Pole Abu mungu atakulipiya wewe fanya subra mdogo wangu sote tuna mpenda king majuto msameh mama ako japo kuwa yeye ndo mkosa wana wake ndo mama zetu ila mungu alisema kuwa wawo ndo wa kwanza kuingiya motoni
KINYWA CHA MZEE KINAONGEA SASA ,kwa mtizamo wangu mimi sikuona shida ya hawa watoto, shida haswa ni bimkubwa mwenyewe haya mambo ya familia kama alikuwa anataka amani hakupaswa ayalete kwa vyombo vya habari, pia hakuwa amejifanya kama mama wa familia aliwafanya watoto wa mzee walotangulia ni maadui zake .Bi mkubwa aliyaanzisha akamuadhiri marehemu kwenye mitandao kama hakuwa mumewe kisa kikuu ni mali , na alifikiria kuwa mzee ameshaondoka hakuna ambae angeongea kwa ajili yake.mpeni sumni yake ende zake asikuwekeeni kiwingu ,
Hii ndo tabu ya familia za kiswahili Mtu kafa badala yakumuombea maghafiraa marehemu wanawaza Mali mke wa mzee majuto umekosa subra ya kustahamili walau Arubain iishe lkn umeshindwa Allah akurehemu mzee wetu najua unaona yanayotendeka
Inasikitisha sana Mzee Majuto Leo umekwenda mbele ya haki Umepnda wanao Ukawaweka na ukapenda uishi nao pamoja Umeowa Mwanamke ulifikiri atakuwa na wanao leo hii Hujamaliza hata siku ngapi wanachafuana Na wewe Mama mumeo kafariki hukuweza kusubiri ukajitoa kwenye mitandao hujamaliza hata eda aibu sana
Mama wa kambo hua wanatkaa waangaliwe wao Tu,lakini Mzee alikua akitaja watt wake wote katika interview kama ni urithi mutapata nyote maana Mzee hakuwabagua tangia Yuko hai
Jamani dini yetu ya uislamu hafai kizuka akiwa katk eda kuoneka na wala kuongea na mwanaume yeyote anaefaa kumuowa Ila mke amefanya makosa kuhojiwa hali yakuwa yupo ktk eda
Mmmmh kiboko mambo ya urithi.mimi sipo kwenye huo ugomvi wenu kwenye maelezo ya Abuu nilichoona anakipaji cha kuingiza pengine anaweza kuwa kama Babaake.ushauri wangu kama anasoma coment hizi aachane na mambo ya urithi ajikite kwenye uigizaji Wa vichekesho awe anatuvunja mbavu sisi.😃😃
Yule mama washauri wake wamemshauri vibaya,Yeye alikua atulie ,asifanye haraka asubiri, arubaini iishe,na vile vile ajue yupo kwenye Eda,Kuna sheria za mirathi,ktk dini ya kiislamu,kuna serikali na sheria zake,halafu marehemu ana mali gani ya kujitia stress ,pressure,Marehemu anaonekana ana Kanyumba na Kashamba
Swali la kujiuliza anaomba msada watanzania cad za benk anazo ln za cm je inamaana mze hakuwa na akiba uyu mama ndiyo kamuwa mze majuto na uyo mama anapenda ela siyo mchezo mfuuuu zake mtu mzima ovyo
Mjomba inawezekana ukawa mwema lakini kwa kuongea hivyo kwa jazba na unaonekana una hasira kwa mtazamo wangu naona kama siku hiyo ya arobaini amani haitakuwepo hapo, na huyo mzee mwenzio na mwanae sidhani kama watakuja kwa stahili hiyo, manake unaongea macho umeyatoa hivyo ni hatari hata ningekuwa mimi siji.
