MWENEZI WA CHADEMA TAIFA WAWILI WATAJWA LEMA AKIWEMO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • MWENEZI WA CHADEMAWAWILI WATAJWA LEMA AKIWEMO
    ..Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...

КОМЕНТАРІ • 10

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 9 годин тому +3

    Hiyo nafasi ya katibu mwenezi taifa lema inamfaa kabisa,hongereni chadema mungu asimame nanyi popote mlipoo

  • @SabinahMboma
    @SabinahMboma 3 години тому

    Napenda awe lema jaman ijapo kuwa hata twaha apewe nafasi.

  • @selemanmaona5812
    @selemanmaona5812 7 годин тому +1

    LEMAYUPO VIZURI PIA MAMBO YA NJE ANAYAJUWA NI MSOMI PIA

  • @Vike333-l8o
    @Vike333-l8o 5 хвилин тому

    Lema hafai hafai hafaiiiiiiii.

  • @wiliamkatala
    @wiliamkatala 4 години тому

    Tuleteeni LEMA hyo nafas,ana pumzi ya kutosha

  • @TzkwanzaKilimanjaro
    @TzkwanzaKilimanjaro 10 годин тому

    Mwaipaja yupo mitandaon, heri Lema au pambalu, ila Lema ana volume na weight ya kutosha

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 9 годин тому

    Lema anatooshha kuwa katibu mwenezi taifa chadema,hakika chadema inapangiliwa kisawasawa,niliumia sana lema kutopewa katibu mkuu taifa kkumbe lisu ana akili sana kwa nafasi ya katibu mweeeu

  • @binsherbal6089
    @binsherbal6089 11 годин тому

    Sio Mwaipaja, huyu anaitwa Twaha Mwaipaya. Watangazaji makanjanja nyie. Huko ni kuharibu Majina ya watu.

  • @lucasmaganga8861
    @lucasmaganga8861 5 годин тому

    Mwandishi kuwa Makini sana na ulinde proffessionalism yako...ni MWAIPAYA sio MWAIPAJA..
    kisheria unaongelea mtu mwingine kabisa ambaye wewe peke yako unamjua...

  • @JacksonKivuyo-b1v
    @JacksonKivuyo-b1v 7 годин тому

    Lema