Mashemeji Derby | Gor Mahia 1-2 AFC Leopard | Highlights | FKF Premier League - 14/05/2023

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 тра 2023
  • Tazama matukio muhimu na kwa ufupi yaliyojiri kwenye mchezo wa FKF Premier League uliozikutanisha Gor Mahia dhidi ya AFC Leopard, hii ni Mashemeji Derby ya nchini Kenya iliyomalizika kwa Leopard kuondoka na ushindi wa magoli 2-1.
    Magoli ya AFC Leopard yalifungwa na Victor Omune na Maxwell Otieno wakati lile la Gor Mahia likifungwa na Austin Odhiambo
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 27

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 Рік тому +8

    Azam tv is going to be the biggest sports tv chanel in Africa.... Cover Tanzania, Rwanda, Now kenya! ...

  • @johnsonwandera1956
    @johnsonwandera1956 Рік тому +8

    Azam fufua soka la Kenya.
    Asanteni sana

  • @normanokech2093
    @normanokech2093 6 місяців тому +1

    Azam thank u for sponsoring Kenyan league

  • @taibomar3926
    @taibomar3926 Рік тому +2

    This is one step to better match highlights, azam all the way

  • @TiffaMakamba-ml2ib
    @TiffaMakamba-ml2ib Місяць тому

    Kweli Hawa Bado sana nimewafatilia naona mhmm mpira mauzauza

  • @stevenasebe7889
    @stevenasebe7889 4 місяці тому

    i was there live iyo siku..congralutations igwe

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Рік тому +2

    Azam wapo kenya sasa raha sana

  • @tanstoretz
    @tanstoretz Рік тому +2

    We are east Africans

  • @user-qi2dt9nm1k
    @user-qi2dt9nm1k 3 місяці тому +2

    Hawa mpaka wafikie simba na yanga sisi tutakuwa mbali sana kiufup hawa jamaa kutufikia sio leo

  • @mathewben9983
    @mathewben9983 Рік тому +2

    Azam mko vzur

  • @T_online
    @T_online Рік тому +3

    Nimeona jersey nyingi za YANGA kuliko za Afc leopard 😂😂

    • @musajumba559
      @musajumba559 Рік тому +1

      Kulikua na mgomo wa mashabiki wa Chui kaka kwa ajili ya maamuzi mabaya ya marefa.

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 8 місяців тому +1

    Uchebe wetu

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Рік тому +1

    Uchebe

  • @emanuelminja5537
    @emanuelminja5537 Рік тому +3

    Nimemuona kocha wa zamani wa simba

  • @jerrycharz25
    @jerrycharz25 Рік тому

    Kina onyango kmbe uku ndio uzao wao

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 Рік тому +2

    dah bado sana mko chini kiviwango

    • @musajumba559
      @musajumba559 Рік тому +2

      Yanga na Simba hubondwa na Kariobangi sharks😂😂😂😂

    • @iamjijo2872
      @iamjijo2872 Рік тому

      ​@@musajumba559tell them,tukl down but non of their clubs beats ours 😅😅

    • @aminata3702
      @aminata3702 9 місяців тому

      @@iamjijo2872 Not now lol

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 Рік тому

    Huu ndo uwanja wa taifaa mbona mbayaa

    • @brianolumo
      @brianolumo Рік тому +1

      Tulia. Kenya kuna uwanja kadhaa. Uwanja mkubwa zaidi Nairobi unaitwa Kasarani. Unabeba zaidi ya watu 70,000. Huu ni uwanja wa pili unaitwa Nyayo na ni karibu 30,000

    • @merickshadrack4509
      @merickshadrack4509 Рік тому

      Ohooo hapooo nimeelewaa nilitakaa kushang,aa piaa Kenya iwee na uwanja mdogo hivyo