SHABANI AAPA KUPAMBANA NA GSM| BAADA YA KOCHA WA YANGA KUTOA KAULI KUHUSU LIGI KUU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 31

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 11 днів тому +3

    Mwalimu wa yanga yupo sahihi hamjui mpira. Yanga katika ligi wanacheza mechi rahisi wanapanga matokeo kwa kutumia timu zilizodhaminiwa na GSM. Simba akicheza na Dodoma jiji anashika bomba kupata matokeo. Yanga anateleza wachezaji wanalegea kwa nini asiseme ligi dhaifu. Mtu wa kumlaumu hapa ni GSM anaefumbia ujinga huo kwa kupigania matumbo yao.

  • @neemamwijage
    @neemamwijage 11 днів тому +2

    Kocha wa yanga ameshaona timu ya yanga kuna kitu asituchanganye ss simba tupo vizuri

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 11 днів тому +2

    Mwalimu ni mkweli, timu zinazofadhiriwa na GSM zincheza kiregevu na Yanga. Ziko ngapi mane sijui anazitwanga 5.

  • @sadiibrahimu4303
    @sadiibrahimu4303 11 днів тому

    Ndiyo hivo mwalim wa madrasa siyo mrugaruga

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 8 днів тому

    Ahmed aliy kasema ligi zaifu mbona mjadili llo pumbavunyie

  • @SophiaWanene
    @SophiaWanene 11 днів тому +1

    Jamani kumbukeni wazee wasimba walipiga kelele sana bora cocha wa yanga atusaidie kupaza sauti

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 11 днів тому +1

    Kocha wa Yanga Upo Sahihi, ispokuwa kashindwa kuwakilisha Taarifa yake. Yeye anajua unajisi ya Yanga katika Ligi ya Tanzania kutokana Rushwa ya Yanga kwa timu nyingi na kucheza chini ya kiwango wanapocheza na Yanga. Lakini timu hizo kukaza Buti wanapocheza na Simba, kwa sababu hiyo kuimarisha Simba. Kocha wa Yanga yupo sahihi, apewe nafasi ya kuwaeleza Watanzania.

  • @AbisnaRashidi
    @AbisnaRashidi 10 днів тому

    Kama wataka ligi yenye ushindani wamuambie bosi wao aache kuzamini timu Saba na kununua mechi

  • @MrishoMhina-y5f
    @MrishoMhina-y5f 9 днів тому

    Mwanasimba ongelea uyo kocha was yanga mwalimu wa madrasa anaingiaje hapo usiingize suala la dini hapo

  • @allyhamisi-pq7yf
    @allyhamisi-pq7yf 11 днів тому

    Hao yanga ni watu wa hovyo, washawahi kuwapiga hadi viongozi wao.

  • @sharifisangyo8038
    @sharifisangyo8038 11 днів тому

    Huyo mwalimu yukosahihi

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 11 днів тому

    Side kayakanyaga😅😅

  • @MrishoMindu-zq7mz
    @MrishoMindu-zq7mz 11 днів тому

    Hapo kwenye Mwalimu wa Madrasa Mwana Simba Mwenzetu umeteleza Shika adabu yako.

  • @otmarykiowi4132
    @otmarykiowi4132 11 днів тому

    Kama ligi ni mbovu au haina ushindani, kwa nini bado yupo hapa, kwa nini asiende kwenye ligi shindani?

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 11 днів тому

    Wewe mpuuuzi huoni GSM anavyodhamini TIMU 7.wewe MPUUZI unajipendekeza kwa GSM

  • @KisagasiLuyangi
    @KisagasiLuyangi 11 днів тому

    Kocha hajakosea, timu zinapocheza na yanga, zinampa matokeo yanga, kwenye champion anakwama ndio kasema ivo

  • @DanieliDgani
    @DanieliDgani 11 днів тому

    Afu na wwe unaongeaga sanaa wwe shabani wakati hapo nyuma mlikuwa mnalalamika GSM kudhani timu nyingi ligi ni dhaifu tu kocha huyo yupo sahihi ligi dhaifu tu

  • @AbdallahMalunga
    @AbdallahMalunga 10 днів тому

    Wewe umeongea upumbavu gani unazungumza mpira kisha unasema anaitwa said kama mwalimu wa Madrasa kuna sababu gani uwadhalilishe akina said wa Madrasa na huyu wa mpira ? Acha ujinga .

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 11 днів тому

    Hawamo

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 11 днів тому

    Chanzo cha hayo yote ni litimu lao kutembeza bahasha

  • @Dr_MoMD
    @Dr_MoMD 11 днів тому

    Side boy😂😂😂😂😂

  • @DanieliDgani
    @DanieliDgani 11 днів тому

    Amna kitu wwe ligi dhaifu tu

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 11 днів тому

    Yanga wamezidi sana, maana gsm huwa anawapa bahasha simba na ndiyo maana wamefungwa mara 4 mfululizo. 5 - 1. Shame on you simba's fun.

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 11 днів тому

      Mnaifunga Simba lakin klabu bingwa zero mna nini cha maana?

    • @FatumaIbrahim-u5k
      @FatumaIbrahim-u5k 10 днів тому

      Mbwa Koko wewe kwa hela gani mlokuwa nayo ahonge Simba.

  • @RashidShedaffa-v9x
    @RashidShedaffa-v9x 11 днів тому

    Na wewe Usiwakosee adabu Waislamu. Kwa kauli yako kuwa "kama mwalimu wa Madrassa."

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 11 днів тому +1

    Kwenye mwalimu wa Madrsa shika adabu yako na tuliza akili yako

    • @ChristopherSingaile
      @ChristopherSingaile 10 днів тому

      Utani huo kwani mwrimu wa madrasa kafananisha jina sio kadharau madrasa

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 10 днів тому

      @ChristopherSingaile bila shaka lugha ya kiswahili inakupa shida neno mwalimu linawakilisha jengo au kazi ?

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 11 днів тому

    Nyie side boy siomjinga anayaona mengi mengi hapo uto