Yule mama anaonekana mchawi hata anavyoongea. Wanawake waislam mambo ya wataalam nlikuwa na demu mwislam anapenda kuongelea wataalam. mpaka nkajitaidi kuachana nae
Nimegundua apo msimuukum mama moja kwa moja apa nais mambo hayako sawa kama umemsikiliza abuu na mzee wamepishana hasa kwenye swala la eda wametofautiana kwamba bmkubwa aliondoka kabla ya eda kuisha wakat mzee ameongea kwamba walioongea na wakamuuluza akasema eda atalia kwa kaka yake pili swala la vitasa vipya mwanamke aliwezaje kubadilisha wakat eda alilia mjin apa nikusikiliza vizur pande zote mbili
Ongea vizuri sio unarudia rudia maneno wewe mtoto wa kiume. Kama ni hela kweli umekulakula kidogo. Alafu we mwanaume unatakiwa uwe na kaba mzee ameshakufa sio unaongea tu.
Duhh jamanii haya mambo yaxkien kwa wengine tu hy mke wa mzee majuto akiitazama hii interview na Maelezo yakuwa alikuwa anaoa kwa Siri tena wanawake kama wa3...wallah a natamanii akamfukue amzabe vbao...maana hakuna ktuu knaumaa kama mweziwako uje umckie alikuwa anakusalitii half hayupo...bora awepo akujbuu...lohh...wanaumee mtihanii hata kama ND uislam umehalalisha jamanii cunamuweka wazi mwenzio ajue...hata ww abuu yle mama lazmaa akuchkie 7bu ww ND kama chambo cha mzee
@@blakshajaa4418 xunatakiwa umshirikshe mwenzio ND dini Isemavyo xx kama amekufa ND mwanae aja kusema hv we wafkir n nn..km kwenda hajj tu haitakiwii mpk u muwekee wazi mwenzio je safari ya kwa Allah we wafkir masiharaa..mtihanii mzito wallah
Dini haijasema popote umshirikishe mkeo katika kuoa au kuongeza mke. Ukitaka kumjulisha ni sawa na zaidi ni vyema kufanya hivyo kwani baada ya kifo rabsha za urathi zinaweza kuzuka. Soma dini yako vizuri na ukipata aya inayosema lazima umshirikishe mkeo kwenye kuoa weka hapa utupe faida maanake nina hakika 1000% hakuna sharia hio
Pia akir yake yy huyo mama alikuwa anataka serkali iingilie kat hasa muheshimiwa magufuli, ichukuliwe mali yote kwa nguvu ya serkali apewe yy tu na wanae hao wengine ile kwao, eeejaman hayo nimaisha tu ipo siku yatapita na utaviacha vitu vyooote utakwenda ww kama ulivyo hata kijiko wala Sumni kwan alie viacha yy yuko wap?na je? Alipenda kuviacha? Jaman tuachen tamaa ya mali za urithi tutafute vyetu.
We abuu usidanganye dini inaruhusu kuowa wake wengi ila dini hiyo hiyo inaitaji mke wako wa kwanza akubali siyo kificho kwenda kuowa...Ivyo hata mzee wako alikuwa na makosa..Sema c vyema kumsema mtu alie kufa...Na kwa mwenendo wenu huu mnapa tabu mzee.Nyie wanaume tafuteni vyenu ..Mzee king angekuwa ajaacha mali yeyote wala haya yasinge kuwepo...
Tupe aya inayosema lazima umjulishe mkeo ili uoe. Wacheni kutoa fatwa za kipuzi rudini madrassa musome. Haikulazimishwa popote mume kumjuza mke kuhusu kuongeza mke.
Siyo sumni acha kuizungumzia dini kwa mtazamo wako. Dina ina maandiko yaliyodhibitiwa/hifadhiwa. Mwanamke anamrithi mumewe akifa na mwanaume anamrithi mkewe akifa. Ni urithi kabisa wa kisheria na siyo sumni. Acha ujinga. Jifunze kabla ya kuongea na kutenda.
