ESMA: MTOTO WA TANASHA NA NILLAN DIAMOND AMESINGIZIWA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • #Part3 #FAMILYAFFAIRS #INSTAFANS
    Shot by Akilxaleh & rizzler
    lights - Akida Kilango
    Edited & Produced by kazungu

КОМЕНТАРІ • 78

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri609 4 роки тому +6

    Yaani hii urembo yote bado hawezzi kuwa na kipaji cha kuwa presenter 🙄🙄😂😂😂😂😂😂,plastic beauty with no brains😂😂😂😂😂

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 4 роки тому +2

    Hahahaa atiii mwalabu mwalabu wawapii ? Na huyoo mwalabuu siku hiyoo aliiizima taa niniii

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 4 роки тому +5

    Shangazi tee ahutaki kusema myaka😂😂

    • @aishaasunshine5899
      @aishaasunshine5899 4 роки тому

      Zabibu Nduwimana ua-cam.com/video/i3aS-J0jkoI/v-deo.html

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 4 роки тому

    Jmni maana ya tabia za kiyudayuda ndo nn?

  • @saumurajabu2159
    @saumurajabu2159 4 роки тому +9

    Alafu jua ww ni shangazi hutakiwi kuwachukia watoto wa kaka ako acha hizo ila nakupenda rekebisha hizo

  • @florambwambombwambo1322
    @florambwambombwambo1322 4 роки тому +8

    Asante wote bora nimekukubali zari atabaki kuwa juu

  • @trishshii3468
    @trishshii3468 4 роки тому +3

    jibu poa kwa zari nd Tanasha unawapenda wote

  • @KATIBUSTAR
    @KATIBUSTAR 4 роки тому +10

    Wanavyomchukia mtoto wa Hamisa nae mungu ndio anazidi kumfungulia mamake njia pia ni vizuri awe kando nawao asiwe na tabia za tandale

  • @halima23862
    @halima23862 4 роки тому +7

    Mbona watoto wengine mnawapost sio mtoto wa Hamisa Why????

    • @lattyhansy6608
      @lattyhansy6608 4 роки тому +2

      Yaan mama dangote anaonyesha wazi kuwa hampendi dylan

    • @shumamyrama8479
      @shumamyrama8479 4 роки тому

      Helly DR and TZ Watu wamechoka mitoto afu mtu anazaa na mtu ambae hayuko ata tayr kua na mtoto na yey na kutusiwa anatumiwa side chick still mtu ananipeleka sasa afanywe nin kwa mfano

  • @esterjoseph673
    @esterjoseph673 3 роки тому +1

    MIAKA 12🙄🙄???

  • @halima23862
    @halima23862 4 роки тому +9

    She meant anamchukia Sanaaaa mtoto wa Hamisa

    • @chaimlarry6663
      @chaimlarry6663 3 роки тому

      You prolly dont care but if you are stoned like me during the covid times you can stream pretty much all the new movies on instaflixxer. I've been binge watching with my gf during the lockdown xD

    • @lanebrycen8762
      @lanebrycen8762 3 роки тому

      @Chaim Larry definitely, have been watching on instaflixxer for since december myself :)

  • @annaupendo4768
    @annaupendo4768 4 роки тому +7

    Ila esma aritaka kukwepa jibu ra mtoto wa hamisa kama kweli kumposti mtu sio razima uwe unampenda mbona wengine anawaposti ifike siku mtu aseme ukweli mtoto wapanya huchukiwa kwa sababa ya mama yake ila ule mtoto mama yako anamkosea maraika wawatu yule ugomvi wenu na watu wazima msimhusishe yeye 😢😢Zari hayuko na time na nyinyi ila watoto wake bado mnawaposti anawadharau kama hamisa anavyofanya ila bado watoto mnawangangania kwanini kwa mtoto wa hamisa sasa 🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️au anadamu ya KUNGUNI 😏😏😏

  • @waheedsanya492
    @waheedsanya492 4 роки тому +2

    Hichi kipindi kiboreshwe anapoulizwa swali ajibu mana anaonekana km hajuamini flan ivi

  • @wambiewaerewe5967
    @wambiewaerewe5967 4 роки тому +3

    Kigoma mulishajenga nyumba

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 4 роки тому +2

    Yule aliuliza Kama Milan na mtoto Wa tanasha si Wa diamond aliniuthi saana hua mwataka nini wale ni malaika Wa mungu

  • @sincenganimsimanga2439
    @sincenganimsimanga2439 4 роки тому +3

    Love u beautiful Esma

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 місяці тому

    Uwongo usijitetea mbona wa tanasha unamposti kila mara wa hamisa hu mposti

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 місяці тому

    Mbona baba taraji al8kuwa bwana hamisa esma akamchukua halafu anko shamte alikuwa bwana wa mama hamisa mama daimond akamchukua hata sielewi

  • @tifadent1112
    @tifadent1112 4 роки тому +2

    Esma nakupenda my csta

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 4 роки тому

    Esma uko very funny..i love u my dear..sioni yanini nikuchukie.

