SAUTI LADHA MWANANA: KATI YA WACHUMBA 3 NIOE YUPI 1 TAJIRI KANIPENDA MWENYWE 2 MCHUMBA WANGU WA ENZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #SautiLadhaMwanana

КОМЕНТАРІ • 65

  • @kabyjxjrd9874
    @kabyjxjrd9874 3 роки тому +4

    Mashallah shairi limenigusa Sana uko vzr Malenga wetu Allah akuongolee kazi yako

  • @sgfdhaikuhusu6086
    @sgfdhaikuhusu6086 3 роки тому +3

    Mashallahh sauti mwanana na pia kitu ukipendacho ndio furaha yako pesa haiwezi kuweka mapenzi Ila mapenzi ni ndani ya moyo asa hapo kwa wazee sina la kisema (Hb Mambo hayo)

  • @AHMADOMARY-t2y
    @AHMADOMARY-t2y Місяць тому

    Mashallah sauti nzuri ila kipendacho roho wapili waenzi alieweza kukustahmilia mwanzo kwa shida na raha basi unaweza ishi nae kwa mapenzi na furaha pesa sio mapenzi wala alichochanguwa mzazi sio upendo wako ni shindikizo la wazazi

  • @chandamamzoefu5641
    @chandamamzoefu5641 3 роки тому +2

    Huu mfumo nimeupenda sana,ila mungepata taa ingkua Bora zaidi,pili tungo kuntu Sana

  • @jabirsaid7410
    @jabirsaid7410 2 роки тому +1

    MASHA ALLAH

  • @SmilingCartoonCat-pf9bt
    @SmilingCartoonCat-pf9bt 9 місяців тому

    Assalamu alaykum wallahi wanawake mtihani sana mimi binafsi nitamchukua huyu wapili wazee wangu watanisamehe aamin

  • @jumalesso
    @jumalesso 3 роки тому +1

    Maa Shaa Allah Binti Bogoyo na wengine msaidieni kijana mimi nimepwelewa

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 3 роки тому

    MaashaAllah, nice shairi

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 3 роки тому +4

    Chukua wote ikiwezekana malizia kabisa na 4 ili ufike kikomo cha kuowa

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 2 роки тому

    Ya salaam mashaallah

  • @matesomoci6376
    @matesomoci6376 2 роки тому

    Mashaallah shairi zuri kwa upande wangu bora achukuwe alicho kipenda mwenyewe

  • @ahmedhaji1951
    @ahmedhaji1951 3 роки тому +1

    Yassalaaam Yassalaaam namba mbili 2 ndio wangu inshaallah

  • @fauzafauza1873
    @fauzafauza1873 3 роки тому +1

    Owa wote haki yako mwisho 4 ila 1 muowe wa 2 , mashaallah

  • @JamilaEl-bahsan-fu4ig
    @JamilaEl-bahsan-fu4ig 2 місяці тому

    Ushauri chukua wa 2 maisha ya utaenda ataridhika vyovyote ulivyo na ana mapenzi ndani ya moyo na wewe ndio chaguo la moyo wako utulivu utapatikana.

  • @nyotanjemaingarayo5384
    @nyotanjemaingarayo5384 3 роки тому +4

    Wote watatu waoe, dini imekuridhia. Waeleze wasikie, haya yanokutokea. Ukewenza waingie, kwa yule atoridhia. Anokupenda kikweli, atangia kwa hiari.

  • @is-hakaame
    @is-hakaame Рік тому

    Nimefurah kumuona sheikh Omar na mwenzake Ridhwan mana hua tunawaskia saut tu

  • @vaclonochieng778
    @vaclonochieng778 8 місяців тому

    oa wa pili sababu wewe kampenda mwenyewe tokea shuleni...pia utaishi kwa amani kwa hali yako ya maisha..peace is everything in marriage

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 23 дні тому

    Swali istikhara uombe ushauri kwa Allah

  • @bisharabilali6976
    @bisharabilali6976 Рік тому

    Kwa kweli mm nairusha kwa wa kwanza kwa sababu amenipenda kwa moyo msafi na pia namba 1 ni bora.Wa pili atakuja akuruke

  • @upstairszaidan4904
    @upstairszaidan4904 Рік тому

    Chukua wrote watatu ila aza wamwisho wapili Tajiri awe mwisho

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 3 роки тому

    Yasalamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu🙌👍👂🌷🌹⚘

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 3 роки тому

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu WADAU WA RIYADH na koo zima ya riyadh Tv online znz

  • @hamidomar7474
    @hamidomar7474 3 роки тому +1

    SHEH ULOMPENDA MWENYEWE OWA IKITOKEYA LAWAMA NIWE MWENYEWE TU

  • @chidyobey10
    @chidyobey10 3 роки тому

    natamani niweze kuwa ktk kikundi hichi sema ndo niko mbali coz naweza pitia hizi swautiii

