Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Kama hauna uwezo wa kufikiri nzuri hauwez kumuekewa uyu Dada 🔥🔥🔥🔥🔥
Safi Sana. Mwanzo mgumu lakini kikubwa Ni uthubutu. Nice
real life observation jokes, 🙌she is the best female comedian in Tanzania, let's our 👀 be on her.
Madini yapo,kuwasilisha kwa wahusika Ndio kidogo anashindwa ila big up Sana paka umefika hapo jambo kubwa sana....
Yuko vizuri. Kila mchekeshaji ana style yake.
Anajuaaa Seema mpk uwe unafikira snaa
Ana madini sana huyu dada anashida kwenye kuyapangilia vile inavyotakiwa ku deliver, madini yake ni konki ila ana deliver kiwepesi kiasi kwamba watu hawaelewi na ndio maana hawacheki wanabaki kumuangalia kwa kutoelewa anacho deliver ......
Sema dada uchekeshaji wako ni kama mahubili vile
Dada Bado Anauoga_ Yupo vizuri sana_...
Mnatumalizia MB zetu tu, hapa hakuna mchekeshaji
Huyu Dada wangemtoa tu afanye shuguli zingine, afungue hata Duka LA vitenge na mitandio.
Cheka Tu Mnambeba saba huyu Pisi, , , , , Stand Up Comedy haiwezi......
Mwenye akili zake. Safi sana
Unajitahd dada,.... Big up
asma amaweza
Huyo ni 🔥🔥🔥
Unajua huyu dada anakipaji cha kujichekesha, kucheka, kuchekeana, kuchekeshwa ila cha kuchekesha ni kumdanganyq
Mbona kachekesha
Acheni roho mbaya anajua
Asma anahitaji kazi ya ziada ya training.....Lkn uwezo anao!!!!!kaona hadhira haijachangamka nayeye karidhika hivohivo
Leo kajitahidi napenda confidence yake itamfikissha mbali mno. Anatakiwa kupikwa atakuja kuwa balaa huyu dada
Finishing yake Bado kidogo. Na achangamke pia
Wakorinto
Office zenu zko wap mnilipe mb zangu
Nikisema huyu dada alibebwa naonekana nq roho mbaya😅Hqmna kazi apa. Namba nne alipewa bure, walishushwa watu kibqo wanaostqhiki, na bila kelele zetu mashabiki pale ilikua apewe namba tatu, Said anyimwe, anyways umebebwa umepata ajira kaza
Nakuunga mkono
huyu ni mshindi wa ngp vile 😀
Azaboy walimtoa tu bure kwenye top 5 kumuweka huyu
Et Black Mamba😀😀😀
Great jokes but she was shaky
UKWELI PROMO NA TULICHOKIONA DAH 🙆🏾♂️TUMEPIGWA SEMA AHITAHIDI
😎
Apa tulipigwa
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
only she need is confidence that all
Kama hauna uwezo wa kufikiri nzuri hauwez kumuekewa uyu Dada 🔥🔥🔥🔥🔥
Safi Sana. Mwanzo mgumu lakini kikubwa Ni uthubutu. Nice
real life observation jokes, 🙌
she is the best female comedian in Tanzania,
let's our 👀 be on her.
Madini yapo,kuwasilisha kwa wahusika Ndio kidogo anashindwa ila big up Sana paka umefika hapo jambo kubwa sana....
Yuko vizuri. Kila mchekeshaji ana style yake.
Anajuaaa Seema mpk uwe unafikira snaa
Ana madini sana huyu dada anashida kwenye kuyapangilia vile inavyotakiwa ku deliver, madini yake ni konki ila ana deliver kiwepesi kiasi kwamba watu hawaelewi na ndio maana hawacheki wanabaki kumuangalia kwa kutoelewa anacho deliver ......
Sema dada uchekeshaji wako ni kama mahubili vile
Dada Bado Anauoga_ Yupo vizuri sana_...
Mnatumalizia MB zetu tu, hapa hakuna mchekeshaji
Huyu Dada wangemtoa tu afanye shuguli zingine, afungue hata Duka LA vitenge na mitandio.
Cheka Tu Mnambeba saba huyu Pisi, , , , , Stand Up Comedy haiwezi......
Mwenye akili zake. Safi sana
Unajitahd dada,.... Big up
asma amaweza
Huyo ni 🔥🔥🔥
Unajua huyu dada anakipaji cha kujichekesha, kucheka, kuchekeana, kuchekeshwa ila cha kuchekesha ni kumdanganyq
Mbona kachekesha
Acheni roho mbaya anajua
Asma anahitaji kazi ya ziada ya training.....Lkn uwezo anao!!!!!kaona hadhira haijachangamka nayeye karidhika hivohivo
Leo kajitahidi napenda confidence yake itamfikissha mbali mno. Anatakiwa kupikwa atakuja kuwa balaa huyu dada
Finishing yake Bado kidogo. Na achangamke pia
Wakorinto
Office zenu zko wap mnilipe mb zangu
Huyu Dada wangemtoa tu afanye shuguli zingine, afungue hata Duka LA vitenge na mitandio.
Nikisema huyu dada alibebwa naonekana nq roho mbaya😅
Hqmna kazi apa. Namba nne alipewa bure, walishushwa watu kibqo wanaostqhiki, na bila kelele zetu mashabiki pale ilikua apewe namba tatu, Said anyimwe, anyways umebebwa umepata ajira kaza
Nakuunga mkono
huyu ni mshindi wa ngp vile 😀
Azaboy walimtoa tu bure kwenye top 5 kumuweka huyu
Et Black Mamba😀😀😀
Great jokes but she was shaky
UKWELI PROMO NA TULICHOKIONA DAH 🙆🏾♂️TUMEPIGWA
SEMA AHITAHIDI
😎
Apa tulipigwa
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
only she need is confidence that all