Azizah Mkindi unamshutumu vipi kwa kusema kachangia, nini kosa lake huyu mtoto. Alichofanya si kosa maana hakumshikia fimbo mzee wake na Mzee hakufanya makosa, kuoa ni halali yake.
Pole Baba kwa kumpoteza Baba yako rafiki yako msiri wako bora umejisafisha pole baba
Pole Abu mungu atakulipiya wewe fanya subra mdogo wangu sote tuna mpenda king majuto msameh mama ako japo kuwa yeye ndo mkosa wana wake ndo mama zetu ila mungu alisema kuwa wawo ndo wa kwanza kuingiya motoni
Hawa wazee wetu wanatuacha njia panda mungu awalehemu wazee wetu
Pole sana mjomba wa Babu yetu, umeeleweka, poleni sana wote kwa ujumla, yule Mwanamke atakuwa mkorofi na anauchu na Mali.
Tamaa tu zimewashika ,mnaacha kumuombea maghfira mzee wenu ndo kwanza mnaita media , mtihani sana wallah
Nimekupenda wewe mzee sanaa umeongea kiutu uzima sana
KINYWA CHA MZEE KINAONGEA SASA ,kwa mtizamo wangu mimi sikuona shida ya hawa watoto, shida haswa ni bimkubwa mwenyewe haya mambo ya familia kama alikuwa anataka amani hakupaswa ayalete kwa vyombo vya habari, pia hakuwa amejifanya kama mama wa familia aliwafanya watoto wa mzee walotangulia ni maadui zake .Bi mkubwa aliyaanzisha akamuadhiri marehemu kwenye mitandao kama hakuwa mumewe kisa kikuu ni mali , na alifikiria kuwa mzee ameshaondoka hakuna ambae angeongea kwa ajili yake.mpeni sumni yake ende zake asikuwekeeni kiwingu ,
Kumbe
Acha siasa wewe
Abu mm nimekusikiliza sana
nimegundua baba yako ni chanzo cha matatizo
Abuu yuko sawa usema kweli ni mpenzi wa Mungu
Haya ndo matatizo ya sisi wanaume kuoa wanawake wengi
Inshallah mtapata suluhisho ya familia lakini watoto wapo sawa huyo mama tamaa imemzidi
Hii ndo tabu ya familia za kiswahili Mtu kafa badala yakumuombea maghafiraa marehemu wanawaza Mali mke wa mzee majuto umekosa subra ya kustahamili walau Arubain iishe lkn umeshindwa Allah akurehemu mzee wetu najua unaona yanayotendeka
Allah amrehemu mzee wetu majuto
Inshallah
Mtihani huu
Inasikitisha sana Mzee Majuto Leo umekwenda mbele ya haki Umepnda wanao Ukawaweka na ukapenda uishi nao pamoja Umeowa Mwanamke ulifikiri atakuwa na wanao leo hii Hujamaliza hata siku ngapi wanachafuana Na wewe Mama mumeo kafariki hukuweza kusubiri ukajitoa kwenye mitandao hujamaliza hata eda aibu sana
Wacha kumaliza eda mumewe amekufa hata mwezi 1 bado aojiwa na wanahabari tena uso peupe kijuso peupe halinishangaza sana uyu mma
Una saut kama ya baba ako mashalalalh
Unaakili Sana kijana, mambo ya wazazi hukupaswa kuingilia kabisa
Na ndivyo ulivyofanya.
Duh hi ndo shida ya mitala jamn so sad kabsaa jamn mh ..mhusika akishaondoka wanaobak ni vita ugomvi maneno kudhulumiana duh Mungu tusaidie
Abuu nimekusoma sana ila cha msingi Muombe Mungu sana maana hiyo ni vita, Muomba Mungu hakosi fungu lake.
Kabisa
kumbe ndio maana tunakusikia sana abuu abuu kumbe ndio ulikuwa bega kwa bega na mzee ndio maana mama hakupendi hahahaaaaa
Ndivyo walivyo mama wa kambo,hawana maana yoyote.ni utamaa mwingi.
