Matonya featuring Lady Jaydee - Anita (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Follow me on Twitter: / matonyambili
    Like me on Facebook: / matonyambili
    Circle me on G+: plus.google.co...

КОМЕНТАРІ •

  • @Yanarichbiz
    @Yanarichbiz 4 місяці тому +500

    Km umekuja huku baada ya kuona interview ya Anita leo gonga like

  • @julian.6869
    @julian.6869 11 місяців тому +187

    Anita jameni ni 2024!!!...tafadhali rudi nyumbani...

    • @anitamuturi862
      @anitamuturi862 7 місяців тому +1

      Nilirudi jamani😂😂

    • @FloraTubadi
      @FloraTubadi 5 місяців тому +3

      Ye bado ku rudy tout??😂😂😂

    • @AnitaNeeNita
      @AnitaNeeNita 5 місяців тому +3

      Nilisharudi jmn 😂😂 hii nyimbo ilifanya nikisema naitwa anita watu waone najiita kwasababu ya nyimbo😂😂

    • @NabsuNzuzsb
      @NabsuNzuzsb 4 місяці тому

      Hahaha

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 місяці тому +262

    Turiorudi kumtizama anita 2024 baada ya interview gonga likes

  • @mangarampogozi605
    @mangarampogozi605 11 місяців тому +83

    Mpk sasa 2024 bado ipo fire,Matonya rudi kwenye game.

  • @Naomimoranga-e9m
    @Naomimoranga-e9m 15 днів тому +38

    Kama umesikia huu wimbo 2025 gonga like ❤

  • @eliasmutugi_
    @eliasmutugi_ 2 роки тому +143

    2023 still the song hits nikama imetoka studio sahii.....legendary

  • @Ngatiamaina
    @Ngatiamaina Рік тому +30

    It's 2024 and I can relate Anita amekataa kurudi nyumbani 😢😢

  • @musao.ismael71
    @musao.ismael71 Рік тому +411

    Class 7 (2007) I used to sing this song to my crush back in primary school.... her name ofcourse Anita. Now we married with 2 kids.

  • @andygitau
    @andygitau 11 місяців тому +201

    2024 naomba kujua kama Anita alirudi nyumbani😅.

  • @Lacopabinsimba
    @Lacopabinsimba Рік тому +536

    Wanao tazama huu wimbo 2024 gonga like apa ❤❤😂

  • @jeffa-notes
    @jeffa-notes 11 місяців тому +76

    Beautiful tune!
    2024 likes hapa

  • @heavRotation98
    @heavRotation98 9 місяців тому +4

    Asanteni jameni.....Anita kesharudi....

  • @HazelParwania
    @HazelParwania 2 місяці тому +1

    Ebu nani Ako upweke vile Anita alikuwa gonga like,Dec imefika usivuke mwaka alone😂😂😂❤ na matonya Ako zawapi? Please munitafutie matonya

  • @aristidemanariyo4958
    @aristidemanariyo4958 6 місяців тому +20

    Bado nikingali nafurahiya hii nyimbo mwaka huu 2024 munipe like zangu kama na wewe pia tuko pamoja!

  • @suleimanali101
    @suleimanali101 Рік тому +99

    Bado anaesiklza anita mpaka leo aweke like zakutosha

  • @mbunah255
    @mbunah255 Рік тому +65

    We dont search for old songs we search for old memories. Rest in peace my lovely sister scola 😢

  • @lutindiOthumani-ph5kz
    @lutindiOthumani-ph5kz 11 місяців тому +114

    tunaoskiliza matonya 2024 likee

  • @RaseduOfficial
    @RaseduOfficial 12 днів тому +1

    Kuna jama flani ametokelezea kule kenya kwa mziki 🎉 Ras Edu mwana mziki

  • @MaddieMoreno-i7i
    @MaddieMoreno-i7i Рік тому +736

    2024 kama unalikubali hili NGOMA gonga like

  • @ritamarie2546
    @ritamarie2546 2 роки тому +233

    I can't believe we used to dance to this song in high school,still a hit🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥from Kenya 🇰🇪🇰🇪

    • @SlsProductionTz
      @SlsProductionTz 2 роки тому +2

      Alikiba ft Diamond Platnumz 🔥🔥🔥
      🇹🇿🇹🇿🇹🇿ua-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/v-deo.html
      ua-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/v-deo.html
      ua-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/v-deo.html..

