ww kila siku nikuandika mapungufu ya wenziy kenge nyau. Nimekufatilia kila siku huandiki mazr ni mapungufu2. Kwanza na ww una mapungufu yako Kwa nn unatumia jina la SNS hiyo Recup ni sns walionzisha Rudi kwenye kazi y kutaft habar kwa kina Mwijak na Baba levo
Safi sana kaka umetisha ,lazma ukweli isemwe ,king Kiba ameweza anastahili pongezi
Jamaa anajua sana 👑
King kiba katisha snaaaaaaaa Jamaaa ni noma
❤❤❤King kama King 👑 😊
Leo umeongea ukweili kabisa ndio mana akaitwa King anajua Sana jama 20 years bado yupo unafikila nini bro ,... King Kiba ninoma sana
Kwenye stage hapo umeupiga kaka TFF iwafikie
Huyo ni King Kiba 👑👑👑❤️❤❤
Aminia ❤❤❤
King is the best
Kingkiba
Leo umeongea point kubwa Sana mzee kiba ni best of the rest
Good good good good
Ndio King huyooo
Ni crown media hao sound
nakubali sanaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌
He the head of events so must be looking different to audience ❤ it's true presenter
😂😂😂naona mashabiki wengi humu ndani na wa Kiba
King😊
Kiba alifunika wasanii wote
Kaka uyu jamaa ni atari uto maliza sifa zake king ni king
Eeee baba hilo jini kwenye swala la uimbaji hakuna mtu atamfikiaa kingkibaa mamaee ata dunia iumbweee upyaaaah🔥🔥🔥🔥
Brow unaitendea haki taaluma yako upo vizuri..... Elimisha wasanii wabadilike . Mindset zao zipo juu wakati action zero. King kiba anaweza jmn!!!
Sounds ni kazi ya Crown Media waliweza sana
Why wasani wa tz wasiwe naanda izi concert wenyewe kama musician wa congo wanafanya kwenye uwaja wao wanaweza hata wa tz🇨🇩
Tatizo hapa ni Tz wenye nchi ndio waamuzi na wenye mpira wai
Courage vraiment Alikiba il se force mais le problème c'est dans son pays il faut qu'il quitte d'abord comme Diamond platnumz 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Banaeeeeeeen simba juuuuu
Haters gonna hate!!! Umeongea ukwe mtupu
Nakukubar broo kwanin uskaenae ukamshaur baadh ya mambo mie nakuona unamwanganzur.
Hapo sasa upo kama mtangazaji
Almando kigeugeu sana
Msimu uliopita hakuvaa jezi bwana alivaa kifalme
Kumbuka alifanya show 2 moja ya uzinduzi wa afl ndo alivaa kifalme full white
Let's be serious Alikiba alifunika mbaya sana aseeh, Watu walienjoy sana.
Mzem wa mapungufu🤣🤣🤣🤣
nimekusubili tokea juzi nione unasemaje!!!!
ndio
Ndiye bba ke,an n mwanasoka ujue
Hakuna kama king kibaaaaaaaa
Uongo wako hata ya mwanzo ilikuwa bora c ya kawaida ngo'
ww kila siku nikuandika mapungufu ya wenziy kenge nyau.
Nimekufatilia kila siku huandiki mazr ni mapungufu2.
Kwanza na ww una mapungufu yako
Kwa nn unatumia jina la SNS hiyo Recup ni sns walionzisha
Rudi kwenye kazi y kutaft habar kwa kina Mwijak na Baba levo
Ali saa kifalme bana
😮😮😮😮😮😮😮😮