Abuu nimekupenda bure.mungu Kutangulie.
Duh makubwa jmn 😢😢😢😢😢 mungu ampunguzie adhabu ya kabuli.
Inavyoonyesha huyu mama ndio ana matatizo akili yake ipo kwenye mali tu
mzee alikuwa anapenda totozi na abuu ndio alikuwa muwadi wake sasa hapo mama mdogo lazima akuchukue
Huyu mjomba ameongea maneno mazuri sana
Kusema alikuwa anaoa ndio kamvua nguo?
Mama wa kambo hua wanatkaa waangaliwe wao Tu,lakini Mzee alikua akitaja watt wake wote katika interview kama ni urithi mutapata nyote maana Mzee hakuwabagua tangia Yuko hai
Jamani dini yetu ya uislamu hafai kizuka akiwa katk eda kuoneka na wala kuongea na mwanaume yeyote anaefaa kumuowa Ila mke amefanya makosa kuhojiwa hali yakuwa yupo ktk eda
Duh kumbe katika kuigiza king alifanya kweli me nlijua kuna maisha ya uigizaji za maisha ya kifamilia..viswahili vingi saaana Mozer vs children
Sijui kwa nn wanawake wanapenda mali kuliko uyu mwezio kaenda mbele ya haki baada kimuombea dua unaanza kuzungumzia mali uyo mama ana hakili kweli
aisee kumbe usilolijua ni sawa na usku giza na msema peka sku zote mshindi bora na nyinyi watoto mmefunguka tumeelewa wapi penye makosa
point hiyo nimeipenda tamaa imutawala bibie huyo hajapata mshauli Eda haiwi hivyo wislamu unatalatibu zake
tanga unasema sana hebu vitu vingine tusisemeseme
Hao wauaji walitumwa na huyo Mama.alimpenda Mzee Majuto kwa sababu ya hizo mali.hapendi watoto wa wenzake
sheria ya dini anapewa sumni yake tu anaondoka watoto wake Ndio wanahaki
Mmmmh kiboko mambo ya urithi.mimi sipo kwenye huo ugomvi wenu kwenye maelezo ya Abuu nilichoona anakipaji cha kuingiza pengine anaweza kuwa kama Babaake.ushauri wangu kama anasoma coment hizi aachane na mambo ya urithi ajikite kwenye uigizaji Wa vichekesho awe anatuvunja mbavu sisi.😃😃
Yule mama washauri wake wamemshauri vibaya,Yeye alikua atulie ,asifanye haraka asubiri, arubaini iishe,na vile vile ajue yupo kwenye Eda,Kuna sheria za mirathi,ktk dini ya kiislamu,kuna serikali na sheria zake,halafu marehemu ana mali gani ya kujitia stress ,pressure,Marehemu anaonekana ana Kanyumba na Kashamba
Mohamed. pole kaka inahitaji uvumilivu lkn naamini upo sahihi yameshanikuta mimi kama hayo. ila upo sahihi kabisa
Jamani mambo mengine ni siri msitoe mitandaoni hivi nyinyi niwaislam
hanilipi hata thumni.kunatokea cku napewa laki 6 au tano
hebu yaacheni Maisha ya familia ya majuto....haitusaidiii....kujua tupeni hbr za maana....
msitoe siri za familia pia mwombee marehemu mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Jamani kwa nini uyo mama anafanya ivyo kuwadharau watoto na kuwatenganisha kweli uyo kafata mali sio mume kihalali
Daah mzee kasongo umenitishia kwa jicho komaa.amechokora wazimu.
