WHITNEY HOUSTON: Maisha yake ya KUSIKITISHA na ya SIRI: Haya ndio USIYOYAJUA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Na makala hii inaangazia mambo kadhaa yanayohusu maisha ya Whitney Houston, mmoja wa wanamuziki bora kuwahi kutokea nchini Marekani kwa kwa kugusa karibu kila unyayo aliouacha mwanadada huyu aliyeonekana kuwa na kipaji cha ajabu na cha pekee katika miaka yake ya 80 hadi 2000.
Pure talented 💯%
Passion 💯%
Voice 💯%
Storyteller 💯%
Bad words 0%
Blessings 💯%
SNS 💯%
Skywalker...🙏🙏
Niko apa saa 4:30 alfajili
Kuangalia hii tiba yangu,siwezi kusubilia staenjoi kesho ni Friday takuwa kazini...god blessed this guy..bundala SNS for life...
Itabidi TZ TUWE NA tuzo makini kwa waandaaji na wasimulizi wa hadithi za sauti
Ooooh Whitney! Daah! Huyu dada Mungu amweke mahali pema peponi Amina! Kwangu ni mwanamuziki Bora wa kike niliyewahi kumshuhudia! Always alikuwa Bora pamoja na skendo nyingi zilizokuwa zinamzunguka! Ana nyimbo nyingi Sana za kuweza kumjenga mtu aliyechini na kujihisi mwenye nguvu! Hakuna Kama Whitney! Ameondoka Ila nyimbo zake zinaishi ndani yangu!
Mimi bado huskiza tu nyimbo zake maana ni classics and she remains a true musical queen. She was also gorgeous but had such a sad and devastating personal life aki. Ilisikitisha sana alivyofariki alafu mwanawe akafariki in the exact same way...Huwa napenda sana haya makala. Hongera SNS
Shout out to the best media sns
Respect My brother sky 🙏
Shetani mshenzi Sana, Yani akikuona ni mtu wa mungu, anaanza kukuandama, mpaka unapotea ona sasa dada wa watu.
Rest in peace Whitney nilimuona mara nyingi Italy
Siku ya kifo chake nakumbuka nilikuwa naangalia *MTV* ilikuwa Tarehe 11 February 2012, Nampenda na napenda wimbo wake *IT ON MY OWN* ❤️😘
R.I.P pole sana family 😥😥🤔🤔🤲🇰🇪
@🇬🇧🇬🇧🇬🇧 My all time Whitney ....powerful voice
Sky I do Respect you...So talented
Napenda sanaa SnS
Kwa muda Sasa Kuna dada anaitwa Glennis Grace muholanzi Kama sijakosea aisee anaimba nyimbo za Whitney unaweza sema marehemu kafufuka! Aliipiga live greatest love of all aisee ni Whitney mtupu
Da huruma sana. Dawa zakulevya wa marecani sijuwi kwa nini wana zipendaka sana
nakubali nyimbo zake
Brother Sky nitafurahi Siku ukija na Story ya David Beckham pamoja na mke wake Victoria Posh Beckham🙌🏾
bobby brown ndiye aliemuaribu dada wa watu kwa kumfundisha ufusika wote including madawa ya kulevya! whitney atakubwa sana na wapenzi wa slow music ever!
Nimeipenda sana simulizi yake
HAKUWA NA SAUTI NYEMBAMBA ALIKUA ANAIMBA SAUTI YA 2 BEZ YA KATI KITALAAM INAITWA MIDDLE CRANCH VOICE.
Mfano kwa hapa tanzania. Layd jay dee nisauti yenye kusisimua na inayo kufanya uzingatie zaidi yani unaipa attetion
Am here
Biggest ❤
You have never disappoints me baba Nicole 🙏🏿🔥🎧
Well done sky🔥🔥
Brother sky umetisha sana
Rest In Peace napenda nyimbo zake sanaaa
aliuwawa na frimason, Hata mutoto wake na boyfriend wa mutoto wake Wali wamaliza khaaaaaa 😭😭
Doo sina mb za kutosha ntaangalia kesho kwenye free wifi
Pole
nimeipenda
Nimependa sana
Rest in peaceful Whitney Houston
😌😌😌😌daah
Dooh
Hizi ndo chanel tunazotaka zinasaidia sana kuongeza uelewa wa vitu mbalimbali
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun nabinti yawo ali kufa!😥
R.i.p
Mimi As Mimi napenda the way unavyo fanya kazi kwa viwango bora sky story ikopoa nimefuatilia vyema kabisa
Na mtoto wake Pia alifariki kama nitakua sijakosea😪
Ndio kama mamake kabisa...
mi nahisi kutokana na compatition na Maliya kelly na Celin deon,naona wakaamua wamuue yeye na kizazi chake R.I.P to Winn
R.I.p🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💖
Rip Whitney H
🔥
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Kinachoniuma hapo ni cristine sijui .. huyo dogo ..
Rip 🙏 🕊
First
R.i.p Witney& Bob Christine