Forodhani Zanzibar

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 бер 2018
  • Mchezo wa kujirusha Ndani ya Maji.Mchezo ambao ni kivutio kikubwa sio tu kwa watalii Bali hata kwa sisi wenyeji wa Zanzibar.

КОМЕНТАРІ • 54

  • @dontbsad12
    @dontbsad12 9 місяців тому

    Always enjoy watching you guys ..So amazing

  • @sharonsheillasheilla5880
    @sharonsheillasheilla5880 4 роки тому +1

    From Uganda but great am shy 🙊🙊🙊

  • @hafidhbadru6651
    @hafidhbadru6651 4 роки тому +2

    Nafurahi sana kuona mitaa ya nyumbani ingawa np mbali lkn na enjoy km np home.ndio maana kila siku tunasema Zanzibar ndio kwetu

  • @muhamedhossen4420
    @muhamedhossen4420 4 роки тому +1

    Nafrahi sana kuona mta wa Hom foradhan nakubali sana

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 роки тому +1

    Walaurojo wanafurahisha

  • @aminaally3817
    @aminaally3817 4 роки тому +1

    Wapiga makachu hao wananikumbusha mbali sana

  • @fakisunshine3253
    @fakisunshine3253 4 роки тому

    Nice nyumbani

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 4 роки тому

    Jaman nafurah kweli kuona zanzibar japo Niko mbali nafarajika sana kuona wanapiga kachumpe

  • @AbuuYaseen
    @AbuuYaseen 4 роки тому +1

    MashaAllah raha sana

  • @jumahamisi9280
    @jumahamisi9280 4 роки тому

    Am coming to Zanzibar Soon

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 4 роки тому +7

    albait yalimkuta kama haya allah awaongoze mmoja yupi sos kule spinal code ndio tatizo.hattari sanna mie naona

    • @fatumayusufu1706
      @fatumayusufu1706 4 роки тому +1

      Kabs yaan kuwaona2 nikamkumbuka albaity ni michezo hatarishi

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 4 роки тому

      Mimi nilipiga makachu miaka ya 80s, sijamuona aliepata tatizo lolote.
      Hivi sasa nakaribia miaka 50, mwili umeshakataa tu, la sivyo, natamani nirudi tena 😁

  • @musictz1805
    @musictz1805 4 роки тому

    Nyunbani rah wallah

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c 4 роки тому +1

    Nice ila cwez kuogelea

  • @haidaromar2079
    @haidaromar2079 4 роки тому

    Nice

  • @deogratiasgabriel8555
    @deogratiasgabriel8555 4 роки тому

    Nimepamic sana home ngoj nipate likizooo nije

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 роки тому

    Nimepa miss hapo

  • @hamidhamadhamad5653
    @hamidhamadhamad5653 4 роки тому +1

    Home sweet home I love you Zanzibar yetu

  • @shakerashakira6285
    @shakerashakira6285 4 роки тому

    Jaman so parefu

  • @vuaipanduhaji3681
    @vuaipanduhaji3681 4 роки тому +1

    Sawaaa

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 4 роки тому

    Miaka ya 80s ilikua ndio enzi zangu hapo.

  • @saadikibinjazaa1511
    @saadikibinjazaa1511 4 роки тому

    mis zanzibar

  • @ahmedmohd5507
    @ahmedmohd5507 4 роки тому +1

    Nawakubali wanangu one day tutakuwa p1 tena hi kwa ixhaka, mze bwax,bbolo, kidoh, farac n.k Nimewamic wanangu

  • @allydaruweshi5983
    @allydaruweshi5983 4 роки тому +1

    Sasa ndio nn ah munazinguw ban

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 роки тому

    Muje kuvunjika shingo bule jamani kunayule mkaka 1 alikua akifany hivyo mpaka sasa bado yupo hospitalin jaman nyie

  • @allymohamed7417
    @allymohamed7417 4 роки тому

    Forodhani ni sehemu ambayo itaendelea kua na heshima bustani pamoja na upepo mwanana wa bahari ya hindi

    • @frozen4rozen475
      @frozen4rozen475 4 роки тому

      Samani forodhani ndo nini

    • @khamissharifu888
      @khamissharifu888 4 роки тому

      sijaona cha ajabu apo vijana wang

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 4 роки тому

      @@khamissharifu888 hujaona wala hutoona cha ajabu kwako hapo kwa sababu wewe siyo sehemu ya hao. Miye nafikiri wewe si wa Forodhani, wala Shangani wala wa Mkunazini wala Kiponda wala Vuga wala Malindi wala Kikwajuni n.k.Waulize wenyewe raha walizozipata au tulizozipata kwa kupiga KACHUMBE........ Endelezeeni wanetu na wajukuu zetu 'entertainment' yenu badala ya kukaa vijiweni mkawaza mambo mabaya.

    • @ruhaimaothman2716
      @ruhaimaothman2716 4 роки тому

      @@frozen4rozen475 asany

    • @kikalenampwapwa5483
      @kikalenampwapwa5483  4 роки тому

      @@jumaseifjuma4185 Maneno Kuntu

  • @bramoajibu5058
    @bramoajibu5058 4 роки тому +1

    Wabara wnaogop kuogelea ukiwaingz Kam machubw

    • @chujirai2822
      @chujirai2822 4 роки тому

      Bramo Ajibu kwaiy hapo ndo mnaogelea wenyew

    • @sashaaishajamani1979
      @sashaaishajamani1979 4 роки тому

      Bramo Ajibu unataka tujue wote nani atakushangilia

    • @abdillahnassor8371
      @abdillahnassor8371 4 роки тому

      uko kwao hakuna bahari ya kupiga show kama hizo

    • @sashaaishajamani1979
      @sashaaishajamani1979 4 роки тому

      Abdillah Nassor ku mbe hongereni sana bahari ipo sema watu tuko busy na kazi

  • @tanzania5030
    @tanzania5030 4 роки тому

    Lazima umwage che... Bonyeza hapa 👇 subscribe
    ua-cam.com/video/61QkURlGDgY/v-deo.html

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 4 роки тому

    So funny nigga

  • @doctorpheisaltv6266
    @doctorpheisaltv6266 4 роки тому

    Ajabu sana atimae dawa ya bawasili imepatikana na unaweza kujitibu mwenyewe bila kutumia pesa bonyeza hapa👉 ua-cam.com/video/laeFrvXBiLM/v-deo.html

  • @munasaidi614
    @munasaidi614 4 роки тому +2

    Natamani kujuwa kuogelea jamani mm siwezi

    • @ismailmjesh3511
      @ismailmjesh3511 4 роки тому

      uko wap muna saidi

    • @saidfaki2894
      @saidfaki2894 4 роки тому

      Ukiwa tayar sema utafundishwa,,,,, simple sana kuogelea madam

    • @hassanmahmoue3034
      @hassanmahmoue3034 4 роки тому

      Haha

    • @hamiyarsaid2844
      @hamiyarsaid2844 4 роки тому

      Apply newton third law of motion rahisi tu,unaskma maji nyuma ww utaenda mbele,

    • @teggertegger3669
      @teggertegger3669 4 роки тому

      Muna tukutane tanga pale pale home kwa mzee sawa lol

  • @arjunpanditi8661
    @arjunpanditi8661 4 роки тому +1

    Nice