Pastor Mmbaga! Ubarikiwe! Kiiila siku unajambo kwa ajili yangu, nafuatilia saaana mafundisho yako, Ni heri niweke bando nikusikilize. Ninamiaka 4 sijawahi kulipia king'amuzi, ni heri ninunuwe bando,nisikie jambo kutoka kwako! Umeniokoa sana sana sana! Mungu akutumie hadi umalize kazi yake. Barikiwa na jamii yako.
Ashukuriwe Mungu. Kwa Neema tunaishi na kujifunza mengi. Kupenda neno kama hili ni Neema na kulifanyia kazi ni Neema. Mungu atuhurumie kwa rehema zake azidi kujitwalia utukufu!👏👏
Amen 🙏mchungaji barikiwa sana.ama kweli nikiwa sijasikiza clip yako kwa siku nahisi kuna kitu nimekosa rohoni mwangu.mahubiri yako yananifariji sana.mungu na akubariki.🙏
Kwa mda wote nimekufuatilia sana, ila swali langu ni, kila mchungaji akiniombea na nimualike kwangu nyumbani atakuja mara ya kwanza bali hawezi rudi tena na pia hata mawasiliano hupotozea kabiza, zaidi ya mara sita hivi je kuna shida gani kati yangu na hawa watumishi?
😂😂😂😂😂,aki ukweli Kuna wkt nilifunga na kuweka nadhili kabla sijamaliza mfungo wa wiki tatu siku Moja asubui nikaota verse kwa biblia nikasoma but sikutilia manani kumbe mungu alinipa jibu na sikumwelewa,Hadi nikaanza kuchanganyikiwa mpaka nikauliza swali Mahubiri TV tho sikujibiwa nikaacha,ajabu ni kua mungu alirudia kunionyesha zaidi kua ninavyotaka kufanya sivyo,tena Jana nikarudia lakini mwishowe ni vile vile tu,ulipokua kwa stewardship juzi tu ikafundisha kua mungu anaagiza ukwame Ili Yale yangekukuta yapite kwanza ndipo aruhusu upite.hilo lilinisaidia mawazo nikatulia mpaka wkt mungu ataniruhusu.barikiwa sana
Pastor Mmbaga! Ubarikiwe! Kiiila siku unajambo kwa ajili yangu, nafuatilia saaana mafundisho yako, Ni heri niweke bando nikusikilize. Ninamiaka 4 sijawahi kulipia king'amuzi, ni heri ninunuwe bando,nisikie jambo kutoka kwako! Umeniokoa sana sana sana! Mungu akutumie hadi umalize kazi yake. Barikiwa na jamii yako.
Thank you pastor David for good preaching God bless you so much..🙏 🙏🙏🙏🙏
Amina nabarikiwa Sana na somo hili 🙏
Bwana akubariki na watumishi wa mungu
Ashukuriwe Mungu. Kwa Neema tunaishi na kujifunza mengi. Kupenda neno kama hili ni Neema na kulifanyia kazi ni Neema. Mungu atuhurumie kwa rehema zake azidi kujitwalia utukufu!👏👏
Ameen mtumishi hata mm pia hiyo waga inanitokea sana
Mungu akubariki sana Pastor Mmbaga tunabarikiwa na mahubiri sana... sana injili hii inatukuza kiroho kadiri tunavyofuatilia mahubiri
Napenda unavyofundisha kwa uhalisia. GLORY TO GOD. greeting from German 🇧🇪
Nakupenda pastor kwa sababu unahubiri uhalisia wa maisha yetu ya kila siku na ndy maana tunakuelewa sana na unabadirisha maisha yetu kwa kiasi kikubwa
Ninavokupenda wew bas tu, nampenda Mungu aliye ndani yako na ninakupenda wew ambae Mungu anakutumia
Thank you pastor Mmbaga for the wonderful teachings. It has been an awesome week of great blessings for me. Barikiwa sana pastor na familia yako.
Amen🙏
Mafundisho mazuri napenda sana Mchungaji Mungu akubariki.
Ameeeeen Mungu anastaili zake naomba anipiganie ktk hili langu
Barikiwa sana
Mungu. Akubariki kila mara maana unatusogeza karibu na Yesu kila wakati
Amina mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu kila kukicha
Yaani pastor mahubiri yako huwa yananibariki sana sikosi kufatilia nini leo umekizungumzia twabarikiwa zaidi ya unavyofikiria
Nilijua kua maombi ya kufunga na isitoshe kutoa nadhili maombi yote mungu anajibu vile tunataka kumbe sio,nimemuelewa Sasa,
Mungu atukuzwe Kwa ajili Yako Pr Mmbaga
Mungu akulinde na kukujaza baraka mara dufu
Amina Ubarikiwe nawe pia
Amina,ndio maana napenda kurudia mara nyingi kuwatch hii video inafariji kweli kweli
Kwa kweli
Nimeokolewa kwa neeema
Mungu ananisahaulisha
Na neema yake bwana itufuate milele a “Kenyan”I can’t miss your teachings any invitation to America visit Texas mostly Arlington area
Mbweha wakamuunga mkono Samson
Amen 🙏mchungaji barikiwa sana.ama kweli nikiwa sijasikiza clip yako kwa siku nahisi kuna kitu nimekosa rohoni mwangu.mahubiri yako yananifariji sana.mungu na akubariki.🙏
Pastor unasema shetani sio mtu, shetani ni nini?
Kwa mda wote nimekufuatilia sana, ila swali langu ni, kila mchungaji akiniombea na nimualike kwangu nyumbani atakuja mara ya kwanza bali hawezi rudi tena na pia hata mawasiliano hupotozea kabiza, zaidi ya mara sita hivi je kuna shida gani kati yangu na hawa watumishi?
😂😂😂😂😂,aki ukweli
Kuna wkt nilifunga na kuweka nadhili kabla sijamaliza mfungo wa wiki tatu siku Moja asubui nikaota verse kwa biblia nikasoma but sikutilia manani kumbe mungu alinipa jibu na sikumwelewa,Hadi nikaanza kuchanganyikiwa mpaka nikauliza swali Mahubiri TV tho sikujibiwa nikaacha,ajabu ni kua mungu alirudia kunionyesha zaidi kua ninavyotaka kufanya sivyo,tena Jana nikarudia lakini mwishowe ni vile vile tu,ulipokua kwa stewardship juzi tu ikafundisha kua mungu anaagiza ukwame Ili Yale yangekukuta yapite kwanza ndipo aruhusu upite.hilo lilinisaidia mawazo nikatulia mpaka wkt mungu ataniruhusu.barikiwa sana
Amina 🙏
Amina
Muchungaji nakufuatilia xn na unanibariki