Ukitaka ujue kwamba huyu shehe kakosea au kaamua kupoteza watu kuhusu bin uthaymeen kasikilize Muhammad nasoro bacho kashajibu hili swala bin uthaymeen alikua anajibu kuhusu ramadhan lakin kwenye hijja lazma watu wafate makka
saidmkwinzu9106 haya huyo zuzu wenu bachu asokuwa na Elimu hana tafauti na nyinyi ashajibiwa na Sheikh Izzudin si niliwaambia hajui kusoma Ibara ndio maana yuwatafsiri kwa akili zake azidi kujidhalilisha kwa uzuzu wake
saidimkwinzu9106 na wewe ukitaka yule bichwa nazi Koko asokuwa na Elimu hana ajuwalo kutafsiri kwa akili zake kamsikize Sheikh Izzudin na Mwanafunzi wa Said Ali Hassan
@@abubakaromar6101 hao Akina izudin wote hamna kitu hapo wanabwabwaja nishawasikiliza wote Sasa me nakuambiaje kama umeshindwa kumuelewa Muhammad bacho Kwa dalili alizotoa kutoka Kwa Wana wa chuoni pamoja na kuongelea uongo wa huyo shehe wako hapo kupindisha maneno ya bin uthaymeen kamsikilize sufi mwenzenu sheikh muharami mziwanda na yule shehe lenu kubwa kabisa la misri pamoja na chief kadhi wenu wa Kenya masufi wote hao halafu uje useme we ndo kichwa kokoto Nazi mafuta au ni hao?😄😄 Maskio yenu baadhi ya masufi Yako kwenye visigino sheikh Suleiman kilemile alikua sufi mwenzenu mkubwa lakin kwenye hili la arafa hakua na ninyi mana mnaelewa ukwel lakin mnaamua kupindisha haqqi mkamchukiaaa ALLAH amrehem ukitafta darsa zake humu utaziona pia Muhammad bacho na mwimba Kwa masufi asalimia 💯
SAID ALI HASANI ASIWAFANYE WAJINGA BURE... MUULIZENI KATIKA MARA HIZO ISHIRINI ALIYOKWENDA MAKAH KUHIJI ASHAWAHI KUSIMAMA ARAFA TOFAUTI NA VILE WALIVYOTANGAZA SAUDIA??? ASIWADANGANYE BURE ASIWAFANYE WAJINGA KIASI HICHO.
MuhammadMuhammad-gr2qv Dah kumbe wajinga ni wengi hata hujielewi atasimama vpi tafauti na yeye yuko huko kwani inchi pia wasimama Arafa? Hata Maswahaba walitafautiana Kwa mwandamo wa mwezi kasome hii Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.
أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
Wacha kubabaisha watu mbona huachi usufi ikiwa wasoma kweli wasema ulisikia muhadhara wa Sheikh Muhammad Bin Swaleh Al Utheimeen. Pia si kweli Sheikh Abdulaziz bin Abdallah ibn Baaz Ni Sheikh wa Ibn Utheimeen na bora kuliko mwanafunzi wake.
Huyu ibn uthaimin ni swahaba kama vile wewe ni shekhe na yeye pia ni shekhe na ikiwa amemshinda bin baz basi wako pia walowashinda wao kwa wateni fitna nyote mumejumuika kupinga chief kadhi wetu kwa kuwa hakubaliani na hizo fatwa zenu
husseinshatry938 na Chief Kadhi ni Swahaba kama huna habari Inbu uthaimin ategemea Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
Swali langu ni hatukulingana vp? Tym iko sawa. Siku iko sawa. (Leo sudia jumamosi saa 3:31 kenya ni hivo hivo) Asoijua Makkah ni yule hana simu ukiwa na simu wajua leo ni Tarehe mbili dhulhijja Naona ni wakati na sisi tuchanganye pesa kwa umoja wetu tununue vifaa vya kuangalia mwezi na kusoma elimu ya mwezi, endapo saudi wataona mwezi na sisi pia tutaona mwezi bidnilllah wazo tu na toa Mashekhe wangu wa Kenya nijukumu lenu kukaa chini na kutatua hili jambo. Hili sio jambo la kutatizana tukisimama sote ummah mmoja machine china twaipata kwa bei nzuri sana na mm msimamo wangu ni 1ummah (ummah wapotea) (especially dada zetu)
