Huyu lakini anajua yale moha anayapitia kweli ndio anamshika shirt na anaonekana much😜😜 huyu moha there's another hope infront God has a good plan for you ❤❤❤❤
Huyu mama hakufanya makosa kusurprize moha lkn alikosea bwanake vile hakumwambia hapa moha hana makosa ju hajaiba wala hakuna evidence yyte ya kua wanadate
Babaa pesa nini utakufa uziwache nauende pila kitu acha mama ampee hohaa garii uyo mama mungu azidii kumjalia na moyo huohuo lnshaallaha uyu baba buree kabisaa
That Man is right...akuna vile bibi anaeza ku gift bila the husband Kujua lazima....wangeongea ndo wakubaliane hivi ndo watu hukosana nakuvunja ndoa zao😮
Moha u should know men vile Huwa Wana over react .....so ako na Right yaku claim ivo ama ata ako na right yakukasirika... than God umepata mwenye amechil ivo Bure angekuwa mwanaume mwingine angekuchafua 🥺 ushangae....just let that car go utabuy yako na pesa yako mwenyewe this woman ako na plans zake tu@@mohaclassicfamily
Hiyo isikupee pressure Moha,,hyo mwanamke ako very confident ❤she will rescue you,,kwani ata ukiwa na yeye you are allowed kwani ni crime yawa😮😮😮😮na gari am advising you please uajane nayo cox hiyo sasa imekua na mikosi already,,,
Yeah the woman doesn't seem to be having bad intentions,,,he's just helping and appreciating the poor boy who is struggle to better his future na on my side Kaa bibi angemshow husband wake before afanye anything Kaa hakua na Nia mbaya na moha
Moha wewe nawe chunga matamshi yako.... Ukiambia huyo mzee eti "Sema nakaa poa"!!! Man up Moha. Huyo ni bibi yake n the man has the right to ask n know everything. U have to humble urself pls hata ka mnadate ama hamdate
Mohaa my bro achana na Hy gari ya bure endelea kutafuta utapata Yako ya halali huyo mama ana plan yake dhidi yko . Na huyo bb tyr amekuwekea wsws. Achana nao wache wasivunje ndoa Yao kwa ajili yk please 🙏🙏😢
Nyinyi vijana kwny hamjielewi kwny mlieda tao mkathania mmefika achaneni na Mali ya wenyewe na mwache mdomo miingi be mature enough mnabishana na mwenye Mali kueni na tabia ya watu wazima si tabia ya toddlers na mwachane na Mali ya wenyewe
Moha usiongee mingi utajiletea shida unajua una deal na watu wa pesa usianze kusema ati unamjua na uko na video zake plz hata kama kuna kitu unajua nyamazia it's dangerous for you
But also the lady was not supposed to call moha at their company,, she could have done it in mohas place it could have been better coz there's no man who can be ok with these
Uyu mzee ata kama n tajiri achunge pia sisi tutafika apo ako, alie juu mgojw chini tu, kama wanasaidia wengine kq nn aumqe ju y moha😢😢 akwende uko kazia yy
Because if she claims she's really married but no respect, wale mko na macho ya uzima guilty inawahanda kweli kweli moha hata kama ni your dream car plz ran away from this
Moha don't worry bt huu mama alikosea kukosa kuabia mume wke n kama alijua hivo age expose hii surprise public utapata yko n hps kesi z family n kw chif n nyumba kumi
Another truth ni wakati jane alishuku mme wake alitumia moha kumuinivestigate ,becoz moha ametaja kuwa amekuwa akimfuatilia,sasa hii kama zawadi juu wote mi maplayers let's b honest
Here the only problem ni eti Jane hakuambia bwanake kuhusu all this scenario not unless the man has his own issues.. Anyway Moha no worry you gonna receive huge gift even more than this. Just leave the surprise '...
Actually the man is right juu mwanamke angemwambia at least they agree before akugiift but don't worry moha God will open onother doors....lkn inauma manze joh kakey kameenda hivo😂😂😂
Moha pliz ondokea iyo surprise kabisaaaa..hapo Kuna an hidden agenda coz kama uyo mwanamke alikuwa nakufanyia the genuine gift she could've involved her husband , mbona aifanye secret bila mzee wake kujua⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️
Moha sasa utapata suprise kubwa kuliko hata hiyo God is with you bro❤
Amen keep Me on prayers 🙏 😢
Moha baraka ya mungu haina majuto hii wachana nayo kabisa
Poa juu hata he took the car keys
Huyo Bwana anadharau xana.Lkn akumbuke hii nidunia tunapita.Hiyo mali yote yenye anaringa nayo ataziacha.
