KAULI ZA WANANCHI WA TUMBATU KWA SERIKALI KUHUSU KUEKEZA UTALII
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Asanteni wazee wetu. Mungu awasaidie kwa msimamo wenu
Hongereni watu wa tumbatu, Ni kheir kukataaa utalii mna watakuharibieni mila zenu
Wanyamwezi oyeeeee kazi inaendelea haya watumbatu hamtaki na kisiwa chenu
Masha Allah hongeren kwa msimamo wenu kwa kulinda maadili ya dini yetu
Hongereeni wazee wetu wa tumbatu kwa kuwa na msimamo mazubuti
Shenzi Sana wanakuja kuonheza ufuska tuu watumalize hakunataliii Wala nani wazeee fanyeni yenu kwa atakaezingua
Mwandishi ni vizuri ujifundishe Kiswahili kabla hujaja Zanzibar. Waziri wetu anaitwa Mhe. SORAGA sio Solaga.
Safi Sana wazee wangu wa tumbatu kukataa huo mradi wa utalii.
Kwani utalii ndio uekezaji Kuna Mambo mengi ya kuekeza.
Wawelte viwanda lkn c kuekeza vitu ambavyo asilimia majanga kwa jamii ya kitumbatu.
Kabisa na wakikukubali tuu wataaamishwa wote kidogo dogo , kataaeeni wezeee
Safi saana tumbatu ni kwetu, bibi yangu mzaa kazikwa huko ndio kwao ("tumbatu kichangani)
Hongereni wazee na Mimi ni mkaazi wa kisiwa Panza ambacho ni miungoni mwa visiwa kilichooagiwa mpango mchafu tuombe mungu atusaidie
Hongereni wazee wa tumbatu kwa kuwa na misimamo mana barazani alionekana Haji Omar mbaya
Hahahaha.........No tourism in Tumbatu island , if government or someone else try to do so.....no excuse
Excellent
Sio Tumbatu kwa ujumla utalii ni uharifu na haramu kwa sisi ni watu wa kuja kuangaliwa kama wanyama halafu Mungu hatotuacha salama kwa lazima atatupa mitihani nchi alioisha nabii Sulueiman na Balkis Allah atunusuru na hili janga
Safi sana wazee wetu utalii wenyewe unatuharibia mila zetu dini yetu imekuwa hatari sana asaivi
Kabisa
Tumbatu msiitoe uwo utalii wenyewe wanafaidika wakubwa tu
Utalii unaharibu silka na tamaduni. Leo unsmuacha mzungu anaenda uchi, sasa angalieni jamii ya watu walioruhusu utalii. Watoto wanavyokwenda
Hatari kabisa.
Bado hanjasema kuwa mnataka ama hantaki utalii MNA vungavungatu maneno.ilamaneno yamsingi kuhusukisiwa nawatu wake hamjasema
Allah ajualiye khatima njema
Mimi sioni sababu ya kuwalazimisha wana tumbatu ķukubali ila wangestahili kutaka kujua kwa nini hawakò tayàri kuingìźa utalii huko Tumbatu. Pamoja na sababu nyengìne nyingi lkn ni pamoja na hofu ya kuharibifu kwa maadili ya Zanzibar yanayo sàbabìshwa na mila wasizozizoèa kuja kuìngizwa kisiwani humo kama zilivyo toa ushawishi mkubwa kwa jamii sehemu.
Safi sana
Watumbatu hawataki ushenzi unaoitwa utalii kwanza hawafaidiki na chochote ,,,manufaa kwa wakuu wadogo yetu mashaka
Sehemu zote za zanzibar na pemba hazikutosheni mpka mtuharibie na Tumbatu yetu kisiwa cha heri , madina ndogo kwa east africa pacheni au hatoki mtuu ,na mashoga wenzenu wazungu . Kafiraneni uko na ccm yenu
Na uyo ulomueka Profile anatokea tumbatu au
@@khalidabdulla6545 shga mwenzio huyu
Hawataki utalii kabisa hao mutakosa wanachama wa C.C.M huko kama hamuamini wapelekeni watalii huko muone. Kama mutapata wanachama 2025.
@@ukweliunauma4570 😄😄😄😄
@@khalidabdulla6545 🤣
mashaAllah Tumbatu
Sio tumbatu tu zanzibar yote utalii haufai unaowanufaisha ni watu wa kutoka nje ya zanzibar
Hakuna nchi ambayo haitaki maendeleo ila njia ambayo inayotumia sio stahiki
Hongereni watumbatu illamlikua mutoe sababu zote kukataa
Musikubali utalii niushenzi mukikubali t ardhi yenu yote mutanyanganywa watu watazini nakkuharibieni dini yenu
4:54 ccm si wazanzibari labda wazanzibara
Kkkkkkk acheni tamaa nyinyi wacheni visiwa vyao
Msiwalazimishe, Tumbatu wanajielewa kitambo tu, ibakie tu nguvu ya dola
My home tumbatu
Twaisubiri
Soraga mushaahidiwa dola hamutamsikiliza mwananchi nyie lakini haya, wazee hao washakua mashahidi kwa mungu.
