DENIS MPAGAZE: Mfahamu VLADIMIR PUTIN / Mbabe Asiyeeleweka Mwenye Mpango Ya Kurudisha Hadhi ya URUSI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • VISIT OUR WEBSITE: fomaentertainm...
    EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
    Call Us: +255222701381
    WHATSAPP: +255757886370
    Follow Us On Instagram
    / fomaentertainment
    / ananiasedgartv
    / ananiasedgartv
    / ananiasedgartv
    SUBSCRIBE
    bit.ly/2ZWGBXo
    Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
    ______________________________________________________________________________________________
    SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
    HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
    ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

КОМЕНТАРІ • 177

  • @lydiandege123
    @lydiandege123 2 роки тому +80

    Nafikiri tanzania inaongoza kwa kutoa historia mna wasimulizi wazuri africa hakika kiswahili kizuri,historia ya kweli ebu mzidi kutupa zaidi

  • @ibrahimwario3177
    @ibrahimwario3177 11 місяців тому +13

    Naomba mnipe like km uko hpo nami 2024,kaka Denis kwa kufanya utafiti uko mbele, Putin mbabe wa mababe kwli anatisha vitisho vikali hadi viongozi wa magharibi wanatetemeka jila lke likitajwa krbu na wao

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Рік тому +11

    Team urus apa Bila maelezo viva Urus

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 місяці тому +4

    Hongera sana waandishi wa Tanzania taarifa nzur sana hii

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba1113 2 роки тому +7

    Asante sana kwa makala hiyi ndugu Denis Mpagaze. Kama kawa, unatupa facts. Napata furaha kila nikikusikiliza vilevile nikisoma vitabo vyako! Mungu Akubaliki sana!

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 2 роки тому +5

    Thanks you we love number one💪💪💪 🇸🇮🇸🇮🇸🇮Russian ❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮from Burundi in Cape Town 🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @anuarmandela8844
    @anuarmandela8844 2 роки тому +21

    Heko Bwana Edgar, nilikuwa naisubiri historia ya Putin kwa hamu sana

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo5515 2 роки тому +5

    Nyinyi ndio munaohitajika kuhelimisha jamii ya kafrika Hongereni saaaana wanajamii wa TZ

  • @ojodealfred
    @ojodealfred 2 роки тому +13

    Napenda ulivyofanya utafiti lakini kuna vipengele ambavyo lazima niconfirm kazi nzuri kutoka 🇰🇪 Nashukuru sana kwa kueleza vita ya Russia na Ukraine

  • @watejaubungo6805
    @watejaubungo6805 2 роки тому +9

    Enjoying enough kukuckiliza mpagaze one of amazing makala ever heard

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 роки тому +20

    Muheshimu mtu yoyote mwenye kutaka kurejesha hadhi Ya familia.

  • @ImMyOwnInspiratioNBridGe314
    @ImMyOwnInspiratioNBridGe314 2 роки тому +5

    Sir Ananias Edgar,nakukubali mkubwa 🤙

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 10 місяців тому +2

    Jins unavyojua kuhadia najikuta krip hii nimesh iangalia karibu mala4

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 2 роки тому +3

    Sema Ananias una vijimaneno vya kuchomekea vyenye ujumbe mzito sana,,,, cjui kama tunakuelewa ipasavyo

  • @paulnundu9238
    @paulnundu9238 Рік тому +2

    Denis peponi moja kwa moja chief

  • @faustinevitalice7792
    @faustinevitalice7792 2 роки тому +6

    sema we jamaa bwana😅😅., upo vizuri sana kwenye kusimulia asee..

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 11 місяців тому

    Historia kama hizi zimekaa vzr sana

  • @abdikadirchief8706
    @abdikadirchief8706 2 роки тому +4

    Kudos guy's,nimeipenda hiyo historia 😄

  • @jumakassim7221
    @jumakassim7221 2 роки тому +4

    Asante sana 💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @jumamussantuiche8942
    @jumamussantuiche8942 2 роки тому +4

    Asante Sana kaka

  • @KelvinJames-hp8hh
    @KelvinJames-hp8hh 7 місяців тому +2

    Mwamba wa Urusi! Long live

  • @benardkyalo2517
    @benardkyalo2517 2 роки тому +2

    Hongera!! Nmefurahia napenda kujua historia sana .

