😂😂😂😂 bro haya mambo usije ukajarib bola uendelee kuskiliza story tu mim nilipewa jambo moja nifanye ndan ya chumba changu nilikutanishwa na mtu kama mim kavaa kama mim na chumba nilikiona kichungu nashukuru mungu nilishindwa mashart na pete nilio pewa ilipotea hadi leo sihitaj pesa za chap tuwe makin
Maisha yanachanga mwoto rakini hayayote yana tutokea tukiwambari na mungu tunasahau kua mungu yupo halafu sometimes wanadamu wengine hatuna hakiri imagine waganga wa chenyeji hawana utajili wowote rakini bado twawaomba utajili Eemungu tuongonze tuweze ku kumbuka kua unaishi ndani yetu hela tutaziacha hapa duniani
(1Timothy 6,10) Timotheo 6:10 maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha,ambyo wengine hali wakiitamani hyo wamefarakana na imagine na kujichoma kwa maumivu mengi*
yaani kuna watu wajinga sana. kuna kafara ambazo mtu mzima hawezi kufanya 🧐 akiwa na akilizake Timamu🧐 angalia KANUMBA. alikataaka toa mamake. wengine wajinga sana 👦🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️
Wow hii kitu ni moto sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍Thanks anko j
One Love
Eee mungu tuongeye katika njia yako baba 🤲🤲
Anko jay upo vzr sn ❤❤❤❤
Tamaa mbaya Sana kwa kutaka utajili wa haraka kama hivi
Daah history noma huuh
Ni Afadhali kipande kikavu cha mkate mahali penye amani,
Kuliko nyumba iliyojaa karamu,pamoja na ugomvi METHALI 17:1
Honger msimuliaji unampatia uyo mganga
Mungu wetu yu haiii...,kila kitu tutaweza kupitia yeye
Mngu yupe hakuna mwingine yeyote kama yey tusaidie mngu God bless 🙏
Greetings
Heri nile hiyo kindogo na watoto wangu 🥲😭😭😭😭
Waaa shetani
Achaa ni sugue hammuu tu na inshaallah nitakuwa tajri kwa ajili ya Allah 🙏🙏
🤣🤣🤣🤣🤣
@@salmazwallo5920 kweli my
Jina la app
Anko jay wangu
Huu mziki naupenda nakumbuka simuliz ya nyumba ya wafu iliyosimliwa na felix mwenda
Hii ni storia ni ya kweli muwe makini sana nyie wanawake
Asante kwa simulizi nzuri amakweli mchuma janga hulanawakwao nasikuzote tamaambele mauti nyuma
Achaa niendelee kua shaghalaa oman lkn sio pesa zaivy Allah nisameee 🥺🥺🥺
Umeonaeeee tutatumwa na warabu mpaka basi.lkn sio mengine
@@munirachangawa2928 kabisaa mpenz unapata kila haki
😂😂😂
@@ankojay8882 yes borea kuwa mtumwa lkn unajua unafanya nini.unapata pesa ya halali.ndio mana pesa yetu mungu anaibariki.
@@ankojay8882 wallah Anko
Jmn nyie. Uwiii
EE YEHOVA MUNGU TUSAMEHE NA UTUONGOZE KATIKA NJIA INAYO KUPENDEZA
Hii stori ina funzo. Ila hapo uliposema amepewa sharti la kutovaa viatu alafu aliinama chini afunge kamba za viatu🙄
😁😁😁😁😁 watu mpo makin
Sii alipewa dawa aweke kwenye kiatu
Ni simulizi tu ya kubuni ama ni kitu ilichofanyika kweli
Jamani jamani kitu kipya na anko
Enh
Hayo matatizo huyo mwanaume alitaka mwenyewe itabidi atubu sana tama ni baya sana ugesubiri mda wa mungu
Ivi hio nikweli au nikomedi za watu
🔥🔥🔥
Hadith ni nzuri
Umlaani yeye na kizazi chake, Sasa kizazi kinahusikaje kwenye laana ya mjukuu
Some people are evil. Turudi kwa Muumba wetu.
Nipo❤
Yuko wp huyo mganga
😂😂😂😂 bro haya mambo usije ukajarib bola uendelee kuskiliza story tu mim nilipewa jambo moja nifanye ndan ya chumba changu nilikutanishwa na mtu kama mim kavaa kama mim na chumba nilikiona kichungu nashukuru mungu nilishindwa mashart na pete nilio pewa ilipotea hadi leo sihitaj pesa za chap tuwe makin
Uko side gani nikupeleke kwa mwingine uko mombasa ama Tanzania?
Asante sana simulizi mix
Uongo uoo hakuna hayo
Maisha yanachanga mwoto rakini hayayote yana tutokea tukiwambari na mungu tunasahau kua mungu yupo halafu sometimes wanadamu wengine hatuna hakiri imagine waganga wa chenyeji hawana utajili wowote rakini bado twawaomba utajili Eemungu tuongonze tuweze ku kumbuka kua unaishi ndani yetu hela tutaziacha hapa duniani
Daah dunia inamambo
Subhaanaallah
Mungu atulinde🙏
😂 hii heri nibaki masikini na niishi na amani
Unachukua muda saaanaa kwa ukimya
Ivi Kuna faida gani na pesa izoo unatafuta kwajili ya family alafu family iyo unaiuwa
Naitaji namba za mtalam huyo
Napatje maisha
Eeeh mungu 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Tatizo ni sauti iko chini sana
kagua simu yako Sauti iko Vizuri
Ee mwenyezi mung tukumbuke watu wako
(1Timothy 6,10) Timotheo 6:10 maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha,ambyo wengine hali wakiitamani hyo wamefarakana na imagine na kujichoma kwa maumivu mengi*
Hakika
Kwel
Eeeh🙄🙄🤔🤔🤔🤔
maisha yamserereko acha ikae
Uogo
Utajuri wa majin ni mashart na mtihan kwa mung hutoi kafara bali ni aman na furaha tu
yaani kuna watu wajinga sana. kuna kafara ambazo mtu mzima hawezi kufanya 🧐 akiwa na akilizake Timamu🧐
angalia KANUMBA. alikataaka toa mamake.
wengine wajinga sana 👦🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️
DUNIA imeisha😭
some people are evil
Tamaa mbaya Sana kwa kutaka utajili wa haraka kama hivi