Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Yani mukikosa kupost kwa siku sioni raha. Kazi nzuri sana bambo na mtanga mungu awabariki
Mamaee mtanga bhana anatukumbusha enzi za fataki
Mtanga na bambo mko sawa kabisa mgoteeni kibati na Masai sana
Nawapenda sana asee,naombeni msije mkaacha kuigiza hiki kipindi
AK sometimes najipata nina stress but nikiangalia MTANGA NA BAMBOO zinanitoka tu kazi nzuri sana be blessed yotr
Kazi babkubwa sana Mtanga Comedy hakika ni moto wa kuotea mbali
Nakweli
Hahahaha asanten kwa kazi nzuriiiii
Beautiful 🌷🌷✔✔.
Hatari sana wazew wangu
Ukiona baba mkwe anamuamkia mkwe ujue hakuna ndoa hapo.. Mmetisha sana
Hakiamungu 😂😂😂😂😂 eti mtanga me"" bado mdogo++@@
Kwapa lake tu harufu umri nauona huyu mtu mzima😃😃😂😂😂
Yani mimi na Tanzania tanzania ndogo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mtanga umenishinda tabia
Saf sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Waschana wahivi sasa simapenzi yao wanaangalia mfuko kama pesaiko.wakiona hana pesa ndio utaskia wakisema we nimzee tafta rika yako,kumbe kaona hana pesa🤣🤣🤣👍
kakakaka noma
Kalandingo ,tetenasi
Harufu ya kwapa😀😀😀😀😀😀😀
Mmasai kamchapa huyo dada bakora ya kweli imempata vizuri.
😂😂😂 yaani Bambo achukue kijiko akugonge bapa la uso ndio ajue umri wa kweli Mtanga wewe utaniuwa zangu bado jamani
Masai kamata hao nyang'au
Ati ukigonga utosi na kijiko utaskia sauti gani...😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania ndongo wewe umetisha
Hahaha wazee wakikao
😅😅👍
😂😂😂
🤣🤣🤣 ng'ombe hazeeki maini Bambo wewe ielewe
0:18 0:20 0:21 0:22 0:22 0:23
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanini s
Kibati Anamiaka mitatu manake hata shule hajaanza
harufu ya kwapa tu inaonesha mtango ni mtu mzima😂
Leo ni mtu wa mwanzo 1
Kwani paka Mzee hanywi maziwa? Bambo ifahamu hio
Cameraman namsikia anataka kucheka....
Hahaaaaaa
Kwamba Tanzania na mtanga nani mkubwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtanga anafanya calculus, (kibati X 3)= mtanga mkubwa kuliko Tanzania.
Hawa jamaa ni pasua kichwa
😝😝😆😆😆😆😆😆😆
Haaaaaaaa
Mtanga unanipa burudan saaaaaana,eti umri wako na ukubwa wa Nchi,unazid wewe
Naona mmefanya maberesho makubwa kwenye camera hongereni sana
"mJukuu wako"🤣🤣🤣✨😂ua-cam.com/video/pRVmPgv0sTQ/v-deo.html📚
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha kwamba arufu yakwApa
Kwamba huku niweke kauuli kanani,hahahaja nimwcheka kwewl
Yani mukikosa kupost kwa siku sioni raha. Kazi nzuri sana bambo na mtanga mungu awabariki
Mamaee mtanga bhana anatukumbusha enzi za fataki
Mtanga na bambo mko sawa kabisa mgoteeni kibati na Masai sana
Nawapenda sana asee,naombeni msije mkaacha kuigiza hiki kipindi
AK sometimes najipata nina stress but nikiangalia MTANGA NA BAMBOO zinanitoka tu kazi nzuri sana be blessed yotr
Kazi babkubwa sana Mtanga Comedy hakika ni moto wa kuotea mbali
Nakweli
Hahahaha asanten kwa kazi nzuriiiii
Beautiful 🌷🌷✔✔.
Hatari sana wazew wangu
Ukiona baba mkwe anamuamkia mkwe ujue hakuna ndoa hapo.. Mmetisha sana
Hakiamungu 😂😂😂😂😂 eti mtanga me"" bado mdogo++@@
Kwapa lake tu harufu umri nauona huyu mtu mzima😃😃😂😂😂
Yani mimi na Tanzania tanzania ndogo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mtanga umenishinda tabia
Saf sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Waschana wahivi sasa simapenzi yao wanaangalia mfuko kama pesaiko.wakiona hana pesa ndio utaskia wakisema we nimzee tafta rika yako,kumbe kaona hana pesa🤣🤣🤣👍
kakakaka noma
Kalandingo ,tetenasi
Harufu ya kwapa😀😀😀😀😀😀😀
Mmasai kamchapa huyo dada bakora ya kweli imempata vizuri.
😂😂😂 yaani Bambo achukue kijiko akugonge bapa la uso ndio ajue umri wa kweli Mtanga wewe utaniuwa zangu bado jamani
Masai kamata hao nyang'au
Ati ukigonga utosi na kijiko utaskia sauti gani...😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania ndongo wewe umetisha
Hahaha wazee wakikao
😅😅👍
😂😂😂
🤣🤣🤣 ng'ombe hazeeki maini Bambo wewe ielewe
0:18 0:20 0:21 0:22 0:22 0:23
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanini s
Kibati Anamiaka mitatu manake hata shule hajaanza
harufu ya kwapa tu inaonesha mtango ni mtu mzima😂
Leo ni mtu wa mwanzo 1
Kwani paka Mzee hanywi maziwa? Bambo ifahamu hio
Cameraman namsikia anataka kucheka....
Hahaaaaaa
Kwamba Tanzania na mtanga nani mkubwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtanga anafanya calculus, (kibati X 3)= mtanga mkubwa kuliko Tanzania.
Hawa jamaa ni pasua kichwa
😝😝😆😆😆😆😆😆😆
Haaaaaaaa
Mtanga unanipa burudan saaaaaana,eti umri wako na ukubwa wa Nchi,unazid wewe
Naona mmefanya maberesho makubwa kwenye camera hongereni sana
"mJukuu wako"🤣🤣🤣
✨😂
ua-cam.com/video/pRVmPgv0sTQ/v-deo.html
📚
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
harufu ya kwapa tu inaonesha mtango ni mtu mzima😂
Hahahaha kwamba arufu yakwApa
Kwamba huku niweke kauuli kanani,hahahaja nimwcheka kwewl
😂😂😂