MASHITAKA YA MAISHA YAKO: BISHOP GWAJIMA | SUNDAY SERVICE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 67

  • @JosephatGwajimaRudishaTv
    @JosephatGwajimaRudishaTv  4 роки тому +7

    Karibu katika SAA YA UFUFUO NA UZIMA: Muda mfupi kutokea sasa Askofu Gwajima atakuwa LIVE akifundisha NENO LA UZIMA: Unatupata kutokea kona gani ya Dunia?

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 4 роки тому +2

      Niko lamadi na nina shida na baba nataka nikate rufaa kwake, maana yeye ni mtu wa Mungu na ni mtumishi wa BWANA YESU KRISTO

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 4 роки тому +2

      Baba nikikusimlia habari za mke wangu mwenye umri wa miaka 28 mimba 13 zimemwagika, kufunga tumefunga maombi tumeomba na sadaka tumetoa lakini mambo bado magum, ndio maana nakata rufaa kwenye mamraka ya juu, tia neno lolote mimba ya 14 isimwagike

    • @margaretmuranga1362
      @margaretmuranga1362 4 роки тому +1

      Naitwa Margaret Niko upande Italy

    • @onamasaki1211
      @onamasaki1211 4 роки тому +1

      Kahama; Shinyanga TZ.

    • @niyokwizeradieudonne7362
      @niyokwizeradieudonne7362 4 роки тому +1

      Burundi Bujumbura

  • @beatricekamana4454
    @beatricekamana4454 4 роки тому +1

    Amen amen. Nimebarikiwa kabisa na neno la Mungu. Ninafuata online nikiwa Boise, Idaho, America. Mungu akuzidishiye mtumishi wa Mungu.

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 4 роки тому +1

    Amen baba askofu Bibilia yote iko kinywani doh najifunza sana may u live long

  • @kareganjagi8640
    @kareganjagi8640 Рік тому

    Amen amen 🙏🏾

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 4 роки тому +2

    Neno lisilo ghoshiwa. Chakula cha watu wazima hasa. Mungu ibariki Rudisha TV, Mungu bariki Ufufuo na Uzima.

  • @-lameckvitalis
    @-lameckvitalis Рік тому

    Amen baba

  • @kapingatshiasuma5647
    @kapingatshiasuma5647 4 роки тому

    Amen Amen God bless you pastor Gwajima Josephat 🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏

  • @mussabulugu6319
    @mussabulugu6319 4 роки тому +2

    Asante baba askofu tunabalikiwa sana

  • @muganzomaendeleo735
    @muganzomaendeleo735 4 роки тому

    Mungu akujaze nguvu zakipeke

  • @jimwekesa5800
    @jimwekesa5800 4 роки тому +2

    Baba una mafunzo na ufunuo Wa kipekee. Mungu akustawishe maisha yako yote uzidi kutufunulia.

  • @josephmayunga2879
    @josephmayunga2879 4 роки тому

    Mungu akubariki, ongezeni sauti

  • @evelynouma975
    @evelynouma975 4 роки тому +2

    Watching from Nairobi..
    Nakufatanga sana

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 4 роки тому

    Amen Amen Amen watching from nairobi

  • @lameckvlazaro2423
    @lameckvlazaro2423 2 роки тому

    Nice

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 4 роки тому +3

    This is for those who said Bishop Gwajima when is going to be nominated as Mp for kawe he will be not seen on platform now come and see for urself he play giter he sing and he is online on utube

  • @faithkioko5705
    @faithkioko5705 4 роки тому +1

    Hallelujah

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 4 роки тому +1

    Naamka kwa Jina la Yesu

  • @edithshirima2621
    @edithshirima2621 4 роки тому

    Ubarikiwe Baba yetu kibaha kwa mathias tunakupenda sana

  • @alicensabimana7293
    @alicensabimana7293 4 роки тому

    Najuwa kama uyu siyo mimi wame shindwa kunisaidiya peke yako tuuu nakusubiriya leo iyi now tomorow
    Asante

  • @asmaaarndt6726
    @asmaaarndt6726 4 роки тому

    Majeshi majeshi majeshi ya bwana pls naomba nr y benjaze nipeni 👍🏿🙏🏽

  • @bejishful
    @bejishful 4 роки тому

    Amen amen amen! Halelujah!!!