Ni kama n mkamba
Huyu lakini anajua yale moha anayapitia kweli ndio anamshika shirt na anaonekana much😜😜 huyu moha there's another hope infront God has a good plan for you ❤❤❤❤
Karma is real I hope God will open doors
you have a good heart Jane Gai akurathime ❤❤❤❤you will never lack in this life
Aky uyu mama n roho safi sana lakini mzee n roho jafu sana sana 😢😢😢
Shida hakuambia mume wake😢
Myb hakumwambia juu alijua hatakubali.
Have you hard wamekuwa wakigift watu Sana... Why this one imemuuuma
@@christine4072 c alisema wanasuprise watu hvo mwingine alipewa plot
It's better to consult her husband coz may angekuwa na idea ingine.
She's so disrespectful
Mwanaume ni wivu inamusumbua
Huyu mama hakufanya makosa kusurprize moha lkn alikosea bwanake vile hakumwambia hapa moha hana makosa ju hajaiba wala hakuna evidence yyte ya kua wanadate
Sure
Lkn si alisema ua anapeananga ma gifts bila kujulisha bwanake na hata akomplain
True hakuheshimu bwanake
But wasichana wakipewa haongeangi
Mama mzuri mwenye hekima Much love linet
hiyo n kidogo its agift given to u na that lady is not under age
😭😭😭🙏
Very true
Babaa pesa nini utakufa uziwache nauende pila kitu acha mama ampee hohaa garii uyo mama mungu azidii kumjalia na moyo huohuo lnshaallaha uyu baba buree kabisaa
That Man is right...akuna vile bibi anaeza ku gift bila the husband Kujua lazima....wangeongea ndo wakubaliane hivi ndo watu hukosana nakuvunja ndoa zao😮
But the lady has been helping so sikuona shida apo
Moha u should know men vile Huwa Wana over react .....so ako na Right yaku claim ivo ama ata ako na right yakukasirika... than God umepata mwenye amechil ivo Bure angekuwa mwanaume mwingine angekuchafua 🥺 ushangae....just let that car go utabuy yako na pesa yako mwenyewe this woman ako na plans zake tu@@mohaclassicfamily
@@mohaclassicfamilyata mm cjaona makosa apo uyu mzee n wivu tu😢😢
@@mohaclassicfamilylakini alikuwa anakusaidia chini ya manji,bona ushinde ukisema ulisaidiwa,ungechamaza tuu juu Mzee ako na wivu
@@mohaclassicfamilymoha achana na haya mambo wewe n mtoto mdogo sana huyu mwanaume yuko na doo kukuangamiza n rahisi sana achana na hii mambo😢😢😢
Hiyo isikupee pressure Moha,,hyo mwanamke ako very confident ❤she will rescue you,,kwani ata ukiwa na yeye you are allowed kwani ni crime yawa😮😮😮😮na gari am advising you please uajane nayo cox hiyo sasa imekua na mikosi already,,,
Yeah the woman doesn't seem to be having bad intentions,,,he's just helping and appreciating the poor boy who is struggle to better his future na on my side Kaa bibi angemshow husband wake before afanye anything Kaa hakua na Nia mbaya na moha
Huyu mzee ni mjinga 😊 sababu Jane AKO side ya moha
True moha hasiogope coz madam atamuokoa ,,,Huyu jaamaa anashuku bibi yake but hafai kuigiza moha kwa hio mambo
Already he took the car keys I can't access it
But inafaaa mwelewe huyu mzeee aki
Yeah.
She should have consulted her husband
@danitohmusick3169 sure,,,,juu sioni mzae akiwa na shida hapo,,,,najieka Kwa viatu zakee ,,,Ile kuwavuruga ningewavuruga wacha tu,,,,,
I don't think was bad thing for her gifting me if they have been doing so
@mohaclassicfamily gifting you isn't an issue, the problem is she didn't consult her husband...having money doesn't mean she should disrespect him.
Moha wewe nawe chunga matamshi yako.... Ukiambia huyo mzee eti "Sema nakaa poa"!!! Man up Moha. Huyo ni bibi yake n the man has the right to ask n know everything. U have to humble urself pls hata ka mnadate ama hamdate
Moha sometimes mouth yake ni loose anaropokwa tu
Waaaaah😢😢😢moha bb ya mtu n sumu😢😢 ulipeleka nani yule kibibi kiako sijui kinakaa ajeee😢😢😢
Mohaa my bro achana na Hy gari ya bure endelea kutafuta utapata Yako ya halali huyo mama ana plan yake dhidi yko . Na huyo bb tyr amekuwekea wsws. Achana nao wache wasivunje ndoa Yao kwa ajili yk please 🙏🙏😢
Sure nimeondokea just to be in peace
@@mohaclassicfamily it's ouky
Strong women. Strong mum ❤
Nimeelewa uyu mama ako na roho ya kusaindia
Huyu mwanaume ako na wivu tuu akuna kitu ingine ni wivu tupu
Ako right kuwa na wivu
@preciouschild1246 okay lakn afanyi poa
Nyinyi vijana kwny hamjielewi kwny mlieda tao mkathania mmefika achaneni na Mali ya wenyewe na mwache mdomo miingi be mature enough mnabishana na mwenye Mali kueni na tabia ya watu wazima si tabia ya toddlers na mwachane na Mali ya wenyewe
Ebu waambie 😂
Huy mzee ni fala
Huyo Mbaba ako na ujinga sanitize his phone
Moha ucjali mungu yupo na mambo itkwa poa , na Leo mateta amefinya man u
This woman is very strong GOD bless her so much.
