Jeshi La Polisi Lapata Msaada Wa Vifaa Tiba
Вставка
- Опубліковано 16 лис 2017
- Jeshi la polisi nchini limepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi bilioni mbilikwa ajili ya hospitali na vituo vya afya vinavyomilikiwa na jeshi hilo hapa nchini.