UTAKUFA NACHO KIJIBA CHA ROHO... JOKHA KASSIM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 38

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Рік тому +9

    Vizazi na vizazi watackiliza hii nyimbo,iko poa sn.

  • @jumshkoja636
    @jumshkoja636 Рік тому +7

    Mashaallah mama nyimbo ya zama lakini Bado nikiisikiliza ni km ni ya juzi na maneno ambayo yanamafumbo

  • @msafirinuru5701
    @msafirinuru5701 Рік тому +7

    Walaih hii nyimbo,huni gusa sana..naienzi hii nyimbo sana,huni ongoa wakati nina mzongo wa mawazo😁😁👍👍🙏🙏.allah atujalie ya kheri,atuepushe na yashari!!!!..

  • @SolomonNganga-f1v
    @SolomonNganga-f1v Місяць тому

    ❤❤❤ UTAZIKWA NAYO ROHO MBAYA NA CHOYO ?TOKA MBIO

  • @jumaomar4646
    @jumaomar4646 4 місяці тому +2

    Mungu awazidishie inshaallah

  • @jokhakassim4241
    @jokhakassim4241 2 роки тому +7

    Paaambe tu Asanteni

  • @SolomonNganga-f1v
    @SolomonNganga-f1v Місяць тому +1

    ❤❤❤❤ SHARIF MOHAMED SHARIF MASHALLAH SKIZA VITU

  • @Sharifakhamis-vx2ne
    @Sharifakhamis-vx2ne 11 днів тому

    Pambeeee❤❤

  • @azaabdallah4255
    @azaabdallah4255 14 днів тому

    ❤ 2024

  • @msafirinuru5701
    @msafirinuru5701 Рік тому +1

    Inshallah allah akinijalia,uhai,uzima,pia nafasi ya fedha nitakuja kutalii zanzibar,nione madhari ya uko👁️👁️👁️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯🦈🦈🦈🦂🦂🦂🦂....

  • @rehemanjoki532
    @rehemanjoki532 11 місяців тому

    Zanzibar is in my list of destination ❤

  • @hellenkageha7984
    @hellenkageha7984 11 місяців тому

    Naipenda Iko sawa

  • @bensonmudogo5358
    @bensonmudogo5358 Рік тому +2

    Twende kazi

  • @JohnAdoyo
    @JohnAdoyo Рік тому +1

    Waaaa! Nani anigaramie safari za zanzibar niende nione hawa malkia wa kusema ukweli in lyrics? Nisibaki kubweka na windo lishaenda yawa!

  • @RehemaMgaza-p5n
    @RehemaMgaza-p5n 9 місяців тому

    Hizinyimbo zilikua tamu sana

  • @KhairatyIqra
    @KhairatyIqra 4 місяці тому

    Nimeielewa san

  • @user-km8ft8ee8y
    @user-km8ft8ee8y 4 місяці тому

    na wapewe dozi lao,hao vijiba vya roho

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 10 місяців тому

    Izo ni atari sanaa kipindi iyo acha kabisa

  • @user-ew2yj3rx5b
    @user-ew2yj3rx5b 6 місяців тому

    Hinyimbo nishida jaman

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Місяць тому

    Very nice music

  • @SalimSabenji
    @SalimSabenji 6 місяців тому

    Nlienda likizo tanga mjini kwa dadaangu 2004 duuu nainjoi

  • @user-wl8sd3vz4i
    @user-wl8sd3vz4i 11 місяців тому

    Pambe hatar❤❤❤❤

  • @ahmedkhamyc-lv5zw
    @ahmedkhamyc-lv5zw Рік тому

    Zanzibar beutiff island of africa

  • @user-jq9mi2oi1u
    @user-jq9mi2oi1u 4 місяці тому

    Kuna mtu hawezi kuingia huku kwenye mikito anaweza zimia by mr &Mrs Tausi wa Ghana Airport road location

  • @Apexelectronics-l3v
    @Apexelectronics-l3v 6 місяців тому

    Vitu kwa mpango

  • @farhadahmed3654
    @farhadahmed3654 Рік тому

    Jitahidi

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 Рік тому +1

    Inanikumbusha mbali Sanaa hii nyimbo jamni

  • @nakioazaria3624
    @nakioazaria3624 Рік тому +1

    Kipind hich tumepanga yaan ukiweka tu wapangaji wengine wanajua umewawekea ilikuwa Raha sana

    • @RioIpo
      @RioIpo Рік тому

      Hahahaha
      Zamani raha kweli yaani ukiiweka akili zao unawapigia mafumbo wao

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 Рік тому +1

      umeoneèee

    • @NajmahBakari
      @NajmahBakari Рік тому

      Mwenye kijiba cha roho akaugue hospitalini😂😂

    • @hamisally9255
      @hamisally9255 11 місяців тому

      Asante sana

    • @hamisally9255
      @hamisally9255 11 місяців тому

      Fitina mbaya

  • @DottoDonge
    @DottoDonge 10 місяців тому

    😅😅😅😊😅😊😅😅😅😅