SHEIKH IBNUUTHAIMIN ATATUA TATIZO LA ARAFA by Sheikh Said Ali Hassan

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 88

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 3 місяці тому +3

    Ukitaka ujue kwamba huyu shehe kakosea au kaamua kupoteza watu kuhusu bin uthaymeen kasikilize Muhammad nasoro bacho kashajibu hili swala bin uthaymeen alikua anajibu kuhusu ramadhan lakin kwenye hijja lazma watu wafate makka

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 3 місяці тому

      Unajua kwamba na yeye bachu keshajibiwa

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 місяці тому

      @@MuhidiniNassor sawa kama kajibiwa lakin mwambie huyo shehe wako asome maelezo vizur bila kukata ya sheikh bin uthaymeen kama kweli ni mtu WA haqqi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      saidmkwinzu9106 haya huyo zuzu wenu bachu asokuwa na Elimu hana tafauti na nyinyi ashajibiwa na Sheikh Izzudin si niliwaambia hajui kusoma Ibara ndio maana yuwatafsiri kwa akili zake azidi kujidhalilisha kwa uzuzu wake

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      saidimkwinzu9106 na wewe ukitaka yule bichwa nazi Koko asokuwa na Elimu hana ajuwalo kutafsiri kwa akili zake kamsikize Sheikh Izzudin na Mwanafunzi wa Said Ali Hassan

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 місяці тому

      @@abubakaromar6101 hao Akina izudin wote hamna kitu hapo wanabwabwaja nishawasikiliza wote Sasa me nakuambiaje kama umeshindwa kumuelewa Muhammad bacho Kwa dalili alizotoa kutoka Kwa Wana wa chuoni pamoja na kuongelea uongo wa huyo shehe wako hapo kupindisha maneno ya bin uthaymeen kamsikilize sufi mwenzenu sheikh muharami mziwanda na yule shehe lenu kubwa kabisa la misri pamoja na chief kadhi wenu wa Kenya masufi wote hao halafu uje useme we ndo kichwa kokoto Nazi mafuta au ni hao?😄😄 Maskio yenu baadhi ya masufi Yako kwenye visigino sheikh Suleiman kilemile alikua sufi mwenzenu mkubwa lakin kwenye hili la arafa hakua na ninyi mana mnaelewa ukwel lakin mnaamua kupindisha haqqi mkamchukiaaa ALLAH amrehem ukitafta darsa zake humu utaziona pia
      Muhammad bacho na mwimba Kwa masufi asalimia 💯

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv 3 місяці тому +4

    SAID ALI HASANI ASIWAFANYE WAJINGA BURE... MUULIZENI KATIKA MARA HIZO ISHIRINI ALIYOKWENDA MAKAH KUHIJI ASHAWAHI KUSIMAMA ARAFA TOFAUTI NA VILE WALIVYOTANGAZA SAUDIA??? ASIWADANGANYE BURE ASIWAFANYE WAJINGA KIASI HICHO.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      MuhammadMuhammad-gr2qv Dah kumbe wajinga ni wengi hata hujielewi atasimama vpi tafauti na yeye yuko huko kwani inchi pia wasimama Arafa? Hata Maswahaba walitafautiana Kwa mwandamo wa mwezi kasome hii Hadithi
      أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
      الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)

    • @HamadaZubeirTahir
      @HamadaZubeirTahir 3 місяці тому

      Sasa akiwa Saudia atafuwataje tarehe ya nje ya Saudia? Khaaaaa??!

    • @MuhammadMuhammad-gr2qv
      @MuhammadMuhammad-gr2qv 3 місяці тому

      @@HamadaZubeirTahir KUMBE UNAJUA KAMA SAUDIA HUWA WAKO SAWA... NDIO MUZINDUKE BASI MUWACHE UJINGA WAKUPELEKESHWA KAMA KONDOO..

    • @madrassatulihyaa-ilislaami2911
      @madrassatulihyaa-ilislaami2911 3 місяці тому

      Una akili nyengin ama n hihii tu

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 3 місяці тому

      ​@@MuhammadMuhammad-gr2qvUwendawazimu si kuokota makopo tu

  • @NafisaAhmed-g9k
    @NafisaAhmed-g9k 3 місяці тому +1

    Arafa ni moja

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir 3 місяці тому

    MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.