Hoja sio time kuwa sawa hata kama dunia yote ingekuwa time sawa basi kila nchi ingebaki kuwa na wakati wake wa kuzama jua na kuchomoza time tupo sawa kweli mbona wakiswali isha sisi hatufuati kule tunasubiri muda wetu ufike
ushauri wangu tujitahidini kusoma na kujielimisha juu ya uislamu wetu kabla mambo kama haya hayajafika ili mtu ujue upi msimamo sahihi na uufuate na sio kupewa miongozo ambayo huielewi kwa kigezo cha ikhtilafu
SurprisedCurling mbona bachu hakuisoma hii Hadithi Ibnu Uthaeimy aloetegemea أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
SurprisedCurling-si9yr basi bachu kama ataka kujibu mwanzo kabla kujibu mwambieni atwalii vizuri hizo Ibara yuwaziponda ponda tafuta hicho kitabu cha Ibnu uthaimin uwone alivyoziponda alafu mbona hakuisoma hii Hadithi Ibnu uthaimin aloitaja kutegemea maneno alosema أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@@aminuddinwacate sisi tushaelewa sana Ibnu uthaimin ila nyinyi mawahabi ndio hamutaki kumuelewa pale anapotafautiyana na rai zenu hamumkibali hilo ndio tatizo lenu
@@abubakaromar6101 waongea Sanaa haya nenda Leo ukaskize Sheikh Muhammad Bachu alivyomfundisha sheikh wenu Said Ali Hassan na akamjibu kielimu ya hali ya juu .. kupitia huyo huyo sheikh Al utheimiya... Mwaka huu Mutaelewatu Tu insha'Allah
@@MuhammadMuhammad-gr2qv nimemsikia dakika 45 nzima hajajibu kitu ktk hayo maneno alosema Ibnu Uthaeimy vichwa vyenu ni mfinyo sisi tushaelewa kutoka kitambo labda vichwa vigumu bachu mbona
Hiz chanel zenu mnakurupuka. Ibn uthaymeen Sio Dalili kwa hyo Tutaangalia Anatumia Dalil gani. Kingine Saudia Hutetea Mamlaka yao.Kwa hyo hata majb Yao huzingatia Dalili. Kama Mnamuamini Ibn utheymeen Je,Anasemaje kuhusu Aqida na jambo la mawlid. Tunachohitaji Dalili!??
@@abiabi9353 hiv itafaa kuwa ni hoja dhidi ya watu wengne juu ya kuchukua maneno ya mwanachuoni mmoja au fatawa yake ikawa Ndio Ijamaai na kuwaona wengne wamekosea...?? Pili nataka kujua wahabi ndio nn ??nijibu kwa dalili. Sisi hatuangalii nani kasema ila tunaangalia nin kasema kama ni haki tunaichukua Kauli yake. Huyo huyo ibn utheymeen ana makosa mengi tu ktk Fatawa zake lakn Sisi tunamheshim lakn hatufuati ktk hayo aliyoteleza. Mfno:msimamo wake anaona mtu kushika Utupu wake hakutengui Udhu. Mtu kutumia musabaha ya yafaa ikiwa kama ni Wasila wa kudhibiti idadi tu. Lakin Nyiny masufi kwa itikadi zenu mngemfuata kichwa kichwa tu eti kwa kuwa Mwanachuoni. Mambo hayo Ya Mwez mwandamo,Arafa, Yapo ktk khilafu baina yetu sisi wenyewe Ahlu sunna waljamaa Ktk Kauli na mitazamo tofaut tofauti tena ni Khilafu ya muda Mrefu tokea Karne ya 3 Ya uislam na hata hapo kabla na walijadiliana lkn hawakufikia ktk Kauli moja.Wa hyo tunategmea kauli kama hizo za sheikh Ibn utheymeen ziwepo. ww ndo Huelewi ndo unaona kama Mageni.
