BREAKING: Mahakama imemuachia huru Yusuf Manji kesi ya dawa za kulevya
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2017
- Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mfanyabiashara Yusuf Manji katika kesi ya kutumia dawa za kulevya baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa hilo.
- Розваги
Mungu akupumzishe kwaamani
Waswahili acheni kuendekeza njaa mmevaa Manji muonekane kwamba mnamjali sana.Alipokuwa Segerea mliwahi kumpelekea chai au hata kumjulia hali acheni hizo.Manji nenda kajipumzikie achana na hawa waswahili wako kwa ajili ya kutaka kufyonza mihela yako tu.
Umeongea point sana
Watanzania Wana upendo
Pole sana Yusuph manji
Mungu hufanya njia pasipo na njia.
Mungu ni mwema tu nashukuru kwa kija jambo ambalo amepitia
Acheni Mungu Afanye Kazi Yake Asante Mungu Kwa Kusikia Kilio Chake Huyu Mja Wako Jamani
Wamemuonea bure, ili wachukue mali zake, Magu mungu ana kuona, pumbavu zako
Mungu mkubwa akuepushe na mengine
Nifaraja kwetu sisi wana jangwani kusikia boss kaachiwa huru
pole sana baba dunia mapito be strong
Nimefrahia kupna moment zinazosema kanji ashukuru mingu kuliko wanaochukulia ameshinda wakati upande qa mashitaka umeshindwa kuthibitisha.
Mungu alkua p1 nawe akujarie afyaaaaa
Love you manjiiii.. Mwaaaaah
excuseme may I say something private with you!?? please
sikuzote mchunga ng'mbe atabakikua mchunga ng'mbe 2.mungu alikua bamoja nawe ndugu manji.akubariki wabaya atahukumiwa siku moja namalipo hapahapa duniani.
Mungu amsimamie kwani haya yote ni mapito
Mwanaume aliye kamilika lazima apate misukosuko, kifupi Manji pamoja na Yanga imezalilishwa sana kitaasisi na kibinadamu itabidi tulipwe fidia kwa usumbufu kwa yule aliye tutu humu ilo alikwepeki wana Yanga pamoja na Manji haki inalipwa hapapa duniani na sipengine...Waswahili wanasema hivi akuchomae mchome.
pole and be strong
mwacheni mungu aitwe mungu tuna kila sababu ya kumshukuru
Mungu ni mwema
POLE SANA MUNGU NDIYE AJUAE YOTE KABLA NA HATA MWISHO .KILA MMOJA ATALIPWA KADLI YA MATENDO YAKE.
alhamudulilahi
Penye haki uongo hujitenga
And if the bad guys wann stop me running.....in Manji's voice
Sasa mrudishieni vitu vyake vyoote mlivovichukua.! card zake za bank n.k.. Mnawatesa watu tu Lo.!!🤔
Wana wa islael walipita katika ya maji na maadui zao wakafia kwenye maji wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia ashukuliwe Mungu
Wakili mzungu? Huyu wa Bei ghali sna
Hata ck moja uongo haujawahi kushinda mbele ya ukweli
mungu mwema sijawahi ona mwenye haki ameachwa
Asha Tadei mimi nilifahamu ilikuwa ni visasi tu pumbavuuuuu Mungu yupo tutaona malipo yao
Mungu nwema sana
rengo lao lilikuwa wamtoe kwenye udiwani na wamefanikiwa ok mungu yup asante ayo mkubwa
Emmanuel Samwel kama keel unampenda manji huwezi mchochea na serikali. Coz, pamoja na kuachiwa yy alikubali anatumia.kuachiwa guru no mambo y kiufundi c kwamba hakuwa na hatia.
jaman mtamuua huyu mwanaume wa watu
Filing limechezwa hapa JAMANI msitudanganye KULA mani ANAKWENDA KUWAPA VIZURI yameshwa zungumzwa haya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pasa inatembea mkwanja wanguvu unatembea ❤️❤️❤️❤️❤️
inchi imeshikwa na kichaa alisema aliye juu lazima ashuke sasa fanyeni biyo sana mtowe pesa zenu tz sivyo mtajuta
daaah afadhari
Kanji pls umeachiwa guru haimanishi hukuwa na hatia. Be honest to your government don't use people's blein and ploud pls.
Imma Mlowe wewe mwehu ndio unaosapoti ujinga visasi sio atia
Rashid Daudi tumia ubongo wako mpenz
Imma Mlowe sasa kama anamakosa mbona kaachiwa huru sasa ???
Safi acha aje uraiani
mi naona raia wanalia tu kunde zao hazina soko, coz boss unaonewa na wenye roho mbaya. ila inabd wakulipe fidia kwa kukusumbua na kukudharirisha
Huruma bas tu
Magufuli alimtesa huyuanji
Kesi za kubambikiziwa. Serikali ya visasi
je akiwashinda watamlipa maana wanampotezea mda tu visa binafsi sawa na enzi za Babuseya
Yusufu manji umeshinda haimanishi hukuwa na makosa.tudi upya shirikiana na serikali usilaghaiwe na upinzani unafanya mengi kwa hira.
wapinzani ndio walimfungulia mashtaka
Imma Mlowe ashilikiane nao nn wakati wamemsweka ndani miezi yote iyo
mungu cyo paulo wala athuman
Pole xana manji mungu atawalipa hao wababe wa nchi hii watakufa kama bwaa hao. Japo wewe ni ccm moyo uliniuma xana kwa yale mateso maana ubinadamu kwanza chama baadaye
bashitee ndo chanzo cha yote hayo maana uliwataha watu bila ushahid mwisho wa siku wanateseka bila makisa ila mungu yupo
Erasto Mwakalinga kabisa
Mmama umeganda ganduuuuu
abdallah hamza we umeongea LA maana klko wengine weng
bado wana sema makonda amesoma
Diwani Lemomo mpumbavu we.ametoka so kama hakuwa na makosa.
Diwani Lemomo Nazi ya makonda inahitaji yeye ajue kusoma na kuandika tu BC.haihitaji awe musomi. Simanishi hajasoma,amesoma kuliko wewe.
Diwani Lemomo ndoapo sasa