    • @titusmusyoka370
      @titusmusyoka370 2 роки тому +3

      Vry true hiii goma Kenya n high school ad waleo n sumu mashikaji niamin

    • @Christianbyombo
      @Christianbyombo 2 роки тому +2

      That's true

    • @mazingaamjad3275
      @mazingaamjad3275 2 роки тому +3

      Same in Uganda 😊😊

    • @sarahmugendih9038
      @sarahmugendih9038 2 роки тому +2

      I can't too

  • @abdiyathe6221
    @abdiyathe6221 3 роки тому +15

    Tanzanians should respect this guy ametutoa mbali yeye ndio ametufanya tusikiliza wimbo zenu

  • @PaulAndy254
    @PaulAndy254 3 роки тому +154

    More views and likes please tufikishe hata 1M views. This song was a hit back in the days ... 2021 representing Kenya

  • @irynmasanja1498
    @irynmasanja1498 2 місяці тому +2

    Naangalia hii nyimbo 2025 bado naiona nyimbo bora sana.. yaan zaman walikua wanqimbaaaa

  • @moramtanga-dar7372
    @moramtanga-dar7372 10 місяців тому +2

    Tonya 4 real ❤❤ ma hme boy 2024 hadi kesho aitok kichwan kwangu

  • @BarakaTarimo-e1h
    @BarakaTarimo-e1h Рік тому +3

    Chuma kwangu bado ni Hit Song

  • @ochiengoginga3463
    @ochiengoginga3463 Рік тому +89

    2023 and I am here once again. Amazing rendition 😊🖤

    • @angelamuhua5429
      @angelamuhua5429 Рік тому

      😅😅😅😅

    • @ochiengoginga3463
      @ochiengoginga3463 Рік тому

      @@angelamuhua5429 what are you doing here???? 😂😂😂😂😂 this is hilarious

  • @ShamuahMuhanguzi
    @ShamuahMuhanguzi Рік тому +29

    Am a Ugandan but this music will never fade away from my head forever big up to Tanzania for this master piece

  • @mwashebidaudi6038
    @mwashebidaudi6038 7 місяців тому +2

    Ntaisikiliza mpka niambiwe Anita kasharudi nyumbani❤❤ 2024 tulike hapa

  • @jaminbrown
    @jaminbrown Рік тому +2

    😂😂😂😂nimeona hio gari ya wire video ikianza ikanipea flashback ingine noma. Aki those days were truly beautiful kama haungekua na hio gari haukua na say😂😂. 2023 and still vibing to this song. Anita still i love you baby😢❤

  • @avemahshafiq7331
    @avemahshafiq7331 2 роки тому +22

    Am from Uganda I don't understand Swahili at all but I used to listen to this song when I was still young and still 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @Shilasaitoti
    @Shilasaitoti 3 роки тому +33

    Good old days when I could sing this song word by word.. Sikuhizi hata huwa siskii kina domo wanasema nini sijui uzee au vipi. Big matonya.. ❤️

  • @emmanuelrichard6771
    @emmanuelrichard6771 3 місяці тому +9

    Hili lilikuwa goma la kwenda miaka yetu tuliorudi 2024 kucheki upyaq gongaq like

  • @magrethnatai8846
    @magrethnatai8846 6 місяців тому +2

    2007 tulikuwa brides maids kwenye harusi. Hii nyimbo ndo ilikuwa hit wakati huo tukaichagua nyimbo yetu kuingia ukumbini tulipractice dancing steps kila siku. Brings back memories 😂

  • @naimouryhamad
    @naimouryhamad 2 роки тому

    Hii nyimbo nakumbuka kulikua na shangazi yangu anaitwa Anita bas kila akija home mm naimba dah jamn wale wa 2023 hit like

  • @danielkijo1828
    @danielkijo1828 4 роки тому +76

    Jaman tujuane hapa wangapi walijua wakitumwa sehem wakakutwa wimbo huu unapigwa wanasimama kwanza mpaka uishe ndo wanaendelea na safari

    • @tinajulya6876
      @tinajulya6876 3 роки тому +1

      tujuwane wote wanaoikumbuka hii ngoma

    • @dijahnassor5758
      @dijahnassor5758 3 роки тому +1

      Jamani uu wimbo naupenda Sana yangu Niko la pili mpaka nimemaliza chuo saivi ndo najua maanake Ila ni mtamu sana

  • @raymondmafuwe405
    @raymondmafuwe405 4 роки тому +402

    Wakwanz Nani ana angalia 2021 🔥🔥🔥🔥💖💖💖

  • @faithakinyi5353
    @faithakinyi5353 2 роки тому +301

    Zero nudity,zero sex references, just pure vibes 💯

  • @timelessmotivation999
    @timelessmotivation999 Рік тому +2

    Namkumbuka sana mshikaj wang wa primary alikua akiitiaga yeiyeeeeeeeeeee baada ya matonya akisema anita ... kila nkiiskia hii nymbo namkumbuka sana .. RIP BRO ... tupo nyuma yako

