Dogo Founder TZ is tomorrows legend, yeye azidi kupiga muziki na masomo pia ayafuatilie asiache masomo afanye muziki na pia apewe support kimasomo pia.
Harmo bado Hana uwezo wakumsimamia msanii yemwenyewe bado anahitaji kujisimamia,huyo Ibra mwenyewe washayazua huko,fuatilia hilo utakuja kunishukuru🤣🤣🤣
Dogo yupo vizuri cha msingi tu apate msaada kutoka kwa Diamond kama alivyo tangulia kusema anatamani awe kama Simba na wasanii wengine nadhani mziki na masoma ni vitu vinavyo endana kabisa
Kama unakubal founder tz ni noma ngonga like hapa
Founder tz is genous
Dogo Founder TZ is tomorrows legend, yeye azidi kupiga muziki na masomo pia ayafuatilie asiache masomo afanye muziki na pia apewe support kimasomo pia.
wewe ulie soma umefanikiwa nini
Wewe uko na akili kweli? Masomo siku hizi hisaidii..achape muziki
Kweli kabisa shule sio kitu muache awe anachukua mb zetu 2
😊😊😊😊
Uzuri wenu Tanzania ni support mie mkenya lkn nawapendea umoja❤
Poooo yooo
Mtoto wakibembe mungu akulinde
Unaposema dogo janja unakosea, tumia Founder TZ
🎉🎉🎉🎉🎉 congratulations brothe siku Moja utafaulu kama mond
Dogo founder big up endelea kuweka nia utafika mbali ila mtangulize mungu na shule usiache
Mungu amuntangulie jmn❤❤
Mungu azidi kuwalida wote mnao msapot❤❤❤
Kali Sana ❤❤❤
Nice one bro
mungu akulinde founder tz💓💕💝💜
Founder tz yuko sawa si mbaya kuchapa mziki na akiendelea na masomo Mungu amsaidie kwa kila jambo WCB mshikeni mikono vzur Mungu atawabariki sana ❤❤❤
Mm susi kutoka Kenya nijana Ako sawa asome na ahendelee kukasa kamba na mungu amutangulia
More blessings youngster❤❤
Tafadhali viongozi mlioko chini ya huyo mtoto msimamieni vizuri msimvunje moyo 7:51
Sawa bro ❤❤❤❤❤
Mtoto wetu wa kibembe mungu akusahidiye
Nice
Really ❤❤❤tale Be blessed
Nivzuri sana
nakubari
Nuitaji support you
Oy faunder natamani nije kua kam wew na vile na digri kam wew
Ataweza ju bidi niyeye mwenyewe ❤
Babu tare nibabayao nimurezi cakufanya amushike mukono faunda tz Na diamond platnumz wamusaidie faunda kundi la wcb please mumusaidie dogo mimi natoka buja nawapend❤
Rimjari mc wa kenya naninge penda faunder tz aendeleze kipaji chake huku akisaidiwa asome ndio kesho husani wake hukuje angare asanteni wasafi
Asante kwako WCB
Mungu azidi kumlinda san kweli 💕 napia masome asiache🙏🙏
Vizuri
Hapo amepatia aludisul na muziki atanik simba pokea mtoto wa nyumbani kigoma Abantu bakunda ibikogwa mimi Mutu wa buja namupenda simba 1oo/100
Aha kijana yupo vizur akaze but atatobia dah nimemkubal Sana founder jmn
Kipaji kaonesha dogo yupo vzr
Ongera dogo
He is very smart🔥🔥🔥
Big up Sana bro founder tz
Mulishio njo kazi❤
Mashaallah ❤❤❤
Yuko vizuri
Kwakweli kijana Yuko saw n anahitaki. Saport yenu n ss mashabik wake
Asanteni Wasafi...🙏🙏🙏
kijana shukuru mungu kua umefika hapo tu ndani ya hiyo nyumba umesha tombowa
👍👍
Yuko good
From dubai mtt yupo vzr
Kinjana afate chule kwanza
Dogo asome na afanye mziki
Courage
Bongo mukubwa waba dogo ni DOGO SILLaH ana founder tz
Founder tz ni mtoto Sana kwa dogo SiLLAH
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Founder uko viziri mungu amfungulia
Mungu amutangulie AJ awe mxanii mkubwa Kam wengine
Mashallah
Wekeni taarifa za ukweli kutokana na kichwa Cha habari ujinga huo
Mupleke kwa hamo😂😂😂
Harmo bado Hana uwezo wakumsimamia msanii yemwenyewe bado anahitaji kujisimamia,huyo Ibra mwenyewe washayazua huko,fuatilia hilo utakuja kunishukuru🤣🤣🤣
Bien Sana 🇨🇩
Mtoto yupo vizuri sana
Atakuja kumulipisha ma million subiri
Uyo mtoto amezaliwa tanzania yani ni ana haki yake❤
Hata asipo zaliwa tzd watanzania wanaroho za upendo hawana ubaguzi
@@emmiemmi3861 ukweli iyo tunajua wana roho ya upendo
Ana kipaji sana
Greates mwajiri dogo ana pakuka
Yaani uyu dgo sio wakuachiliwa mkono tunamtka diamond amsaidie uyu dogo kma ana ubinadaam
Akasome
👌👌💖🌹❤
Namukubali
Dogo yupo vizuri cha msingi tu apate msaada kutoka kwa Diamond kama alivyo tangulia kusema anatamani awe kama Simba na wasanii wengine nadhani mziki na masoma ni vitu vinavyo endana kabisa
Kiukweli anakipaje kikubwa
Dodo founder tz ahendelee na shule pia mziki
❤❤ 4:34
Ok jamani dogo Yuko vzl
❤❤❤❤❤
Shoo shoo mdg ang
Hawa jamaa wanaongea Kama hawana ubongo😂
Kipaji anacho jamani
❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
Apambane mdogo wangu
Dogo ana juwa kweli
Dogo yuko sehemu salama
Konki Sana il
Dogo Yuko vinzuri mshikeni mkono tu mana Yuko vinzuri
wamupe nafasi tu dg anajuwa kazi
Kipaji anacho
Mikuma nyny kwa uwongo
Hekko
.
Dogo❤❤
Uyo dog yupo vizur
Doga kasha pita
Kipaj anacho dogo mshiken mkono
Kaza
Ee
❤
🤝
❤❤❤❤
Dogo kashatoboa
Kipaj anacho dogo mshiken mkono
Dogo nakupa mkono ,we n shupavu kimziki, nakupa mkono, yours Fantah B naomba siku moja npige rapa na wewe 🔥🔥
Kabisa mumusogeze
❤❤❤❤