Uyuu mm inaonyesha anarohoo mbaya Alikuwa awapatani naawa watt
Huyo mama yenu kilichomleta hapo kwa mzee majuto ni twamaaa.Asilimia kubwa huyo mama akir yake yoooote ni mali tu si vinginevyo
Kumbe nyoga ilivujika kwakusukumwa? Si do zili kesi zakuwa bila kukusudia au
We mama mungu akusamehe tu
Swali la kujiuliza anaomba msada watanzania cad za benk anazo ln za cm je inamaana mze hakuwa na akiba uyu mama ndiyo kamuwa mze majuto na uyo mama anapenda ela siyo mchezo mfuuuu zake mtu mzima ovyo
upo vzr
Kwel huu mswiba achaneni na media hakuna kifup ktk mazngumzo yen msitirin baba yenu kwanini mnamvua nguo jaman
Wataacha vipi na wamechafuliwa na tz unaijua kuwa ukikaa kimya utadhaniwa na maneno mabaya kutupiwa
Mjomba uko sahihi sanaa tena wajipange wasije kinyume msemaji watt yupo OK sana
Inaonekatu ifamily ilikuwa na problem zaho. ya Mama naawa watoto. so njo mzee ayupo tena mambo yana ripuka.. sorry
Lkn mzee angegawanya tu mirathi wakati anaumwa ona sasa ameacha mizozo badala ya kuombewa dua
Sikota jib Baba. Mambo ya watu msipende kuingilia. Mtumzima analia mtakufa weng
Poleni na heka heka hizo zitakwisha tu.
ukiishi na wazazi vizuri kunamambo lazima utafaidika ila familia muda mwengine itakuisia choyo
Uyo Mama anatamaa lakini anatakiwa kujua watoto wake wanaaki aijalishi Mambo ya ndoa
Siri za nyumbani..jamani mengine mstri mzee wako kuwapa waja faida haitawasadia...huu mda munge utumia kumuombea dua...
Kiukweli ni kwamba hapa watu wanagombania mali lkn cha ajabu ni kwamba hata ambao hawaruhusiwi kixheria kurithi pia wao wanatka kurithi
Mm naona nyinyi ni wanaume haifai kutoa siri ya familia mnamdhalilisha babaenu hebu nyamazeni msiwape watu faida haya yote si sikuongea kwenye media
Wacha waongee Yule mwanamke Amewaaibisha sasa wacha wamjibu
Acha waseme ukweli yule mama aliwapaka matope sana badala akae eda anaenda kwawandishi wabari
Fatma X ilo mama rohombayaaaa
Mali zao wote kwani nao hao c waliaza kuwa watoto ndio wakawa watu wazima,wote haki yao
Jamani kuna wamama huw wanamatatizo mkubali mkatae.
Huyu jamaa. Naona karithi sauti ya babake pia anaongea kama mzee maj2
Mjomba inawezekana ukawa mwema lakini kwa kuongea hivyo kwa jazba na unaonekana una hasira kwa mtazamo wangu naona kama siku hiyo ya arobaini amani haitakuwepo hapo, na huyo mzee mwenzio na mwanae sidhani kama watakuja kwa stahili hiyo, manake unaongea macho umeyatoa hivyo ni hatari hata ningekuwa mimi siji.
HUYO MAMA MFUKUZENI HANA MAANA. ANAFIKIRI YEYE HAFI.
huyo mamayetu ni mnafiki
Yule mama anaonekana mchawi hata anavyoongea. Wanawake waislam mambo ya wataalam nlikuwa na demu mwislam anapenda kuongelea wataalam. mpaka nkajitaidi kuachana nae
Hii issue ya wanawake wanne ina maneno sana zama hizi si zile za mtume Mohammed (S.A.W) yani watu wameeka tamaa mbele na hela.