KomboOmar-iy8zd tutamfwata Mtume S.A.W kwa hii Hadithi وهذا حديث كريب إذ يقول: "قدمت الشام، واستهل على هلال رمضان وأنا بالشام، فرأيت الهلال ليلة الجمعة، ثم قدمت إلى المدينة في آخر الشهر، فسألني ابن عباس، ثم ذكر الهلال فقال: متى رأيتم الهلال؟ فقلت: رأيناه ليلة الجمعة، فقال: أنت رأيته؟ فقلت: نعم، ورآه الناس، وصاموا، وصام معاوية، فقال: لكننا رأيناه ليلة السبت،،،فلا نزال نصوم حتى نكمل ثلاثين، أو نراه ّ، فقلت ألا تكتفي برؤية معاوية وصيامه؟ فقال: لا. هكذا أمرنا رسول الله صلى الله عليه وسلم رواه أحمد ومسلم والترمذي
Ukitaka ujue kwamba huyu shehe kakosea au kaamua kupoteza watu kuhusu bin uthaymeen kasikilize Muhammad nasoro bacho kashajibu hili swala bin uthaymeen alikua anajibu kuhusu ramadhan lakin kwenye hijja lazma watu wafate makka
Unajua kwamba na yeye bachu keshajibiwa
@@MuhidiniNassor sawa kama kajibiwa lakin mwambie huyo shehe wako asome maelezo vizur bila kukata ya sheikh bin uthaymeen kama kweli ni mtu WA haqqi
saidmkwinzu9106 haya huyo zuzu wenu bachu asokuwa na Elimu hana tafauti na nyinyi ashajibiwa na Sheikh Izzudin si niliwaambia hajui kusoma Ibara ndio maana yuwatafsiri kwa akili zake azidi kujidhalilisha kwa uzuzu wake
saidimkwinzu9106 na wewe ukitaka yule bichwa nazi Koko asokuwa na Elimu hana ajuwalo kutafsiri kwa akili zake kamsikize Sheikh Izzudin na Mwanafunzi wa Said Ali Hassan
@@abubakaromar6101 hao Akina izudin wote hamna kitu hapo wanabwabwaja nishawasikiliza wote Sasa me nakuambiaje kama umeshindwa kumuelewa Muhammad bacho Kwa dalili alizotoa kutoka Kwa Wana wa chuoni pamoja na kuongelea uongo wa huyo shehe wako hapo kupindisha maneno ya bin uthaymeen kamsikilize sufi mwenzenu sheikh muharami mziwanda na yule shehe lenu kubwa kabisa la misri pamoja na chief kadhi wenu wa Kenya masufi wote hao halafu uje useme we ndo kichwa kokoto Nazi mafuta au ni hao?😄😄 Maskio yenu baadhi ya masufi Yako kwenye visigino sheikh Suleiman kilemile alikua sufi mwenzenu mkubwa lakin kwenye hili la arafa hakua na ninyi mana mnaelewa ukwel lakin mnaamua kupindisha haqqi mkamchukiaaa ALLAH amrehem ukitafta darsa zake humu utaziona pia
Muhammad bacho na mwimba Kwa masufi asalimia 💯
SAID ALI HASANI ASIWAFANYE WAJINGA BURE... MUULIZENI KATIKA MARA HIZO ISHIRINI ALIYOKWENDA MAKAH KUHIJI ASHAWAHI KUSIMAMA ARAFA TOFAUTI NA VILE WALIVYOTANGAZA SAUDIA??? ASIWADANGANYE BURE ASIWAFANYE WAJINGA KIASI HICHO.
MuhammadMuhammad-gr2qv Dah kumbe wajinga ni wengi hata hujielewi atasimama vpi tafauti na yeye yuko huko kwani inchi pia wasimama Arafa? Hata Maswahaba walitafautiana Kwa mwandamo wa mwezi kasome hii Hadithi
أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
Sasa akiwa Saudia atafuwataje tarehe ya nje ya Saudia? Khaaaaa??!
@@HamadaZubeirTahir KUMBE UNAJUA KAMA SAUDIA HUWA WAKO SAWA... NDIO MUZINDUKE BASI MUWACHE UJINGA WAKUPELEKESHWA KAMA KONDOO..
Una akili nyengin ama n hihii tu
@@MuhammadMuhammad-gr2qvUwendawazimu si kuokota makopo tu
Arafa ni moja
MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.
MM KWA UFAHAMU NLONAO NI KUA SIKU NI MASAA 24 LA PILI MAGHARIBI ZIPO MBILI NA MASHARIKI MBILI .
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Waendaje HAJJ ZAIDI YA MARA ISHIRINI MTU MMOJA?? HIZO TICKETS ZA BURE ZA KUPEWA AMBAO HAWAJAENDA MWAZIVAMIA NYINYI ...MUTAULIZWA KESHO KIYAMA
Haikuhusu.Hivyo ndivyo uislam unavyokufundisha kutoa hukmu juu ya jambo usilolijua. Lkn sishangai hiyo ndiyo tabia yao mawahabi
Mbona ww unakula unashiba kila siku jirani yako hawi na njaa hali ya kuwa wewe umeshiba huoni kwamba na wewe utaulizwa
أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
Wacha kubabaisha watu mbona huachi usufi ikiwa wasoma kweli wasema ulisikia muhadhara wa Sheikh Muhammad Bin Swaleh Al Utheimeen.
