Moshi tuna ndizi aina zaidi ya 30! Kwa mtori unatumia share ambao haujakomaa kupitiliza. Umenyaji ni kama ulivyo ona kwenye video. Ukataji tunapasua kama mara nne pande zote then tunakatakata tunaosha. Kabla ya kupekecha tunasonga kwanza kwa kutumia mwiko
Looks doable. Will try this recipe
Sawa Asante Sister😋🎉
Nitaijaribu hii this weekend 😊 ❤️🔥 nime miss mtori for real 🥲
Huu siyo mtori hatuweki vitunguu
Shukran, kama huna kipekecho unaweza kusaga na bladder?
Shukrani kwa ajili ya mapishi yako
Asante sana nimejifunza kutoka kwako kuwa mpishi mzuri kwenye familia yangu
My tomorrow's task 🏃❤️❤️
Safi dada nmeipenda
🔥🔥🔥🔥🔥
unapatika Mwanza sehem gani
Asante
Uwiiii
Ni vizuri ujifundishe Kiswahili kwanza kabla hujaanza kukitumia.
Ahsate dear nimekuelewa sana..❤❤
❤
Napenda kupika mtori
Eka kyaaa
alukorya ntori nkwe😂
Moshi tuna ndizi aina zaidi ya 30! Kwa mtori unatumia share ambao haujakomaa kupitiliza. Umenyaji ni kama ulivyo ona kwenye video. Ukataji tunapasua kama mara nne pande zote then tunakatakata tunaosha. Kabla ya kupekecha tunasonga kwanza kwa kutumia mwiko
Hi malkia unavyosaga unakuwa unasagia hapo hapo ukiwa jikon
Hatuwezi kuachika kizembe kwa mapishi hayo
Ni hatari na chapati
Ni vizuri ujifundishe Kiswahili kwanza kabla hujaanza kukitumia.
Nini hujaelewa hapo jamani