  • @fakiiahmedmwijaa2414
    @fakiiahmedmwijaa2414 3 місяці тому

    MM KWA UFAHAMU NLONAO NI KUA SIKU NI MASAA 24 LA PILI MAGHARIBI ZIPO MBILI NA MASHARIKI MBILI .

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 3 місяці тому +1

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv 3 місяці тому +2

    Waendaje HAJJ ZAIDI YA MARA ISHIRINI MTU MMOJA?? HIZO TICKETS ZA BURE ZA KUPEWA AMBAO HAWAJAENDA MWAZIVAMIA NYINYI ...MUTAULIZWA KESHO KIYAMA

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому +1

      Haikuhusu.Hivyo ndivyo uislam unavyokufundisha kutoa hukmu juu ya jambo usilolijua. Lkn sishangai hiyo ndiyo tabia yao mawahabi

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 місяці тому +1

      Mbona ww unakula unashiba kila siku jirani yako hawi na njaa hali ya kuwa wewe umeshiba huoni kwamba na wewe utaulizwa

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
      الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)

  • @alimwawema9932
    @alimwawema9932 3 місяці тому

    Wacha kubabaisha watu mbona huachi usufi ikiwa wasoma kweli wasema ulisikia muhadhara wa Sheikh Muhammad Bin Swaleh Al Utheimeen.
    Pia si kweli Sheikh Abdulaziz bin Abdallah ibn Baaz Ni Sheikh wa Ibn Utheimeen na bora kuliko mwanafunzi wake.

  • @husseinshatry938
    @husseinshatry938 3 місяці тому +1

    Huyu ibn uthaimin ni swahaba kama vile wewe ni shekhe na yeye pia ni shekhe na ikiwa amemshinda bin baz basi wako pia walowashinda wao kwa wateni fitna nyote mumejumuika kupinga chief kadhi wetu kwa kuwa hakubaliani na hizo fatwa zenu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому

      Wewe jahili kweli wakiwahabi. Huyo chief kadhi wako anatakiwa atupe dalili siyo atuburuze kama watu tusiyojijua

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      husseinshatry938 na Chief Kadhi ni Swahaba kama huna habari Inbu uthaimin ategemea Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
      الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)

  • @spares-repair
    @spares-repair 3 місяці тому +1

    Swali langu ni hatukulingana vp?
    Tym iko sawa.
    Siku iko sawa. (Leo sudia jumamosi saa 3:31 kenya ni hivo hivo) Asoijua Makkah ni yule hana simu ukiwa na simu wajua leo ni Tarehe mbili dhulhijja
    Naona ni wakati na sisi tuchanganye pesa kwa umoja wetu tununue vifaa vya kuangalia mwezi na kusoma elimu ya mwezi, endapo saudi wataona mwezi na sisi pia tutaona mwezi bidnilllah wazo tu na toa
    Mashekhe wangu wa Kenya nijukumu lenu kukaa chini na kutatua hili jambo. Hili sio jambo la kutatizana tukisimama sote ummah mmoja machine china twaipata kwa bei nzuri sana na mm msimamo wangu ni 1ummah (ummah wapotea) (especially dada zetu)

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 місяці тому +2

      Hoja sio time kuwa sawa hata kama dunia yote ingekuwa time sawa basi kila nchi ingebaki kuwa na wakati wake wa kuzama jua na kuchomoza time tupo sawa kweli mbona wakiswali isha sisi hatufuati kule tunasubiri muda wetu ufike

    • @spares-repair
      @spares-repair 3 місяці тому

      @@aliabdalla9297 uko na point endelea please nakusikiza

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 місяці тому

    Me nafuata Pemba chokocho na mkanyageni nimechoka kupelekeshwa

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 3 місяці тому

    Marsha Allah shekh sawa sawa tumekuelewa shekh huzungumzii ju ya hajj wazungumziya ju ya muandamo wa mwezi shukran shekh Allah akuhifadhi

