Wakristo waendelea kusilimu Muhammad s.a.w na Yesu (ISSA a.s) nani alitumwa kwa watu wote

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 58

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Рік тому +1

    Allah atuongoze masheikh hili la waislamu kubaguana ni hatari sana but maimamu wengine wanapenda kukosoana kwenye mitandao ambapo ni makosa hii inapelekea wasio kuwa waislamu likemeeni hili masheikh wetu ukweli mtupu huu

    • @samxx411
      @samxx411 Рік тому

      Wananikera kweli kweli

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Рік тому +1

    Maashaallah baarakallah mungu awajaze kheri..mashekh wetu mitambo kidogo imesumbua lakn ujumbe umefika biidhinillah

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Рік тому +2

    Sheikh Hasan unahitaji miwani mungu akuhifadhi wewe na maustadhi wetu wengine

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Рік тому +2

    Yesu kristo alikuwa mwalimu wa kufundisha njia ya mungu

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Рік тому +1

    MashaAllah, hua nafurah sana Mtu hua yuaja na jazba alaf yuafreez

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 Рік тому +1

    mashaa allah mungu awasaidiye , naona shekh salim sauti ime kata hapo nyuma .

  • @BariisSamatar
    @BariisSamatar Рік тому +2

    ALLHAMDULLILLAH ❤❤❤❤

  • @zuenazuena5690
    @zuenazuena5690 Рік тому +1

    Ma sha Allah

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 Рік тому +2

    Masha Allah

  • @sweetylove9918
    @sweetylove9918 Рік тому +1

    Takbir Allahu Akbar mashallah

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540 Рік тому +2

    Allahu Akbar..Karibu sana kaka

  • @yigamubashiru9481
    @yigamubashiru9481 Рік тому +1

    Allah Awalipe kla la kheri شكرا

  • @alimaalim2454
    @alimaalim2454 Рік тому +5

    Allahu akbar. Uislamu ni neema kubwa

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Рік тому +1

    MashaAllah MashaAllah Allah barik

  • @bausifarouk1798
    @bausifarouk1798 Рік тому +1

    Mashallah

  • @BariisSamatar
    @BariisSamatar Рік тому +1

    ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Рік тому +1

    Takbiir Takbiir

  • @benin9773
    @benin9773 Рік тому +1

    alhamdulilaah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Рік тому +1

    ❤❤❤

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Рік тому +1

    Assalaam Alaykum.Leo sauti inakatika katika.Inn Allah mara nyingine ALLAH alete wepesi mambo yawe sawa.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Рік тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Рік тому +1

    Assallam aleikum mashaAllah leo nimewahi kwa ajili ya Allah Allah awalinde awaepushie kila husda amiin

    • @samxx411
      @samxx411 Рік тому +1

      Hongera sana ni bora kuwahi katika mema

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Рік тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh amiin amiin amiin

    • @zakiaanwar677
      @zakiaanwar677 Рік тому

      ​@@samxx411shukran ndugu sote pamoja

  • @mwanakombokalamu7009
    @mwanakombokalamu7009 Рік тому +1

    Assallam alykum warahamatullah wabarakatuh ustadh hawa subscribers wote walienda wapi? Inasikitisha sana waalimu wa daawah ndyo wko chini....Allah akuzidishie nyoyo dhabiti maana msiba kw kweli

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Рік тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh kutangaza uisilamu inataka subra hali ngumu na sio sisi tu angalia hali pia ya maimamu msikitini but tunasema alhamdulillah

    • @mwanakombokalamu7009
      @mwanakombokalamu7009 Рік тому +1

      @@salimdaawah123 Allah awape subra

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 Рік тому +3

    Sauti imepotea 35:11 mpaka 37:43

  • @zohramariga6678
    @zohramariga6678 Рік тому +2

    Asalamu alakumu mashala mungu amulidi kwakilajabo ❤❤

  • @BariisSamatar
    @BariisSamatar Рік тому +1

    Hakuna wa islamu wanayo sema hivo never ever ndung yangu

  • @sadickkagoma5297
    @sadickkagoma5297 Рік тому +2

    Allahu Akbar

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Рік тому +1

    Volume please

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Рік тому +1

    Hawajui ya kwamba hata mchawi mwizi mzinzi mkora jambazi wote hujibiwa maana Allah ni Rahman tena Rahim

  • @sheemaryam
    @sheemaryam Рік тому +1

    Àsalam aleikum warahmaturullahi wabarakatuh huyo jamaa anongea temple iko hapo nyuma ya fire station pia mm Kuna siku nilikuwa nadhani ni msikiti kufika kwa mlango nikaambiwa hapo sifai kuingia niya wahindi hio LAKINI I thought ni msikiti 😅😅😅

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Рік тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh yeah nadhani hiyo ndio alikuwa akisema

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Рік тому +1

    Assalam alaykum, shkh Ali Yuko wap?

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Рік тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh yuko tu hali ya kukimbiza maisha kindogo

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Рік тому +2

    Sauti hakuna shekhe wetu

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Рік тому +1

    Shekh Hasan inatakiwa atumie miwani

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 Рік тому +1

    Asalam alaykum

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Рік тому +1

    Tunataka daawah iende 1hr:30mins ama 2hrs

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Рік тому +1

    Kitu kinacho hadaa hawa wakristo ni kuwa wakiomba wanajibiwa but hawajui

  • @aliomar5954
    @aliomar5954 Рік тому +1

    Asalaamualaikum shekh huyo aliona bohora ni Dini ya wahindi sio uislamu shuqran

  • @BintiSuleiman-f5v
    @BintiSuleiman-f5v Рік тому +1

    Allah Akbar islam is the way

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Рік тому +1

    Huyo mrongo aseme msikiti gani hio ati waislam weupe nop mm mwa Africa mkenya na nimweusi Nana swalisha waarabu akiwa imamu hayuko

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Рік тому +1

    Hiyo wamebabaishiwa kumuabudu yesu ili ionekane ukristo ni wa yesu kumbe ni wa Paulo .

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 6 місяців тому +1

    Kumbe.kaendakwabohora.hao.wahindi.wanachomana.wakifa.alijuwa.waislam

  • @yia73
    @yia73 Рік тому +1

    Wa bokhora ndio wataki kabila zingine. It's a Shia sect

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Рік тому +1

    Nataka ku zundusha jambo moja!
    Mjakazi na mfanyi kazi nyumbani ni watu wa wili tofauti,Mjakazi ni mtu alo nunuliwa, na mfanyi kazi ni mtu wakawaida ame enda kwa nyumba fulani kufanya kazi kupata rizqi yake. Kwa hivo hajara hakuwa mfanyi kazi bal alikuwa ni Mjakazi wa sara, na Mjakazi huwa ni mali yako, mfanyi kazi si mali yako

    • @abcfisheries2865
      @abcfisheries2865 Рік тому

      Onsha Sufuria Moja na Mwiko Moja?
      Tumi yeni Common Sense!

    • @abcfisheries2865
      @abcfisheries2865 Рік тому +1

      Hio habari ya Bi Hajar kuwa 'mjakazi' ni POROJO za Biblia!
      Kwani Ibrahim na Sar'a wali kuwa na 5 Bedroom Bunglow la Lavington, ili wam andike mu Fanya Kazi'?
      Ibrahim alikuwa na a Single Hut, kama za Masaai. Kwani Sa'ra ange shindwa ku osha Sufuria na Mwiko MOJA katika Hut yao?
      Bi Hajar ali kuwa an Egpytian Princess, kama MKE wa YUSUF, ambaye alikuwa ni Egyptian Princess!
      POROJO za WaZungu zime jaa katika biblia!