Amen
Jane Mungu akubariki juu ni kama umesaidia wengi mum you have a big heart
A GIFT IS A GIFT .
AN ADULT HAS EVERY SAY IN THEIR DECISIONS !
THIS LADY IS OF SOUND MIND AND DECIDING TO GIFT MOHA SHOULD BE RESPECTED !
Exactly 💯
Moha wacha kupeda vitu za mbwelele tafuta zako hapa ata haungeshida ukingangana hakuna njasho yako unambichana nn sasa na mali ya wenyewe
Strong ❤❤mum and God protect you long life 🎉🎉🎉
Aky the lady ako na roho safi
Sanitizer,Moha Sanitiziwa,na pia both partners Since 2021?Really?Grwinyup...But Moha Rem Bibi ya Wenyewe is a no gone zone...Moha sema ikutoke...
Moha usiongee mingi utajiletea shida unajua una deal na watu wa pesa usianze kusema ati unamjua na uko na video zake plz hata kama kuna kitu unajua nyamazia it's dangerous for you
Mama alijua akiambia mzee atakataa ndio hakumuambia wooiye
Just return the key avoid that woman and pray to God to give u money and buy ur own car if this woman was genuine she culd inform her husband period
The Husband already took the car
Waw this mom is wonderful mom merciful full respect
Sure
Moha Mungu yupo, ,, kwa kweli baraka yake Haina majuto utapokea sawadi kubwa kuliko hii Kwa Imani.
I trust God everything will be fine
Do what is right mumie 🙏🙏🙏🥰I love your spirit
Uyo mama ako na roho safi
Na we moha Kwa nn ushike shike mwanamke wa wenyewe, sasa aki watch hizi video si atakua crazy
hiyo ñdio shida tu
watu tunaishi kisasa si kizamani Yani unashika mtu vle untka na ata bla kujali llte😂😂😂😂
@ kisasa ni wewe we unaona bwanake anafahamu hilo
@@TabizaAana wewe taby,bona umeweka picha ya senior Dave hapo😮😮😮😮
@@eunicewanjiru5162 coz he's my brother dear
Huyu jamaa no mkamba😂😂😂😂😂😂
Kabsa..wakanesa
@blessed_one6 ako na insecurities mob hata kama bb akumwambia.
Moha connect me to this mum she is wonderful 😊😊❤
Mungu yuko Moha achana na huyo Mzee utabarikiwa zaidi na zaidi 🙏🙏🙏
But Guy's hapa Kuna mambo. Cz Mohaa hv been following mzae 4 the last 3 months he also confess he got his footage. Anyway tukae kwa kutulia kieleweke
Wivu tu ya mwanaume
But also the lady was not supposed to call moha at their company,, she could have done it in mohas place it could have been better coz there's no man who can be ok with these
Mungu atusaidie utashinda kesi juu haukuitisha ulitafutwa ukapewa zawadi hata kama ni mimi singekataa
moha you are going far hio sio mwisho wako
wanaume pengine alikosea huyu mama ndio mana anasukusana wee
Moha tapika yote ikutoke😂😂😂😂, mwambie hiyo Airbnb
Hatashikwa na stress
Moha nipee namba ya huyo linet.