Kuoa wanawake wengi hiyo ndio hasara yake majungu hata Yule baba Hamza kasongo na Yule baba mkwe WA Dar wajitoe katika mambo ya marehemu
huyo mama ana roho mbaya ata kufa kifo kibaya halijasoma dini yake
Kwa kifupi nyiiiingi mzee baba
Duh vyeti vyandoa muhimu jamani😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Nimegundua apo msimuukum mama moja kwa moja apa nais mambo hayako sawa kama umemsikiliza abuu na mzee wamepishana hasa kwenye swala la eda wametofautiana kwamba bmkubwa aliondoka kabla ya eda kuisha wakat mzee ameongea kwamba walioongea na wakamuuluza akasema eda atalia kwa kaka yake pili swala la vitasa vipya mwanamke aliwezaje kubadilisha wakat eda alilia mjin apa nikusikiliza vizur pande zote mbili
mjomba unauhakika jukumu unalichukua mpaka kwa mungu
ABDULKARIM HAMISSI
Palipo na baraka hapakosi vitina
Na palipo Na moshi Apakosi moto
MUNGU AWASIMAMIE ILI SULUHU IPATIKANE ILI WAKAE SALAMA.
UKIWA NA MJOMBA NGANGARI KAMA HUYU POWA SANA.
Mama anatatizo kabica, inaonekana alikuw hawapendi wtt aliowakuta, sio vzr kutowapenda wtt uliowakut inatakiw uwapende wtt wote, cio ujenge nao chuki n sio vzr uwachonganishe bb n watoto wake,
nikweli
Pole sana abuu
mmh kweli majuto alkua mwigizaji unaolewa afu unaombwa radhi naomba nikupe talaka moja kwanza afu tutajua vhakufanya hahahaaaaaa
Hilda Daniel 😂😂😂😂😂
Haya maneno umesom kwny kitabu au yametok mkweny kichwa chko,. Unanivunj mbv .
Baba naye kasababisha yote kha? R.I.P Majuto
Mambo ya kifamilia na mali ni mazito sana ..ni kama hadithi za abunuwasi 😁 Alie kufa mungu amrehem
.
Ongea vizuri sio unarudia rudia maneno wewe mtoto wa kiume. Kama ni hela kweli umekulakula kidogo. Alafu we mwanaume unatakiwa uwe na kaba mzee ameshakufa sio unaongea tu.
Mtihan
Duhh jamanii haya mambo yaxkien kwa wengine tu hy mke wa mzee majuto akiitazama hii interview na Maelezo yakuwa alikuwa anaoa kwa Siri tena wanawake kama wa3...wallah a natamanii akamfukue amzabe vbao...maana hakuna ktuu knaumaa kama mweziwako uje umckie alikuwa anakusalitii half hayupo...bora awepo akujbuu...lohh...wanaumee mtihanii hata kama ND uislam umehalalisha jamanii cunamuweka wazi mwenzio ajue...hata ww abuu yle mama lazmaa akuchkie 7bu ww ND kama chambo cha mzee
Kuoa sio kusaliti
@@blakshajaa4418 xunatakiwa umshirikshe mwenzio ND dini Isemavyo xx kama amekufa ND mwanae aja kusema hv we wafkir n nn..km kwenda hajj tu haitakiwii mpk u muwekee wazi mwenzio je safari ya kwa Allah we wafkir masiharaa..mtihanii mzito wallah
Anakusaliti vp kwa kuoa na sheria ya kiislamu inaruhusu? Rudi chuoni ukasome wacha kupayuko upuzi hapa.
Dini haijasema popote umshirikishe mkeo katika kuoa au kuongeza mke. Ukitaka kumjulisha ni sawa na zaidi ni vyema kufanya hivyo kwani baada ya kifo rabsha za urathi zinaweza kuzuka. Soma dini yako vizuri na ukipata aya inayosema lazima umshirikishe mkeo kwenye kuoa weka hapa utupe faida maanake nina hakika 1000% hakuna sharia hio
@@kaulimbiu181 mpuuzii mwenyew fala nn au naww zipu mbovu...ghabithii ww komaa tenaa kutukana watu ucio wajua msenge baridii ww..
