Hahahha,daaah nilishindwa kuvumilia nikapitisha mkono ndani ya mtaroo🤣🤣🤣🤣nyuma yangu alikuwapo Baba paroko ambaye nlipomtupia jicho alikuwa anacheka ty
Sjawah kucheka vdeo yako hata moja broo ispokuwa hiii nimecheka sanaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 big fan broo big fan nakukubali sanaaaaaa.. alaaaaa alaaaaa
Leo umenichekesha vibaya nimeumia mbavu na kukohoa na pumaliwa..Best comedy for me..Big up from 🇰🇪
😂😂😂😂aki mtatuua😅😅😅😅😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂😂
Yaan me ndo nachek mpka nalia
Mume waaaanguuu usikuneee🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣😭😭 comedy nzur mno!!
I realy like the way clam says,,Naenda nyumbaniii,,kenya tuko ndani,,watching from dubai..
wakenya mna shida watching from Dubai uongo
Uongoooooh hiooooh
Clam wewe ni fire 🔥🔥🔥kiboko kabisa😅😅😅😅😅
😂😂😂😂🤣🤣🤣💯👍yani mna chekesha kubisa , mwaka huu wachekeshaji wame kua wengi tuna shukulu Stress zita pungua
Kramu nakupenda sana Nauru Dada mwagju manapendakasana kazizake kwe iyo Bamba nambazake ilituzungu muzenaye mimi ni mucongo toka uvira
Hiyo cmu imepona kweli maana umeachia kama mzigo🤣👏👏👏kweli unauhalisia
Hiyo geng ynu ni kiboko aisee big up men
Huyo dad mbon mzuri hivooo
😂😂😂😂😂mume wangu usikune mvele ya bba 😢😢😢😢😢aibu bba mkwe aaaaaah😂😂😂
Mmmewanguuu usikunee mbele ya baba utaniaibisha n akashapeleka mkono kitambo yaa ncheka mpka bc😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Nilitaka nisicheke na sicheki😂😂😂😂😂😂 jmn clam
😂😂😂😂 WE JAMAA UNAJUWA KINOMA MUCH BLESSED
We mtotò una balaa kweli.
Me takuwa wa mwisho nipen like zangu
Hahahahha😆😆😆🤣🤣make hap kwanz mume Wang uckune uckune
😂😂😂
We jamaa chz kwl😀😀😀😀😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣
Too much respect my bro vevo
Police mkuna kalio 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yann ii muvi nimecheka mpaka bac❤❤❤❤❤
Udakuja kuwuponza haaa pol🤣🤣🤣🙏🙏🙏🇧🇮
nime pk up sana .Kali 🔥
😂😂😂😂 police mkuna kalio 😂
Yaan nimejua kucheka wallah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂bro umenifuraisha aujawai kunifuraisha
🤣🤣🤣🤣😂☺️ salute nyie wakaka jamani aiiii, nimecheka hadi nimejisahau kama nipo kazi Allah
Nimecheka sana 😂😂😂😂😂😂😂clam ww
🤣🤣🤣🤣 comedy zako pekee ndio zinanimalizia boundle langu🤣🤣🤣🤣😃
Nimechela kama Mweu 😅😅😂
😂😂😂😂😂😂jamn nimecheka kamachiz walah
Hahaa Leo umefuraisha saana...ni Shantel toka kenya
Nitaacha comment yangu hapa mlike nikam niwatch nikipata notification😂😂😂
😁😁
Nice..watching from Zambia
😂😂😂😂😂we kim ww😂😂😂et ujauponzaa kwel😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣 queen wa nyoko 🤣🤣🤣
Unajua xaaaaaaana br0o. Nmechek mn0o
Ati usikune mbele ya Baba 😂😂, pumbafu sana🖐️
Hahhh😂 to much umejua kunifrahisha we mkaka 😂😂😂
"Polisi wajikuna makalio." ALAA! ALAA!