  • @mohamedmbayo187
    @mohamedmbayo187 Рік тому +2

    Mzee hua unanipa raha sana 40:55 ❤❤❤❤

  • @rubeninduti7192
    @rubeninduti7192 2 роки тому +2

    Safi sana,simulizi nzuri.Ila kuishinda marekani na dola ni kazi ngumu.

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 2 роки тому +14

    Putin ni Mwamba na kiboko cha wazungu watokao jumuiya ya wanachama wa mkataba wa Atlantiki kaskazini(NATO).

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 5 місяців тому +3

    Safi sana denis

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 2 роки тому +1

    Asante sana kwa historia hii ya kuvutiwa..

  • @AbdallaMwanibamb
    @AbdallaMwanibamb 3 місяці тому

    Watu ache naputini wetu wa Africa yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️

  • @NeymarBruno-i8x
    @NeymarBruno-i8x Рік тому +1

    Ahsante sana mkuu❤❤🇹🇿

  • @abubakariramadhani1372
    @abubakariramadhani1372 6 місяців тому +1

    Uko vizuri sana

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 2 роки тому +2

    Gobachev alikuwa tapeli mkubwa sana! Kuanguka kwa Usoviet ilikuwa kosa kubwa la karne! Inshaaalah itarudi tena kwa nguvu za Mungu

  • @YoungSugar-uj2gg
    @YoungSugar-uj2gg Рік тому +2

    Nc my brother unafanyag mambo yaman

  • @husha6372
    @husha6372 9 місяців тому +1

    Marek anı ndio walianzisha ile Vita vya Somalia vya Wenyewe kwa Wenyewe mwaka wa 1991 baada ya kupatikana mafuta ya petroleum Somalia na America ndio ilikuwa wa kwanza kupeleka wanajeshi wak

  • @Kaka_Rambo
    @Kaka_Rambo 3 місяці тому +1

    Sijapenda neno mbabe kwani hajawahi kumfanyia mtu ubabe wowote

  • @mpenzisamaki9488
    @mpenzisamaki9488 2 роки тому +3

    Dah nimekuelewa sana

  • @fadhilally5471
    @fadhilally5471 2 роки тому +3

    Nakuelewa sana kaka unanifanya nienjoy sana stori zako

  • @watejaubungo6805
    @watejaubungo6805 2 роки тому +4

    Keep it up Mr mpagaze

  • @Joseph_kivitz
    @Joseph_kivitz 2 роки тому +4

    Usimulizi ulioenda shule....big up Ananias...big love from Kenya

  • @SalehAmisiRusimbana
    @SalehAmisiRusimbana 5 місяців тому +2

    Tokooos vraiment

  • @al-miskrychannel478
    @al-miskrychannel478 2 роки тому +2

    Chapa Mzee. Uraaaaaaaaaa

  • @barakamajiji2388
    @barakamajiji2388 2 роки тому +4

    Nakukubari sana mwamba

  • @IssaMraja-u3r
    @IssaMraja-u3r Рік тому +1

    Hongera sana denis ❤

  • @JohnNkomola27
    @JohnNkomola27 2 роки тому +5

    Hatimaye

  • @shyakaclaude5357
    @shyakaclaude5357 2 роки тому +3

    Umeongea vzr Brother
    Africa wakimbizi wanadharauliwa sana
    Hata wakiwa na akili

  • @johngichuki3899
    @johngichuki3899 Рік тому +2

    Historia ya Benjamin Ntanyau mkuu

  • @barakamajiji2388
    @barakamajiji2388 2 роки тому +1

    Asant Ananias Kwa story nzuri

  • @gentiltumaini3588
    @gentiltumaini3588 2 роки тому +1

    Hongera kwako bwana. Putin ni mwanaume mwenye musimamo,
    Namupenda sana

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi8179 2 роки тому +4

    Putin Putin Putin nimemuita mara Tatu huyu kamanda namkubali Sana zaidi ya sana

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 3 місяці тому

    Kama Tanzania jinsi inawanyanyasa wakimbizi wa kiburundi Tanzania kweli inawapa hifazi

  • @zawadimwidowe
    @zawadimwidowe Рік тому +2

    Ni vizuri zaidi Hakiri kufiria kuliko Hakiri kufikiliwa Afrika tuwatumie watu wetu wenye hakiri siyo tukawa wekeze kwa wenye mataifa tajili maana hiyo nayo ni biashara ya kuwapeleka watu wenye hakili kwa mataifa makubwa

  • @silvinomauride8123
    @silvinomauride8123 2 роки тому +13

    Bom dia senhor Ananis edgar,eu gosto muito das seus conselhos,e que continua asim,mas na minha visão achu que tens que evitar falar sobre religião,porque é uma grande responsábilidade no dia de amanhã,caso não de ser algu que você tem conhecimento real.sou Aly de Moçambique Nampula.