  • @onesmuskalembwe1757
    @onesmuskalembwe1757 20 годин тому

    Those days when we're watching Filipino drama on iTv, TVS and EATV was the main music channel, thanks Tanzania for the memories......🇿🇲🇿🇲

  • @Mercyree344
    @Mercyree344 4 роки тому +470

    I hope Anita alirudi nyumbani jameni, it's been long. 😪

  • @hawi_gweth
    @hawi_gweth 3 роки тому +9

    Anita is damn beautiful❤.na hapo hakuna filters 🥰🥰🥰

  • @tracyyoga7545
    @tracyyoga7545 4 роки тому +70

    One of Tanzania's greatest composer.. Matonya 💯💯💯

  • @halimasalim7891
    @halimasalim7891 3 місяці тому +2

    Actually nimekuja kuungalia huu mwimbo this year2024 after kuangalia interview ya mbengo TV ya Anita alisema alikuwa form 1 hapa😮😮

  • @mgogobeleko1411
    @mgogobeleko1411 11 місяців тому +2

    Vitamin music 🎶 tonya dah aiseeeee we watakua wamekuloga sio bule kaka ila bonge la msaniii hapa tz

  • @EdnaMakulo-cy8ju
    @EdnaMakulo-cy8ju Рік тому +8

    Kama unamkumbuka lady jaydee weka like hapa😂😂

  • @DottoSebastian-i6v
    @DottoSebastian-i6v 5 місяців тому +3

    Mume wangu alikuwa akiimba na anasisitiza kwenye mstari umaosema waliniambia nikuache wewe iliniishi mwenyewe........sasa nimeanzaa kuelewa alikuwa anamaanisha nini...

  • @raelykasadiseluwa6482
    @raelykasadiseluwa6482 3 місяці тому +4

    Kama umekuja baada ya interview gonga like ❤

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 6 місяців тому +2

    Tar 20/7/2024
    Ndio swali nililotoka kumuuliza mpenzi wangu,arafu naingia tiktok nakuita hi nyimbo nikasema ngoja nije niitafute💔💔💔😭😭😭😭😭🙏

  • @luciakimario-es6jn
    @luciakimario-es6jn Рік тому +1

    Nyimbo kali MDA wote kwangu pale napo isikia box najisikiaga vzr

  • @denniskipngetich1842
    @denniskipngetich1842 2 роки тому +4

    Mazoea Yana tabu
    Who is here 2023?
    Much love from Kenya 😍

  • @360media_SSD
    @360media_SSD 3 роки тому +58

    Those were the Days I could go home straight from school to and get the best of this song from THE BEATS

  • @annekombo5658
    @annekombo5658 2 роки тому +32

    This song reminds me of my neighbor, she used to call me Anita whenever we would met and sing this particular song for me especially when she is drunk may God rest her soul in peace

  • @richardbayemere6920
    @richardbayemere6920 Рік тому +1

    Hii inanikumbusha sana mpenzi wangu anita tulimwagana mwaka uliopita ila namukumbuka sana natamani tuludiane ❤️❤️❤️❤️

  • @FAIDAKIBIBI
    @FAIDAKIBIBI 6 місяців тому +1

    Maneno yakutulia enzi hizo, ili ukariri nyimbo lazma niandike kwenye karatasi ❤❤❤

  • @gibsonngeny3640
    @gibsonngeny3640 3 роки тому +41

    When songs were so nice
    I was in highschool in Kenya
    We would wait for a whole week to just watch this song only on Saturday evening (Entertainment day#
    Old Good Memories

  • @zaccheussimiyu3712
    @zaccheussimiyu3712 Рік тому +3

    Whenever people comment on such memorable songs, with remembrance of their departed loved ones, I feel some inner pain. I don't know what people would say of me when am long gone. This is 2023 celebrating my 31st birthday

  • @aesinam
    @aesinam 3 роки тому +82

    Wow this song takes me back to when my Kenyan friends in Sweden played this song for me cos my name is Anita lol. Love from a Ghanaian girl

  • @KassimBakari-mw8ey
    @KassimBakari-mw8ey 11 місяців тому +1

    Nipo mondo sec kondoa , ulinirusha sana Tonya na anitaaa, kassim Bakari Bindo from kigamboni dar es salaam Tanzania

  • @josephotieno3943
    @josephotieno3943 4 місяці тому +1

    Wale marafiki tuliokuwa nao pamoja Busia enzi hizo za highschool, you know how we danced to the tunes of this song. 2008 memories are fresh. Ujana ni moshi

  • @doreenwangechi5955
    @doreenwangechi5955 Рік тому +29

    This is not just a song. It's pure memories!!!