  • @abuusafiya2984
    @abuusafiya2984 3 місяці тому

    ushauri wangu tujitahidini kusoma na kujielimisha juu ya uislamu wetu kabla mambo kama haya hayajafika ili mtu ujue upi msimamo sahihi na uufuate na sio kupewa miongozo ambayo huielewi kwa kigezo cha ikhtilafu

  • @SurprisedCurling-si9yr
    @SurprisedCurling-si9yr 3 місяці тому +1

    Muhammad nassor bachu ashajibu ..,soma kitabu vzuri shekhe

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      SurprisedCurling mbona bachu hakuisoma hii Hadithi Ibnu Uthaeimy aloetegemea
      أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
      الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      SurprisedCurling-si9yr basi bachu kama ataka kujibu mwanzo kabla kujibu mwambieni atwalii vizuri hizo Ibara yuwaziponda ponda tafuta hicho kitabu cha Ibnu uthaimin uwone alivyoziponda alafu mbona hakuisoma hii Hadithi Ibnu uthaimin aloitaja kutegemea maneno alosema
      أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
      الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)

    • @aminuddinwacate
      @aminuddinwacate 3 місяці тому

      Na wewe kasome sana katika mujjalad wa 20 pág 40 Uthaymen anasema wazi wazi

    • @HamadaZubeirTahir
      @HamadaZubeirTahir 3 місяці тому

      Huyo Bachu kajibu kitu gani mpumbavu mmoja

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      @@aminuddinwacate sisi tushaelewa sana Ibnu uthaimin ila nyinyi mawahabi ndio hamutaki kumuelewa pale anapotafautiyana na rai zenu hamumkibali hilo ndio tatizo lenu

  • @abuusafiya2984
    @abuusafiya2984 3 місяці тому

    hapa jambo lao limekwama watu wanajua kufanya baath juu ya fatawa za wanachuoni kwa hiyo haina haja ya kusomewa mara kwa mara

  • @Issa-ht2mu
    @Issa-ht2mu 3 місяці тому

    Masha-Allah shukran ya Sheikh

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 3 місяці тому

    Mwezi HAUKUONEKANA, watatangaza. Ni vipi

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому

      Wewe vipi? Kwani kama mwezi haukuonekana ndiyo hafai kutoa muongozo wa siku yakufunga na Iddi

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 місяці тому

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye 3 місяці тому

    Hili. Tutalifwata

  • @AbuwTasniym
    @AbuwTasniym 3 місяці тому +1

    Toka lini mkafuata fatwa za maulamaa wa saudia?

    • @jimjam-xg7rv
      @jimjam-xg7rv 3 місяці тому

      Waislamu utofautiyana ila awa chukiyani pili tusome kwa malengo ya kuusaidiya umma wala si kwa kuleta fitna

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому

      Mawahabi huwa hawaelewi.Sheikh Ali kumtaja sheikh Uthaymeen haimanishi anafata fatwa zake.bali ametumia kuwa ni dalili kwa nyinyi wafuasi wake

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      AbuwYasniym mimi nawashanga nyinyi hawa ma imamu yaani maulamaa wenu wakitowa Fat'wa iko kinyume na mataqwa yenu hamumtaki

    • @MuhammadMuhammad-gr2qv
      @MuhammadMuhammad-gr2qv 3 місяці тому

      @@abubakaromar6101 waongea Sanaa haya nenda Leo ukaskize Sheikh Muhammad Bachu alivyomfundisha sheikh wenu Said Ali Hassan na akamjibu kielimu ya hali ya juu .. kupitia huyo huyo sheikh Al utheimiya... Mwaka huu Mutaelewatu Tu insha'Allah

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      @@MuhammadMuhammad-gr2qv nimemsikia dakika 45 nzima hajajibu kitu ktk hayo maneno alosema Ibnu Uthaeimy vichwa vyenu ni mfinyo sisi tushaelewa kutoka kitambo labda vichwa vigumu bachu mbona

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 3 місяці тому

    Hiz chanel zenu mnakurupuka.
    Ibn uthaymeen Sio Dalili kwa hyo Tutaangalia Anatumia Dalil gani.
    Kingine Saudia Hutetea Mamlaka yao.Kwa hyo hata majb Yao huzingatia Dalili.
    Kama Mnamuamini Ibn utheymeen Je,Anasemaje kuhusu Aqida na jambo la mawlid.
    Tunachohitaji Dalili!??

