Kidum - Umenikosea
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Kidum - Umenikosea
Itakua vipi mumy kuwa na wapenzi wawili
mbona umenivunja mwenzio nateseka
karibu niseme kifo
umeniacha na vidonda visivyo na tibaaaaaa
kwanini hivyo mpenzi
nilikuamini na kukuthamini
kukupa penzi langu bila ya kujali chochote
sikuamini usoni wangu
kuhusu penzi kivuli kwa nyuma ya mgongo wangu
yaani weye umenitendaaaa
tazama nakondaaa
kwa sababu umeniweka kwa shida na tabu
nimeamua kutopenda tena (kutopenda tena mamy)
kila nikipenda mwishowe naumia umenikosea wewe...
umenikosea... umenikosea wewe ...umenikosea (yeba)
verse 2.
kumbuka hapo mwanzoni tukipenda kwa dhati (na weweee)
umekumbwa na tabu gani kutamani mwingineeeee
nilifanya kosa ganiiii
umenifanya kichwa kuruka sielewi kwanini
kwasababu nilikupenda
kumbe we hujanipenda nilipoteza muda
na sasa ninajuta yoooo
unapenda mwingineee
mimi umenitumiaaaa
umevunja roho yanguu ikapasuka
umenitenda yooo
tazama nakonda ooooh
kwasababu umeniweka kwa shida na tabu
uuuuuh uuuuuuuh
nimeamua kutopenda tenaaaaaaa (kutopenda tena mamy oooh)
kila nikipenda mwishowe naumiaaaa
umenikoseaa wewe...(mwishowe yoo)
umenikoseaaa
umenikosea wewe
umenikoseaaaa (yebaa) ×2
I loved this song...still my favorite. Otis may you always sip hot porridge accidentally 😂😂😂😂😂
Nimeutafta huu wimbo kwa mda ...a favorite
naupenda Sana asee
Love this song
Kidum never dissapoints...great song
Nakuamini Kidumu
My great song
kisumu this never gets old lovely work
Have looked for this song for ages... asante for uploading.
Ann Ndegwa Same. I swear Almost every year I try to see if someone uploaded it.
Love the song...it's perfect
the golden man with a golden voice.
Crazy about this song😩😍😍😍
kidum is just the best !
It's real, I can't get tired for listening. Nmeikubali..
Kidum kanifanya niache shule eti nataka kuwa mwanamziki like him
love this track!
great song
LYRICS_Umenikosea ♪
itakua vipi mumy kuwa na wapenzi wawili
mbona umenivunja mwenzio nateseka
karibu niseme kifo
umeniacha na vidonda visivyo na tibaaaaaa
kwanini hivyo mpenzi
nilikuamini na kukuthamini
kukupa penzi langu bila ya kujali chochote
sikuamini usoni wangu
kuhusu penzi kivuli kwa nyuma ya mgongo wangu
yaani weye umenitendaaaa
tazama nakondaaa
kwa sababu umeniweka kwa shida na tabu
nimeamua kutopenda tena (kutopenda tena mamy)
kila nikipenda mwishowe naumia umenikosea wewe...
umenikosea... umenikosea wewe ...umenikosea (yeba)
verse 2.
kumbuka hapo mwanzoni tukipenda kwa dhati (na weweee)
umekumbwa na tabu gani kutamani mwingineeeee
nilifanya kosa ganiiii
umenifanya kichwa kuruka sielewi kwanini
kwasababu nilikupenda
kumbe we hujanipenda nilipoteza muda
na sasa ninajuta yoooo
unapenda mwingineee
mimi umenitumiaaaa
umevunja roho yanguu ikapasuka
umenitenda yooo
tazama nakonda ooooh
kwasababu umeniweka kwa shida na tabu
uuuuuh uuuuuuuh
nimeamua kutopenda tenaaaaaaa (kutopenda tena mamy oooh)
kila nikipenda mwishowe naumiaaaa
umenikoseaa wewe...(mwishowe yoo)
umenikoseaaa
umenikosea wewe
umenikoseaaaa (yebaa) ×2
Nic song
wow!!!
Kudumu nic songs 2034
God sog for me
Lovely
🔥🔥🔥
Yes
legend! 🔥