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 місяці тому

    Denis mpagaze unajua TZ tunakutegemea sana

  • @AbdallaMwanibamb
    @AbdallaMwanibamb 3 місяці тому +1

    Apo kwenye ushoga nakubali washenyente baba putini

  • @neemagondwe926
    @neemagondwe926 2 роки тому +1

    Jembee😍😍😍😍awanyooshe tuu wamezidi

  • @ppemperweringpeople7183
    @ppemperweringpeople7183 2 роки тому +1

    Dah Haya Yote Umetoa Wapi Bro.,Inaoneka Umechukua Muda Wako Mwingi Sana Kufanya Utafiti, Ongera Tunafaidika Apa Nche

    • @charlessomi2506
      @charlessomi2506 2 місяці тому

      halafu anakuja mtu hata kusoma gazeti tu ni mvivu anaanza kukosoa ndio maana jamaa huwa hamjibu mtu....

  • @eliphasedward9076
    @eliphasedward9076 2 роки тому +1

    Nzuri sana

  • @muhundaramadhani5057
    @muhundaramadhani5057 2 роки тому +1

    Mwenyez Mungu Amtangulie

  • @wilondjarama1427
    @wilondjarama1427 2 роки тому +1

    Nakukubali sana bro

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 2 роки тому +18

    Mwamba tunakupongeza kwa
    Hiyo historia mrefu

  • @thesportwaytv3119
    @thesportwaytv3119 2 роки тому +1

    Njema sana hii, usimulizi murua wa hali ya juu.

  • @omaryseshambi6468
    @omaryseshambi6468 2 роки тому +1

    Kwakweli nimeipenda hii topic

  • @pierrerichardjeanpaul9249
    @pierrerichardjeanpaul9249 2 роки тому +1

    sel bagay pa janm asepte pou neg ap mennen fan´m banmwen depiw tande se entel ki te bay entel se biznis kap fet pa en santiman vre se pou materiel

  • @abdulrazaqfils4234
    @abdulrazaqfils4234 Рік тому

    Team Putin the Russian president 🇷🇺🇷🇺💪💪🇨🇩🇨🇩 more support him and Allah will protect him Inshallah the world's 🌍 population President Putin ❤❤

  • @thobiasmwakyusa573
    @thobiasmwakyusa573 2 роки тому +1

    Nakubali

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 Рік тому +1

    Africa bira manyangau inawezekana Russia %100❤

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 2 роки тому +3

    Kwann isingechukuwa hata masaa mawili hii #Ananius?

  • @chindembalingwana7123
    @chindembalingwana7123 2 роки тому +1

    Aisee safi sana umeelezeq vizur sana mwalimu sana

  • @gabrielmiatus3886
    @gabrielmiatus3886 Рік тому +1

    Wanamzigoo hatarii tangu enzii za starleeng

  • @ksinzagebo120
    @ksinzagebo120 2 роки тому +1

    Uko vizur mzee

  • @joshuamchau
    @joshuamchau 2 роки тому +1

    Makala nzuri. Big up. Jan 2023

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 2 роки тому +1

    Nakubaliiiiiiiiiiii

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi 2 роки тому +1

    Kbs ukweli

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 місяці тому

    DENIS MPAGAZE UNAJUA AISEE!!!!!

