Kwenye mitandao mnaonekana wa maana lakini watu wakija inbox mnawapiga pesa halafu unamkimbia au unamtajia option unayojua hawezi ifanya Elly I want to believe umeacha hiyo tabia
Aise wabongo watu wa ajabu sana, roho mbaya, ndo maana sipendi kujihusisha nao sometimes. Wakifika huku hata hawataki kuongea kiswahili, wanajifanya wazungu, hawataki kusaidi wenzao. Wakati wenzetu wakenya ukishadunda tu US wanakuweka sawa, hey huku inakwena A to Z. Ndo maana wako mbele sana, sisi tunakaa kujisifia tu, na kuchunguza watu wanaishije. Kuna wabongo mpaka wanawaitia wabongo wenzao police kisa hawana makaratasi. Wabongo wana roho mbaya sana.
Noma sana
Kwenye mitandao mnaonekana wa maana lakini watu wakija inbox mnawapiga pesa halafu unamkimbia au unamtajia option unayojua hawezi ifanya
Elly I want to believe umeacha hiyo tabia
Eeeh kumbe ndio mchezo wake huo
Safi sana 🫡🫡
Ww unaweza msaidia mtu? Mtz au
Aise wabongo watu wa ajabu sana, roho mbaya, ndo maana sipendi kujihusisha nao sometimes. Wakifika huku hata hawataki kuongea kiswahili, wanajifanya wazungu, hawataki kusaidi wenzao. Wakati wenzetu wakenya ukishadunda tu US wanakuweka sawa, hey huku inakwena A to Z. Ndo maana wako mbele sana, sisi tunakaa kujisifia tu, na kuchunguza watu wanaishije. Kuna wabongo mpaka wanawaitia wabongo wenzao police kisa hawana makaratasi. Wabongo wana roho mbaya sana.
Mbona sielewi mnacho ongea .... mmenimalizia mb zangu tu.
Huyo Elly sio kabisa
Mbona hatuwaelewi 😊
Sasa mpango ni upi hapo.....
sijasikia vizuri ati ni simu gani hazifanyi kazi
La professor
Leteni ish za zaki bwana
Zaki ndo nn
😂 si umemuelewa lakini @@IbniAbbas-yz3kt