Mimi nilipiga makachu miaka ya 80s, sijamuona aliepata tatizo lolote. Hivi sasa nakaribia miaka 50, mwili umeshakataa tu, la sivyo, natamani nirudi tena 😁
@@khamissharifu888 hujaona wala hutoona cha ajabu kwako hapo kwa sababu wewe siyo sehemu ya hao. Miye nafikiri wewe si wa Forodhani, wala Shangani wala wa Mkunazini wala Kiponda wala Vuga wala Malindi wala Kikwajuni n.k.Waulize wenyewe raha walizozipata au tulizozipata kwa kupiga KACHUMBE........ Endelezeeni wanetu na wajukuu zetu 'entertainment' yenu badala ya kukaa vijiweni mkawaza mambo mabaya.
Always enjoy watching you guys ..So amazing
From Uganda but great am shy 🙊🙊🙊
Nafurahi sana kuona mitaa ya nyumbani ingawa np mbali lkn na enjoy km np home.ndio maana kila siku tunasema Zanzibar ndio kwetu
Nafrahi sana kuona mta wa Hom foradhan nakubali sana
Oi
Walaurojo wanafurahisha
Wapiga makachu hao wananikumbusha mbali sana
Nice nyumbani
Jaman nafurah kweli kuona zanzibar japo Niko mbali nafarajika sana kuona wanapiga kachumpe
MashaAllah raha sana
Zanzibar Raha sana.
Am coming to Zanzibar Soon
albait yalimkuta kama haya allah awaongoze mmoja yupi sos kule spinal code ndio tatizo.hattari sanna mie naona
Kabs yaan kuwaona2 nikamkumbuka albaity ni michezo hatarishi
Mimi nilipiga makachu miaka ya 80s, sijamuona aliepata tatizo lolote.
Hivi sasa nakaribia miaka 50, mwili umeshakataa tu, la sivyo, natamani nirudi tena 😁
Nyunbani rah wallah
Nice ila cwez kuogelea
Nice
Nimepamic sana home ngoj nipate likizooo nije
Nimepa miss hapo
Home sweet home I love you Zanzibar yetu
Hom sweet Hom
Jaman so parefu
Sawaaa
Miaka ya 80s ilikua ndio enzi zangu hapo.
mis zanzibar
Nawakubali wanangu one day tutakuwa p1 tena hi kwa ixhaka, mze bwax,bbolo, kidoh, farac n.k Nimewamic wanangu
Sasa ndio nn ah munazinguw ban
Muje kuvunjika shingo bule jamani kunayule mkaka 1 alikua akifany hivyo mpaka sasa bado yupo hospitalin jaman nyie
Utavunjika ww kwanza
Forodhani ni sehemu ambayo itaendelea kua na heshima bustani pamoja na upepo mwanana wa bahari ya hindi
Samani forodhani ndo nini
sijaona cha ajabu apo vijana wang
@@khamissharifu888 hujaona wala hutoona cha ajabu kwako hapo kwa sababu wewe siyo sehemu ya hao. Miye nafikiri wewe si wa Forodhani, wala Shangani wala wa Mkunazini wala Kiponda wala Vuga wala Malindi wala Kikwajuni n.k.Waulize wenyewe raha walizozipata au tulizozipata kwa kupiga KACHUMBE........ Endelezeeni wanetu na wajukuu zetu 'entertainment' yenu badala ya kukaa vijiweni mkawaza mambo mabaya.
@@frozen4rozen475 asany
@@jumaseifjuma4185 Maneno Kuntu
Wabara wnaogop kuogelea ukiwaingz Kam machubw
Bramo Ajibu kwaiy hapo ndo mnaogelea wenyew
Bramo Ajibu unataka tujue wote nani atakushangilia
uko kwao hakuna bahari ya kupiga show kama hizo
Abdillah Nassor ku mbe hongereni sana bahari ipo sema watu tuko busy na kazi
Lazima umwage che... Bonyeza hapa 👇 subscribe
ua-cam.com/video/61QkURlGDgY/v-deo.html
So funny nigga
Ajabu sana atimae dawa ya bawasili imepatikana na unaweza kujitibu mwenyewe bila kutumia pesa bonyeza hapa👉 ua-cam.com/video/laeFrvXBiLM/v-deo.html
Natamani kujuwa kuogelea jamani mm siwezi
uko wap muna saidi
Ukiwa tayar sema utafundishwa,,,,, simple sana kuogelea madam
Haha
Apply newton third law of motion rahisi tu,unaskma maji nyuma ww utaenda mbele,
Muna tukutane tanga pale pale home kwa mzee sawa lol
Nice
Thanks for watching