Kama hawataki basi sio mulazimishe watu! Wewe ni waziri ukimaliza mda wako huna jipya na ukishawakabidhi wazungu habar yako imeisha….ongea halafu sepa
Mimi si mzanzibar ila nawakubali sana watu wa tumbatu na wazee kwa ujmla my next home tumbatu🇹🇿🇩🇪.
Wazanzibar msipoibwaga ccm basi mtahuza adi nyie wenyewe maana ccm haina haja na wananchi ila inaaja na nchi au ardhi
Utalii niukafiri hili halipingiki
Apo sasa unachokozwa uchawi ulipo lala
Kwani watumbatu.wana haki kuliko waznz wengine niwapi waliulizwa khs ardhi zao c wamenyanganywa ata pa kuzikana hawana SMZ chukueni visiwa uzeni tafuteni maslahi yenu hayakuanxa leo wala c wamwanzo wao .MAPINDUZI DAIMA MBELE
Ukome
Tumabatu mm ni nyumbani utatii utaleta sura mpya kisiwani kwetu
Sema kimeumanaaaa
Maneno ya Haji Omar Kheri mtauza visivyouzwa.
Nae mnafiki pia kila kitu kinaanza kwisha ndio anajitokeza
Watumbatu msikubali kabisa. Hata visiwa vikikodishwa pesa inaliwa hakuna liwalo. Msikukubaliiiii kabisaaa. Watu wa tumbatu.
Mbona muheshimiwa unaogopa kuzungumza
Muckubali
Musi kubali
Aibuuuuu
Duh jamani mbona mambo yanakwenda namna hiyo?
Serikal wakiwa teyar na jambo Lao hawashindwi hata kidogo Serikal inanguvu sanaaa
😳Kuna watu watakuwa maskini na dhalili maisha na wala Mungu asihusishwe😂😂
Mbona waziri umepata kigugumizi hujui ata cheo chako mara mbunge mara muakilishi mara waziri au ushakosa dongeeee? Heko tumbatu brothers
Hakuna miradi ni ufisadi tu na ufuska
😂😂😂 Nimecheka .
Mwaangalia maslahi yenu serikali wala sio ya wananchi huo utalii utawafaidisha nyinyi serikali
Hao walovaa mafulana ya CCM kwani kunamkutano was chama apo et wakat panamkutano wajamii yote kuongea swala lamji na maendeleo .ovyoooo
Hatutaki utalii kisiwani kwetu.
Msimam huo huo hatutaki
Wewaziri nimshenzi baada yakuwapelekea watu uislaam unaenda kuwapelekea utalii
Mmmmmmmmmh
Basi mujengewe maskani za CCM ili kuzidi kubweteka kiakili na mawazo wajengeeni maskani
Hujielewi
Msikubali watalii wanatabia mbovu watakuharibieni mila na desturi zenu
Hatuitaj utalii tumbatu
kwann tumbatu waskilizwe na sisi wengine wa kisiwa cha unguja ni maamuzi tu
Mimi nasubiri hicho kisiwa kikubwa ninunue.
Tumbatu muckubali
Wataudha.mpakachupi dhao
Wat wa Tumbatu amekwisha ten mmekishwa kwa utawala ulio kuwepo mmekwenda bila kujijua
Wana maguvu ila nao cha moto watakitambulwa mana suye siwajinga ilikua wawete na vijana bitch ao wajekuisoma namba....vafanculo a tutti.
Soraga kawekeze mogogoro kuna nafasi kubwa tu, tuachie Tumbatu yetu.
Siwezi kuekez Morogoro kwasababu ndogo bor Zanzibar nikubwa ten inamanufahasa😀😀
Nyy viongozi waunguja napemba hamjielewi .tatizo hamna elimu .mnawekwa .kwaubaya warohozenu tu..eti Zanzibar na Pemba 🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha warugane tu huko wengi wanga huko. Hujifanya kama kisiwa 🏝️ chao elimu ya kupandikizwa
@@sahimm4767 sio unguja na pemba hata makka na ulaya wachaw wapo
Kama hawana misimamo ya dini na familia zao laxima waharibikiwa lakini kama wanawasomesha watoto wao duni kiukweli wakajua uislam wao ulivyo cio ule wa mazoweya hawawezi kuharibika kikubwa ni kuwamezesha dini
Hujielewi wewe
Chama luna kwenye familia zao dini ipo hamna mazoweya tu
gomeni ukoo mana kila anataka achukue chako mapema
Hayupo magufuli tu wangelitiwa bakora zaman pakatulia kama maji mtungini
Kamwite
Umemzoea kafiri diktekta
Wanaondoa uwisilamu
Na ndio lengo lao kuiharibu Shem zoote zenye Elimu
Ndio ukweli ndio huo
Na akwende huko wahuni wakubwa mnataka kuzidi kuharibu silka na Mila zetu kwendeneni nyie matozobi hawataki na iwe basi muwakilishi umechaguliwa na nani mwizi mkubwa kama kawaida yenu CCM
Safi sana