  • @ezekielkairithia95
    @ezekielkairithia95 3 роки тому +80

    This guy's built bongo music industry ...much respect

  • @jackiee1120
    @jackiee1120 Рік тому +8

    I made this a lullaby for my kids. I just replaced then name Anita. They are now 15 and 11 and this song is so special to them❤

  • @AblahmanJuma
    @AblahmanJuma 4 місяці тому +1

    Tulioludia kutizama baada ya kuona akiojiwa tia like hapa 2024

  • @Ninduruu_officiel
    @Ninduruu_officiel Рік тому

    Yani iyi song ata mwaka waaah 2026 ikingali Hit yani ata hivi ninayipenda🥰 pia ata dada yangu anitwa Anitha namupenda sana😍 like zangu apo pia naivi 2023 tuko pamoja nahiyo song🎵

  • @brightwriter9132
    @brightwriter9132 3 роки тому +95

    The nostalgia that this song brings is incomparable. I had just completed High School when this song came out.

  • @Tato-b1i
    @Tato-b1i 11 місяців тому +4

    Hii nyimbo inatoka mm darasa la tano nilikuwa naipenda san

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 2 роки тому +42

    Gonga like kwa sis wa 2023 goma Bado linaita halichuji...,🔥🔥🔥

  • @princethuo7138
    @princethuo7138 5 місяців тому +1

    kabisaa bado mi naliskiza ngoma hili nikizidiii kukumbka miaka izo za nyumaa waaah moto Sana

  • @VioletBusinesses
    @VioletBusinesses 22 дні тому

    Nyie Nimeukumbuka uu wimbo ghafla nilikua nauuimba kichwani it’s January 2025 aniiiiiiiiiii🎼🎼 tusichanganye changanye 🎼🎼🎼watu wa 90’s gonga likes hapo disco toto enzi hizo 😅😅😅

  • @kamishimoproductions8587
    @kamishimoproductions8587 5 років тому +61

    2020 bado nasikiza bonge la muziki wa Matonya. Ahsante sana Matonya na Lady Jaydee.

  • @erickawino8317
    @erickawino8317 3 роки тому +8

    When bongo was bongo nowadays bongo imearibika juu ya wasafi records...still listening🔥🔥

    • @beverlykadenge2095
      @beverlykadenge2095 2 роки тому

      Hakutai tokea bongo kama zile za zamani, aki nikiskia zinanifanya nafeel kurudi zamani😂😂😂😂

    • @erickawino8317
      @erickawino8317 2 роки тому +1

      @@beverlykadenge2095 😃😃😅😅

    • @beverlykadenge2095
      @beverlykadenge2095 2 роки тому +1

      @@erickawino8317 😂

  • @Theeomollofamily
    @Theeomollofamily Рік тому +7

    Gonga like ukiamini hii ni mziki hadi wa leo 2023❤

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 Рік тому +1

    daah yaaani huu wimbo na kumbuka mbali sana yaani tunakwenda kuona kwajirani tena mnaambiwa usikae kwenye makochi kaa chini😅😅😅😅❤

  • @AikaKiwelu-c9r
    @AikaKiwelu-c9r 3 місяці тому

    Matonya nayeye alikuwa kwenye list ya mahandsome aisee nampenda yeye na nyimbo zake Yan mpaka Leo nampenda Sana ❤❤❤❤❤2024 like hapa Kama unamuelewa matonya jaman

  • @dianamuchai
    @dianamuchai 4 роки тому +21

    Yaani dem days Bongo flavour was realy a flavour in Our lifes ❤️

  • @paulmasanja7055
    @paulmasanja7055 3 роки тому +5

    Kwann hamgongi ngoma kama hz siku sijui mmeingiwa na nn tu wasanii wa leo...daah za kale dhahabu gonga like kama zote tuliokua miaka ile

  • @zeitunsalim2885
    @zeitunsalim2885 2 роки тому +8

    Hizi ndio ngoma safi haina uchafu ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @kiokotenianoo1978
    @kiokotenianoo1978 Рік тому +1

    Tonya unajua Ila mdogo wako nko nitaakikisha tunarudidisha heshima inshallah

  • @NdarusanzeLeonidas
    @NdarusanzeLeonidas 6 місяців тому

    Mama yangu amenambia kama nikua siwezikura warakoze kunwa Bira hawatie iyi mwimbo ivisasa Niko mutu muzima naipenda sana 🎉🎉

  • @duncankamasi9668
    @duncankamasi9668 11 місяців тому +6

    Walio andika hizi nyimbo vitabuni wako wapi hasaa wanawake😂😂

    • @melsaotieno1833
      @melsaotieno1833 11 місяців тому +1

      Tko hapa the year was 2014😂😂😂😂

  • @gadimbajo
    @gadimbajo 3 роки тому +31

    When songs were classic, so sad to see these new generation artists what they have brought to the music industry, they have pushed away legends like this one who can really sing...

