@@mtangacomedy sio kuwakatisha tamaa. Mimi ni shabiki yenu since kitambo unaposema hivyo unazingua mno. Sisi mashabiki ndo hua tunaona kazi nzuri au mbovu. Combination yenu na zimwi hua mnafanya kazi nzuri sana. Siku hizi Masai haonekani hata yy hua anafanya poa sana. Sikitu mlimtimua au vipi?? Alikua anafanya poa sn.
Hahaaaaaa bamboo fala,eti nitakuhonga kitu kingne
Safi sana kazi nzuri our best comedians of all the time
Huyo dada anaedai hati ya nyumba anajua kuigiza sana shirikianeni nae Sana ili azibe pengo la sikitu
Mtanga tabiya mbaya hiyo 😥😅😅😅😅🤦♂️🤦♂️
Omar Aboud upewe tuzo mtanga commedy,deile wakwanza kupokea mzigo wa , wataaaram wetu mtango commedian
Second comment...greetings from Manchester United kingdom
Thank you guys awesome video
Asante sana
Mtoto mdogo kiatu kusema kitanibana😂😂😂
😅😅😅umezaa wezi
Baba lenu nambar ek wenu kama kawa kama dawa naload taratibu na mzigo huu mkubwa kwa hisani kuu ya Mtanga Comedy
Heshima kwako
@@mtangacomedy asante sana Mkuu ubarikiwe hadi uote nywele kuchwani
naomba like tu
Ili iweje?
Hii saf sana ulitaka africast ndo hyo
😀😀😀 wakongwe kazin
Bambo Na Mtanga kazi safi💪
Mwambie adaiwe adi zambi😅😅
Lakini haka kasura Ka mtanga kanakaa tuu kakuchekesha😅
wako wengi hao wanaopitia hiyo mitihani
Baba mkwe acha tamaa 😅
Sema hii ipo unakuta mzee kapagawa na penzi la binti anatoa hati ya kiwanja 😂
Tunamtaka zimwi
Zimwi akiwepo hua wanaupiga mwingi sn
Nitakuhonga kitu kingine
Masihalo masihalo kama babu na mjukuu.
Bila zimwi hua mnachemka sana aiseee 😂
Sio kweli na usitukatishe tamaa bro
@@mtangacomedy sio kuwakatisha tamaa. Mimi ni shabiki yenu since kitambo unaposema hivyo unazingua mno. Sisi mashabiki ndo hua tunaona kazi nzuri au mbovu. Combination yenu na zimwi hua mnafanya kazi nzuri sana. Siku hizi Masai haonekani hata yy hua anafanya poa sana. Sikitu mlimtimua au vipi?? Alikua anafanya poa sn.
Bambo ni hatari
🇰🇪🇹🇿
Yuku wapi zimwi
😂😂😂😂👍🥰♥️♥️🙏
Yuwapi zimwi
Alikuw anaumwa
😂😆😆😆 mtanga umeiona nguvu ya zimwi ss?
🤣🤣