Napenda vile huyo mama ana behave vizuri she is a really rich lady in the city
Uyu mzee ata kama n tajiri achunge pia sisi tutafika apo ako, alie juu mgojw chini tu, kama wanasaidia wengine kq nn aumqe ju y moha😢😢 akwende uko kazia yy
😢😢😢
Sanitise huyu mubabas Kuna kitu anaficha
Mi naona huyo mama angekua na iden ajenda angeficha,angempatilia the secret place,
Very true
Moha hana makosa kosa liko na bibiake vile hakumwambia bwanake jamani sion sababu yakwenda mbele waelewane tu
Mum ako na hekima sana much love mum
Uyu mama ako n roho safi akh
Sure that's why she is blessed
Moha more blessings is coming
Huyo bwana anajifaanya kumbe anachit? Umeona alivyockia Huaga anaenda bnb huyoo kimya.😂😂
Lakini huyu Dem alifanya makosa kukusurprise bele ya kazi yake na anajuaaa bwanake ni wazimu
Mzee hana roho chafu ni wivu juu hakuambiwa
Moha n uache kugunza huyo mum
That woman she is wise woman
APA kuna shida huyu mama ageabia bwanake Dio asioverthink ss alifikiria bwanake akijua atasema nn
Sijaona mtu akizawadi mtu gari kirahisi hivyo labda kuna hidden ajenda.Mke wa mtu ni sumu.ungemuuliza kama mume anajua au kalikuwa opportunity
He didn't know anything to do with gift
Moha mungu atakupea gari lako ata hii pesa imeninua gari inaeza kuwa ya majini
Moha don't worry our God be with you forever and never 🙏
Waaah Moha😢😢😢😢
Moha hata mimi nakupenda na sina uwezo wa kuku buyia gari😂😂😂
Hata plot basi😂
Kutoka mwanzo nilisema huyu mama ako na roho safi ndio maana anabarikiwa and for moha unapngea mature kuliko huyo Charles
Just a kasmall car, just a few millions😂😂😂
Because if she claims she's really married but no respect, wale mko na macho ya uzima guilty inawahanda kweli kweli moha hata kama ni your dream car plz ran away from this
Mzee achana na moha, hiyo ndoa was at the verge of breaking walikuwa wanangojea tu kitu ifanyike wa separate
Wale mnajua haki,utasikiaje mke wako akiserve mume mwingine chakula kizuri,nawe upewe mashakura?? Again this are couple,mama ako na hidden agenda
Unaeza ona vile mtu anaongea ukadhani ni mzuri kumbe... binadamu 🤦🤦🙄
Moha don't worry bt huu mama alikosea kukosa kuabia mume wke n kama alijua hivo age expose hii surprise public utapata yko n hps kesi z family n kw chif n nyumba kumi
Aki woie moha 🤣🤣🤣vyenye mimi humuona innocent 😅
Bwana wivu itamuua🤣eti moha ameanza kumea pembe🤣🤣
Another truth ni wakati jane alishuku mme wake alitumia moha kumuinivestigate ,becoz moha ametaja kuwa amekuwa akimfuatilia,sasa hii kama zawadi juu wote mi maplayers let's b honest
Mbaba ako na wivu aki
Aty ushawahi ona nkiwapea ngift 😅😅😅😅
Big problem. Moha work for your own things.
Here the only problem ni eti Jane hakuambia bwanake kuhusu all this scenario not unless the man has his own issues.. Anyway Moha no worry you gonna receive huge gift even more than this. Just leave the surprise '...
This man, he's mature downstairs
Mwizi anaona watu wote ni wezi
Actually the man is right juu mwanamke angemwambia at least they agree before akugiift but don't worry moha God will open onother doors....lkn inauma manze joh kakey kameenda hivo😂😂😂
Moha achana na hiyo car please mungu atakupea yako tena zaidi ya hiyo
Amen 🙏
100peoples mnipitie niwapitie right now unasema uko number ngapí
Hii sio baraka my friend,,the Bible says baraka yaMungu iko na Amani
You’re right, let’s see how it turns out
but jenn amenunua adi Maya moha pengine alimkosea huyu mama ndio mama atoe machungu huyu JAMA weee kunakitu inaendelea
Kwani court ni ya baba yake😂
Moha hiyo isikupee pressure 😢 na mbona umeongea juu ya huyo mwanaume amekimbia alikudharau sasa mwambia ate ww ukona ndefu kama yy
Upcoming youtubers tupitiane tugrow pamoja nawapenda 😊😊😊😊
done
Done 65✅ nipitie pia
Huyu mwanamke ata ako na
Tu mwingine hakosi
Sasa ngift ni nini........huyu mzee aseme tu ameona moha ni handsome.....achana nao moha
Sawa niliachana na gift yao
Jane you are soo kind hearted person may you be blessed
Amen 🙏
Huyu mzee ni mjinga malawyer ndio watawakula
Moha pliz ondokea iyo surprise kabisaaaa..hapo Kuna an hidden agenda coz kama uyo mwanamke alikuwa nakufanyia the genuine gift she could've involved her husband , mbona aifanye secret bila mzee wake kujua⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️
Yani 1:2 ni pesa unaweza payuka kama kasuku shem on you
Mukitaka kujuwa hebu moha siku moja prank huyo jane na demu yyote uobserve her reaction
Moja usijali, utapata yako.. Just relax.. Haujaiba
Amen
Hatari sana😢😢😢😮