  • @davidmpulumba4039
    @davidmpulumba4039 2 роки тому +3

    Huyu bwana n hataree anko putin

  • @sibomanajohn4722
    @sibomanajohn4722 2 роки тому +1

    Tunakupendaka sana

  • @muhundaramadhani5057
    @muhundaramadhani5057 2 роки тому +2

    Good

  • @brownyjayden3312
    @brownyjayden3312 2 роки тому +1

    Nicee

  • @Saidiabdallahhamadi-bw5eo
    @Saidiabdallahhamadi-bw5eo Рік тому +1

    Jembe ilooo

  • @musaludelemula8444
    @musaludelemula8444 2 роки тому +1

    Nakuelewa sana mkuu

  • @3kingsmusictv873
    @3kingsmusictv873 Рік тому +1

    Viva

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 роки тому +2

    Ananias edger hataliii

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 місяці тому +1

    Putin mimi shabik wake aisee!!!!

  • @zawadimbusa3472
    @zawadimbusa3472 2 роки тому +1

    Tunafurahiya zaidi na iyo historia ndefu

  • @Tanzanian395
    @Tanzanian395 2 роки тому

    Safii👍

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Рік тому

    Niko marekani Iowa nilikuwanaishi Tanzania 🇹🇿 nyarugusu camp

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 2 роки тому +4

    Kama babu yake ana julikana why wazazi wasijulikane au ni babu mlezi

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 роки тому

      Hadithi ya kubumba hii

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 2 роки тому +2

      Wanajulikana si hy mama alotolewa kwenye gari ambaye alizaniwa kafa na baba ake alikuwa jeshi babu yk alikua mpishi wa marais wa wili

  • @godwinchristian5252
    @godwinchristian5252 2 роки тому +4

    Mungu ni mwema kwa Putin viva Russia 🇷🇺 viva putin 🙄

  • @IssaMraja-u3r
    @IssaMraja-u3r Рік тому

    Duh yani unavyoshusha izo simulizi paka choti layoka

  • @jacksonnyagabo3369
    @jacksonnyagabo3369 Рік тому

    Congratulations Mwalimu wetu 🇷🇺🇧🇮🇿🇲

  • @yohanamkaga5230
    @yohanamkaga5230 Рік тому +2

    Wewe unatakiwa uache ukabila🤔🤔Kila story bila kuwataha wasukuma story haitatrend, sio Chefuuu, hujui wasukuma ndo wanakulisha kwa kufuatili hizi tafti zako
    Unashinda ukiongelea kisukuma vibaya utadhani unawalisha shame on you

  • @SkKanefu
    @SkKanefu 2 роки тому

    nakukumbali

  • @marechalkiduba4788
    @marechalkiduba4788 Рік тому +1

    Wenimwanaume

    • @UwezoHussein-u7y
      @UwezoHussein-u7y Місяць тому

      @@marechalkiduba4788 tulia we ngosha… kaline viazi.. msimu ndo huu

  • @dullasix329
    @dullasix329 2 роки тому +2

    na ww umejipanga ?

  • @derickclever6844
    @derickclever6844 2 роки тому +1

    💥💥💥

  • @BernadethaCharles-sv3oy
    @BernadethaCharles-sv3oy 3 місяці тому

    Kwa hiyo wale wenzetu wanaochochea kupididika hawawezi kumbe kwenda URUSI ndio maana wanakimbilia US na Ubel.Na huku tuwakatae kumbe wanataka uongozi kutuletea uchafu. Long live Puttin!

  • @maftahanachumatv7017
    @maftahanachumatv7017 2 роки тому +1

    Very good

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 2 роки тому +2

    Putin tumuombee maisha malefu

  • @tchalumbaharuna3383
    @tchalumbaharuna3383 2 роки тому +3

    Mwambaaa huyoooo

  • @anoldpotentin2446
    @anoldpotentin2446 2 роки тому +3

    Mke wa Joseph Stalin(Nadezhda) alijiua mwanzoni kabisa 1932, kwa kujipiga risasi kichwani baada ya kuona Stalin anaua sana wapinzani wake akashindwa kuvumilia. Japokua stalin alikua anampenda sana mke wake

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 Рік тому

      Ivi kwel stalin alikua katil ivyo au ni propaganda za wazungu maaana hatar

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 Рік тому

      @@farajiissa560 Propaganda za nchi za magharibi, Stalin ndio kaisaidia Russia kutoka kuwa taifa masikini hadi kuwa taifa kubwa likaitawala dunia. Wakati wa Stalin Russia( USSR) ndio ilikua world super power

  • @JosephMhecha
    @JosephMhecha 2 роки тому

    Ni zaidi ya Elimu