Chapati Mchambuko. Taaamu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 тра 2023
  • Unga Kg 1
    maziwa 3tbsp
    sukari 3tbsp
    chumvu 1/2 tsp
    iliki 1tsp

КОМЕНТАРІ • 45

  • @ShaydaAlly-rm8ft
    @ShaydaAlly-rm8ft 3 місяці тому

    hongera sana dada ang unapka vzur sana

  • @patriciandinda8582
    @patriciandinda8582 18 днів тому

    Wow the chapati ever🙏🙏

  • @user-oc4sq3xq5i
    @user-oc4sq3xq5i 8 місяців тому

    Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati

  • @cookingwithmimmo
    @cookingwithmimmo Рік тому +1

    Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana

  • @NackNzily
    @NackNzily 7 днів тому

    Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp

  • @mercymuhunyo8434
    @mercymuhunyo8434 Рік тому

    From Tiktok am here❤

  • @user-kd5mr7wu2x
    @user-kd5mr7wu2x 10 місяців тому +1

    Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz

  • @JobNdeke
    @JobNdeke 11 місяців тому

    🎉🎉

  • @user-qn3wp7py8z
    @user-qn3wp7py8z Рік тому

  • @ElicahMugitya-ql7mo
    @ElicahMugitya-ql7mo Рік тому

    Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘

  • @SaudaMuhammedyussuf
    @SaudaMuhammedyussuf 10 місяців тому

    Mimi nataka kuku😊😊😊😊

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 Рік тому +1

    Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii

  • @kakozietho2303
    @kakozietho2303 7 місяців тому

    ❤❤❤❤

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 11 місяців тому +1

    Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 4 місяці тому +3

    Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!

    • @magrethmlewa3422
      @magrethmlewa3422 Місяць тому

      Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya

    • @abdullahalmahrooqi8306
      @abdullahalmahrooqi8306 Місяць тому

      @@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.

    • @abdullahalmahrooqi8306
      @abdullahalmahrooqi8306 Місяць тому

      @@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 10 місяців тому

    Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo

  • @esterdanford5563
    @esterdanford5563 5 місяців тому

    Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?

  • @TeclaMtweve
    @TeclaMtweve 6 місяців тому

    Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui

  • @fooddiarytz
    @fooddiarytz Рік тому

    Chapatii ❤

  • @maryjoseph926
    @maryjoseph926 7 місяців тому

    Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu

  • @nattymnaro541
    @nattymnaro541 8 місяців тому

    Samli ipi unatumia Malkia?

  • @delightnkya6086
    @delightnkya6086 10 місяців тому

    Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 9 місяців тому +1

    Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  9 місяців тому

      Angalia kwenye description box dear

  • @user-vm1fq3qq9v
    @user-vm1fq3qq9v Рік тому

    Nielekeze vitu ulivyochanganya

  • @ElicahMugitya-ql7mo
    @ElicahMugitya-ql7mo Рік тому

    Hello

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 11 місяців тому

    Ndio kila mkunjo unamatokeo yake

  • @lilianjulius9500
    @lilianjulius9500 Рік тому +1

    Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy 11 місяців тому

      Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅

    • @Awatee
      @Awatee 8 місяців тому

      ​@@AAA-zu1vy😂😂😂

  • @faridarashid1198
    @faridarashid1198 13 днів тому

    kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu
    wrong personal hygiene

  • @neemakusenha2540
    @neemakusenha2540 Рік тому +1

    Dada unga ni ppf??

  • @esthermollel1461
    @esthermollel1461 Рік тому

    Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.

  • @user-kv5eo8ix9k
    @user-kv5eo8ix9k 10 місяців тому

    Wanawekaga hamira hawasemi

    • @user-jm4jw6qb1t
      @user-jm4jw6qb1t 10 місяців тому

      Alf kweli nimegundua

    • @happylema6763
      @happylema6763 6 місяців тому

      Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu

  • @stellashayo1242
    @stellashayo1242 Рік тому +1

    Mafuta gani umechomea chapati zako? @malkia?

  • @zainablema17
    @zainablema17 Рік тому