FURAHA Episode 18 Final (Official ebondo movie)
Вставка
- Опубліковано 12 жов 2024
- FURAHA ni movie ambayo imeongelewa kiruga "EBEMBE EBONDO" Ikichezwa nakuongonzwa na #Rajabu
ni movie yenye mkasa wa mapenzi ambao unamafundisho ndani yake pia nisehemu
ya historia aliopitia Ndugu @Rajabu_Mmeo_Ramsey
hivyo usichoke kufwatilia mkasa huu episode moja bahada ya nyengine
taratibu zakutoa movie nikila juma pili "siku ya Mungu"
N.B:maoni yako ndio uboreshaji wakazi zetu.
Lit 🔥 let’s go 10K
Good job Ramsey 🔥🔥🔥🔥tutarajiye nn kutoka kwako Ramsey unakazi zuri ya kushawishi afu yenye mafunzo
I enjoyed this movie and I will miss it 😭 Good job kaka I Love your work keep it up
🔥🤲🔥 Movie 🎥 ime Heleweka Sana Ina story Nzuri Pia Twa shukuru kuanza No 1 Hadi Finally we juss wait Movie nyengine itakayo kua bora kuliko hii
Congratulations to you brother umefanya kitu kazuri sana
Wow! What a ending, Hiii ni movie yenye mafunzo ndani yake, ni movie ambayo ina helezea uhalisia wa maisha ya mkimbizi, mausiano ya umbali na uvumilivu.
Hongera zimfikie brother Rajabu Mmeo A.K.A RAMSEY, Na zingine ziwafikie wale wote walio towa michango yao ili kukamilisha kazi hiii, na mungu awabariki sana.
Asante sana kwa uhelewa huo
This story is so touching 😢 😭, kudos to you @Radjabu 👏 🙌
Well done brother that is history
I have been waiting for this 🔥🔥
Yaani nilichokipendea zaidi hii movie yaani mnaigiza kama hamwigizi vile yaani utadhani ni maisha ya kawaida tu. Hongereheni sana ndugu zangu. Kama ni kusapoti vipaji basi hivi ndo vipaji vya kusapoti.
Kabisa
Kwakweli Mmeigiza kihuasilia sana Mmefanya kazi nzuri sana. Rajabu Good job to you guys. Furaha kiukweli umejitaidi sana japokua sehemu zingine zilikua ngumu kwako big up. I wish ningekua na mawasiliano yako tungeongea kitu
Raja bu nimependa muviyako kweli
Good job 👏
Kiza nzuri sana
Asante sana brother rajabu ubarikiwe kweli tumejifubza mengi
Hii movie naipenda sana dogo
Hii movie ilikuwa bomba sana.. tunasubiri nyingine kwa hamu
unge ongeza mbili tu basi umevunja utabiri wangu
Ninzuri sana 😃🤗🥰kweli
I watched this from the first episode till the last episode
I really enjoy it and is a good lesson good job everyone. Watching form Australia 🇦🇺 Nsw
Iyi inanikumbusha nilipo anza na mme wangu adi tulipo kwa sasa
Binamu yangu has done it ohh 🎉✊🥰.
Nakumbuka kwetu lini nitapafika
Mubarikiwe sana tunasubiri ingine
Nime kubali mwamba
Kiukweli katika washiriki wote wa movie ya furaha nita miss patric pamoja na baba yake furaha wamenifurahisha sana japokuwa washiriki wote walikuwa vizuri lakini hao wawili ni the best kwangu 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Ule mzee ni hatarii
Kwani inataka kuisha au
Himesha hisha
Mbona aija fika mwicho
Nice film
Irudiliw jmn 🎉🎉
Nice
Kazi nzuri bro
Good movie ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kali sana
Good
Mungu hawa bariki kwakazi nzuri mnayo hifanya.🥰❤️💕 tutegemee nini tena Raj??
Nitajibunkwenye interview
@@rajabummeoramsey sawa
Okay ✅ ❤️🥰
❤❤
Ayetu movie inahisha 😜🥺😩
Thx
😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣behind the scenes
Really pregnant 🤰
😍🥰😍
Good