Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Vizazi na vizazi watackiliza hii nyimbo,iko poa sn.
Mashaallah mama nyimbo ya zama lakini Bado nikiisikiliza ni km ni ya juzi na maneno ambayo yanamafumbo
Walaih hii nyimbo,huni gusa sana..naienzi hii nyimbo sana,huni ongoa wakati nina mzongo wa mawazo😁😁👍👍🙏🙏.allah atujalie ya kheri,atuepushe na yashari!!!!..
❤❤❤ UTAZIKWA NAYO ROHO MBAYA NA CHOYO ?TOKA MBIO
Mungu awazidishie inshaallah
Paaambe tu Asanteni
unalo lililokukaa na roho mbna hamjaupload,naitafuta sanaa
❤❤❤❤ SHARIF MOHAMED SHARIF MASHALLAH SKIZA VITU
Pambeeee❤❤
❤ 2024
Inshallah allah akinijalia,uhai,uzima,pia nafasi ya fedha nitakuja kutalii zanzibar,nione madhari ya uko👁️👁️👁️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯🦈🦈🦈🦂🦂🦂🦂....
Karibu sana
@@RioIpo kabisa
Zanzibar is in my list of destination ❤
Naipenda Iko sawa
Twende kazi
Hapi chacha
Waaaa! Nani anigaramie safari za zanzibar niende nione hawa malkia wa kusema ukweli in lyrics? Nisibaki kubweka na windo lishaenda yawa!
Hizinyimbo zilikua tamu sana
Nimeielewa san
na wapewe dozi lao,hao vijiba vya roho
Izo ni atari sanaa kipindi iyo acha kabisa
Hinyimbo nishida jaman
Very nice music
Nlienda likizo tanga mjini kwa dadaangu 2004 duuu nainjoi
Pambe hatar❤❤❤❤
Zanzibar beutiff island of africa
Kuna mtu hawezi kuingia huku kwenye mikito anaweza zimia by mr &Mrs Tausi wa Ghana Airport road location
Vitu kwa mpango
Jitahidi
Inanikumbusha mbali Sanaa hii nyimbo jamni
Kipind hich tumepanga yaan ukiweka tu wapangaji wengine wanajua umewawekea ilikuwa Raha sana
Hahahaha Zamani raha kweli yaani ukiiweka akili zao unawapigia mafumbo wao
umeoneèee
Mwenye kijiba cha roho akaugue hospitalini😂😂
Asante sana
Fitina mbaya
😅😅😅😊😅😊😅😅😅😅
Vizazi na vizazi watackiliza hii nyimbo,iko poa sn.
Mashaallah mama nyimbo ya zama lakini Bado nikiisikiliza ni km ni ya juzi na maneno ambayo yanamafumbo
Walaih hii nyimbo,huni gusa sana..naienzi hii nyimbo sana,huni ongoa wakati nina mzongo wa mawazo😁😁👍👍🙏🙏.allah atujalie ya kheri,atuepushe na yashari!!!!..
❤❤❤ UTAZIKWA NAYO ROHO MBAYA NA CHOYO ?TOKA MBIO
Mungu awazidishie inshaallah
Paaambe tu Asanteni
unalo lililokukaa na roho mbna hamjaupload,naitafuta sanaa
❤❤❤❤ SHARIF MOHAMED SHARIF MASHALLAH SKIZA VITU
Pambeeee❤❤
❤ 2024
Inshallah allah akinijalia,uhai,uzima,pia nafasi ya fedha nitakuja kutalii zanzibar,nione madhari ya uko👁️👁️👁️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯🦈🦈🦈🦂🦂🦂🦂....
Karibu sana
@@RioIpo kabisa
Zanzibar is in my list of destination ❤
Naipenda Iko sawa
Twende kazi
Hapi chacha
Waaaa! Nani anigaramie safari za zanzibar niende nione hawa malkia wa kusema ukweli in lyrics? Nisibaki kubweka na windo lishaenda yawa!
Hizinyimbo zilikua tamu sana
Nimeielewa san
na wapewe dozi lao,hao vijiba vya roho
Izo ni atari sanaa kipindi iyo acha kabisa
Hinyimbo nishida jaman
Very nice music
Nlienda likizo tanga mjini kwa dadaangu 2004 duuu nainjoi
Pambe hatar❤❤❤❤
Zanzibar beutiff island of africa
Kuna mtu hawezi kuingia huku kwenye mikito anaweza zimia by mr &Mrs Tausi wa Ghana Airport road location
Vitu kwa mpango
Jitahidi
Inanikumbusha mbali Sanaa hii nyimbo jamni
Kipind hich tumepanga yaan ukiweka tu wapangaji wengine wanajua umewawekea ilikuwa Raha sana
Hahahaha
Zamani raha kweli yaani ukiiweka akili zao unawapigia mafumbo wao
umeoneèee
Mwenye kijiba cha roho akaugue hospitalini😂😂
Asante sana
Fitina mbaya
😅😅😅😊😅😊😅😅😅😅