Pia akir yake yy huyo mama alikuwa anataka serkali iingilie kat hasa muheshimiwa magufuli, ichukuliwe mali yote kwa nguvu ya serkali apewe yy tu na wanae hao wengine ile kwao, eeejaman hayo nimaisha tu ipo siku yatapita na utaviacha vitu vyooote utakwenda ww kama ulivyo hata kijiko wala Sumni kwan alie viacha yy yuko wap?na je? Alipenda kuviacha? Jaman tuachen tamaa ya mali za urithi tutafute vyetu.
Kwel uyu mama
Siyo poa kabisa
Mjomba bana utaki kiki😙
We abuu usidanganye dini inaruhusu kuowa wake wengi ila dini hiyo hiyo inaitaji mke wako wa kwanza akubali siyo kificho kwenda kuowa...Ivyo hata mzee wako alikuwa na makosa..Sema c vyema kumsema mtu alie kufa...Na kwa mwenendo wenu huu mnapa tabu mzee.Nyie wanaume tafuteni vyenu ..Mzee king angekuwa ajaacha mali yeyote wala haya yasinge kuwepo...
shabanimoney shabanimoney ni kweli lakini ukimuaga akikataa unaoa kwa lazima
Ongeya ote aazaye mmalize
Tupe aya inayosema lazima umjulishe mkeo ili uoe. Wacheni kutoa fatwa za kipuzi rudini madrassa musome. Haikulazimishwa popote mume kumjuza mke kuhusu kuongeza mke.
@maulid mayoyola sawasawa maneno yako bro
@@kaulimbiu181 Ndivyoooooo
seria ya dini anapewa sumni yake anaondoka watoto wake ndio wanahaki
Wambie kwanza awo wanasema dini wasiyo juwa
mzee una maneno ya busara safi sana
Siyo sumni acha kuizungumzia dini kwa mtazamo wako. Dina ina maandiko yaliyodhibitiwa/hifadhiwa. Mwanamke anamrithi mumewe akifa na mwanaume anamrithi mkewe akifa. Ni urithi kabisa wa kisheria na siyo sumni. Acha ujinga. Jifunze kabla ya kuongea na kutenda.
@@abdallahdataguy mwanamke anamrithi mumewe nini ikiwa kaacha watoto??
@@abdallahdataguy weka wazi ili watu wakuelewe
Abuu nakukubali
😂😂mambo yakunitaja Abu Abu ctaki wallah huu mthan
Uyu Abu ni bonge la komed yani badala ya kuskitika nacheka mungu atawapa subra
Acheni historia chamsingi kufikiria
Mhuu undugu SASA naona utaisha huwez kulud tena tanga maana wanaweza kukupiga makof dada
Duu abbu ndioo maana lawama zimekuandama pole pia hata ww umechangia
Azizah Mkindi unamshutumu vipi kwa kusema kachangia, nini kosa lake huyu mtoto. Alichofanya si kosa maana hakumshikia fimbo mzee wake na Mzee hakufanya makosa, kuoa ni halali yake.
Mjomba oyeee
Mjomba Safi Sana,mtoe nishai ana akili huyo sokota
mzee tuko nae hiviii
ilo limama ningeishi nalo mimi ningelinyoosha
tanga tunapenda kuongea sana vitu vingine tusiongee kwenye mitandoa sio vizuri wekeni mambo yenu private
Kumbe damu ya kuchekesha iko mpaka kwa mjomba
Bora muache biff
Dogo anza kuigiza umepewa kipaji hujakigundua tu copy right majuto.
da I habu unaoge kama mzee majuto
Huyo mama duh
Mma hataree mi nacheka abuu asema mma amchefua
Wee mjomba mbona msaniii unalia au unaigiza
Abuh mi nimekupeda kisa sauti yako babako mtupu
Grace Delence umeona eee yaani kama baba yake
Grace Delence hata jinc anvoongea babaake mtup kiufup watoto wa mzee majuto wfnn na baba yao
Dunia inamambo jamani