HII ITAKUUMIZA SANA PASTOR EZEKIEL "NENDA KAVUE KUNYWA MWILI WA YESU NA DAMU YA YESU KIMBIA'
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Mungu akushishibishe kwa miaka mingi Pastor' ulikuja Arusha Tz umeniombea namimi sasa Niko mjamzito Na mume wangu Niko naye sasa.Amina
Nisaidie namba yake
Amen
🙏🙏🙏 amen
Naomba namba yake
Naomba number
I was there sitted next to him niliona na macho yangu
Testimony with evidence that why I believe pia Mimi atanitendea.
Hallelujah glory to Jesus
Tell me how can I reach pastor Ezekiel please
@@MetrineKabeyeka-f8l go to his church mavueni kilifi county Kenya or listen to his teaching via UA-cam
Enda hapo OTC kuna gari za direct,,kwanza ukifika hapo utaulizwa kama unaenda kw EZEKIEL @@MetrineKabeyeka-f8l
Mungu Unaposhisha uhai kwa huyu mtoto Kumbuka ndoa yangu Na nyota ya masomo kwa mwanangu na umjalie mmewangu Nyota ya kazi milele ameni
Mungu naamin ipo siku maisha yangu yatabadilika tu
Amini mungu tu
Amen
Naomba mungu alivyomponya mtoto huyu anifungulie njia zangu za kazi na anitangulie katika ndoa yangu
Mimi naomba mnieke kwa maombi na naitaji ndoa nimeangaika kwa miaka mingi cn
Madawa zilizowekwa katika shamba yangu sahii naomba zichomeke kabisa ili niweze kulima shamba yangu ushago in Jesus name 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu tuko hapa kwa ajili yako.Mungu mponye mamangu ivyoivyo katika jina la Yesu
Mungu mponye kakangu mwenye wazimu toka 2004 hadi 2024
AMEN
From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮natakanyota kwamtoto wangu mukubwa nikijana yukonmyaka10 Akienda shure abingiye pasta nataka umuombeye umulundishiyenyota yamasomo nayakuomba tukiendakanisani aiyingiye anatoka ije 😢😢
Mungu ni mwema
Amen 🙏, pastor Ezekiel ubarikiwe
Kwa uponyaji wa hy mtt nm nipone kwajin la yesu
Wow God is good all the time mungu nipe afiya na watoto wangu kupitia katika haya madhabahu ya new life kwa jina la yesu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ndoto mbaya ziniondoke nifunguliwe kiuchumi na mmewangu apone koo
Naomba namba ya pastor please km itawezkn
Huwa anakua live Kwa tv ata namba zake zko tu apo Kwa screen WETV channel
Mashallah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba mungu alivyo mponya hyu mtoto anilindie familia yangu ,na kazini kwangu nisifukuzwe na anipe ndoa🙏🙏🙏
Ndani ya Yesu Kristo kuna furaha uponyaji na utajiri wa moyo .......kupitia uponyaji wa uyu mtoto watoto wangu pamoja na tumefungulia katika mikono ya wachawi
Jamanina Mimi namuitaji mchungaji
Amesema umwamini Mungu,hata hapo ulipo zidi kumwamini ukifatalia Ibada Mungu atakutendea
Kwa kupitia uponyaji wa huyu mtoto naomba niweze kupata hati miliki ya eneo ninaloishiYesu uwe mtetezi wangu.Usinipite unapowadhuru wengine
Amen 🙏🙏🙏
Asante mchungaji ubarikiwe
Yesu anaweza bila shaka.
Kumbuka wanao vaa miwani huona, viwete waweza tembea bila miti.
Huyu mtoto amepewa hii kifaa kusupport mgongo ili mfupa ipate nguvu pasipo kujikunja. Si kwamba hawezi inuka na kutembea lakini kwa muda mfupi.
Yesu aliponya mara moja 100% vipofu, viziwi, kafufua na vilema kuondoka.
Hii ni shughuli tu iliyopangwa kutoa ujumbe na mwelekeo kwa watazamaji.