  • @adijaadija8339
    @adijaadija8339 4 роки тому +2

    Achakuficha myaka aunty anajiamini kasema myakayake

  • @giftsimpamba988
    @giftsimpamba988 4 роки тому +1

    mama ako nae kila mtoto na babake karithisha na wanae kuzaa na kila mtu.

    • @omqnoman9915
      @omqnoman9915 4 роки тому

      Mshauri uyo nasib afunge ndoa asizini

  • @abdullasoudi8361
    @abdullasoudi8361 4 роки тому +4

    Kwa kweli Leo nimeamini wewe ni Yuda the other day you said zari is older than mod so she was not fit for marriage today you have said yrs is just number lov matters daa rotten family

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому

    Nimekupend esma

  • @tonsah2440
    @tonsah2440 4 роки тому +1

    hii familia ni hatari huyu dada mama lake utasema wanataka kila la na mondi

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 4 роки тому +1

    mbona nasikia babayako ni mpemba!?kupona sms nako shida mh,

    • @aishaasunshine5899
      @aishaasunshine5899 4 роки тому

      Mercy Emmanuel ua-cam.com/video/i3aS-J0jkoI/v-deo.html

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 роки тому +3

    Sasa HALIMA KIMWANA. ni ndugu Yao pia kwa baba au?

  • @AnushkaSharma-uc9os
    @AnushkaSharma-uc9os 3 роки тому

    Hi asma

  • @hazelbrown4712
    @hazelbrown4712 4 роки тому

    Honestly Speaking jamani Dylan jamani hajafanana hata kwa Bahata mbaya na Diamond...

  • @chidoohtz3836
    @chidoohtz3836 4 роки тому +2

    Nasubiri segment ya #chooseone

  • @sarahtony3937
    @sarahtony3937 4 роки тому

    Hao ni mashabiki wa hamisa wasikkuchoshe

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 роки тому +2

    Yuda kweli

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 роки тому +1

    Maswali yakinafki

  • @kazamoyo7631
    @kazamoyo7631 4 роки тому

    Tabia za kiyudayuda😀😀😀😀

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 4 роки тому +1

    Mhhhh mwrabu wapi wewe unaongopa wewe indi

  • @jedidah1633
    @jedidah1633 4 роки тому

    Unapendeza Kua mtangazaji

  • @emmyhg7134
    @emmyhg7134 4 роки тому +1

    Amakweli yuda ni yuda tu.

  • @adriennebalenba117
    @adriennebalenba117 4 роки тому

    Uuum mala diamond alizaa nawanamume kweli?ila nafurahi kuona wote wanapatana vizuri

  • @halima23862
    @halima23862 4 роки тому +1

    Tanasha hana wazazi?????

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 4 роки тому

      Hata alijifungua bila mtu wao hata mmoja,sjui kanafata tu pesa and fame,aki namuonea huruma huyo tanasha.

  • @michelleunderwood6261
    @michelleunderwood6261 4 роки тому +1

    Hey

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 4 роки тому +1

    Wow.thanks Esma thanks for making us understand

  • @fatmatwalib6303
    @fatmatwalib6303 4 роки тому

    Katembele watoto southAFrica

  • @mjukuumaiige8559
    @mjukuumaiige8559 4 роки тому +3

    Shangaz yake tiffah huyooo mashallah

  • @lucymkude4127
    @lucymkude4127 4 роки тому

    Sikupendi

  • @sultanmganzira4388
    @sultanmganzira4388 4 роки тому

    Esma unajibu vizuri

  • @fluransflurans7369
    @fluransflurans7369 4 роки тому

    Kwa nini huendi kwa zari ukaone wa mtoto

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 роки тому

    Mwarabu😃

  • @brightpeople3152
    @brightpeople3152 4 роки тому

    Duh

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 4 роки тому

    mashaallah😍😍😍😘😘😘

  • @jenniferrugwe8825
    @jenniferrugwe8825 4 роки тому

    🥰

  • @adijaadija8339
    @adijaadija8339 4 роки тому

    ❤❤❤

  • @lizbethimanuel8139
    @lizbethimanuel8139 4 роки тому +1

    Apo kwa mtoto wa amisa ndio kubay apostiwi ila anapendwa moyoni wengine wanapendwa moyoni na kupostiwa dah kila mala

  • @roselynecelina9037
    @roselynecelina9037 4 роки тому

    Esma nakupenda bure

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 4 роки тому

    afu wewe esma unapenda kunichekesha

  • @fluransflurans7369
    @fluransflurans7369 4 роки тому

    Duuh Aunty kwa nini unaficha miaka