Asalam Alaykm wabaraka2h Alhamdulillah baada ya kumshukuru Allah nashukuru sana shekhe yusuphu kwa mawaidha nimekua nikisikiliza mawaidha yako mara nyingi namuomba Allah atufanyie wepesi sote kwaujumla tuwe wenye kutekeleza tunayo yasikiliza inshallah
Sote tuwe watekelezaji kwayale ambayo unatufahamisha biidin llah Inshaallah wallahi shekhe mm huwa nasikitika sana nikisikiliza hutuba pasina kufaham maana labda kama nikiwa msikitin kwaajili ya swalat jumaa kwasabab mara nyingi hutuba za ijumaa huwa zinatolewa kwa lugha ya kiarab barakallah shekhe yusuphu Namuomba Allah Atujaalie mwisho mwema sote Inshaallah
Wallahi sheikh nakupenda sana ajili ya Allah. Allah akujaze kheri afya na uzima tuzidi kustafidi toka kwako. Amiin. Kwa kweli "sasa tumefahamu" alhamdulillah
Kaka mimi nime silimu ila wazazi Wang wamekataa na nime silimu kwazia mwaka jan ila nataka nifanye dosula ila wazazi nasina musaada wowote naitaji musaada wako km 0620521856 kwa jili ya mungu nakuomba ilo
Shekh Yusuf twakuelewa sana wallahi.... Allah akupe umri mrefu wenye barka...
Mashaalah sheikh yousuf tangu kusikiza mawaidha yako nimefaidika sana. Mungu akubariki na akuhifadhi.
Usiskilize watu sheikh , hawana jema hao hata uaeleze kitu gani. Endelea kutuaidh tunakufaham vizur, MASHALLAH
Alhamdullillah allah atujaalie kuyafanyia kazi kwa vitendo manufaa duniani mpaka ahera. Ameen
Mashallah nime fadika aallah mdulilah shukran mungu akujalye kheri shekh yusuf❤❤❤mashallah mashallah😭😭😭😭😭
Mashaallah hakika yusufu abdi ni fahar yetu allah akupe hitajio lako
Hakika. Tunafaidika. Allah amjazie kheir dunia hadi akhera sheikh wetu.
Mashallah shukrAn kwa kutufunza mashallah mashallha
Ma shaa Allah.
Sasa nmefahamu.
Shukraan jazzillah, Allah akulipe khery
allah akupe nguvu na imani uiendeleze dawa
Sheikh MashaAllah usichoke Mungu akuzidishie InshaAllah tutaongoka imepata faida kwa hii
Maashaallah Allah akuzidishie shekh wetu
mashaa Allah Jazakallahulkher
mashallah jazzakallah herry
Mashallah
Asalam alykum ,shelhk yusuf jazzakaAllah kher
mashallah allahumma baarik fiihi
Maashaallah
Shukrani kwa kutujuza
Binadam hatuna jema
mashaAllah
Amin
mashaallaah
mashaallah
SHUKRAN jazeelan
Asalam Alaykm wabaraka2h Alhamdulillah baada ya kumshukuru Allah nashukuru sana shekhe yusuphu kwa mawaidha nimekua nikisikiliza mawaidha yako mara nyingi namuomba Allah atufanyie wepesi sote kwaujumla tuwe wenye kutekeleza tunayo yasikiliza inshallah
Sote tuwe watekelezaji kwayale ambayo unatufahamisha biidin llah Inshaallah wallahi shekhe mm huwa nasikitika sana nikisikiliza hutuba pasina kufaham maana labda kama nikiwa msikitin kwaajili ya swalat jumaa kwasabab mara nyingi hutuba za ijumaa huwa zinatolewa kwa lugha ya kiarab barakallah shekhe yusuphu Namuomba Allah Atujaalie mwisho mwema sote Inshaallah
Shekhe yusuphu samahan nilikua ninahitaji namba yako kama itawezekana inshallah kwasabab nina masual nahitaji kuuliza
Wallahi sheikh nakupenda sana ajili ya Allah. Allah akujaze kheri afya na uzima tuzidi kustafidi toka kwako. Amiin. Kwa kweli "sasa tumefahamu" alhamdulillah
Amin Amin Amin Allah akuhifadhi shekh wetu na akupe umri mrefu
Hata hio Quran uki wasomea kwani wataifuata? Atakae afuate asie taka atajua mwenyewe. Kila mmoja atachukua mzigo wake mwenyewe.
Kaka mimi nime silimu ila wazazi Wang wamekataa na nime silimu kwazia mwaka jan ila nataka nifanye dosula ila wazazi nasina musaada wowote naitaji musaada wako km 0620521856 kwa jili ya mungu nakuomba ilo
Usichoke