SINGO LAKUMPOKEA MUME‼️

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • #ndoa
    Assalam Alleykhum
    ◾Asante sana kipenzi kwa kunitembelea video yetu ya Leo nikuhusu singo lakumpokea mume...
    ◾Hatakama wewe ndio unampokea lazima tayari uwe unanukia vilivyo yaani uwe ushajisinga sehemu unazoweza,ndio mume akifika asikie unanukiaaaaaaaa balaaa sijui tuko pamoja?? Kama wewe unanukia basi na yeye hatakataa wewe kumsinga.
    ◾Nini Maana ya kusinga?Kusinga nikama kumfanyia scrub ama kumsafisha mwili wake wote sio na scrub yakawaida bali nihivi nilivyotaja..nitawaletea aina ya singo zingine InshaaAllah 😍
    ◾kama haujaelewa niandikie kwa comments.
    ◾Subscribe nina hakika utaenjoy.
    ◾Asante sana.

КОМЕНТАРІ • 42

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban  2 роки тому +4

    Assalam Alleykhum
    ◾Asante sana kipenzi kwa kunitembelea video yetu ya Leo nikuhusu singo lakumpokea mume...
    ◾Hatakama wewe ndio unampokea lazima tayari uwe unanukia vilivyo yaani uwe ushajisinga sehemu unazoweza,ndio mume akifika asikie unanukiaaaaaaaa balaaa sijui tuko pamoja?? Kama wewe unanukia basi na yeye hatakataa wewe kumsinga.
    ◾Nini Maana ya kusinga?Kusinga nikama kumfanyia scrub ama kumsafisha mwili wake wote sio na scrub yakawaida bali nihivi nilivyotaja..nitawaletea aina ya singo zingine InshaaAllah 😍
    ◾ Unanukia kama aroosa vileee💦💦
    ◾Ipokeeni vizuri nyingi zifuate naomba mushee😍
    ◾kama haujaelewa niandikie kwa comments.
    ◾Subscribe nina hakika utaenjoy.
    ◾Asante sana.

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому

      Waleykum salam mzima dear inshallah

  • @timaahmedhussein2131
    @timaahmedhussein2131 2 роки тому +1

    yanihusu sana

  • @jatirbhai2259
    @jatirbhai2259 2 роки тому +1

    Nice sharing my frnd stay in tch ❤️

  • @FebineAwuor
    @FebineAwuor 2 роки тому

    Mawaidha mazuri sana

  • @ruthkomuvlogs2837
    @ruthkomuvlogs2837 2 роки тому +1

    Another one thanks alot for the nice content❤

    • @salmayusuph737
      @salmayusuph737 2 роки тому

      Mafuta mazito kama yapi hapo ndo sijaelewa mfano mafuta gani

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 2 роки тому

    Uko vizuri sana dadaa

  • @ibraabuemu9231
    @ibraabuemu9231 2 роки тому

    Maa sha ALLAH

  • @eshefaiz7846
    @eshefaiz7846 2 роки тому +1

    Hapo nakubali dida nilikua sijui🤣🤣🤣🤣najifnza kitu tnx

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Tunajifunza sote kila siku mpenzi shukran

  • @faithgracenyokabi6703
    @faithgracenyokabi6703 7 місяців тому

    Nioneshe kwa video

  • @kamanda9353
    @kamanda9353 2 роки тому +1

    Saw

  • @faithgracenyokabi6703
    @faithgracenyokabi6703 7 місяців тому

    Tuonyeshe viungp

  • @eveeva7480
    @eveeva7480 2 роки тому

    Santa Dida😘

  • @hannahhassan8881
    @hannahhassan8881 11 місяців тому

    Ws so unasaga roses asmini,na vilua den unachanganya na mafuta mazito na ya nazi sio

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 Рік тому

    Ay mafut mazito ndo yep jmn

  • @diariesofablindfitcodinggirl
    @diariesofablindfitcodinggirl 2 роки тому +2

    Kipenzi wenye tuko single tunakaa tent gani?😅. I'm learning.

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 2 роки тому +1

    Ki ukweli now umeni impresses ku subscribe nlikua naipita tu hii channel kumbe nlikua nakosa vingi vizuri wallah😂 now we are together

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Asante kipenzi❤❤

    • @shahashaha6269
      @shahashaha6269 Рік тому

      @@HadijaSheban mafuta mazito ni nini kipenzi yaan ni ya nini Oliver au nifahamishe my

  • @shekenyatv4217
    @shekenyatv4217 2 роки тому +1

    Aki c mama Asma utaniuwa umekuwa bi msafwari

  • @rukiamohamed1675
    @rukiamohamed1675 2 роки тому

    Sisi tuko single tunakaaa wapi 😃😅😅😅😅😅

  • @muhsiniddi2471
    @muhsiniddi2471 2 роки тому +1

    Nitapata wapi wa kunifanyia hayo...😅

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Lazima upate mlete classes na 1500 tu😂😂😂😂😂😂

  • @timaahmedhussein2131
    @timaahmedhussein2131 2 роки тому +1

    hapo kwa asmini nileteee nrb hakuna

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Okey mpenzi nitakutwalia😍😍😍

  • @daawatsalaftz1510
    @daawatsalaftz1510 2 роки тому

    Yanaitwaje hay mafuta mazito please

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому +1

      Yako kila aina mpenzi itategemea utakayopata bora useme hivyo uskize harufu nzuri

    • @vumiliahamisi7046
      @vumiliahamisi7046 2 роки тому +1

      @@HadijaSheban dada naomba nitajie jina la ayo mafuta siyajui mana

  • @salmasaidi6574
    @salmasaidi6574 Рік тому

    Mafuta mazito kma yap mamaa

  • @miriambeja7379
    @miriambeja7379 Рік тому

    Mafuta mazito ni gan vilua n nn