😂😂 nimecheka kweli
Njamani nakufa nakutchka😂😂😂😂😂
Polis mkuna kalio🤣🤣🤣🤣
😂😂😂ivi njo nachekanga paka chozi linatoka😂😂😂
aki nimecheka kifalabclam upo vizuri
Clam utakujja kuniuwa siku moja🤣🤣🤣🤣
Sijapenda meakatobe anavyocheka cheka kuwen seriously nyie wachawi!
Clam wee noma mzeee yani katika waigizaj wa kuchekesh we namb moj
😂😂😂😂wallah clam😂😂😂
Jamani me nampenda shado mwenzenu
clamu una tutowaka stress sana chapa kazi bb
Leo msambaa kapendeza jamn Kawa doctor
Mbavu nzangu mimi😂😂😂
Nampenda sana clam wangu jamani
Eti unakwangua vocha jomon nimecheka mm iclamu jomon mtanitia uchiz mm 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ajama niii😅
Wallahi nimecheka hadi waarabu wakanisikia hahahahaha
Mambo
@@NTEMI_OBURUDANI poa mzima wewe
Hahahahahqhahhahahah🤣🤣🤣🤣🤣🤣broooo nimecheka Kwa sauti kubwa sana,hiii ishawahi nitokea nikiwa nasoma matangazo kanisani daaaah
😅😅😅😅
Hahahha,daaah nilishindwa kuvumilia nikapitisha mkono ndani ya mtaroo🤣🤣🤣🤣nyuma yangu alikuwapo Baba paroko ambaye nlipomtupia jicho alikuwa anacheka ty
🤣🤣🤣🤣
Umetisha
Polisi mkuna kalio😅😅😅😅
Police mkuna makalio😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂clam huna baya mwanangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nampenda sana Kim
Hiv clam hilo tako halijatok ngoz 😂😂huyo baba mwenyew
Daah stress Kwisha Kule ni kucheka tu
"Mara moja ya mwisho."
Jamani nimecheka😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣kim kanichekesha eti Shem hauja uponza kweli😂😂
Sogea uku nikusaidie kukuna😂😂😂
Mna hatari 😂😂😂mwataka nijikojolee na niko kibaruani
nimecheka mpaka mkoja waaaa haki nyinyi mwanifrahisha kweljj🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo kwa baba mkwe angefaa kicheche😂
😂😂😂police mkuna makalio😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣alaaa atimai kakuna mbele ya baba mkwe🤣🤣🤣
Clam unaniua ak😅😅😅😅😅
Wallah mutanifany ni kufe nacheko clam unachekesh san wew 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani ww unachekesha sana napenda comey zako sana
Jsmani clam ww kiboko yani nimecheka mpaka numwa na mbavu😅😅😅
😂😂Hiii nayo apna minyoo kwani N Gani izo
Clam nakupend kabisa
Ahhahhha nakußal clam
Aki clam wewe unachekesha😂😂😂😂mbavu zangu
Clam utaniua mbavu mie 😅😅😅😅😅😅😅😅
Ww clam w jmn😂😂😂
Sjawah kucheka vdeo yako hata moja broo ispokuwa hiii nimecheka sanaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 big fan broo big fan nakukubali sanaaaaaa.. alaaaaa alaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 samtaim muwe mnatuma hatahela zakula maana kicheko mpaka njaa zinauma
Nimecheka sana Leo
Iyi comédie Noma mshikaji wangu tunaipenda
Polisi mkuna kalio😂😂
Haha😂😂😂 kaupoza
Mwakatobe na mkuu wako mnatumia mda mwingi kucheka sio vizur rekebishen hapo
🤣🤣🤣🤣 clam clam dah no stress
Na mastress nmedhulumiwa uwanja nmejikut nmesahau 😢😢😢😂😂😂😂
Hiyo yako noma tu sana mansee
😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu
Nice bom papo Amigo
Mambo vp
Ila we jamaa ni tahira😂😂😂😂
😂😂😂😂cram utakuja vunja mbavu zangu
Mbavu zangu 😂😂😂😂
"Shemeji hujauponza kweli?"
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂aseee clam bhan nmecheka kwa sauti hadi cyo pouw😂😂😂😂 dah
Ukiisha wee tamu kweli😂🤣😅😂