  • @nesielias317
    @nesielias317 4 роки тому +1

    U ishi milele. Baba

  • @immaculatajoyce4321
    @immaculatajoyce4321 4 роки тому

    Amen Amen

  • @osiaundule6443
    @osiaundule6443 4 роки тому +1

    sauti

  • @christinakitomari7702
    @christinakitomari7702 4 роки тому +1

    Hii Tv Rufusha ya Bishop. Gwajima inapatikana kwenye Chanel ipi. Au kingamuzi kipi? Naomba nijulishenifatilie. Kwa sasa namfuatilia kwenye UA-cam tuu. Watching from Songwe Tunduma

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 4 роки тому +1

    Ameeeeen

  • @immaculatajoyce4321
    @immaculatajoyce4321 4 роки тому

    Amen

  • @irenengina8382
    @irenengina8382 4 роки тому

    Baba ni kweli kabisa ,Kuna vitu naona mpaka nashituka

  • @onamasaki1211
    @onamasaki1211 4 роки тому

    Yes! From Kahama; Shinyanga TZ.

  • @onamasaki1211
    @onamasaki1211 4 роки тому +2

    Mliopo nje ya Tanzania leteni mitaji tulimeeeeee! Ardhi ipo mitaji ya kufuga na kilimo chenye tija hamna; NAWAITA KWA JINA LA YESU! hapa home tunapuuzana tu hatuaminiani.

  • @jejesalama7970
    @jejesalama7970 Рік тому

    Please Côme toi Canada

  • @unduleosia4198
    @unduleosia4198 4 роки тому +2

    mafundi mitambo uwa mnatuangusha kwenye upande wa sauti

  • @bettynyongesa6702
    @bettynyongesa6702 4 роки тому

    Ameen. Tafadhali naomba message za Watsapp zifunguliwe ama tupewe number nyingine.

  • @sophiajulius9832
    @sophiajulius9832 4 роки тому

    AMINA

  • @meryololo5410
    @meryololo5410 4 роки тому

    HONGERA MTUMISHI UKIJA BUNGENI NINAOMBA MUNGU KIBALI CHA KUFUNGUA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA . HUWA NAFUATITILIA MAFUNDISHO YANANIBARIKI SANA MUNGU AKUINUE ZAIDI. AMEEEENI.

  • @pastorhermantv5420
    @pastorhermantv5420 4 роки тому

    Ameeeeeeeeeeeen

  • @happymtundu8023
    @happymtundu8023 4 роки тому +1

    Kweli hata mi sishindani nao nasonga mbele nilikoona mambo yangu mazuri

  • @catherinesaadan8555
    @catherinesaadan8555 4 роки тому

    Sauti ipo chini,mngefungua group la watsap mngekuwa mnaturushia haya mafundisho jamani,tunapenda ila huku UA-cam wakati mwingine inasumbua kama ivyo sauti

  • @lydiasam5861
    @lydiasam5861 4 роки тому

    No volume

  • @Mo_Classic_Brand
    @Mo_Classic_Brand 3 роки тому

    NENO LA BWANA LIISHI MILELE

  • @abelmahesha8029
    @abelmahesha8029 3 роки тому

    .

  • @alicensabimana7293
    @alicensabimana7293 4 роки тому

    Leo iyi nakomba ni Rudi
    Akiri , afya , utajiri , urembo , ufaamu , etc .... Aciya weye urinifanya kiraro cako nakuwa zamu wamisukure ukooo leo bomoka teketeya achia kunivika yako nakucukuwa yangu leo Mungu nipe kuishi nakufanya uricho niumbiya Kwa sifa zako badiri i am very very ans very tide do same think tout day

    • @ayubumangombe4911
      @ayubumangombe4911 4 роки тому

      Mungu akubariki Mtumishi naomba namba zako jaman Mimi huwa nakuelewa Sana na ninakuamini Sana Mtumishi wa Mungu

  • @lydiasam5861
    @lydiasam5861 4 роки тому

    Sauti ya kutosha please

  • @onamasaki1211
    @onamasaki1211 4 роки тому

    NYIE NDUGU WA TEHAMA; HAISIKIKI VIZURI! KUANZIA ROBO HIVI.

  • @elizabethkasimila9771
    @elizabethkasimila9771 4 роки тому

    Amen

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 4 роки тому

    Ameeeeeeeeeeeeen