  • @priscalandu9980
    @priscalandu9980 2 роки тому +10

    I'm Congolese but I grew up with his songs in Kinshasa I don't understand but I love these sounds 🥹🥹🇨🇩😍

  • @RachauMicrofinance
    @RachauMicrofinance Рік тому +2

    Nyimbo nayopenda kuweka pindi mpenzi wangu Anita anapokuwa amekasilika

  • @MozambiqueGospel
    @MozambiqueGospel 2 місяці тому +1

    Liki tu inasibitisha kama tupo pamoja mwaka hu 2024

  • @ababagfx
    @ababagfx 3 роки тому +30

    When music was music💯🔥
    Old school Bongo Hits were the real deal. I'm glad I grew up listening to such. Love from 254🇰🇪

    • @harlsonnjue4775
      @harlsonnjue4775 2 роки тому

      We used to watch it kwa John video show before a movie

  • @SalimSalim-ci2hu
    @SalimSalim-ci2hu 3 роки тому +4

    Hii ngoma haipitwi na wakat mda wote ipo hit

  • @japhethochando7983
    @japhethochando7983 Рік тому +3

    Wueh lady jay dee hitting the notes like its nothing...kudos

  • @MoizeElisha
    @MoizeElisha 7 місяців тому +1

    Huu wimbo jaman nipo nautazam huu mwaka 2024 nipeni mauwa

  • @johnkingsley2689
    @johnkingsley2689 Рік тому +2

    I have always loved this beautiful song but sadly i just lost Anita Wangu two weeks ago, the pain is unbearable but somehow listening to "our song" helps me release my tears and some of the pain every time... malaika wangu kwa milele ❤❤❤

  • @luxusofficial6868
    @luxusofficial6868 2 роки тому +3

    Matonya. Wake up again, if you refresh this song again am sure it will HITS AGAIN.
    Wake up again, wake up again
    .......

  • @kipkemoimutai1903
    @kipkemoimutai1903 4 роки тому +141

    Machozi yanidondoka kila wakati ninapoiskia huu wimbo. not all rship are meant to last really. nipeni likes za 2021

  • @mohanoor153
    @mohanoor153 3 роки тому +11

    Lady Jeydee she is truly Musician what a great lady , No Drugs free from all those shirts ...God bless her so much

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Рік тому +1

    Hawa jamaa wako wapi , natamani warudi kufanya kazi Yao , walikuwa vizuri mno

  • @ephieawuor
    @ephieawuor Рік тому +1

    Still watching it in 2023... respect for this song...sikuizi watu hawajali wanaimba nini bora wameimba tu

  • @ageimadut2748
    @ageimadut2748 2 роки тому +7

    Damn!!! Who remembers East Africa TV ? It used to be home of classics 😢

  • @valentinejackson-nb9nz
    @valentinejackson-nb9nz 11 місяців тому +41

    I hope Anita alirudi nyumbani 😂its been long jamani😢😅😅

  • @boyfromkambaland2963
    @boyfromkambaland2963 3 роки тому +16

    I miss those days when i didn't exist,when music was meant for the souls...

    • @kelvinjuma2197
      @kelvinjuma2197 2 роки тому

      When bongo was bongo sahizi watoto wanaimba tu matope. ..Diamond platnamz alianza fity but on his way akachanganyiwa

  • @annenekesa8787
    @annenekesa8787 Рік тому

    Mimi kama niliimbiwa na wanafunzi class 3weee
    2023 🔥 🔥

  • @NunguyumuryangoEgide-e3e
    @NunguyumuryangoEgide-e3e Місяць тому

    I have seen Anita interview. She was beautiful still now. 2024 Kigali Rwanda

  • @animaladventures9136
    @animaladventures9136 3 роки тому +72

    I can sing the whole song more than 10 years later . That's when songs had a meaning

    • @gillianmagut2643
      @gillianmagut2643 2 роки тому +1

      Manzee😂😂😂
      Its like the lyrics are written at the back of my hand😂🤗