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 4 місяці тому

    Oa wote dini inakubali tu

  • @hamadngwali5864
    @hamadngwali5864 2 роки тому

    Me wa kwanza

  • @Saidsulayman242
    @Saidsulayman242 3 роки тому

    Wa kwanza raha ya maisha ya ndoa upendwe

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 3 роки тому +1

    Owa wote

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 3 роки тому

      Haijambo Ridhwan umetulia kama maji ya madafu yapo kikombeni

    • @newshabari94.9fm5
      @newshabari94.9fm5 3 роки тому

      uwezo wake mmoja tu Zayyat

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 3 роки тому

      @@newshabari94.9fm5 kwa Allah hakuna kinachoshindikana Allah anauwezo wa kummilikisha wote 3 na akambarikia riziki pasipo mwenye kutalajia

    • @fatmaali4794
      @fatmaali4794 3 роки тому +1

      @@newshabari94.9fm5 aowe alie mpenda

  • @sheymaarashmy5979
    @sheymaarashmy5979 Рік тому

    Wa 2 wangu mwenyewe hapo nafsi itatulia hao wengne hapana cwez kuchaguliwa

  • @EmmanuelMwarandu-gh7ss
    @EmmanuelMwarandu-gh7ss Рік тому

    Mmmm ila jibu mko nalo Malenga 😂 na sauti nayo imeingia ndipo

  • @fatmaali4794
    @fatmaali4794 3 роки тому

    Kama uwezo unaluhusu bas owa wate ila kama nimasikin kama unavyo dai bas owa umpendae

  • @mitimiti3629
    @mitimiti3629 2 роки тому

    Nachagua wa pili .mpende akupendae asiyekupenda achana nae

  • @jabirmalik642
    @jabirmalik642 3 роки тому

    Wallah mm nitamfata tajiri kwani nao nimoja yazile sifa nne za kuolewa kwa mwananmke

  • @ahmedhaji1951
    @ahmedhaji1951 3 роки тому

    11:12 mtangazaji hapa umeongea pointi!

  • @fabilmwaikokoba4289
    @fabilmwaikokoba4289 Рік тому

    Wa pili

  • @chandamamzoefu5641
    @chandamamzoefu5641 3 роки тому +1

    Wapili ndilo chaguo langu

  • @hawakombo5756
    @hawakombo5756 3 роки тому

    B1m

    • @kassimwasafi6945
      @kassimwasafi6945 3 роки тому

      Shekhe Omar mm nahic kwa vile sheria ni wake 4 bc owa tajir wa mwanz halaf utakuw na uwezo utamalizia kuwaowa wote watatu

    • @hamzafoya660
      @hamzafoya660 2 роки тому

      Me ntachukua wapili..

  • @vanceissa4716
    @vanceissa4716 2 роки тому

    Ulompenda mwenyewe

  • @umukulthumhamim4319
    @umukulthumhamim4319 3 роки тому

    Wapili kwani ameiridhika hali yake kwa hivyo atakuwa tayari kukuvumiliaa kwa chochote kile na wazee ni kukaa chinii nao na kuwashawishii ili wakukubali kwani hata wakakulipia mahari hawaezi kukusaidia kumfanya msichana akubali hali yake na wa kwanzaa ni tamaa tu lkn haaaa pesa ni zake na si zangu ipo siku ataichoka hali yako duni

  • @mohdgharib4659
    @mohdgharib4659 3 роки тому +1

    NAOA WOTE WATU SITAKI UPUMBAVU WA MTU ,MMOJA ASUBUHI ,MWENGINE SAA KUMI NAMALIZIA SAA NNE USIKU NAKULALA KABISA

  • @binamour9925
    @binamour9925 2 роки тому

    wa kwanza bila kutafuna maneno

  • @kulthumabdalla9035
    @kulthumabdalla9035 3 роки тому

    Mm kama mm nilompenda mwenyew ndo naoa katika shair atakuw ni wa pili

  • @fatmakhalfani6331
    @fatmakhalfani6331 Рік тому

    Naona wakwanz kish naoa watatu kixha wapili yaan kiufup naoa wote

  • @ibradibango4744
    @ibradibango4744 2 роки тому

    mimi wa tatu,ilinipate radhi za wazazi.hao washakuwa katika ndoa na wanajua ni nini ya kuangalia au kutafuta

  • @zakariasuleiman4113
    @zakariasuleiman4113 3 роки тому

    Pesa sabuni ya roho Shekhe omari

  • @omarkhatib3689
    @omarkhatib3689 3 роки тому

    Oa huyo wapili

  • @ibradibango4744
    @ibradibango4744 2 роки тому

    wazee wako na hekima

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Рік тому

    Pesa si kigezo, wazee si kikwanzo. Penzi ni moyo wa mwanzo

  • @hajimohamed7007
    @hajimohamed7007 3 роки тому

    wote owa dini inaruhusu tenaokiwezekana siku moja

  • @nassorsaleh8009
    @nassorsaleh8009 2 роки тому

    Kwa mm wa3 ndo muwafaka