Pia si kweli Sheikh Abdulaziz bin Abdallah ibn Baaz Ni Sheikh wa Ibn Utheimeen na bora kuliko mwanafunzi wake.
Huyu ibn uthaimin ni swahaba kama vile wewe ni shekhe na yeye pia ni shekhe na ikiwa amemshinda bin baz basi wako pia walowashinda wao kwa wateni fitna nyote mumejumuika kupinga chief kadhi wetu kwa kuwa hakubaliani na hizo fatwa zenu
Wewe jahili kweli wakiwahabi. Huyo chief kadhi wako anatakiwa atupe dalili siyo atuburuze kama watu tusiyojijua
husseinshatry938 na Chief Kadhi ni Swahaba kama huna habari Inbu uthaimin ategemea Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
Swali langu ni hatukulingana vp?
Tym iko sawa.
Siku iko sawa. (Leo sudia jumamosi saa 3:31 kenya ni hivo hivo) Asoijua Makkah ni yule hana simu ukiwa na simu wajua leo ni Tarehe mbili dhulhijja
Naona ni wakati na sisi tuchanganye pesa kwa umoja wetu tununue vifaa vya kuangalia mwezi na kusoma elimu ya mwezi, endapo saudi wataona mwezi na sisi pia tutaona mwezi bidnilllah wazo tu na toa
Mashekhe wangu wa Kenya nijukumu lenu kukaa chini na kutatua hili jambo. Hili sio jambo la kutatizana tukisimama sote ummah mmoja machine china twaipata kwa bei nzuri sana na mm msimamo wangu ni 1ummah (ummah wapotea) (especially dada zetu)
Hoja sio time kuwa sawa hata kama dunia yote ingekuwa time sawa basi kila nchi ingebaki kuwa na wakati wake wa kuzama jua na kuchomoza time tupo sawa kweli mbona wakiswali isha sisi hatufuati kule tunasubiri muda wetu ufike
@@aliabdalla9297 uko na point endelea please nakusikiza
Me nafuata Pemba chokocho na mkanyageni nimechoka kupelekeshwa
Marsha Allah shekh sawa sawa tumekuelewa shekh huzungumzii ju ya hajj wazungumziya ju ya muandamo wa mwezi shukran shekh Allah akuhifadhi
ushauri wangu tujitahidini kusoma na kujielimisha juu ya uislamu wetu kabla mambo kama haya hayajafika ili mtu ujue upi msimamo sahihi na uufuate na sio kupewa miongozo ambayo huielewi kwa kigezo cha ikhtilafu
Muhammad nassor bachu ashajibu ..,soma kitabu vzuri shekhe
SurprisedCurling mbona bachu hakuisoma hii Hadithi Ibnu Uthaeimy aloetegemea
أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
SurprisedCurling-si9yr basi bachu kama ataka kujibu mwanzo kabla kujibu mwambieni atwalii vizuri hizo Ibara yuwaziponda ponda tafuta hicho kitabu cha Ibnu uthaimin uwone alivyoziponda alafu mbona hakuisoma hii Hadithi Ibnu uthaimin aloitaja kutegemea maneno alosema
أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
Na wewe kasome sana katika mujjalad wa 20 pág 40 Uthaymen anasema wazi wazi
Huyo Bachu kajibu kitu gani mpumbavu mmoja
@@aminuddinwacate sisi tushaelewa sana Ibnu uthaimin ila nyinyi mawahabi ndio hamutaki kumuelewa pale anapotafautiyana na rai zenu hamumkibali hilo ndio tatizo lenu
hapa jambo lao limekwama watu wanajua kufanya baath juu ya fatawa za wanachuoni kwa hiyo haina haja ya kusomewa mara kwa mara
Masha-Allah shukran ya Sheikh
Mwezi HAUKUONEKANA, watatangaza. Ni vipi
Wewe vipi? Kwani kama mwezi haukuonekana ndiyo hafai kutoa muongozo wa siku yakufunga na Iddi
Maa Shaa ALLAH 💚
Hili. Tutalifwata
Toka lini mkafuata fatwa za maulamaa wa saudia?