Naamini ipo siku maisha yangu yatabadilika Kwa damu ya YESU
Mutupatieko number ya pasta Ezekiel tupate kupata nasiye matunzo mutusaidieko kweli tumupate jamani
Amen ❤❤❤
Mungu wangu naomba jinsi ulivyo mponya huyu mtoto mponye pia babangu 😢😢😢
God heald for free hapa bila kukamuliwa pesa hutoki God pray for your people not a man👏👏👏
AmenAmen,Mtoto huyu anaporejeshewa uponyaji naomba watoto wangu warudishwe kwangu katika jina la yesu kristo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwa nini otuma alikuja kwa pastor ezekiel aliombewa nakupona why
Amen
Kupitia kwa damu na mwili wa yesu nikombolewe na vita pale shuleni
Mungu unayeponya mtoto huyu ...ponya na maisha yangu....nipiganie yesu
😢😢Mungu naomba ukumbuke wanangu pamoja na familia yangu 5:32
Eeee Mungu wangu nikuombae uponyae na kulinda unikumbuke na familia yng
Muchungaji naomba uniombee nifunguriwe
Mungu anatosha kwa kisuluhisha matatizo yetu
Bwana yesu kupitia damu yako na mwili wako ulivomponya huyu mtoto na Mimi nipone Kama huyu mtoto na naomba atangulie kazi yngu
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢Mungu ponya kilio cha moyo wangu
Huyu ndiye Mungu ninaye taka mimi
Kama slivyofunguliwa huyo mtt naomba mungu amfungu mwanagu na kazi yangu
Mungu ulivyo mponya kijana huyo ponya familia yangu bwana
❤
Nlifungua kibanda tsunza kwa sku moja nlikua pesa elfu saba na sasa nkiuza elfu moja nimefanya kazi imeisha kabisa nahitaji nyota
Kweli kunaye MUNGU❤❤❤
Miujiza hy kwer au maandko yametimia
Amenn
Nikumbuke nami katik huduma yangu nimtumikie mungu katka roho na kweli
mungu kama ulivyo mponya huyu mtoto hata mm nifunguliye mafanikio yangu
Amen
Ee Mungu wangu mtoto huyu alivyopona kupitia damu ya yesu namimi nanaomba Mungu wangu wasaidie wazazi wangu uwaponye kupitia mimi mtoto wao kuwatch hii healing kwa mtoto maumivu nyote anayohisi babangu na mamangu pamoja na mtoto wangu Abubakar pamoja na ndugu zangu ndugu zangu kwa ujumla Aaamin
❤❤❤❤❤ Ameeeen ameeeen ameeeen ameeeen
kuponya c kuwa anatumiwa na mungu shida wanadamu Wana akili finyu kwakutosoma maandiko
AMEN MUNGU NIPONYE KIDONDA HIKI 🙏🙏🙏
Napokea uzao ktk jina la yesukristo
Kupitia huyu mtoto naomba mungu mwanangu atembee asimame na aongee
Naomba Mungu alivyomponya huyu mtoto aniponye kutokana na laana za ukoo
Sifa qw mungu siku zote
Yesu nikumbuke na mimi nipate watoto mapacha wawili wakike kwa wakiume
Pastor kuna mtu amenitumia msg akaniambia nitume pesa ndio aniombee sikutuma
Najinsi Mungu amemponya huyu mwana nami ,nyota yangu irejeee na afya njema iwe kwangu
Ninajiungamanisha kwa damu ya Yesu
Mungu uliye ponya huyu mtoto aniongoze kwa hii nyumba yenye nafanya kazi roho ya kuonewa kazini mungu ondoa kwa jina la yesu amani itimie mungu
Mungu azid kukuinua Mtumish poster Ezekiel..n Emmanuel kijana wakidato Cha tatu God bless you so much.
Ameeeen Ameeeen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Imo nguvu damuniii msalabani mwa yesu
Ameni ameeeen damu yayes inatosha🙏🙏🙏
Ameni barikiwa Kwa kipaji chako
Nimepokea kwajina la Yesu amenii
Naomba MUNGU Ani okoe na umaskini Nina hamu ya kutoa lakini sina kazi n'a pesa
Na mm minapoke uponyaji kwangu na familia yangu Amen
Asifiwe Yesu, naomba anifunulie tamanio la moyo wangu.
Mungu naomba uponye mama na mtoto wangu vile umeponya huyu mtoto amina
Mungu kweli uponya yesu apewe sifa
Kwa kupitia uponyaji wa hy mtt nm nipone na mam yng apone kwa jina la yesu kristo
Hakuna Mungu kama ww pia mm utanishindia pamoja na familia yangu
Kama mungu atendanyo afungue familia yetu
Amen 🙏🙏🙏🙏 Wacha mungu aitwe mungu
Pastor mungu akushishbishe walai god bless you so much postor🙏🙏💯💯💯💯💯
😂😂😂Hata mimi naweza kimbia mara saba hapo kanisani
Uhimidiwe milele Adonai kwa makuu unayotenda kwa haya Madhabahu kupitia mtumwa wako🙏🏻🙏🏻
👏👏👏👏👏👏👏👏👏 ameeeeen
Naomba uponyaji wa mapepo na majini uchawi.
Acheni kuwadanganya watu mtakuja kuulizwa na mungu nawambia😅
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu
Naomba mungu alivyo mponya huyu mtoto anifungulie njia ya mafanikio katika maisha yangu na afungue ndoa yangu na watoto wangu wafanikie shuleni Amen 🙏
Amen
Nimpate wapi huyu pastor? Maana naumwa sana
Ameni ameni ameni jina la bwan liinuliwe
Mungu akubariki pastor
Naomba mungu anifugulie njia
Mungu naomba nyota ya somo milele
Na kama huyu yesu ak yaani yeye hajagui tajiri wala maskini
Huyu ni mungu tunaye mwabudu bora kuamini tu.
Kupitia hiyo damu ya huyo mtoto naomba Mungu anisaidie kwenye masomo yangu anilipie Ada nifanye mtihani
Wengi nakimbilia miunjiza
😢😢😢Amina
I was there seen it with my two eyes Kuna Mungu mbinguni
Ameeeeen 🙏 🙌 🙏 🙌
Naomb Mungu pia mpiganie mamangu wakati huu mgumu ❤🙏🙏🧎
Mungu simamia uzao wa tumbo langu