WAZIRI AWESO AWA MBOGO, APINGA GHARAMA YA MAJI KUWA JUU, AVUNJA BODI YA MAJI KARATU...
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- WAZIRI AWESO AWA MBOGO, APINGA GHARAMA YA MAJI KUWA JUU, AVUNJA BODI YA MAJI KARATU...
Waziri wa Maji Mh Juma Aweso amepinga bie ya maji iliyopangwa ya maji katika mji wa karatu na kusema kuwa bei hiyo ni kubwa tofauti na Bei elekezi ya serikali na kuchukua uamuzi wa kuivunja baodi inayosimamia mamlaka hizo......
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Maashaallah muheshimiwa wazir juma aweso kaz nzur Allah akusimamie kwa kila jambo na hatua na akulinde na hasad za sir na zahir Inshaallah 🙏🙏🙏❤❤❤my brother kaz iendeleee
Great! Uzao wa JPM kazi iendelee
Mungu akubariki kuwapigania wananchi
Asante waziri
Kwa kweli nakupenda sana sana unasimamia Haki ❤️❤️❤️❤️❤️
Arusha MTU analetewa bili ya 60000 na mita hazifanyi kazi yani hazitumiki lakini idara ya maji inaleta bili waziri njoo arusha tatizo lipo kubwa sana ni wababe hawaambiliki njoo waziri
We wa arusha tarakwa mji mdogo wa ngaramtoni hatujapewa maki ya Mari nini tatizo km saitabau wamefungiwa maki kila sehemu kwanini kata ya tarakwa tunaweza ndoo
Tunaomba uje Arusha mjini zaid sana Muriet bill zinatuzid uwezo wetu baba
Mungu simama na huyu waziri Aweso, msimharibie kazi jmn ni mtu mwenye wito kwenye uongozi.🇹🇿
Waziri ongelea tz, kote ni madudu idara ya maji, toa bei ya unit 1, na kuunganishiwa kiasi gani ijulikane, tunapigwa mno
Simanjiro tunaumia sana wazir
MHESHIMIWA WAZIRI MADUDU HAYO HAPA DAR NDO YAMEZIDI, HAPA DAR VITUO VYA MAJI VYA BOKO NA MIVUMONI UKITAKA KUWEKEWA MAJI INATAKIWA MTEJA AJIPANGE MAANA ANASUMBULIWA SANA, BILA KUTOA RUSHWA KUUNGIWA USAHAU : USHAURI WANGU KUHAMISHA WOTE, ILI WAACHE KUFANYA KWA MAZOEA
Hawa jamaa hua wanamajibu ya ovyoo mh
Yaani hao hawakusikia enzi za magufuri kwa sasa mkuu hapo unapigia mbuzi gitaa tu
Baba njooo dar
Waziri unadanganywa Arusha maji unity 1857 huyo alie kwambia 1300 mchunguze kwanza
WILAYA YA KINONDONI VITUO VYA BOKO NA MIVUMONI NI SHIDA SANA WAZIRI KUUNGIWA MAJI KERO KUBWA BILA RUSHWA
Tuambiwe na dar ni shilling ngapi?
Mimi nimeletewa bili mara2yani wiki hiii bili iliyofuata bili sijalipa mpaka leo muheshimiwa wetu
acha,hiyo,waziri,mm,kwangu,nimenunua,mita,maji,yanatoka,kwa,mgao,ila,siku,yakitoka,kwangu,hayatoki,ninataka,kuandikabarua,waje,watoe,hiyo,mita,na,wakate,bomba,mm.niko,
mbezi,kibaoni
Hapa mwanza 2000 waziri unashangaa 1500
Sisi huku mbezi makabe maji ya chumvi unit 1 5000
Cyo unit 2 hata vifaa wanavyotufungi ndy vle vle vnavyouzw mtaan bal vkifk huko idaran bac n mzaid y Mara,mbli bei alaf lazm wakuuzie wao tunapigw
hapa kibaha 1700
Huwez amini kesi ya Nyani ukampelekea ngedere haw watu wa uzibit Wa hv v2 EWURA hawaoni haya mamb au wenyew wanadili tu n raia kuhuxu upandishaj w bei diesel