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому

      Nyinyi mawahabi vichwa mchunga huwa hamuelewi. Mtu akitumia kitabu cha mtu haimaanishi amkubali,Bali ametumia ni dalili kwa Nyinyi wafuasi wake

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش 3 місяці тому

      @@abiabi9353 hiv itafaa kuwa ni hoja dhidi ya watu wengne juu ya kuchukua maneno ya mwanachuoni mmoja au fatawa yake ikawa Ndio Ijamaai na kuwaona wengne wamekosea...??
      Pili nataka kujua wahabi ndio nn ??nijibu kwa dalili.
      Sisi hatuangalii nani kasema ila tunaangalia nin kasema kama ni haki tunaichukua Kauli yake.
      Huyo huyo ibn utheymeen ana makosa mengi tu ktk Fatawa zake lakn Sisi tunamheshim lakn hatufuati ktk hayo aliyoteleza.
      Mfno:msimamo wake anaona mtu kushika Utupu wake hakutengui Udhu.
      Mtu kutumia musabaha ya yafaa ikiwa kama ni Wasila wa kudhibiti idadi tu.
      Lakin Nyiny masufi kwa itikadi zenu mngemfuata kichwa kichwa tu eti kwa kuwa Mwanachuoni.
      Mambo hayo Ya Mwez mwandamo,Arafa, Yapo ktk khilafu baina yetu sisi wenyewe Ahlu sunna waljamaa Ktk Kauli na mitazamo tofaut tofauti tena ni Khilafu ya muda Mrefu tokea Karne ya 3 Ya uislam na hata hapo kabla na walijadiliana lkn hawakufikia ktk Kauli moja.Wa hyo tunategmea kauli kama hizo za sheikh Ibn utheymeen ziwepo.
      ww ndo Huelewi ndo unaona kama Mageni.

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش 3 місяці тому

      Lakin sisi hatuzingatii kila khitilafu za wanachuoni bali tunaangalia usawa na ipi kauli bora.
      Tunafuata kanuni.

  • @azizikitete7229
    @azizikitete7229 3 місяці тому

    Soma Sana ila kwa hili sheke zidi kukesha

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому

      Sheikh Ali hapo yupo sawa 100%

  • @sharks11mohamed51
    @sharks11mohamed51 3 місяці тому

    Kitabu gani?

  • @KomboOmar-iy8zd
    @KomboOmar-iy8zd 3 місяці тому

    Tufuate Mtume (saw) au tufuate sheikh kwa hili tuambirni ukweli

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому

      Ehe twambie mtume alifanyaje

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 3 місяці тому

      KomboOmar-iy8zd tutamfwata Mtume S.A.W kwa hii Hadithi وهذا حديث كريب إذ يقول:
      "قدمت الشام، واستهل على هلال رمضان وأنا بالشام، فرأيت الهلال ليلة الجمعة، ثم قدمت إلى المدينة في آخر الشهر، فسألني ابن عباس، ثم ذكر الهلال فقال: متى رأيتم الهلال؟ فقلت: رأيناه ليلة الجمعة، فقال: أنت رأيته؟ فقلت: نعم، ورآه الناس، وصاموا، وصام معاوية، فقال: لكننا رأيناه ليلة السبت،،،فلا نزال نصوم حتى نكمل ثلاثين، أو نراه ّ، فقلت ألا تكتفي برؤية معاوية وصيامه؟ فقال: لا. هكذا أمرنا رسول الله صلى الله عليه وسلم رواه أحمد ومسلم والترمذي

  • @SuleimanHassan-o6f
    @SuleimanHassan-o6f 3 місяці тому

    Uthaymeen Sio hoja
    Mzee

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому

      Haha mawahabi mnachekesha sana,kila siku mnatutajia uthaymeen Leo kawa siyo hoja.saaa hoja ni nani

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 3 місяці тому

      Wewe jahili muraqab la kiwahabi leo wamkataa uthaimin .skuzote mwatumia ushahidi wake