ni Mohamed
Huyu mjama wa t-shirt ya yellow, lengo lake haswa ni ku divert watu wasijue Haki
Assalam alleykum
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Qur'an is the last edition.
The QURAN is the Last TESTAMENT.
Or the FINAL TESTAMENT.
And this Gospel of the kingdom shall be preached to the World as a witness to all Nations and then the End will come.Matthew 24:14
Qur'an came to oppose the Gospel but it's unstoppable
HUU SIYO WAKATI WA KUDILI BIBLIA WALA QURUAN HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO MDILI NA IMANI BILA IMANI KUINGIA PEPONI NI NDOTO
Imani gani pia muhindi anaabudu ngombe na ako na imani
@@salimdaawah123 KUMBE JIBU UNALO KILA MTU ANAIMANI YAKE PIA NAWE UNAYAKO HIVYO ZIDISHENI KUMUOMBA MUNGU WENU PAMOJA NA KUTENDA YANAYOMPENDEZA MUNGU KULIKO KULETA HOJA ZISIZO NA MSINGI IKIWA UMEJUWA KILA MTU ANAAMINI ANACHOKIABUDU
@@stevensosipita2851 hata shakahola pastor Makenzie alikuwa anaamini yake mbona wazungu walikuja Africa kuleta ukristo si wangeamini wao tu
@@salimdaawah123 kaka mtajuwana wenyewe na huyo mackenzie wenu wakenya haya usiku mwema
@@stevensosipita2851 ni mkristo kama wewe na imani yake na yako ni Moja
ALL revelations of ALLAHswt, mentioned by their Names in the QURAN, are SINGLE BOOKS, written from right to left, like ARABIC, and therefore, in the language, of the PEOPLE for whom the BOOK is meant for!
For example , The first TORAT was GIVEN to MUSA, in IBRANI (Not Hebrew), and the TORAT'S teachings were MEANT ONLY for the YAHUDIS.
For you example, the TEACHING of REMEMBERING the DAY of SABBATH , was ONLY for MUSA'S time period( 3500 to 3400 years ago), and ONLY for the rescued 12 TRIBES of YAKUB!
Therefore, This teaching was ONLY VALID 3400 years ago!
The SABBATH is NOT valid today!
Especially NOT for the MuAfrika!
Kweli Kabisa.
Musa naTorat na teachings zake were for for HIS people ONLY, 3200 years ago!
Sasa, wakati NABI MPYA akija, huyu NABI MPYA na KITABU chake, ina SUPERSEED the PREVIOUS KITABU.
Kwa hivyo, alipo KUJA DAUDI, na KITABU chake cha ZABUR, hicho Zabur ita SUPERSEED kitabu cha TORAT, with the LATEST teaching!
Therefore, for example, siku ya SABBATH ya MUSA,, HAINA maana TENA wakati wa DAUDI, 350 Years LATER.!
HALAFU, baadaye, 2000 years ago, Nabi ESA, aka tumwa kwa Kabila ya WaYAHUDI walio bakia, PEKEE YAO!
NA...wakati alipo kuja NABI ESA, na kitabu chake cha ARAMAIC, cha INJEEL, ili SUPERSEED kitabu cha ZABUR, na teachings za DAUDI.
This means VIMBO, was ONLY VALID for DAUDI.
In NABI ESA time, VIMBO ili kuwa Superseded ,and NOT VALID anymore!
YAANI, each time a NEW REVEALATION comes, THAT revealation SUPER SEEDS the previous BOOK, with ALL the relevant teachings required, contained in the REPLACEMENT BOOK!
FINALLY, ..
the FINAL Prophet of A Muham'ed, sent NOT to his people ONLY, but to whole MANKIND, came with QURAN which SUPERSEEDED all the PREVIOUS books of TORAT, ZABUR na INJEEL!
The QURAN, is the FINAL TESTAMENT, that contains ALL the Teachings required for MANKIND of TODAY!
Unahubri uislamu kupitia bibila, Je unahakika unachikifundisha?
Tunahubiri uisilamu kupitia Qur'an sio bibilia huwa twasoma bibilia pale muliza swali ambaye ni mkristo anataka ushahidi kwa bibilia yake
Bible teach Islam read it properly
Asilimia kubwa ya Mambo mengi yaliomo kwnye Biblia yanaendan na Uislamu ispokuw baadhi tu na haya ni yale ambayo yameongezw na binaadam na yanazid kuongezw kila kukicha.
Yap ana uhakika coz anasoma mandio ya bibilia
Alikuwa ametenda thambi
Nani ????