MTANGA ,BAMBOB,BINGWA WA KUHONGA ,LAZIMA UCHEKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 36

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 Рік тому +6

    Hahaaaaaa bamboo fala,eti nitakuhonga kitu kingne

  • @MichaelAloyce-sf7do
    @MichaelAloyce-sf7do 5 місяців тому

    Safi sana kazi nzuri our best comedians of all the time

  • @Qs3557
    @Qs3557 Рік тому +1

    Huyo dada anaedai hati ya nyumba anajua kuigiza sana shirikianeni nae Sana ili azibe pengo la sikitu

  • @Rikas_Riphin
    @Rikas_Riphin Рік тому +1

    Mtanga tabiya mbaya hiyo 😥😅😅😅😅🤦‍♂️🤦‍♂️

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 Рік тому +1

    Omar Aboud upewe tuzo mtanga commedy,deile wakwanza kupokea mzigo wa , wataaaram wetu mtango commedian

  • @autorepair2321
    @autorepair2321 Рік тому +2

    Second comment...greetings from Manchester United kingdom
    Thank you guys awesome video

  • @tonyfrancisco2228
    @tonyfrancisco2228 Рік тому

    Mtoto mdogo kiatu kusema kitanibana😂😂😂

  • @sumahmomba
    @sumahmomba Рік тому

    😅😅😅umezaa wezi

  • @omaraboud2115
    @omaraboud2115 Рік тому +2

    Baba lenu nambar ek wenu kama kawa kama dawa naload taratibu na mzigo huu mkubwa kwa hisani kuu ya Mtanga Comedy

    • @mtangacomedy
      @mtangacomedy  Рік тому +2

      Heshima kwako

    • @omaraboud2115
      @omaraboud2115 Рік тому +1

      @@mtangacomedy asante sana Mkuu ubarikiwe hadi uote nywele kuchwani

  • @thomaskwesiga1129
    @thomaskwesiga1129 Рік тому +4

    naomba like tu

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 Рік тому

    Hii saf sana ulitaka africast ndo hyo

  • @musamasika9603
    @musamasika9603 Рік тому +1

    😀😀😀 wakongwe kazin

  • @zebedeemkallah5610
    @zebedeemkallah5610 Рік тому

    Bambo Na Mtanga kazi safi💪

  • @farajmohammed
    @farajmohammed Рік тому

    Mwambie adaiwe adi zambi😅😅

  • @Rhythmic_ThinkersHub
    @Rhythmic_ThinkersHub Рік тому

    Lakini haka kasura Ka mtanga kanakaa tuu kakuchekesha😅

  • @salimamani6672
    @salimamani6672 Рік тому +1

    wako wengi hao wanaopitia hiyo mitihani

  • @bakariadamu6068
    @bakariadamu6068 Рік тому

    Baba mkwe acha tamaa 😅
    Sema hii ipo unakuta mzee kapagawa na penzi la binti anatoa hati ya kiwanja 😂

  • @mohammedkhamis1113
    @mohammedkhamis1113 Рік тому +1

    Tunamtaka zimwi

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Рік тому

      Zimwi akiwepo hua wanaupiga mwingi sn

  • @emmanuelmbwile6928
    @emmanuelmbwile6928 Рік тому

    Nitakuhonga kitu kingine

  • @isacklyanga1250
    @isacklyanga1250 Рік тому

    Masihalo masihalo kama babu na mjukuu.

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Рік тому

    Bila zimwi hua mnachemka sana aiseee 😂

    • @mtangacomedy
      @mtangacomedy  Рік тому +1

      Sio kweli na usitukatishe tamaa bro

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Рік тому

      @@mtangacomedy sio kuwakatisha tamaa. Mimi ni shabiki yenu since kitambo unaposema hivyo unazingua mno. Sisi mashabiki ndo hua tunaona kazi nzuri au mbovu. Combination yenu na zimwi hua mnafanya kazi nzuri sana. Siku hizi Masai haonekani hata yy hua anafanya poa sana. Sikitu mlimtimua au vipi?? Alikua anafanya poa sn.

  • @ezekielkwiyanga4080
    @ezekielkwiyanga4080 Рік тому

    Bambo ni hatari

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 Рік тому +1

    🇰🇪🇹🇿

  • @amoszacharia6842
    @amoszacharia6842 Рік тому

    Yuku wapi zimwi

  • @Farida-jc3cq
    @Farida-jc3cq 5 місяців тому

    😂😂😂😂👍🥰♥️♥️🙏

  • @sosom14
    @sosom14 Рік тому

    Yuwapi zimwi

  • @auleusmuyamba4208
    @auleusmuyamba4208 Рік тому

    🤣🤣