Waislamu utofautiyana ila awa chukiyani pili tusome kwa malengo ya kuusaidiya umma wala si kwa kuleta fitna
Mawahabi huwa hawaelewi.Sheikh Ali kumtaja sheikh Uthaymeen haimanishi anafata fatwa zake.bali ametumia kuwa ni dalili kwa nyinyi wafuasi wake
AbuwYasniym mimi nawashanga nyinyi hawa ma imamu yaani maulamaa wenu wakitowa Fat'wa iko kinyume na mataqwa yenu hamumtaki
@@abubakaromar6101 waongea Sanaa haya nenda Leo ukaskize Sheikh Muhammad Bachu alivyomfundisha sheikh wenu Said Ali Hassan na akamjibu kielimu ya hali ya juu .. kupitia huyo huyo sheikh Al utheimiya... Mwaka huu Mutaelewatu Tu insha'Allah
@@MuhammadMuhammad-gr2qv nimemsikia dakika 45 nzima hajajibu kitu ktk hayo maneno alosema Ibnu Uthaeimy vichwa vyenu ni mfinyo sisi tushaelewa kutoka kitambo labda vichwa vigumu bachu mbona
Hiz chanel zenu mnakurupuka.
Ibn uthaymeen Sio Dalili kwa hyo Tutaangalia Anatumia Dalil gani.
Kingine Saudia Hutetea Mamlaka yao.Kwa hyo hata majb Yao huzingatia Dalili.
Kama Mnamuamini Ibn utheymeen Je,Anasemaje kuhusu Aqida na jambo la mawlid.
Tunachohitaji Dalili!??
Nyinyi mawahabi vichwa mchunga huwa hamuelewi. Mtu akitumia kitabu cha mtu haimaanishi amkubali,Bali ametumia ni dalili kwa Nyinyi wafuasi wake
@@abiabi9353 hiv itafaa kuwa ni hoja dhidi ya watu wengne juu ya kuchukua maneno ya mwanachuoni mmoja au fatawa yake ikawa Ndio Ijamaai na kuwaona wengne wamekosea...??
Pili nataka kujua wahabi ndio nn ??nijibu kwa dalili.
Sisi hatuangalii nani kasema ila tunaangalia nin kasema kama ni haki tunaichukua Kauli yake.
Huyo huyo ibn utheymeen ana makosa mengi tu ktk Fatawa zake lakn Sisi tunamheshim lakn hatufuati ktk hayo aliyoteleza.
Mfno:msimamo wake anaona mtu kushika Utupu wake hakutengui Udhu.
Mtu kutumia musabaha ya yafaa ikiwa kama ni Wasila wa kudhibiti idadi tu.
Lakin Nyiny masufi kwa itikadi zenu mngemfuata kichwa kichwa tu eti kwa kuwa Mwanachuoni.
Mambo hayo Ya Mwez mwandamo,Arafa, Yapo ktk khilafu baina yetu sisi wenyewe Ahlu sunna waljamaa Ktk Kauli na mitazamo tofaut tofauti tena ni Khilafu ya muda Mrefu tokea Karne ya 3 Ya uislam na hata hapo kabla na walijadiliana lkn hawakufikia ktk Kauli moja.Wa hyo tunategmea kauli kama hizo za sheikh Ibn utheymeen ziwepo.
ww ndo Huelewi ndo unaona kama Mageni.
Lakin sisi hatuzingatii kila khitilafu za wanachuoni bali tunaangalia usawa na ipi kauli bora.
Tunafuata kanuni.
Soma Sana ila kwa hili sheke zidi kukesha
Sheikh Ali hapo yupo sawa 100%
Kitabu gani?
Jina haionekani
Tufuate Mtume (saw) au tufuate sheikh kwa hili tuambirni ukweli
Ehe twambie mtume alifanyaje
KomboOmar-iy8zd tutamfwata Mtume S.A.W kwa hii Hadithi وهذا حديث كريب إذ يقول:
"قدمت الشام، واستهل على هلال رمضان وأنا بالشام، فرأيت الهلال ليلة الجمعة، ثم قدمت إلى المدينة في آخر الشهر، فسألني ابن عباس، ثم ذكر الهلال فقال: متى رأيتم الهلال؟ فقلت: رأيناه ليلة الجمعة، فقال: أنت رأيته؟ فقلت: نعم، ورآه الناس، وصاموا، وصام معاوية، فقال: لكننا رأيناه ليلة السبت،،،فلا نزال نصوم حتى نكمل ثلاثين، أو نراه ّ، فقلت ألا تكتفي برؤية معاوية وصيامه؟ فقال: لا. هكذا أمرنا رسول الله صلى الله عليه وسلم رواه أحمد ومسلم والترمذي
Uthaymeen Sio hoja
Mzee
Haha mawahabi mnachekesha sana,kila siku mnatutajia uthaymeen Leo kawa siyo hoja.saaa hoja ni nani
Wewe jahili muraqab la kiwahabi leo wamkataa uthaimin .skuzote mwatumia ushahidi wake